Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
16 Jan 2026
36 views
VYOTE NDANI GONGA94
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 02
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Baada ya kubaki na bosi majira hayo ya usikuu tulikuwa tukiendelea na kazi na kazi yangu ilikuwa ni kuprint document na kuziweka kwenye mafile huku bosi akinielekeza baadhi ya vitu ukichukulia mimi ndo mfanyakazi mpya.Tulifanya kazi mpaka kama saa sita hivi nikiwa nimechoka sana na hata bosi kachoka sana ....
Hapo ndipo tukachukua chakula ambacho tulikuwa tayari tumeshakinunua na kuanza kukila .Nilikuwa nakula kwa mapozi na aibu jamani maana bosi alikuwa akinitolea sana macho mpka nikawa naangalia chini .Nilimwambia tu kwa sauti ya kawaida
" Jamani bosi acha kuniangalia hivi, mwenzako naloose control "
Alicheka na kunipiga begani na mimi nikamrudishia ,basi tukaacha kazi na kuanza kupigana pigana .Lakini baadaye kila mtu baada ya akili kurudi ,wote tulitulia na kuendelea kula ,hapo ni kama limefunikwa kombe mwana haramu apite sio kwa ule ukimya uliokuwa muda huo
Bosi alikuwa ananitazama tu mpaka najishtukia , mwishowe niliamua nimuache tu awe ananitazama ,nilifanya kazi mpaka nikaanza kusinzia ,Alinisisitiza kazi ni ya muhimu sana lakini kama unavuojua usingizi ni ngumu kuuzuia au kubishana nao.Taratibu nilishuka mpaka kwenye bega la bosi na kulala usingizi hapo hapo.....
Basi nilikuja kushtuka tayari ni asubuhi kama saa kumi na moja .Na nipo kwenye kitanda cha gharama sana .Nilipigwa na butwaa na kujiuliza
" Nimefukaje hapa ????
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
kipande cha 38 πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo...
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
36 MPAKA 37 πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasem...
ππππππππππππππππππππππππππππππππ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kul...
Baada ya kubaki na bosi majira hayo ya usikuu tulikuwa tukiendelea na kazi na kazi yangu ilikuwa ni kuprint document na kuziweka kwenye mafile huku bosi akinielekeza baadhi ya vitu ukichukulia mimi ndo mfanyakazi mpya.Tulifanya kazi mpaka kama saa sita hivi nikiwa nimechoka sana na hata bosi kachoka sana ....
Hapo ndipo tukachukua chakula ambacho tulikuwa tayari tumeshakinunua na kuanza kukila .Nilikuwa nakula kwa mapozi na aibu jamani maana bosi alikuwa akinitolea sana macho mpka nikawa naangalia chini .Nilimwambia tu kwa sauti ya kawaida
" Jamani bosi acha kuniangalia hivi, mwenzako naloose control "
Alicheka na kunipiga begani na mimi nikamrudishia...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilizaa-na-bosi-kwa-bahati-mbaya-sehemu-ya-02
Maoni