Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 03
Gonga94 · Stories

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nilishtuka ghafla.
Nilikuwa nimelala juu ya kitanda kikubwa, cheupe, chenye harufu ya manukato ya kiume. Pazia la dirisha lilikuwa likiruhusu mwanga wa asubuhi uingie taratibu, na saa ya ukutani ilionyesha saa kumi na moja alfajiri.
Moyo wangu ulianza kupiga kwa kasi.

"Nimefikaje hapa?"
"Hii siyo ofisi."
"Hiki ni kitanda cha nani?"
Nilijaribu kukumbuka. Kichwa kilikuwa kizito, mwili umechoka lakini hakuna maumivu.

Niliangalia nguo zangu nilikuwa bado nimevaa vizuri, japokuwa suti ilikuwa imelegea kidogo kana kwamba nililala nayo.

Nilinyanyuka taratibu, nikakaa kitandani huku nikishika kichwa changu.
Ndipo mlango ukafunguliwa.

Aliingia bosi wangu Mr. Adrian.
Alikuwa amevaa shati jeupe, mikono imekunjwa, uso wake ulikuwa mtulivu sana kuliko nilivyomzoea.

“Umeamka?” aliuliza kwa sauti ya upole.
Nilimeza mate.
“Bosi… nipo wapi?” niliuliza kwa sauti ndogo.
Alikaa kwenye kiti karibu na kitanda, hakunisogelea sana kana kwamba anaheshimu mipaka.
“Hapa upo nyumbani kwangu , Jana ulisinzia ghafla, usingeweza kuendelea na kazi wala kuondoka peke yako.”
Nilifumba macho kwa sekunde chache nikivuta pumzi ndefu.
“Naomba unisamehe bosi… sikukusudia.”
Alicheka kidogo.
“Usijilaumu. Ulichoka. Nilikuleta kwangu upumzike.”
Nilihisi. Aibu, maana toka nizaliwe sijawahi lala kwa mwanaume hata kuwa karibu na hao viumbe .....

Nilimtzama na kumuuliza bosi ......
“Nililala muda gani?” nikauliza.
“Karibu masaa manne. Nilikubeba na kukuleta hapa i, nikakuhakikisha uko sawa.”
Nilimtazama machoni.
Kulikuwa na kitu kipya pale… si macho ya bosi tu, bali macho ya mwanaume.
Kimya kilitanda kwa sekunde kadhaa.

“Radhia…” aliniita kwa sauti ya chini, “kile kilichotokea jana… hakitakiwi kutokea tena.”
Nilitikisa kichwa haraka.
“Ndiyo bosi. Ni kazi tu.”

Niliinuka nikiwa na wenge wenge tu na kuyumba yumba ,nilitaka kuanguka ghfla bosi alinirukia kitandani tukaagukia ,macho yetu yakitazamana ,jamani nilikuwa naona aibu maana sio kwa jicho lile la bosi

Bosi alikuwa akitabasamu huku akiyatazama madimpozi yangu akawa anayashika na kuzipanga nywele zangu ...Jamani nilisikia raha sana

Bosi akanitazama na kutaka kusema kitu kabla hajasema mara ghafla

ITAENDELEA......
Tangazo - mjeda inauma siwezi vumilia 1 to 20 final
mjeda inauma siwezi vumilia 1 to 20 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 03


Nilishtuka ghafla.
Nilikuwa nimelala juu ya kitanda kikubwa, cheupe, chenye harufu ya manukato ya kiume. Pazia la dirisha lilikuwa likiruhusu mwanga wa asubuhi uingie taratibu, na saa ya ukutani ilionyesha saa kumi na moja alfajiri.
Moyo wangu ulianza kupiga kwa kasi.

"Nimefikaje hapa?"
"Hii siyo ofisi."
"Hiki ni kitanda cha nani?"
Nilijaribu kukumbuka. Kichwa kilikuwa kizito, mwili umechoka lakini hakuna maumivu.

Niliangalia nguo zangu nilikuwa bado nimevaa vizuri, japokuwa suti ilikuwa imelegea kidogo kana kwamba nililala nayo.

Nilinyanyuka taratibu, nikakaa kitandani huku nikishika kichwa changu.
Ndipo mlango ukafunguliwa.

Aliingia bosi wangu Mr. Adrian.
Alikuwa amevaa shati jeupe, mikono imekunjwa, uso wake ulikuwa mtulivu sana kuliko nilivyomzoea.

“Umeamka?” aliuliza kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilizaa-na-bosi-kwa-bahati-mbaya-sehemu-ya-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilizaa-na-bosi-kwa-bahati-mbaya-sehemu-ya
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA  SEHEMU YA 02
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 02
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 05
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 05
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 04
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

9.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.28K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.05K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.01K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest