Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 04
Gonga94 · Stories

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 04

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


TULIPOISHIA .......
Bosi alikuwa anataka kusema kitu.
Niliona midomo yake ikifunguka taratibu, macho yake yakinitazama kwa umakini wa ajabu, kana kwamba alikuwa anapima uzito wa neno alilotaka kulitamka.
Lakini kabla hajazungumza

ANZA NAYO SASA......

GHAFLA
Simu yake Ikaanza kuita ...
Sauti ile ilikatiza kila kitu.
Alishtuka kama mtu aliyerudishwa ghafla duniani. Akavuta mkono wake haraka, akasimama, na kuchukua simu ile huku akigeuka pembeni.
“Hello?” alisema kwa sauti iliyobadilika kabisa, sauti ya bosi niliyoizoea.
Mimi nilikaa pale kitandani, moyo wangu ukipiga kwa nguvu.
Nilikuwa najilaumu, na wakati huohuo nikishindwa kuelewa nilichokuwa nakihisi.
Ni hofu?
Ni aibu?
Au ni kitu kingine ambacho sikuwahi kukijua tangu nizaliwe?
Baada ya dakika chache, alimaliza kuongea na simu.
Aligeuka kunitazama, macho yake sasa yakiwa mazito, yenye tafakari.
“Radhia… nadhani sasa jiandae twende kazini,Na kuhusu nguo fungua kabati luna nguo zipo humo..”
Nilitikisa kichwa, nikakubaliana kimya kimya.
Lakini swali nikajiuliza hizi nguo ni za nani na kaniambia yeye ni bachelor .

Yaani yuko single kama upanga ,sasa nguo hizi za nani ? Nilijiuliza na sikupata jibu nilichokufanya ni kwenda kabati na kufungua.

Nilikodoa macho nguo zilikuwa nzuri sana,zilikuwa rangi ya blue na viatu vyake yaani mpaka kipocho Kwangu nilijuwa nikivaa hizi ni BLUE DAY .yaani kama kamis fulani ukichukulia na huu wembamba wangu.....

Niliingia bafuni nikaoga harka nikarudi nikavaa lakini kilichokuwa kinanishinda ni kufunga zipu ya mgongoni nilikuwa na hangaika sana, mara gjafla nilishangaa nimeshikwa kiuno .Sio siri nilishtuka " Agggh"

Kisha nikawanafungea zipu huku bosi akiniambia sikioni' vitu vingine uwezi kufanya pekee yako omba msaada".Nilitulia maana kashika kiuno na kimeshikika .Baada ya hapo alinambia geuka ...

Niligeuka mtoto wa watu kwa mapozi kama miss dunia na kutabasama akasema " konyeza kidogo" nikafanya hivyo eti akawa anacheka na kuniambia maneno ambayo yalfanya kichwa kuongezeka ukubwa
" You look so beautiful Radhia ,kuna wanawake wazuri halafu kuna wewe" Nilitabasamu na kumshukuru na kisha nikamwambia
" Tuwazi tusije tukachelewa "
Nilitoka huku kanishika mkono alinifungulia mlango wa gari kama malkia ......Na tukaelekea ofisini ....

Humo kwenye gari ni mwendo wa kutazamana kila mtu anachekea upande wake .mwishowe nilimwambia
" Jamani bosi acha kuniangalia "
" Kwanini niache sasa?
' Na loose control mwenzako"
" Haya sawa"
Yaani nimetoka kumwambia hapo hapo bado ananitazama ila huyu bosi jamani sijuwi ana nini?

Nilifika kazini nje ya jengo kulikuwa kuna wafanyakazi wengi ,sasa kimbembe kwenye kushuka na nilivyopendeza mmmmmh maana watu wengi wanajua maisha yangu kuwa sina uwezo wa kuvaa vile .Adrian alishuka haraka na watu wakawa wanamsalimia hakuwajibu alikuja upande wangu na kunifungulia mlango ...

Sasa hapa ndo kaongeza ugumu wa mimi kushuka alisema kwa sauti lazima shuka ujuwe nachelewa kikao.Nilimwambia sawa nashuka nilianza kutoa mguu kisha nikashuka .Na nilikutana na macho ya wafanya kazi wezangu.

Macho yote yalinitazama mpaka nikajikuta aibu na wasiwasi vinanizidi lila mtu alitazama na kuangalia pembeni .Bossi aliniambia
" Kaa na aibu zako kama zitakufikisha popote"
" Mbona sina aibu jamani "
" Una uhakika ?
"Ndiyo ,nina uhakika"

Akanivuta mkono na kunisogeza kifuani kwake .Niliogopa ......nikawa nahema huku namtazama .

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 04



TULIPOISHIA .......
Bosi alikuwa anataka kusema kitu.
Niliona midomo yake ikifunguka taratibu, macho yake yakinitazama kwa umakini wa ajabu, kana kwamba alikuwa anapima uzito wa neno alilotaka kulitamka.
Lakini kabla hajazungumza

ANZA NAYO SASA......

GHAFLA
Simu yake Ikaanza kuita ...
Sauti ile ilikatiza kila kitu.
Alishtuka kama mtu aliyerudishwa ghafla duniani. Akavuta mkono wake haraka, akasimama, na kuchukua simu ile huku akigeuka pembeni.
“Hello?” alisema kwa sauti iliyobadilika kabisa, sauti ya bosi niliyoizoea.
Mimi nilikaa pale kitandani, moyo wangu ukipiga kwa nguvu.
Nilikuwa najilaumu, na wakati huohuo nikishindwa kuelewa nilichokuwa nakihisi.
Ni hofu?
Ni aibu?
Au ni kitu kingine ambacho sikuwahi kukijua tangu nizaliwe?
Baada ya dakika chache, alimaliza kuongea ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilizaa-na-bosi-kwa-bahati-mbaya-sehemu-ya-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilizaa-na-bosi-kwa-bahati-mbaya-sehemu-ya
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 05
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 05
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA  SEHEMU YA 02
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 02
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 03
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.18K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.11K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

774
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

269
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

256
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

242
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

241
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

175
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

115
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

103

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest