Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
16 views
VYOTE NDANI GONGA94
(TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tanga
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tanga.
Nafasi zinazogombewa ni Rais (Nafasi 1) na nafasi ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji (Nafasi 6)
Gharama za kuchukua fomu Nafasi ya Rais ni 500,000 na Shilingi 200,000 kwa Nafasi za Wajumbe wa Kamati ya Utendaji.
Fomu zitaanza kutolewa kuanzia siku ya Jumatatu tarehe 16 hadi 20/06/2025 saa 10 kamili jioni. Fomu zinapatikana Makao Maku ya TFF na kwenye tovuti ya TFF.
#KitengeSports
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengen...
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiz...
Dr. Nusrat Praveen, the AYUSH doctor whose hijab was publicly pulled down by Bihar Chief Minister Nitish Kumar during an appointment ceremony on December 15, 2025, has refused to join the government job she was offered. According to multiple reports:
• She was scheduled to report to a primary health center in Sabalpur by December 20, but did not appear The Hindu. • He...
Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 3 ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
na rafiki yake aitwae Tausi, "Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita kwenye masikio ya Kayoza na kushindwa kuelewa inatokea ...
*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah
alijibu kwa upole, "We panga unavyojua wewe, maana mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu na gharama zangu...
*KIJIJINI KWA BIBI* *1-----5* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 1 ___________ MWANZO ____________ "njoo uingie bado gari iko wazi hii, mama kaa vizuri hapo mnatosha
watu wawili",ilikua sauti ya mpiga debe aliyekuwa anaita abiria katika stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini). ...
*EX ULINIACHA ILA SASAIV NATOKA NA BABAAKO* *1-3* *_________________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Mimi Naitwa Jane ni mwanafunzi wa chuo kilichopo jijini Dar es salaaam ,nasomea kozi ya procurement
and supply management . Nina miaka 19 ,Nina boyfriend wangu uyo ni handsome na yeye nasoma nae sema yeye yupo kwenye ko...
(TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tanga
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tanga.
Nafasi zinazogombewa ni Rais (Nafasi 1) na nafasi ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji (Nafasi 6)
Gharama za kuchukua fomu Nafasi ya Rais ni 500,000 na Shilingi 200,000 kwa Nafasi za Wajumbe wa Kamati ya Utendaji.
Fomu zitaanza kutolewa kuanzia siku ya Jumatatu tarehe 16 hadi 20/06/2025 saa 10 kamili jioni. Fomu zinapatikana Makao Maku ya TFF na kwenye tovuti ya TFF.
#KitengeSports
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tff-inatangaza-uchaguzi-mkuu-wa-tff-utakaofanyika-tarehe-16-08-2025-jijini-tanga
Maoni