Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Tukiwa tunaendelea na mazungumzo Mimi na Shangazi yangu Mom alikuja kule chumbani Kwangu alionekana mtu mwenye furaha sana aririririiiiiiiiiiiiii alianza kupiga vigeregere Kwa shangwe haya fanya utoke mwanangu ukawaage wageni waondoke...... Nilitoka kule chumbani Kwangu nikaelekea sebleni kwenda kuwaaga wageni.......My daughter, we are leaving Now🀝🀝 We are grateful for the food Thank you very much🀝🀝 ni sawa baba karibuni Sana πŸ™‚πŸ™‚ wow Asante sana nazani tuwapatie muda wewe na Hakim mpate kufahamiana vizuri hata Kwa muda mchache tu! It's ok daddy 😊😊 wale wazee pamoja na yule kijana mmoja walitangulia kwenye Gari Mimi na Hakim tulibakia nyuma kidogo gari iliondoka Kwa mwendo wa taratibu sana ilikuwa ni usiku mida kama ya saa mbili hivi Hakim alichukua simu yake ni kama vile Kuna mtu alitaka kumpigia alibonyeza bonyeza Kisha akaiweka sikioni!..... Hello Jace I think it would be better if you took them first and then you will come to pick me up alimuomba yule rafiki yake Jace awapeleke Wazee hotelini kwanza Alf then atarudi kumchukua make walikuwa wanapeleka gari taratibu huku wakiwa wanamngoja Hakim! Baada ya Hakim kumuomba Jace afanye vile Jace alikubali aliiondoa gari chapu tukabakia wawili peke yetu!
""Its Pendo right!?""
""Yeah I'm Pendo!""
""I am Hakim, the last child born in our family nimefurahi sana kukufahamu Pendo 😻""
""Wow, I'm also happy to know you Hakim ""
""Wow, it's very cool my""
""Okay πŸ™‚πŸ™‚πŸ˜Œ""

Hakim aliushika ule mkono wangu wa kushoto niliokuwa nimeivaa Ile saa aliyoniletea aliubusu then alinitizama Katika macho yangu aliniambia Pendo natamani uwe mke wangu umenivutia sana! wewe ni mwanamke mrembo una rangi nzuri na shape nzuri pia kiukweli umeuteka sana Moyo wangu pendo I want to tell you something, I love you ❀️❀️""
""Hakimu aliniambia vile huku tukiwa tunaendelea kutembea Kwa mwendo wa taratibu sana alikuwa ameushikilia mkono wangu huku tukiwa tunatembea Very slowly! Kusema Kweli Wala sikumjibu kitu niliendelea kukaa tu kimya tulifika katika kieneo Fulani kizuri Hakim aliniomba tukae pale katika Ile sehemu nilikubali tulikwenda tukakaa katika Ile sehemu Hakim alikuwa akinitizama sana machoni kwangu aliniita Pendo nilimuitikia aliniuliza uko tayari kuolewa na Mimi!? Niliendelea kukaa kimya! Usikae kimya mpenzi wangu kumbuka tayari Kila kitu kimeshapitishwa na familia zetu tayari nimeshatoa mahali kwenu na nimekuridhia wewe Kwa moyo wangu kuwa mke wangu pendo I love you with meaning Please, I am asking you to accept me. I will love you every day I will give you true love from now until the end..... Ni sawa Hakim lakini nahitaji muda wa kuamua Juu ya ndoa yangu Mimi na wewe!

Hakim aliendelea kunigongelea mistari ya moto Moto lakini mwenzie hata kidogo sikushawishika et! Tukiwa bado tunaendelea na mazungumzo yetu simu ya Hakim iliita alipokea nazani aliyepiga ni Jace yule rafiki yake alimpatia maelekezo sehemu tuliko Akawa amemuijia pale hakusogea pale Karibu yetu ila aliegesha gari Kwa mbali kidogo!
""Tizama tayari kaishafika rafiki Yako amekuja kukuchukua et Naomba na Mimi nirudi nyumbaniπŸ™‚πŸ™‚""
""It's ok pendo lakini Kesho nitakuja kukuchukua Kwa ajiri ya kwenda hospital Kufanya vipimo baadhi vya kucheki Afya are you ready!? ""
""It's okay Hakim tutaenda tu πŸ˜”πŸ˜”""
""Pendo before we say goodbye can you give me a kiss!? Tafadhari kipenzi Naomba usinikatalie et I only ask once""
""Not now Hakim maybe for another time πŸ™ˆπŸ™ˆ nilimjibu hivyo Kisha nikasimama pale nakuanza kupiga hatua hakimu aliushika mkono wangu akanivuta Karibu yake darling aliniita hivyo nilinyamaza kimya baby aliniita Tena yes Hakim πŸ™ˆπŸ™ˆ nilimuitikia et Kwa sauti ya chini sana! Tumeshatembea umbali mrefu kidogo kutokea nyumbani kwenu Sasa hivi ni usiku et hauwezi kwenda peke Yako Naomba nikubebe kwenye gari niweze kukurudisha nyumbani! It's okay hakuna shida! Hakim alinishikilia mkono wangu Alf Kuna vile alikuwa anauminyaminya😌😌 tulitembea Hadi pale alipokuwepo Jace Hakim alimuomba Jace kama hatojali basi amungoje pale Yeye anirudishe nyumbani kwanza then atampitia pale warudi hotelin! Jace alishuka kwenye gari walipeana fiveπŸ‘ŠπŸ‘Š walionekana kuwa marafiki wakubwa sana Hakim aliufungua mlango wa mbele Kule akaniomba nipande kwenye gari nilimuaga Jace It's like byeeeee πŸ–– wow byeee Shem Darling 🫢 I wish you a good night see you next time byeeeee 🫰

Nilikaa zangu kwenye gari Hakim akawa ameondoa gari eneo lile kuelekea nyumbani kwetu ilikuwa ishafika saa nne za usiku! Alinipeleka Hadi jirani kabisa na getin kwetu! Kabla cjatelemka Hakim aliniita babyπŸ™ˆπŸ™ˆ nilinyamaza etπŸ™ˆπŸ™ˆ darling aliniita TenaπŸ™ˆπŸ™ˆ yes baby nilijitutumua kujibuπŸ™ˆπŸ™ˆ I love you😘😘 mmmhhh mie chitaki mie apenda boo wangu siyo weweπŸ˜”πŸ˜” nilijibu kimoyomoyo πŸ˜”πŸ˜” hakimu aliugusa mkono wangu akanisogeza Karibu yake alionekana kuwa na mizuka Fulani hivi πŸ™„πŸ™„ sorry i need to leave Nilimwambia baada ya kumuona kama mtu anayetaka kufanya kituπŸ™„ lakini Wala hakuniachia alinivuta Karibu yake zaidi Hakim alianza kuninyonya kwenye lip's zangu I don't need to do that, please leave me alone Wala ata hakuniachia et aliniambia Pendo please ni kiss peke yake mamaa usinizuie et nakupenda Pendo Nina hisia Kali sana Juu Yako nakupenda mama I Love you πŸ˜”πŸ˜” Hakim aliniambia huku akiwa amenituliza katika kifua Chake Yani Hadi nililia et mi nampenda Paschal kwanini hii inatokea😒😒 baada ya Hakim kuniona nikiwa nadondosha machozi aliniachia I'm sorry Pendo I beg you to forgive me Yani ni vile nikikusogelea nakuwa napata msisimko mkali sana pole mama aliniyafuta machozi yangu Kisha akanikiss kwenye paji la uso 😘😘 baada ya hapo aliniomba namba yangu ya cm then alinifungulia mlango nikatoka Kule kwenye gari!

Nilienda Moja kwa Moja Hadi chumbani kwangu Nikajifungia huko nilifanya kulia Ili kupunguza Jamu ya hasira moyoni kwangu...... Wazazi wangu waliniita wakaniomba sana sana niweze kuolewa na Hakim! Lakini wazazi wangu Mimi tayari Nina mwanaume ninayempenda simpendi Hakim naombeni mnielewe πŸ˜”πŸ˜” baada ya kuwambia hivyo Daddy alisimama Kwa hasira akaniambia amka ukusanye Kila kilicho chako humu ndani uende Kwa huyo mwanaume wako😑😑 umekua Sasa unataka kutupanda kichwani tumekuzaa wenyewe tumekulea wenyewe Leo hii unataka kutufundisha kipi Cha kufanya!? Nasema Toka uende Kwa huyo mwanaume wako ondoka hapa nyumbani kwangu mtoto kumbe mshenzi huyu😑 anathubutu vipi kuniambia kwamba ana mwanaume wake na ilihali Bado tunakaa naye hapa nyumbani!? Una mwanaume wako huku ndani unafanya Nini wenye wanaume zao wako makwao huko na familia zao kama ilivyo Kwa dada Yako Prisca na Mme wake wako kwao na siyo kama walichukuana kizungu no walifuata taratibu wakafunga ndoa wewe Huo uhuni ulioamua kutuoneshea sisi hazalani nenda ukaufanye huko huko na usikae ukakanyaga hapa nyumbani kwangu Helena hivi ndivyo ulivyomlea Binti Yako!? Baba alinishambulia sana Yani ni alichukia kupita kiasi sijawahi kumuona baba yangu akiwa na hasira kiasi kile niliogopa sana pale alipomuuliza mama kwamba hivyo ndivyo alivyonilea nililia huku nikiwa namuomba baba yangu msamaha lakini hakutaka kunisikiliza Mtoto wangu ni Prisca pekee huyo ndo Mtoto mwenye heshima na adabu Kwa sisi wazazi wake alijitunza Hadi siku anaolewa hakuwahi kututamkia hazalani et ana mwanaume wake na sisi hatukuwahi kuona uchafu wowote Kwa Prisca Yani sikuwahi kuyajua makucha Yako pendo kumbe wewe ni Mtoto mshenzi sana😑😑 nasema Toka huku ndani kwangu na kesho mapema nitakwenda kuonana na familia ya kina hakimu nirudishe Kila kitu Chao!

Eh Mungu wangu baba yangu alichefukwa kupita kiasi aliniamuru niondoke nyumbani kwake!

Itaendeleaaaa......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜

Tukiwa tunaendelea na mazungumzo Mimi na Shangazi yangu Mom alikuja kule chumbani Kwangu alionekana mtu mwenye furaha sana aririririiiiiiiiiiiiii alianza kupiga vigeregere Kwa shangwe haya fanya utoke mwanangu ukawaage wageni waondoke...... Nilitoka kule chumbani Kwangu nikaelekea sebleni kwenda kuwaaga wageni.......My daughter, we are leaving Now🀝🀝 We are grateful for the food Thank you very much🀝🀝 ni sawa baba karibuni Sana πŸ™‚πŸ™‚ wow Asante sana nazani tuwapatie muda wewe na Hakim mpate kufahamiana vizuri hata Kwa muda mchache tu! It's ok daddy 😊😊 wale wazee pamoja na yule kijana mmoja walitangulia kwenye Gari Mimi na Hakim tulibakia nyuma kidogo...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-no-27-28

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-no
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 26πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 26πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

919
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

790
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

625
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

456
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

123
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

97
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

93
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

57
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest