AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ππ NO 30ππ
Baada ya kuipokea ile video call niliibana simu kifuani nikaiziba camera ili boss paschal asiweze kuona chochote aone giza tu na maluweluweπΉπΉ alhamdulilah nilifanikiwa et nilinyanyuka pale kifuani kwa Hakim nikajisogeza pembeni kidogo nikawaza niongee kweli na hii simuπ₯²π₯² hapana wacha niikate niliikata ile simu nikazuia kupigiwa kwa video call nilivyozuia simu kwa njia ya video call boo alipiga voice call nikapokea then nikasogea mbali kidogo kutoka pale kwa hakim...
""Mine are you okay!? Aliniuliza paschal""
""Yes boss niko poa""
""Uko wapi!?""
""Kuna sehemu niko kwani kuna nini!?""
""Nataka kukuona et nimekumissππ""
""Boo kwani umesharudi bongoππ""
""Ndiyo sweeryheart nimesharudi etπ₯°π we si uliniambia nije ata leo basi nimekuja kipenzi changu nakuomba uniambie wapi uliko nije nikuchukue""
""Kuna sehemu nilienda basi wacha nitakutumia location uje unichukueπ₯² nimjibu boss pascha hivyo kisha nikakata simu kwa haraka nisingeweza kuongea naye vizuri mbele ya hakim pale! Duh amerudi tanzania haraka kabla likizo yake haijaisha kwa sababu yangu vipi endapo kama akijua ya kwamba mimi ni mke wa mtu mtarajiwaππ atajisikiaje niende kumuona kweli au niachane naye tu nianze kujiweka mbali naye mapema ili nianze kuzoea eh yarabii nitawezaje kuizoea hii hali naolewa na mwanaume ambaye sina ata hisia naye etπ₯²π₯²
""Baby ulikuwa unaongea na nani mbona kama vile baada ya kukata simu umepata mawazo ya ghafla,? Aliniuliza hakim! Nijisogeza taratibu pale karibu yake huku nikiwa nawaza namna ya kumuaga anielewe ili niweze kutoka kwenda kumuona boss paschal!
Niko sawa hakim ni vile tu nimetoka kuongea na rafiki yangu wa siku nyingi aliendaga nje ya nchi kimasomo lakini mida hii kanipigia et yuko tanzania so angependa niweze kwenda kuonana naye ndo nawaza sasa wewe hapa utabakia na nani etππ niliamua kudanganya et sikuwa na namna! Lakini ucjali kipenzi changu kama shida ni hiyo tu mimi hapa nitakupeleka huko kwa rafiki yako ukamuone alf kisha tutarudi wote hapa hotelini uchukue vitu vyako kwa ajiri ya kurudi nyumbani! At anipelekeπ₯² lakini Hakim itapendeza zaidi endapo kama utaniacha niende mwenyewe! No baby hauwezi kwenda peke yako kumbuka wewe ni mgonjwa haipendezi kutoka peke yako unaweza ukafika huko nje hali ikachange! Lakini siumwi kiasi cha kushindwa kutoka peke yanguπ₯Ίπ₯ huyo rafiki yako kwani jinsia gani!? Aliniuliza hakim huku akiwa ananiangalia kwa umakiniπ₯²π₯² nimwambieje yarabiiπ₯Ήπ₯Ή ni rafiki yangu waaa.....wawaaa.... wa kiume eh!? Aliuliza hakim baada ya kuniona nikiwa nimevamiwa na kigugumizi kizito! Niliwaza haraka nikaona nidanganye tena! No siyo wa kiume ni wa kike kama mimi kiukweli natamani sana kwenda kuonana naye kuna zawadi nyingi kaniletea kutoka nje tafadhari nakuomba unikubalieππ....
Its ok my love nakupatia ruksa lakini naKuomba uniahidi ya kwamba utakuwa salama na hauendi kufanya vitu vya ajabu! I promise you dadπ₯²π₯² wow nimefurahi sana kusikia hivyo pia nimependa the way ulivyoniita daddy i love you my Queen but naomba nikuombe kitu kabla haujaondoka! Sawa dady! Pendo do you love me!? Kumpenda nampenda lakini siyo kimahusianoππ na kiukweli sina hisia zozote juu yake sijihisi kitu hata pale ninapokuwa karibu naye! Nimjibu nini sasa!? Nilinyamaza! Aliniuliza tena pendo unanipenda nilitikisa kichwa tu nikampatia ishara ya kwamba ninampenda! Hakim aliniambia kama kweli ninampenda basi nimkiss kwenye shavu lake! Kwa vile nina haraka sana ya kwenda kumuona boo wangu sikuwa na budi kumpatia hakim kile alichokuwa anakihitaji! Nilimtia kiss kwenye shavu lake la kulia naye palepale hakuchelewa alinishika vizuri akataka kunitia kiss ya kwenye lips lakini nilikwepesha midomo yangu sikutaka anikiss sehemu ambayo nilitarajia kwenda kuitumia kumkiss boo wangu! Baada ya kukwepesha vile mdomo hakim hakulazimisha alinitizama tu kwa macho ya huruma baada ya hapo aliichukua walet yake akanichomolea pesa za kutosha ππ alinipatia zile pesa then akaniambia hizi zitakusaidia huko unakokwenda! Hapana hakim we bakia nazo mimi wala sihitaji!
No baby ni jukumu la kila mwanaume kumtimizia mahitaji yote mwanamke wake! Tyr wewe ni jukumu langu mimi ni lazima nikupatie kila utakachokihitaji! Alinipatia tena zile pesa nikakataa hakim aliuchukua mkoba wangu akaziingiza zile pesa baada ya hapo alinipatia ATM card yake pamoja na namba ya siri akaniambia ukihitaji chochote usiache kwenda atm kutoa pesa kwenye account be free pesa zangu ni zako pia! Aliniwekea kwenye mkoba then akaniruhusu niende nikaonane na rafiki yangu! Nilichukua ule mkoba wangu nikaanza kuondoka pale hotelini nilipiga hatua hadi mlangoni vile ndo nimefungua mlango nataka kutoka Hakim aliniita niligeuka kumwangalia alinipungia tu mkono na kisha akanitupia kiss ya hewani aliniambia byeee my love take care i love you! Sikujibu kitu bali nilichokifanya nikumpungia tu Hakim mkono huku moyoni nikiwa nasema nisamehe tu bure hakim najua unanipenda kwa dhati ndani ya moyo wako lakini mimi moyo wangu umeshampenda mwanaume mwingine! Najua hujui ninapoenda ni wapi lakini ukweli ni kwamba leo natamani hata boss paschal anitolee usichana wangu kwasababu yeye ndo yule mwanaume niliyejitunza kwa ajiri yake paschal ndiye chaguo la moyo wangu! Na siyo wewe hakim!
Niliondoka haraka kule hotelini nilitembea hadi kiumbali kidogo kutokea pale serena nilivyofika mbali kidogo na pale hotelini nilimtumia boss paschal location akawa amekuja kunichukua alifika pale akatelemka kwenye gari alinikumbatia baada ya hapo tulikiss i miss you mine aliniambia huku akiwa ananifungulia mlango wa gari nilipanda kwenye gari huku moyo wangu ukiwa unaniuma sana paschal alionekana mwenye furaha sana alinipeleka hadi nyumbani kwake akapark gari nje ya geit kabisa πile hali kidogo ilinishtua nilimuuliza baby why usiingize kabisa gari ndani au unataka kutoka!? Nop mine but dont worry mlinzi ataingiza come nikuhag babe come nilimsogelea tukakumbatiana then aliniambia nimeandaa kitu kwa ajiri yako naomba ugeuke niweze kukufunga macho yako! Nigeuka paschal akawa amenifunga kitambaa machoni baada ya hapo alinishikilia mkono wangu wa kushoto alibonyeza kengere ya getini mlinzi akawa amefungua ile geit kubwa tiliingia ndani paschal alimuomba yule mlinzi aingize gari yake ndani baada ya hapo sisi tuliendelea na safari yetu! Tulifika kwa mbele kidogo mwili wangu ukaanza kuhisi uwepo wa watu wengi kule ndani ya geit niliogopaπ₯²π₯² nilitamani kujitolea kile kitambaa ili niweze kuona kile kilichokuwa kinaendelea sehemu ile lakini nilijipa kimoyo cha subira nilianza kuwaza vitu vingi sana nilizania hata huenda labda paschal ameamua kumsamehe ndugu yake mika akaenda kumfutia kesi police huenda wameelewana na wameniita hapa kunithibitishia juu ya hilo! Au ni nini mungu wangu!
Tulisimama sehemu ile mwili wangu uliendelea kunisisimka sana paschal alinisogelea akawa amenitolea kile kitambaa machoni kwangu kabla cjayafungua macho yangu nilizisikia sauti za watu wengi zikiwa zinasema surpriseeeeeeeeeeeee baada ya kuzisikia sauti zile haraka niliyafungua macho yangu ndipo nipokutana na wafanyakazi wote wa kule ofisini kwa boss paschal bila kuwasahau marafiki zake kutokea sehemu mbalimbali! Walikuwa wamesimama mduara katikati nilikuwepo mimi na boo pashal! Nikiwa bado naendelea kushangaa shangaa boss paschal alipiga goti pale mbele yangu huku mkononi kwake akiwa ameshikilia pete aliniuliza pendo are you ready to be mine!? Machozi yalianza kunimwagika taratibu nilianza kurudi nyuma watu wote pale walianza kunishangaa like mmmhhhh anawezaje kumkataa mwanaume kama huyu!? Mwanaume ana sura nzuri, anajua kupangilia mavazi yake! Ni msomi ana body fulani hivi ya jim anamiliki mali nyiingi na ana pesa za kutosha pendo anataka kufanya nini!? Pendo please nakuomba useme ndiyo aliniambia paschal huku akiwa ananitizama kwa macho ya upole! Sikutaka kutokee aibu pale mbele za wafanyakazi wake na marafiki zake ilinibidi niifiche tu ile aibu pale nilimwambia yes darling i'm ready to be yours! Watu weweeeeeeeeeee walipiga makofi na vigeregere huku paschal akiwa anaizamisha ile pete ya uchumba kidoleni kwangu! Machozi yalizidi kunitirilika nilikuwa najiuliza hivi ninafanya nini hiki!? Watu walizania huenda ni machozi ya furaha lakini yalikuwa ni machozi ya maumivuu ya kudhurumiwa penzi la yule mwanaume ninayempenda! Baada ya kunivisha pete paschal alinifuta yale machozi kisha akanikumbatia baada ya hapo tilikiss ππililetwa cake pale tulikata tukalishana na kuwalisha wageni wote wiokuwepo mahali pale! Baada ya hapo boss paschal aliniambia mine nina kitu kingine kidogo tu kwa ajiri yako!
Alinikumbatia na kuniambia tayari nimeshawaandaa wazee wa kuwatuma nyumbani kwenu ucjali nakuahidi baada tu ya washenga kupeleka barua kwenu nakuahidi mimi nitakuja kujitambulisha kwenu nitoe mahali tarehe ya ndoa ipangwe ili mimi niweze kukuoa wewe! Nilinyamaza tu sikuweza kumjibu paschal kitu chochote sikutaka hata awatume hao wazee kwa sababu nilitamani azipate taarifa za ndoa yangu nikiwa tayari nimeshaondoka hapa nchini sikutaka nishuhudie vile atakavyoumia pale atakapoujua ukweli juu ya ndoa yangu na hakim! Nilikumbuka vile mama yake paschal alivyoniombaga niwe furaha ya mtoto wake ili aweze kusahau maumivu ya kuondokewa na yule aliyekuwaga mpenzi wake! Mama paschal aliniomba niweze kuwa mke kwa mtoto wake na niwaunganishe mika na paschal kuwa kitu kimoja lakini hakuna hata kitu kimoja nilichokifanikiwa najiona mimi ndo nitaenda kuyavuruga kabisa maisha ya paschal kusema kweli niliumia mnoπ₯π₯ boss paschal alinishika mkono wangu tukaongozana na watu wote waliokuwa wamehudhuria kwenye sherehe ile hadi kule nyuma ya nyumba kule ilikuwepo gari mpya nzuri sana kali kinoma pashal aliniambia mine hii ni kwa ajiri yako kule kwenye gari kulikuwepo na maua paschal aliyachukua akanikabidhi tulikumbatiana huku tukiwa tunashangiliwa na wale wageni waalikwa! Nilimwambia boo asante et nimefurahi sana thank you so much alismile boo wangu kisha akaniambia kuanzia leo utaanza kudrive hautopanda tena daradara kwenda ofisini wala kwenye mishe mishe zako zingine! Baada ya kukabidhiwa ile gari tulienda zetu kupata chakula chakula nafsi ilikuwa inanisuta sanaπ₯π₯
Tulikula tulikunywa lakini kusema kweli sikuwa na furaha yoyote ile zaidi ni maumivu tu kile kiparty kilikuwa kizuri sana kilikuwa ni cha muda mfupi cha kizungu sana kiliandaliwa fresh kilikuwa amazing sana! Baada ya chakula watu wote waliondoka pale nyumbani kwa paschal tulibakia sisi peke yetu!
""How do you feel mine!? Aliniuliza paschal aliyeonekana kuwa na furaha isiyoelezeka najisikia vizuri sana darling asante sana kwa kila kitu etππ lakini mbona ni kama vile haujafurahia!?! No baby nimefurahi sana nilimwambia hivyo huku nikiwa najichekesha chekesha ili kumwaminisha paschal ya kwamba mimi nina furaha make alishaanza kunistukia! Aliniomba twende chumbani kwake mara moja alinishikilia mkono tukawa tumepandisha juu chumbani kwake tumefika pale chumbani pashal si akaanza kunipapasaππ alf mzigo wake kwenye suruali tayari hali ilikuwa siyo nzuri alikuwa kadindisha etππ
alianza kuninyonya mate mdomoni huku akiwa anavipapasa vichuchu vyangu hali yake ilizidi kuwa mbaya na siyo yeye tu mimi ndo kabisa nilitamani tu anichomekee hogo anisugue hadi nitubuππ nilikuwa na genye kiasi kwamba kila nikimuona boss paschal tu napata muwasho huko kwenye papuchπππ yuko lomanticππ vile alikuwa akininyonya kwenye nyonyo ninitamani kukojoaaaaaa nilishindwa vumilia nikaanza kuililia dudu nilimuomba anitie kwa sababu nilikuwa na hamu sanaππ alf mjue my wenu pamoja na utundu wangu wote lakini bado nilikuwa bikraππ kipoch manyoya changu kilikuwa hakijawahi kuliwa na mtu boo paschal alinivua nguo zangu zote akaanza kuniandaa jomon mie niliona kule kuninyonya ni kunichelewesha nilimbinulia kitumbua nikamwambia baby please fuck meππ alianza kunisugua taratibu pale kwenye mashavu ya k jomon nilipata utamuππ kuna vile alikuwa ananisugua na kidole chake nilihisi kuchizika kwa utamuπππ nilimuomba anitie et nilitamani anisugue hadi niombe pohππ niliishika mboo ya boo nikaanza kuichezea nilikuwa najisugua sugua pale kati kwenye utamu wangu boo alikuwa anaugulia kwa utamuππ
Taratibu alianza kuniingizia nilikaza mwiliππ alipambana kuichomeka lakini zigo likawa haliingii ndani paschal aliniangaliaπππ hakuamini kama anachokiona ni kweli au ni ndotoππ pendo wewe ni bikra!? Aliniuliza huku akiwa ananitizama machoni kwanguππ nilivuta blanket nikajifunika niliona aibuππ boo alinitolea ule blanket akauweka pembeni then akaniambia usiogope mke wangu wala sitokuumiza sawa mama nitakutia taratibu utapata utamu nakuomba usikaze mwili achia miguu yako nakuingizia kidogo tu mpenzi nakupenda nakupenda sana pendo wangu nisamehe kwa kuwa nimehitaji hivi kabla ya ndoa kiukweli nimezidiwa sana mamangu boo aliniambia hivyo kisha aliinama pale kwenye k nakuanza kupanyonya kwa hisia sanaππ nilikuwa nasikia utamu ulionifanya nimkojolee boo mdomoni kwakeπππ
nilipokwisha shusha kojo boo alinizamishia kichwa chote na kuanza kunitia taratibu huku akiwa ananibembeleza jomon anajua kutombaππ the way alivyokuwa ananisugua huku akiwa anayafumba macho yake kwa utamu mimi huku nilikuwa nazidi kupata hisia za kuendelea kutiwa tu by the way bikra yangu nilihisi maumivu lakini siyo kivileeee yalikuwa ya muda mfupi tu na wala sikutoa damu ila ndo vile tu siku ya kwanza ni ya kwanza tu zigo lazima ulisikilizie lilivyo zito......ilifikia hatua boo akawa ananisugua huku akiwa anaililia k yangu the way ilivyohotππ nilijisikia raha sana kumuona vile alivyopagawa na utamu wangu ππ nilitamani kuifinyia kwa ndani ili achanganyikiwe zaidi lakini nilishindwaπ boo alianza kuzamisha dudu yote huku akiwa ananipa mate mdomoni kwangu jomon ilikuwa nzito ile lakini nilijikaza tuππ kuna muda nilitamani kupiga hata yowe mlinzi aje kunisaidia lakini naanzajeπ nililiwa siku hiyo hadi nikaanza kutetemeka miguu boo kila akikojoa kitu bado imesimama dede jamani alinitia hadi nikalia etπ₯Ήπ₯Ή mme wangu nimechoka naomba basi nipumzikeπ₯² nilimwambia huku nikiwa nalia nakumbuka alikuwa kanipaka kiunoni kwake nikaikalia then akanibeba akasimama na mimi alikuwa ananisugua hadi nilianza kuona kizunguzunguππ niliona cheche za moto etπππ yani hadi palianza kuwaka moto pakaja pakakauka ikabidi atumie mafuta vile amenishusha chini kaenda kuchukua mafuta mie nikakimbia kwenda kujifungia chooni akuuuu bao la tano lile ilikuwa na bado jogoo hajalala πππ niache kukimbia kitumbua kinyofoleweπππ vile nimejifungia chooni nilianza kuwaza juu ya kurudi nyumbani make ilishafika saa sita za usiku nikilala kwa paschal nyumbani naenda kuwaambia niniππ cm nimezima najua watanipigia mno! Boo alinibembeleza nikamfungulia mlango alikuja washingroom tukaoga aliniambia the way nilivyomtamu nilikuwa namuonea aibu kanikula etππ usiku ule nilimwambia paschal kuwa ni lazima nirudi nyumbani wazazi wangu wakigundua kuwa siko kwa Hakim wataniletea nomaπ₯π₯ Hakim!? Hakim gani baby!?
Itaendeleaaaaaaaaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi