AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ππ NO 32ππ
Niliongozana na hakim hadi katika mlango wa kile chumba alichokuwa amekilipia alifungua akaweka mabag ndani mimi nilibakia nimeganda tu mlangoniππ sikutaka kuingia kule katika kile chumba hakim alivyomaliza kuweka mabag alikuja pale mlangoni akanibeba juuπ«£π«£ karibu kipenzi changu nimekuleta huku ili upate kunizoea kwa sababu naona hauko free sana na mimi! Aliniambia hivyo kisha alinipeleka chumbani akanilaza kitandani.......
""Pendo...""
""Abee""
""Kuna namna fulani hivi natamani uwe pale unapokuwa karibu yangu lakini why haiwi kama ninavyotamani mimi?! Nimekuleta huku tukae wawili peke yetu tuongee kirafiki why hauko free juu yangu kwanini hauonyeshi kufurahia pale unapokuwa karibu na mimi??!.... hilo swali niliulizwa na hakimu nilitamani kufunguka nimwambie ukweli lakini niliwaza mara mbilimbili atajisikiaje?! Atalipokeaje?? Wazazi wangu watayapokeaje hayo maamuzi yangu!? Nilimjibu hakim nikamwambia ni vile tu cjakuzoea nikikuzoea tutakuwa marafiki! Alijaribu kunicare kwa kila kitu lakini tatizo ni moyo wangu upo kwa mtu mwingine tuliongea kidogo baada ya hapo tulitoka tukaenda kuenjoy usiku mida ya saa sita tulirudi chumbani nilifika pale chumbani nikaenda kukaa kwenye sofa hakim anifuata pale akaniambia kipenzi changu huwezi kunizoea endapo kama ukiendelea kujiweka mbali nami nakuomba uwe free kwangu et! Lakini hakim cwezi kukuzoea kwa haraka kiasi hiko unatakiwa unipe muda......
Basi naomba tuingie bafuni tukaoge wote baada ya hapo tutalala wote paale kitandani natamani usiku huu wa leo ukawe ni usiku wa kusheherekea mapenzi yetu nina imani ukishanipatia mwili wako hautoniogopa tena utakuwa free kwangu na utanizoea pia! Kheee kwa hiyo unamaanisha et mimi nawewe twende bafuni wawili?! Ndiyo my love sielewi hata unachokiogopa na wakati utaenda kuwa mke wangu hivi karibuni..... lakini bado hatujawa wanandoa hakim ni mahali pekee ndo kitu ulichonilipia lakini ndoa bado haijapita siwezi kukuruhusu wewe kuugusa mwili wangu kabla ya ndoa kupita..... lakini pendo mimi tayari ni mmeo nimeshakulipia mahali yani cjy hata ugumu uko wapi ?! Hakim alianza kunivua nguo kwa nguvu niliwaza nguvu za kupambana naye sina nafanyaje sasa ili nijiokoe mikononi mwa huyu shetani hapa nilijaribu sana kumzuia hakim lakini wapi sikuwa na nguvu za kutosha niliwaza kitumbua changu tena kiliwe na leo si nitakufa ni bora hata mlaji angekuwa ni paschal lakini siyo huyu mbakaji huyu..... hakim alifanikiwa kunichania nguo yangu niliyokuwa nimeivaa kifua chote kilibakia wazi alianza kunitomasa kifuani kwangu niliona hakim yuko serious kufanya kile alichokidhiria niliivuta cm yangu nikagusa kwenye fingerprint ikajitoa lock nilipiga kwa my boo
Vile ndo imeanza kuita hakim aliisikia ile simu akataka kuichukua tukaanza kuing'ang'ania alichokifanya hakimu aliipigiza ile simu sakafuni kila kitu kikasambaa niliogopa sana hakim aligeuka akawa mkali kama chui baada ya kunivunjia simu alinisogelea akanisukumia kitandani nikanyanyuka aliniwasha kibao kimoja kikali nikahisi kupoteza network.... nilianza kulia huku nikiwa namuita boo please help me naomba unisaidie boo wangu nakufa nililiaπ₯²π₯² hakim alininyanyua pale kitandani akaubana mdo wangu aliniuliza huyo boo ni nani?? Huyo ndo anayekufanya wewe ushindwe kunipenda mimi?? Hivi unajua kama nimekununua kwa pesa nyingi sana?! Hakim alianza kunipiga alinipiga mno nilivyo mweupe niligeuka nikawa mwekundu alitoa hadi mkanda wake akaanza kunipiga nao nikiwa nachupi tu pomoja na blezia ile nguo ya juu alinichania..... alinipiga hadi akatosheka baada ya hapo alirudia tena kuniuliza boo ni nani?? Nilimwambia boo ni mwanaume wangu unampenda right?? Nilimwambia ndiyo ninampenda.... nilikuwa nishajitoa mhanga tu kama kuniua aniue tu thats why niliamua kumjibu.....baada ya kumwambia kuwa ninampenda paschal na siyo yeye hakim alifungua bag yake akatoa bastola alinisogelea akaniambia nakuua pendo nilimwambia its okay hakim go aheadπ₯Ήπ₯Ή baada ya kumjibu hivyo alinyanyua ile bastola akataka kunipiga nayo kichwani lakini nilikinga mikono niliona yule mbwa yuko serious anaweza akaniua et ilibidi nimpigie magot nilimuomba anisamehe asije akaniua hakimu alinibeba juu juu akanitupia kitandani kama mzigo zile kelele nilizokuwa nazipiga kule chumbani ziliwaamsha waliokuwa kwenye vyumba vya jirani na chumba chetu! Walikwenda wakawaita walinzi ili waje kuangalia kinachoendelea kule chumbani ni kitu gani.....
Walinzi walikuja wakagonga mlango hakim alienda kufungua akawauliza mna shida gani?? Walimuomba awapishe ili waweze kuingia kuja kuangalia kama kule chumbani kuna usalama au laaa!?? Nilinyanyuka pale kitandani nikajifunika blanket nilijisogeza pale ili angalau wale walinzi waweze kunipa usaidizi wa mimi kuondoka kule chumbani hakim baada ya kuniona alinyanyua siraha yake juu aliniambia ukisogeza miguu yako hapo nakuua...... huyu ni demu wangu mimi nimemnunua hamuwezi kunipangia namna ya kumtumia..... baada ya hakim kujibu vile kila mtu pale aliondoka huku akiwa anajiuliza kumbe ni malaya?! Mabinti wa siku hizi bwana yani unakuta kibinti ni kidogo badala kisome au kitafute biashara halali kifanye vinakimbilia kwenye kujiuza matokeo yake ndo hayo sasa kupigwa na kudharilishwa ...... wale walinzi hata wao waliondoka lakini walimuomba hakim asifanye fujo tena kwa sababu anawasumbua wateja wao....... malizana naye huyo malaya buana kama vipi tutelekezee sisi huku nje tupunguze ukame kiongozi utakuwa umetusaidia sana mademu yanaringa hayo yanajiuza bei ghari ukiomba mkopo yanakunyima yani ulilipe ulilete hotel ya gharama kama hii alf et likuzingue aweee hata mimi nafumua twenzetu mwanangu muache jamaa kwanza amnyooshe huyo malaya wake kula ovyo vya watu.... waliongea walinzi wawili waliokuwa wamebakia pale mlangoni baada ya hapo waliondoka bila kunipatia msaada wowote!
Hakim alifunga mlango akarudi pale nilipokuwa aliniuliza hivi unajua kama tayari wazazi wako wameshakuuza kwangu?! Unatakiwa kufanya kila kitu ninachokitaka kwa sababu pesa ninazowadai wala hamtokaa muweze kuzilipa..... nilijiuliza kichwani huyu anaongea kuhusu nini?! Hakim kuna barua alizitoa akanionyesha zilikuwa ni barua za mkopo wa pesa nyingi sana ambazo wazazi wangu walizikopa kutoka kwenye campuni ya kina hakim ambayo inajishughurisha na maswala ya mikopo baada ya wazazi wangu kushindwa kulipa lile deni kwa muda mrefu ndo wakaamua kuniweka mimi rehani hakim aliniambia yeye na familia yake walikuja tanzania kwa ajiri ya kuja kuiuza nyumba yetu na mali zetu zingine ili kuweza kufidia hilo deni lakini baba yangu alivyomuona hakim aliwaomba wasifilisi vitu vyetu yeye ataniuza mimi kwao nikawe hata mke wa hakim baada ya wao kuombwa hivyo ndo wakaamua kufika nyumbani kwetu kuja kuniona kama kweli nafaa au laa?! Walivyoniona walinikubali nahapo ndipo walipoianzisha mipango ya harusi yangu na hakim...... nilisikitika sana niliumia sana nililia mno hakim aliniambia wewe ni wangu nina haki ya kukufanyia chochote kile nilishakununua pendo na hautakiwi kuendelea kuniletea ujuaji wako hapa!..... hakim alilock ule mlango wa chumbani akatunza funguo kwenye mfuko wa suruali yake aliniamuru niende nikaoge na nijiandae kwa ajiri ya kumfurahisha..... nilichukua towel nikavaa baada ya hapo nilijongea kuelekea bafuni mwili wote ulikuwa unaniuma fikilia yale maumivu ya kutolewa bikira jana jumlisha na kipigo cha hakim bila kusahau kudharilishwa alikonidharilisha hakim kwa kuniita malaya mbele ya wale walinzi pamoja na wageni waliokuwepo kwenye vyumba vya jirani na kile cha kwetu! Niliumia mno nilitamani kujiua usiku ule nilitamani kunywa sabuni ya maji iliyokuwemo kule chooni ili nife π₯Ήπ₯Ήπ₯Ή
Niliwaza kumbe ndo maana nilipomwambia daddy ya kwamba mimi simpendi hakim aliwaka kama moto nililia huku moyoni nikiwa naapia ya kwamba sitokaa nikawasamehe wazazi wangu kwa hiki walichonifanyia...... nawachukia sana najuta kuzaliwa na nyieπ₯Ήπ₯Ή huenda hata dada yangu prisca mlimuuza huko oman nyie ni wazazi wa aina gani mnaowageuza watoto kuwa vitega uchumiπ₯Ήπ₯Ή nilitamani nimpate boo paschal nimwelezee kile kinachoendelea kwa upande wangu ili aweze kunisaidia lakini je nampataje ndo hivyo tayari niko kwenye mikono ya hakim na tayari kaishanivunjia simu na laini zangu.....nikiwa bado naendelea kujihoji maswali hakim alinigongea mlango wa chooni aliniuliza unaoga masaa mangapi pendo?! Nilimuomba samahani nilipasha maji haraka nikaukanda mwili wangu sikuweza hata kuoga kwa sababu ya yale maumivu makali..... nilimaliza kujikanda nikajifuta futa vizuri nikatoka kule chooni nilirudi chumbani nikamkuta hakim kavua nguo zake kabakia na boxa tuπ₯Ήπ₯Ήπ₯Ήπ₯Ή
Itaendeleaaaaaaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi