Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Niliongozana na hakim hadi katika mlango wa kile chumba alichokuwa amekilipia alifungua akaweka mabag ndani mimi nilibakia nimeganda tu mlangoni😁😁 sikutaka kuingia kule katika kile chumba hakim alivyomaliza kuweka mabag alikuja pale mlangoni akanibeba juu🫣🫣 karibu kipenzi changu nimekuleta huku ili upate kunizoea kwa sababu naona hauko free sana na mimi! Aliniambia hivyo kisha alinipeleka chumbani akanilaza kitandani.......
""Pendo...""
""Abee""
""Kuna namna fulani hivi natamani uwe pale unapokuwa karibu yangu lakini why haiwi kama ninavyotamani mimi?! Nimekuleta huku tukae wawili peke yetu tuongee kirafiki why hauko free juu yangu kwanini hauonyeshi kufurahia pale unapokuwa karibu na mimi??!.... hilo swali niliulizwa na hakimu nilitamani kufunguka nimwambie ukweli lakini niliwaza mara mbilimbili atajisikiaje?! Atalipokeaje?? Wazazi wangu watayapokeaje hayo maamuzi yangu!? Nilimjibu hakim nikamwambia ni vile tu cjakuzoea nikikuzoea tutakuwa marafiki! Alijaribu kunicare kwa kila kitu lakini tatizo ni moyo wangu upo kwa mtu mwingine tuliongea kidogo baada ya hapo tulitoka tukaenda kuenjoy usiku mida ya saa sita tulirudi chumbani nilifika pale chumbani nikaenda kukaa kwenye sofa hakim anifuata pale akaniambia kipenzi changu huwezi kunizoea endapo kama ukiendelea kujiweka mbali nami nakuomba uwe free kwangu et! Lakini hakim cwezi kukuzoea kwa haraka kiasi hiko unatakiwa unipe muda......

Basi naomba tuingie bafuni tukaoge wote baada ya hapo tutalala wote paale kitandani natamani usiku huu wa leo ukawe ni usiku wa kusheherekea mapenzi yetu nina imani ukishanipatia mwili wako hautoniogopa tena utakuwa free kwangu na utanizoea pia! Kheee kwa hiyo unamaanisha et mimi nawewe twende bafuni wawili?! Ndiyo my love sielewi hata unachokiogopa na wakati utaenda kuwa mke wangu hivi karibuni..... lakini bado hatujawa wanandoa hakim ni mahali pekee ndo kitu ulichonilipia lakini ndoa bado haijapita siwezi kukuruhusu wewe kuugusa mwili wangu kabla ya ndoa kupita..... lakini pendo mimi tayari ni mmeo nimeshakulipia mahali yani cjy hata ugumu uko wapi ?! Hakim alianza kunivua nguo kwa nguvu niliwaza nguvu za kupambana naye sina nafanyaje sasa ili nijiokoe mikononi mwa huyu shetani hapa nilijaribu sana kumzuia hakim lakini wapi sikuwa na nguvu za kutosha niliwaza kitumbua changu tena kiliwe na leo si nitakufa ni bora hata mlaji angekuwa ni paschal lakini siyo huyu mbakaji huyu..... hakim alifanikiwa kunichania nguo yangu niliyokuwa nimeivaa kifua chote kilibakia wazi alianza kunitomasa kifuani kwangu niliona hakim yuko serious kufanya kile alichokidhiria niliivuta cm yangu nikagusa kwenye fingerprint ikajitoa lock nilipiga kwa my boo

Vile ndo imeanza kuita hakim aliisikia ile simu akataka kuichukua tukaanza kuing'ang'ania alichokifanya hakimu aliipigiza ile simu sakafuni kila kitu kikasambaa niliogopa sana hakim aligeuka akawa mkali kama chui baada ya kunivunjia simu alinisogelea akanisukumia kitandani nikanyanyuka aliniwasha kibao kimoja kikali nikahisi kupoteza network.... nilianza kulia huku nikiwa namuita boo please help me naomba unisaidie boo wangu nakufa nililiaπŸ₯²πŸ₯² hakim alininyanyua pale kitandani akaubana mdo wangu aliniuliza huyo boo ni nani?? Huyo ndo anayekufanya wewe ushindwe kunipenda mimi?? Hivi unajua kama nimekununua kwa pesa nyingi sana?! Hakim alianza kunipiga alinipiga mno nilivyo mweupe niligeuka nikawa mwekundu alitoa hadi mkanda wake akaanza kunipiga nao nikiwa nachupi tu pomoja na blezia ile nguo ya juu alinichania..... alinipiga hadi akatosheka baada ya hapo alirudia tena kuniuliza boo ni nani?? Nilimwambia boo ni mwanaume wangu unampenda right?? Nilimwambia ndiyo ninampenda.... nilikuwa nishajitoa mhanga tu kama kuniua aniue tu thats why niliamua kumjibu.....baada ya kumwambia kuwa ninampenda paschal na siyo yeye hakim alifungua bag yake akatoa bastola alinisogelea akaniambia nakuua pendo nilimwambia its okay hakim go aheadπŸ₯ΉπŸ₯Ή baada ya kumjibu hivyo alinyanyua ile bastola akataka kunipiga nayo kichwani lakini nilikinga mikono niliona yule mbwa yuko serious anaweza akaniua et ilibidi nimpigie magot nilimuomba anisamehe asije akaniua hakimu alinibeba juu juu akanitupia kitandani kama mzigo zile kelele nilizokuwa nazipiga kule chumbani ziliwaamsha waliokuwa kwenye vyumba vya jirani na chumba chetu! Walikwenda wakawaita walinzi ili waje kuangalia kinachoendelea kule chumbani ni kitu gani.....

Walinzi walikuja wakagonga mlango hakim alienda kufungua akawauliza mna shida gani?? Walimuomba awapishe ili waweze kuingia kuja kuangalia kama kule chumbani kuna usalama au laaa!?? Nilinyanyuka pale kitandani nikajifunika blanket nilijisogeza pale ili angalau wale walinzi waweze kunipa usaidizi wa mimi kuondoka kule chumbani hakim baada ya kuniona alinyanyua siraha yake juu aliniambia ukisogeza miguu yako hapo nakuua...... huyu ni demu wangu mimi nimemnunua hamuwezi kunipangia namna ya kumtumia..... baada ya hakim kujibu vile kila mtu pale aliondoka huku akiwa anajiuliza kumbe ni malaya?! Mabinti wa siku hizi bwana yani unakuta kibinti ni kidogo badala kisome au kitafute biashara halali kifanye vinakimbilia kwenye kujiuza matokeo yake ndo hayo sasa kupigwa na kudharilishwa ...... wale walinzi hata wao waliondoka lakini walimuomba hakim asifanye fujo tena kwa sababu anawasumbua wateja wao....... malizana naye huyo malaya buana kama vipi tutelekezee sisi huku nje tupunguze ukame kiongozi utakuwa umetusaidia sana mademu yanaringa hayo yanajiuza bei ghari ukiomba mkopo yanakunyima yani ulilipe ulilete hotel ya gharama kama hii alf et likuzingue aweee hata mimi nafumua twenzetu mwanangu muache jamaa kwanza amnyooshe huyo malaya wake kula ovyo vya watu.... waliongea walinzi wawili waliokuwa wamebakia pale mlangoni baada ya hapo waliondoka bila kunipatia msaada wowote!

Hakim alifunga mlango akarudi pale nilipokuwa aliniuliza hivi unajua kama tayari wazazi wako wameshakuuza kwangu?! Unatakiwa kufanya kila kitu ninachokitaka kwa sababu pesa ninazowadai wala hamtokaa muweze kuzilipa..... nilijiuliza kichwani huyu anaongea kuhusu nini?! Hakim kuna barua alizitoa akanionyesha zilikuwa ni barua za mkopo wa pesa nyingi sana ambazo wazazi wangu walizikopa kutoka kwenye campuni ya kina hakim ambayo inajishughurisha na maswala ya mikopo baada ya wazazi wangu kushindwa kulipa lile deni kwa muda mrefu ndo wakaamua kuniweka mimi rehani hakim aliniambia yeye na familia yake walikuja tanzania kwa ajiri ya kuja kuiuza nyumba yetu na mali zetu zingine ili kuweza kufidia hilo deni lakini baba yangu alivyomuona hakim aliwaomba wasifilisi vitu vyetu yeye ataniuza mimi kwao nikawe hata mke wa hakim baada ya wao kuombwa hivyo ndo wakaamua kufika nyumbani kwetu kuja kuniona kama kweli nafaa au laa?! Walivyoniona walinikubali nahapo ndipo walipoianzisha mipango ya harusi yangu na hakim...... nilisikitika sana niliumia sana nililia mno hakim aliniambia wewe ni wangu nina haki ya kukufanyia chochote kile nilishakununua pendo na hautakiwi kuendelea kuniletea ujuaji wako hapa!..... hakim alilock ule mlango wa chumbani akatunza funguo kwenye mfuko wa suruali yake aliniamuru niende nikaoge na nijiandae kwa ajiri ya kumfurahisha..... nilichukua towel nikavaa baada ya hapo nilijongea kuelekea bafuni mwili wote ulikuwa unaniuma fikilia yale maumivu ya kutolewa bikira jana jumlisha na kipigo cha hakim bila kusahau kudharilishwa alikonidharilisha hakim kwa kuniita malaya mbele ya wale walinzi pamoja na wageni waliokuwepo kwenye vyumba vya jirani na kile cha kwetu! Niliumia mno nilitamani kujiua usiku ule nilitamani kunywa sabuni ya maji iliyokuwemo kule chooni ili nife πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή

Niliwaza kumbe ndo maana nilipomwambia daddy ya kwamba mimi simpendi hakim aliwaka kama moto nililia huku moyoni nikiwa naapia ya kwamba sitokaa nikawasamehe wazazi wangu kwa hiki walichonifanyia...... nawachukia sana najuta kuzaliwa na nyieπŸ₯ΉπŸ₯Ή huenda hata dada yangu prisca mlimuuza huko oman nyie ni wazazi wa aina gani mnaowageuza watoto kuwa vitega uchumiπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilitamani nimpate boo paschal nimwelezee kile kinachoendelea kwa upande wangu ili aweze kunisaidia lakini je nampataje ndo hivyo tayari niko kwenye mikono ya hakim na tayari kaishanivunjia simu na laini zangu.....nikiwa bado naendelea kujihoji maswali hakim alinigongea mlango wa chooni aliniuliza unaoga masaa mangapi pendo?! Nilimuomba samahani nilipasha maji haraka nikaukanda mwili wangu sikuweza hata kuoga kwa sababu ya yale maumivu makali..... nilimaliza kujikanda nikajifuta futa vizuri nikatoka kule chooni nilirudi chumbani nikamkuta hakim kavua nguo zake kabakia na boxa tuπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή

Itaendeleaaaaaaaa
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜


Niliongozana na hakim hadi katika mlango wa kile chumba alichokuwa amekilipia alifungua akaweka mabag ndani mimi nilibakia nimeganda tu mlangoni😁😁 sikutaka kuingia kule katika kile chumba hakim alivyomaliza kuweka mabag alikuja pale mlangoni akanibeba juu🫣🫣 karibu kipenzi changu nimekuleta huku ili upate kunizoea kwa sababu naona hauko free sana na mimi! Aliniambia hivyo kisha alinipeleka chumbani akanilaza kitandani.......
""Pendo...""
""Abee""
""Kuna namna fulani hivi natamani uwe pale unapokuwa karibu yangu lakini why haiwi kama ninavyotamani mimi?! Nimekuleta huku tukae wawili peke yetu tuongee kirafiki why hauko free juu yangu kwanini hauonyeshi kufurahia pale unapokuwa karibu na mimi??!.... hilo swali niliulizwa na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-no-32

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-no
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 26πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 26πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

642
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

495
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

282
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

212
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

85
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest