AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ππ NO 26ππ
Baada ya kuwasalimia wale wageni pale sebleni nilitoka Mimi na Shangazi tukaelekea chumbani kwangu nilikuwa na mawazo Hadi kichwa kilishaanza kuniumaππ Aunt...... Shhhhhhπ€«π€« hapa hakuna Cha kushtukizwa Wala mdogo wake na kushtukizwa najua unachotaka kusema ni hikohikoππ jiandae tu Kwa ajiri ya ndoa we si unaiona hiyo familia jinsi ilivyo ni watu wenye pesa hebu angalia sura ya huyo mwanaume anayeenda kukuoa Binti yangu ni bonge la bwana heheiyaaaa haloooo toto la kiiraq unaenda kutulia zako South Africa kama nakuona Binti yanguπ₯°π₯° Aunt alizidi kuongea pale huku akiwa anapiga vigeregere Kwa shangwe na furaha kubwa sana lakini Kwa upande wangu sikufurahia hata kidogo! Kichwani kwangu nilikuwa namuwaza Boo Paschal mwanaume ambaye moyo wangu ulimpenda tangu siku ya kwanza tu nilivyomuona!
Nakumbuka baada ya mazishi ya Madame Nancy ambaye ni mama yake na Paschal zilipita siku 14 na baada ya Hapo Paschal na baba yake waliondoka kuelekea nchini marekani ambako ndiko liliko chimbuko la ukoo wa baba yake na Paschal! Na hata wazazi wa Paschal makazi Yao ilikuwa ni USA huku Tanzania walikuja kuwatembelea ndugu wa upande wa Madame Nancy pamoja na kijana wao Paschal ambaye biashara zake aliziwekeza zaidi nchini Tanzania! Paschal aliondoka kwenda marekani Kwa ajiri ya kwenda kupumzika alienda pia kuangalia kama ataweza kupata eneo zuri Ili aweze kuihamishia campuni yake huko USA baba yake alimuomba ahamie nchini marekani Kwa kuwa hataki Tena kuendelea kumuacha huku Tanzania anahofia kumpoteza kama ilivyokuwa Kwa mama yake! nakumbuka Boss Paschal aliniahidi ya kwamba pale atakaporudi Tanzania basi atakuja kunichumbia rasmi na kunivisha Pete ya uchumba Ili tuweze kuweka wazi uhusiano wetu Kwa ndugu Jamaa na marafiki na Baada ya hapo tuweze kufunga ndoa! Na kwenda kuyaanza maisha mapya huko nchini marekani!
Hapana Aunt mtanisamehe lakini siwezi kuolewa na Hakim π’π’ Pendo Kwa hiyo unataka kubishana na sisi wazazi wako!? Unataka laana yetu au kipi unachokitafuta!? Hutaki kuolewa unataka kuowa!? Tushapokea zawadi na mahali kutoka Kwa bwana harusi hapa kinachosubiliwa ni ndoa tu full stop! Aunt aliniambia hivyo Kisha akawa ametoka kule chumbani Kwangu huku akiwa anapiga vigeregere! Niliufunga ule mlango wa chumbani kwangu nikachukua simu Yangu nikamtafuta Boss Paschal! Kwa njia ya video call!
""Hell Boo π’π’""
""Hello mine""
"" I miss you Boo ""
""Miss you more baby but nitacome kama siku tatu zijazo mbele''"
""It's ok darling tafadhari usichelewe! Ukichelewa hautonikuta Boo please nakuomba uje hata kesho""
""What is going on Pendo please baby stop crying and tell me the truth Kuna nini et!? Nini kimetokea!? π₯Ίπ₯Ί""
""Boo I need you to be my husband I don't want anyone Nakuomba uje Mimi nakupenda wewe natamani wewe ndo uwe Mme wanguπ’""
""Oh it's okay baby I know right and I love you I'll be your husband ok!? Please don't worry baby wangu usilie basi nitakuja Kwa ajiri Yako nakupenda zaidi mamaa nakuahidi nitakuoa na nikirudi Tanzania nitakuja kukuchumbia umesikia mamangu haya Naomba ufute machozi Yako kipenzi changu please baby stop crying you know how much I love you I love you baby I love you""
""Love you more baby I love you more boy I love you more and more ππ""
Sikumwambia kama tayari Kuna watu wameshafika nyumbani kwetu kunichumbia Mimi alinibembeleza akanisihi ya kwamba baada ya siku mbili tatu atarudi Tanzania! Kabla cjamaliza kuongea na Paschal mama yangu alinigongea mlango! Pendo fungua mlango Binti Yangu! Hey darling see you later bye I love you bye π’π’ nilikata simu Baada ya hapo nilijifuta machozi haraka then nilikwenda kumfungulia Mom aliniambia niende nikawapatie wageni chakulaππ nilitoka nikaambataa naye Hadi jikoni tayari walikuwa wameshapakua ilibakia kwenda kupanga mezani nilikibeba kile chakula Kwa heshima nikapeleka mezani nilikipanga vizuri sana kikakaa katika muonekano mzuri sana Hakim alishika simu yake akawa ananirecord vile nilivyokuwa nakiweka kile chakula katika staili nzuri inayovutia! Baada ya kumaliza kupanga chakula niliwakaribisha Kwa heshima sana walinawa baada ya Hapo Kila Mmoja alijisevia kipenda roho nikiwa naondoka pale sebleni Hakim aliniomba samahani Naomba unisevie chakula kwenye sahani yangu! Nilismile then taratibu Kwa umakini nikaanza kupakua chakula vizuri kutoka kwenye hotpot kukiweka kwenye sahani ya Hakim nilikiweka chakula vizuri baada ya Hapo nilimkaribisha nilifanya Kwa staha sana make nilijua pale kinachoendelea kutafutwa ni point kama kweli ni wife material au laaa! Baada ya kumkaribisha Hakim chakula wale wazee wote walisimile then walimpongeza baba yangu pale mbele yangu walimwambia hongera π€ unajua kulea baba yangu alifurahi sana na hata wale wazee walifurahi sana baada ya Hapo watu wote pale walianza kula! Baada ya Chakula nilikwenda kuondoa vyombo Kisha nikasafisha meza nilipomaliza wale wakwe waliniita walinipatia marundo ya pesa kama zawadi ya kuwa na adabu pamoja na tabia njema! Nilipokea Kisha nikawashukuru sana! Nilianza kuondoka kuelekea chumbani kwangu lakini Hakim aliniita nilirudi Hadi pale alipokuwa amekaa Hakim alitoa kibox Fulani hivi kizuri sana akawa amenikabidhi huku akiwa anasmile aliniomba niende nikaifungue zawadi yangu Alf baada ya Hapo nitarudi kuja kuwatoa Ili waweze kuondoka!
Thank you Thank you Hakim π€nilimshukuru Kisha nikaondoka kuelekea chumbani kwangu nilifika nikaviweka vile vitu kitandani baada ya Hapo niliichukua simu yangu nakuanza kuzitizama picha za boss wangu Paschal nampenda I love him much ππ Yuko katika moyo siko tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi yake yeye nitafanyaje Mungu wangu mbona huu mtihani unakuwa mgumu kwangu boo I love you I Love you so much hisia zangu ziko kwako itakuwaje Sasaπ’π niliongea Kwa sauti huku nikiwa naendelea kuzitizama picha zake! Mara mlango wa chumbani kwangu ulisukumwa aliingia shangazi alisogea pale nilipokuwa nimekaa aliniambia umeona Sasa nilichokwambia nimekwambia mwanangu hiyo familia ni Rich family unaona mipesa hiyoππ cheki hiyo zawadi aliyokupatia mmeo mtarajiwa hebu ifungue tuone
Shangazi alinikabidhi kile kibox Cha zawadi aliyonipatia Hakim nikawa nimeifungua huko ndani nilikutana na saa nzuri sana shangazi aliichukua Ile saa akanivisha mkononi kwangu unatakiwa uivae mkononi kwako Ili akuone ukiwa umeivaa aliniambia aunt yangu Ile saa ilinipendeza sana haya twende ukawaage wageni tayari tarehe ya ndoa yenu imeshapangwa kilichobakia ni card tu kuandikwa na kuchapishwa! Imebidi tuipeleke Kwa haraka Kwa sababu mmeo mtarajiwa pamoja na familia yake watakuwa hapo Serena hotel wakisubilia Wewe na Hakim muweze kufunga ndoa Ili muondoke pamoja kuelekea South Africa Kesho nazani ni siku ambayo wewe na Hakim mtaenda hospital Kwa ajiri ya check up na baada ya vipimo card za harusi zitaandikwa na kuchapishwa then zitasambazwa Kwa watu wachache tu haitokuwa sherehe kubwa mwanangu sherehe kubwa mtaenda kuifanyia huko South Africa!
Shangazi yangu aliendelea kunipatia mipango yote iliyopangwa kwenye hicho kikao kati ya familia yangu na familia ya Hakim......
Tukutane hapo badae Katika sehemu inayofuata........
Itaendeleaaaa...........
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi