AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ππ NO 29ππ
Daddy alizidi kuwaka usiku ule Yani aliongea ilibakia kidogo tu anipatie laana lakini Mom alisimama akamwambia tafadhari acha ameshasikia hawezi kukaidi Tena amri Yako usije ukampa Mtoto laana nakuomba ππ daddy nakuomba unisamehe Niko tayari kuolewa na Hakim hapakuwepo na namna ilinibidi nikubali kuolewa na Hakim Ili kuzishusha hasira za baba Yangu! Niliondoka pale sitting nikaelekea chumbani kwangu nilichukua simu yangu nikawasha data nilikuta Boss Paschal kanitumia msg nyingi mno alikuwa ananiomba niingie online! Baada tu ya kuwasha data Paschal alinipigia.....
""Mine are you okay!?""
""Boo I'm not okay""
""What happened!?""
""I can't even explain""
""Pendo Tell me something You scare meπ₯Ήπ₯Ή""
""Any way nakuomba ruhusa kesho sitoweza kwenda kazini pia usije ukashangaa Kwa sababu huenda ndo nimeshaacha kazi hivyo!"
""What is there!?""
""Nilianza kulia nikashindwa kuongea na Paschal nilizima data nikaweka simu pembeni nilijifunika gubi gubi nikaendelea kulilia kwenye mashuka na mito hisia zangu zimedhurumiwa kutoka Kwa mwanaume ninayempenda hivyo ndivyo nilivyokuwa najiambia kichwani kwangu! Pendo mwanangu hebu amka tuongee alikuwa ni mama yangu aliyekuja chumbani kwangu usiku wa manane baada ya kuwa Daddy ameshasinzia! Mwanangu nimeshindwa kabisa kusinzia nimehofia maisha Yako baba Yako amekukaripia sana hajawahi kuwa mkali kwako kiasi hicho tafadhari nakuomba uniahidi ya kwamba hautojidhuru kutokana na Yale maneno makali aliyokutamkia baba Yako! Usijali mama we nenda ukalale Mimi Niko sawa!
Pendo lakini ulikosea sana kumwambia baba Yako et tayari wewe una mwanaume wako ambaye unampenda na ilihali hapa nyumbani hatujawahi kumuona mwanaume yoyote kaja kukuchumbia tofauti na Hakim! Hebu nikuulize huyo mwanaume mwenyewe ni nani!? Mama Mimi nampenda sana boss Paschal nieleweni tafadhari nampenda etπ₯Ήπ₯Ή
Boss Paschal π³π³ yule wa kufoka foka !? Yule aliyekufokea tangu siku ya kwanza tu mlivyoonana!? Kumbe ndo maana alikuja kutuokoa kutoka mikononi Kwa Mika!? Ndiyo maana alileta Hadi ulinzi wa CCTV camera nyumbani hapa Kumbe yote alifanya Kwa sababu Yako!? Ndiyo Mom nampenda ππ haya ulianza kumpenda lini!? Hebu kwanza nikuulize hivi huko ndani tayari wameshaanza kukuchunguliamo Kwa hiyo hata huyo boss wako tayari umeshalala naye!? Mama hapana tunapendana lakini hatujawahi kufanya chochote! Una uhakika ya kwamba na yeye yuakupenda wewe!? Ndiyo Mom ananipenda! Sikiza nikushauri kitu Binti yangu bahati kama hii unayotaka kuikataa utakuja kuijutia Alf siyo lazima uolewe na mwanaume unayempenda kikubwa ni kuwa yeye anakupenda wewe Naomba uachane na huyo boss wako wa kufokafoka huyo hakupendi ila wewe ndo unayempenda yeye! Mapenzi Yako hivyo mwanangu unayempenda hakupendi na anayekupenda humpendi! Acha kutafuta uhasama na baba Yako olewa na Hakim mpate baraka zetu!
Mama alinishauri hivyo baada ya Hapo aliniaga akarudi chumbani kwake nililala kesho yake mapema Hakim alinipigia Simu Kwa video call sikupokea ππ nilizima data nikaweka simu hapoππhata baada ya Mimi kuzima data Bado hakuacha baada ya Mimi kuzima data alipiga kawaida sikupokea! Alinitumia Msg....
""how did you wake up my love!? And why don't you answer my texts that I sent you since last night !? Au Bado una hasira Kwa kile kilichotokea Jana!? ""
""I'm sorry I'm not even angry but ni vile tu Jana niliwahi kusinzia""
"" Ohk sweetheart nikuletee Nini as you know nitacam kukuchukua Kwa ajiri ya kuelekea hospital!""
""just anything""
""Okay, my queen, I will follow you""
""Okay ""
Nilijiandaa nikajiweka sawa baba yangu aliniita nilikwenda kumsikiliza aliniuliza Kwa mara ya mwisho unaolewa na Hakim au laa! Kama hauolewi naye vilete vitu vyao walivyokuzawadia Jana Ili akija hapa kukuchukua arudishiwe vitu vyake pamoja na mahari yake! aambiwe kuwa uchumba umeshindikana Alf ukishafanya hivyo utaondoka umfuate huyo mwanaume wako mkaishi huko hapa kwangu sikutaki Kabisa! Acha tu Daddy nitaolewa na Hakim π₯Ήπ₯Ή nilirudi chumbani kwangu nikaendelea kumsubilia Hakim kuja kunichukua! Haikupita muda Hakim na Jase walifika pale nyumbani kwetu walikaribishwa ndani nilitoka nikaenda wasalimia Hakim alisimama akaniwowπ«π« Kisha akanipatia mauaπΉπΉ niliyapokea nikaenda kuweka chooni kwanguπΉπΉ tuliondoka kuelekea hospital tulifanyiwa vipimo nilitamani hata Hakim apatikane na ngoma ilimradi tu nipate sababu ya kutengana nayeπΉπΉπ lakini Ndo basi Tena kaka wa watu hakukutwa hata na maraliaπ€£π€£π€£ ni msafi Kila KonaπΉπΉ Mimi nilipatikana na maralia nazani ni wale mbu walionitafuna kipindi tukiwa msibani Kwa mama yake na Paschal πΉπΉ nilianzishiwa Tiba ya maralia uwwww Hakim sangapi asianze kujipa majukumuππoh I'm so sorry my love how are you feeling tafadhari sogea ulale Hapa kifuani kwangu...... KheeeeπΉπΉ anayebembelezwa Sasaπ€Έπ»ββοΈπ€Έπ»ββοΈ tuliondoka pale hospital et nashangaa badala wanirudishe home si wakanipeleka hotel kule Serena hotel ππ
Vile tumefika parking et Hakim akanibebaππ et akapanda kwenye lift kuelekea chumbani kwake huku akiwa amenibebaππ et akawa ananibembeleza kuwa Mimi ni kagonjwa anatakiwa kunihandle vizuri ππ alinipeleka Hadi chumbani kwake akanilaza kitandani kwake aliagiza chakula Kwa ajiri ya launch Tukaletewa Juu
honey, please let me feed you and then you will drink medicineπ«°π«° After that you will restβοΈβοΈ in the evening I will take you home right!? It's okay Hakim But I can eat alone .......oh habit Naomba uniruhusu nikuhudumie unaumwa etπ₯°π₯° okayππ...... Alianza kunilisha lakini the way alivyokuwa ananilisha Mimi nilikuwa naimajini ni kama Boss Paschal ndiye anayenilishaπΉπΉ nilijikuta nimeikumbuka Ile siku aliyonilisha chakula boo Paschal kipindi tulipokuwa mbeya basi baada ya kumkumbuka paschal nilianza kusmile huku nikiwa nakula taratibu nilianza kuyapapasa mapaja ya Hakim Kwa kuzania kuwa yule ni Boss paschal..... Boo I like the way you feed me slowly the way you are romantic I love you my Boo πππ wow I Love you too habit ππ Baada ya Hakim kuongea si ndo akili zikarudi pale sasaπ³π€£π³ niliutoa mkono wangu haraka mapajani Kwa Hakimππ¬ nilitamani kumwambia kuwa hayo maneno hayamuhusu yeye lakini nikaona Wacha nivungeπΉπΉπΉ
Alimaliza kunilisha nikakaa kama nusu saa akanipatia dawa Baada ya Muda kidogo nililetewa juice ya matunda then Hakim alinilaza kifuani kwake akaniomba tupumzike nikiwa pale kifuani kwake si nikawasha data mie nilimumis paschal wangu vile nimewasha tu data simu ya boo ikaingia lile wenge na uoga nikakimbilia kubonyeza kile kidude Cha kukata kumbe ndo nimeipokea Ile video call π³π³π³
Itaendeleaaaa.......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi