Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Daddy alizidi kuwaka usiku ule Yani aliongea ilibakia kidogo tu anipatie laana lakini Mom alisimama akamwambia tafadhari acha ameshasikia hawezi kukaidi Tena amri Yako usije ukampa Mtoto laana nakuomba πŸ™πŸ™ daddy nakuomba unisamehe Niko tayari kuolewa na Hakim hapakuwepo na namna ilinibidi nikubali kuolewa na Hakim Ili kuzishusha hasira za baba Yangu! Niliondoka pale sitting nikaelekea chumbani kwangu nilichukua simu yangu nikawasha data nilikuta Boss Paschal kanitumia msg nyingi mno alikuwa ananiomba niingie online! Baada tu ya kuwasha data Paschal alinipigia.....
""Mine are you okay!?""
""Boo I'm not okay""
""What happened!?""
""I can't even explain""
""Pendo Tell me something You scare meπŸ₯ΉπŸ₯Ή""
""Any way nakuomba ruhusa kesho sitoweza kwenda kazini pia usije ukashangaa Kwa sababu huenda ndo nimeshaacha kazi hivyo!"
""What is there!?""
""Nilianza kulia nikashindwa kuongea na Paschal nilizima data nikaweka simu pembeni nilijifunika gubi gubi nikaendelea kulilia kwenye mashuka na mito hisia zangu zimedhurumiwa kutoka Kwa mwanaume ninayempenda hivyo ndivyo nilivyokuwa najiambia kichwani kwangu! Pendo mwanangu hebu amka tuongee alikuwa ni mama yangu aliyekuja chumbani kwangu usiku wa manane baada ya kuwa Daddy ameshasinzia! Mwanangu nimeshindwa kabisa kusinzia nimehofia maisha Yako baba Yako amekukaripia sana hajawahi kuwa mkali kwako kiasi hicho tafadhari nakuomba uniahidi ya kwamba hautojidhuru kutokana na Yale maneno makali aliyokutamkia baba Yako! Usijali mama we nenda ukalale Mimi Niko sawa!

Pendo lakini ulikosea sana kumwambia baba Yako et tayari wewe una mwanaume wako ambaye unampenda na ilihali hapa nyumbani hatujawahi kumuona mwanaume yoyote kaja kukuchumbia tofauti na Hakim! Hebu nikuulize huyo mwanaume mwenyewe ni nani!? Mama Mimi nampenda sana boss Paschal nieleweni tafadhari nampenda etπŸ₯ΉπŸ₯Ή

Boss Paschal 😳😳 yule wa kufoka foka !? Yule aliyekufokea tangu siku ya kwanza tu mlivyoonana!? Kumbe ndo maana alikuja kutuokoa kutoka mikononi Kwa Mika!? Ndiyo maana alileta Hadi ulinzi wa CCTV camera nyumbani hapa Kumbe yote alifanya Kwa sababu Yako!? Ndiyo Mom nampenda πŸ˜”πŸ˜” haya ulianza kumpenda lini!? Hebu kwanza nikuulize hivi huko ndani tayari wameshaanza kukuchunguliamo Kwa hiyo hata huyo boss wako tayari umeshalala naye!? Mama hapana tunapendana lakini hatujawahi kufanya chochote! Una uhakika ya kwamba na yeye yuakupenda wewe!? Ndiyo Mom ananipenda! Sikiza nikushauri kitu Binti yangu bahati kama hii unayotaka kuikataa utakuja kuijutia Alf siyo lazima uolewe na mwanaume unayempenda kikubwa ni kuwa yeye anakupenda wewe Naomba uachane na huyo boss wako wa kufokafoka huyo hakupendi ila wewe ndo unayempenda yeye! Mapenzi Yako hivyo mwanangu unayempenda hakupendi na anayekupenda humpendi! Acha kutafuta uhasama na baba Yako olewa na Hakim mpate baraka zetu!

Mama alinishauri hivyo baada ya Hapo aliniaga akarudi chumbani kwake nililala kesho yake mapema Hakim alinipigia Simu Kwa video call sikupokea πŸ˜”πŸ˜” nilizima data nikaweka simu hapo😏😏hata baada ya Mimi kuzima data Bado hakuacha baada ya Mimi kuzima data alipiga kawaida sikupokea! Alinitumia Msg....
""how did you wake up my love!? And why don't you answer my texts that I sent you since last night !? Au Bado una hasira Kwa kile kilichotokea Jana!? ""
""I'm sorry I'm not even angry but ni vile tu Jana niliwahi kusinzia""
"" Ohk sweetheart nikuletee Nini as you know nitacam kukuchukua Kwa ajiri ya kuelekea hospital!""
""just anything""
""Okay, my queen, I will follow you""
""Okay ""

Nilijiandaa nikajiweka sawa baba yangu aliniita nilikwenda kumsikiliza aliniuliza Kwa mara ya mwisho unaolewa na Hakim au laa! Kama hauolewi naye vilete vitu vyao walivyokuzawadia Jana Ili akija hapa kukuchukua arudishiwe vitu vyake pamoja na mahari yake! aambiwe kuwa uchumba umeshindikana Alf ukishafanya hivyo utaondoka umfuate huyo mwanaume wako mkaishi huko hapa kwangu sikutaki Kabisa! Acha tu Daddy nitaolewa na Hakim πŸ₯ΉπŸ₯Ή nilirudi chumbani kwangu nikaendelea kumsubilia Hakim kuja kunichukua! Haikupita muda Hakim na Jase walifika pale nyumbani kwetu walikaribishwa ndani nilitoka nikaenda wasalimia Hakim alisimama akaniwowπŸ«‚πŸ«‚ Kisha akanipatia maua😹😹 niliyapokea nikaenda kuweka chooni kwangu😹😹 tuliondoka kuelekea hospital tulifanyiwa vipimo nilitamani hata Hakim apatikane na ngoma ilimradi tu nipate sababu ya kutengana naye😹😹😌 lakini Ndo basi Tena kaka wa watu hakukutwa hata na maralia🀣🀣🀣 ni msafi Kila Kona😹😹 Mimi nilipatikana na maralia nazani ni wale mbu walionitafuna kipindi tukiwa msibani Kwa mama yake na Paschal 😹😹 nilianzishiwa Tiba ya maralia uwwww Hakim sangapi asianze kujipa majukumu😌😌oh I'm so sorry my love how are you feeling tafadhari sogea ulale Hapa kifuani kwangu...... Kheeee😹😹 anayebembelezwa SasaπŸ€ΈπŸ»β€β™€οΈπŸ€ΈπŸ»β€β™€οΈ tuliondoka pale hospital et nashangaa badala wanirudishe home si wakanipeleka hotel kule Serena hotel πŸ™„πŸ™„

Vile tumefika parking et Hakim akanibebaπŸ™„πŸ™„ et akapanda kwenye lift kuelekea chumbani kwake huku akiwa amenibebaπŸ™„πŸ™„ et akawa ananibembeleza kuwa Mimi ni kagonjwa anatakiwa kunihandle vizuri πŸ™„πŸ™„ alinipeleka Hadi chumbani kwake akanilaza kitandani kwake aliagiza chakula Kwa ajiri ya launch Tukaletewa Juu
honey, please let me feed you and then you will drink medicine🫰🫰 After that you will rest✌️✌️ in the evening I will take you home right!? It's okay Hakim But I can eat alone .......oh habit Naomba uniruhusu nikuhudumie unaumwa etπŸ₯°πŸ₯° okayπŸ™„πŸ™„...... Alianza kunilisha lakini the way alivyokuwa ananilisha Mimi nilikuwa naimajini ni kama Boss Paschal ndiye anayenilisha😹😹 nilijikuta nimeikumbuka Ile siku aliyonilisha chakula boo Paschal kipindi tulipokuwa mbeya basi baada ya kumkumbuka paschal nilianza kusmile huku nikiwa nakula taratibu nilianza kuyapapasa mapaja ya Hakim Kwa kuzania kuwa yule ni Boss paschal..... Boo I like the way you feed me slowly the way you are romantic I love you my Boo πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹ wow I Love you too habit πŸ’‹πŸ’‹ Baada ya Hakim kuongea si ndo akili zikarudi pale sasa😳🀣😳 niliutoa mkono wangu haraka mapajani Kwa HakimπŸ˜†πŸ˜¬ nilitamani kumwambia kuwa hayo maneno hayamuhusu yeye lakini nikaona Wacha nivunge😹😹😹

Alimaliza kunilisha nikakaa kama nusu saa akanipatia dawa Baada ya Muda kidogo nililetewa juice ya matunda then Hakim alinilaza kifuani kwake akaniomba tupumzike nikiwa pale kifuani kwake si nikawasha data mie nilimumis paschal wangu vile nimewasha tu data simu ya boo ikaingia lile wenge na uoga nikakimbilia kubonyeza kile kidude Cha kukata kumbe ndo nimeipokea Ile video call 😳😳😳

Itaendeleaaaa.......
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜


Daddy alizidi kuwaka usiku ule Yani aliongea ilibakia kidogo tu anipatie laana lakini Mom alisimama akamwambia tafadhari acha ameshasikia hawezi kukaidi Tena amri Yako usije ukampa Mtoto laana nakuomba πŸ™πŸ™ daddy nakuomba unisamehe Niko tayari kuolewa na Hakim hapakuwepo na namna ilinibidi nikubali kuolewa na Hakim Ili kuzishusha hasira za baba Yangu! Niliondoka pale sitting nikaelekea chumbani kwangu nilichukua simu yangu nikawasha data nilikuta Boss Paschal kanitumia msg nyingi mno alikuwa ananiomba niingie online! Baada tu ya kuwasha data Paschal alinipigia.....
""Mine are you okay!?""
""Boo I'm not okay""
""What happened!?""
""I can't even explain""
""Pendo Tell me something You scare meπŸ₯ΉπŸ₯Ή""
""Any way nakuomba ruhusa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-no-29

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-no
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 26πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 26πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

642
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

495
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

282
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

212
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

85
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest