Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
Gonga94 ยท Stories

BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Rahul aliongeza mwendo wa gari kumuwahi Mr Alberto Airport ..

"HELLLO TANZANIAAAA..." Mr Alberto alitoka nje ya Airport akatazama Mbigu na kufumba macho akaisalimia Tanzania kwa bashasha zote ..

Alitazama huku na kule akiwa na Tabasam lake , baada ya dakika 20 ,Rahul akawa amefika
Umeniweka sana mzee" Mr Alberto alilalamika huku anasogea alipo Rahul

"Nisamehe kiongozi, Masha alitaka nimpeleke Bagamoyo ,nikashindwa kukataa unajua alivyo na Amri huyo"

"Lakini yupo salama "

"Yeah yupo salama kabisa, Ila Kiongozi mie aomba tuongee kama wanaume hapa tutoe kabisa Vyeo"
Rahul akashusha sauti kidogo , Mr Alberto akamsogelea Vizuri huku anaikunjia mikono yake juu ya kifua chake

"Mhuu"

"Upo serious swala la kumuoa Masha"

"Aah Rahul nimefanya kosa sina namna kuwajibika na kosa langu , Tangu nitembee na huyo mschana naweweseka sana usiku sina amani nahisi nina Deni kubwa sana linanizunguka ,Rahul sijasahau hata nukta ya ile saa ,Sijausahau mwili wake kabisa , Acha nionane nae kwanza"

"Yeye ni kama Gold Digger Tu "

"Rahullll please achaa "

" Aya sawa "

"Nitakwenda kumuona Masha , Nenda kamalizie tu kazi zako tutaonana jioni "

Rahul akachukua Tax gari alio kuja nayo akamuachia Mr Alberto kila mmoja akashika njia yake....

Baada Ya Vicky kuachana na Recho ,Alielekea kwenye kibarua chake huwa anauza uza Vitafunwa mtaani ..

Akiwa njiani na Ndoo yake alikuwa ameweka maandazi ndo anaingia mitaa yenye watu wengi na mishe mishe mingi

"ALBERTO!!! Kwanini namuwaza sanaa aah mtu mwenyewe hataa simjui lakini siachi kuliwaza hili jina" Alikuwa anatembea huku kichwa kinauma kwa kumuwaza Mr Alberto

Gafla tu alijikuta anapoteza umakini hata Barabarani, amefika kwenye Punda milia alivuka bila hata kusubiri wala kutazam kama ni salama yeye kuvuka

Mr Alberto alikuwa njian na hamu ya kumuona mschana alemsababishia matatizo kichwani alikuwa anapanga maneno ya kuongea nae pindi tu atakapo muona ,ataongea nae nini atatumia neno gani walau asimfikirie vibaya ..

Hakuwa tena na uhakika na barabara ili mradi hakuona Gari mbele aliona njia ni nyeupe akakanyaga mafuta kwenda mbele

Hapa na hapa anakuja kushtukaa kuna mtu mbele yake ,

Ndo muda huo na Vicky alikuwa akivuka kichwani ana yake
Nae anashtuka gari imefika miguuni kwakee
Hata kupiga kelele alishindwa alifumba macho akasema na mungu wake ..

Mr Alberto ilibidi afunge break kwa nguvuu huku akijaribu kukwepesha gari pembeni
Bahati mbaya alikuwa amechelewa akam sukuma pembeni Vicky bahati nzuri hakumgonga
Vicky alianguka pembeni kabisa akapoteza Faham

"Kila siku mimi wakusababisha matatizo tena kwenye Ardhi ya ugeni aah" alishuka akiwa na Hasira na woga kibao

Watu washajaa wamezunguka

"Mungu wangu ni mjamzitoo?? Jamani naombeni mnisaidie nimuweke kwenye gari"

Kwakua Mr Alberto alionekana ni mtu mwenye asili ya kizungu watu hata hawakupiga kelele kumzonga

Badala yake wakabaki kumlaumu Vicky hakuwa makini wakati wa kuvuka
Hawakujali ni mjamzito na hana faham kabisa

Mr Alberto hakujali maneno yao., mwenyewe alijisikia unyonge kwa sababu alikuwa na uhakika yeye ndio sababu ya kumsabishia bint wa watu shida

Aliangalia maandazi yalivyokuwa yamesambaa barabara yote lakini hamuwa na jinsi aliamua kumuwahisha hospital kwa kuulizia hospital iliyopo Karibu
Alielekezwa lakini alipo fika aliona hospital ndogo yaan ipo ipo akasema Noo bibie Vumilia kidogo tunafika hospital ambayo nina uhakika nayo

Alikanyaga mafuta mpaka kwenye Hospital iliyopo mwananyamala Hospital kubwa sana ya kisasa ma daktari bingwa vifaa vya kisasa na vipimo vya uhakika

Hospital hii ndio kwanza ina wiki tangu ianze kufanya kazi sasa ndio Alberto alimleta huku Vicky

Hakuana muhudumu hata mmoja anaemjua Mmiliki wa hii Hospital zaidi ya msaidizi wake wa karibu Rahul

Wahudumu walimchukua wakaanza kumpa huduma ...

Rahul baada ya mizunguko kuisha alimpigia simu sana Mr Alberto lakini haikuwa inapokelewa akaamua kwenda nyumbani kwa Masha

"Yaan wewe unaniambia leo kuwa Mr Alberto amekujaa yaan sasa hivi ndio unaniambia??" Masha hakuwa na Taarifa za ujio wa Mr Alberto ndo kwanza anapewa tena baada ya Rahul kumkosa kwenye simu

"Alisema anataka kukufanyia surprise "

"Hayaa yupo wapiii sasaa"

"Kama hajafika basi atafika tu hapa "
Rahul aliondoka baada ya kuona hapo hakuna cha maana zaidi ya kupewa lawama

"Waooooh siamini hahah et ananifanyia Surprise ,Mhuu ngoja sasaaa" Masha alianza kuandaa haraka haraka mazingira ili Mr Alberto atakapo fika akute mambo ya mahaba kama yotee
Kwanza akafukuza wafanyakazi wake wotee
Na amejaza wafanyakazi kila idala , hakuna anachofanya hata kusuuza nguo yake ya ndani alishasahauu

Akachagua vinguo vya kimitego mitego

"Yaan hapa hachomoii penzi nitakalo mpaa hehehe mbona atajuta kuchelewa"
Akajiandaa masha kumpokea Mr Alberto

Huku Mr Alberto yeye alishindwa kabisa kumuacha Vicky katika hali ile , Haraka zake zikaishia pale ..

ITAENDELEA....
KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10



Rahul aliongeza mwendo wa gari kumuwahi Mr Alberto Airport ..

"HELLLO TANZANIAAAA..." Mr Alberto alitoka nje ya Airport akatazama Mbigu na kufumba macho akaisalimia Tanzania kwa bashasha zote ..

Alitazama huku na kule akiwa na Tabasam lake , baada ya dakika 20 ,Rahul akawa amefika
Umeniweka sana mzee" Mr Alberto alilalamika huku anasogea alipo Rahul

"Nisamehe kiongozi, Masha alitaka nimpeleke Bagamoyo ,nikashindwa kukataa unajua alivyo na Amri huyo"

"Lakini yupo salama "

"Yeah yupo salama kabisa, Ila Kiongozi mie aomba tuongee kama wanaume...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/bilionea-ndani-ya-hotel-sehem-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi bilionea-ndani-ya-hotel-sehem-ya
BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 08
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 08
BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 03
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

503
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

253
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

239
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

230
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

144
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

93

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest