Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 06
Gonga94 ยท Stories

BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mimba?? Hapana haiwezekani siwezi kuwa na mimba mimi๐Ÿฅน๐ŸฅนVicky aliyakataa majibu ya mimba aliondoka hadi duka la dawa akanunua kipimo cha mimba akajipime mwenyewe nyumbani..

Masha alikuwa nyuma yake anafuatilia mchezo mzima ..

baada ya Vicky kuondoka duka la dawa , Masha akashuka kwenye gari yake mpaka mule ndani

"Habari dadaa" akamsalimia muuzaji huku anasogea

"Poa karibu"

"Samahani et yule dada alikuja kununua dawa gani hapa"

"We dada wewe hahah na kwanini niongee habari za mtaje"

Masha hakumjibu alitoa Elfu 30 akampa

"Haya nambie basi nanunua hizo taarifa "

" hahaha yaan wewe bwanaaa!!, amenunua U.P.T"

Masha hata hakujibu alitoka zake anawaza
"Kwahiyo ana mimba??,???"

Masha akarudi kule hospital akanunua taarifa za ugonjwa wa Vicky bila shida Doctor akamwambia kuwa yule ni mjamzito

Sasa masha kichwa kilimuumaa yaan mambo si yatavurumuka kama akijifungua mtoto rangi lazima afate kwa Mr Alberto

"Mungu wangu nafanya niniii??" Alienda andesha kichwani anawaza afanye nini na hii mimba ya Mr Alberto ...

Vicky yeye hakwenda nyumbani baada ya kutoka hospital alienda moja kwa moja pale hotel alipo kuwa akifanya kibarua

Alimkuta mlinzi mwingine akamsalimia akamuulizia Yule mlinzi aliesemekana ndie alimbk akaambiwa mbona alisha aacha kazi siku nyingii ana zaidi ya wiki mbilii

Akaomba ajue hata anapo kaa wote wakasema hakuna anepajua wala mawasiliano hakupata

Alirudi nyumbani kachoka akili na alipo pima na UPT ndio kabisaa alihisi kudata baada ya kipimo kutoa mistar miwili

"Mungu wangu ntafanya nini mimi nazaa vipi mtoto hana babaaa aah "
Vicky alikuwa amejifungia ndani analiaa

Muda huo huo Mlango wake ukafunguliwa akaingia masha ,Vicky akafuta haraka machoziii

"Unalia niniii??"

"Hamnaa"

"Kwahiyo siku hizi tunafichana "

"Masha nina mimbaa!" Vicky alijikaza akamwambia mana huyu ndio anajua mpango tangu mwanzo

"Hee !! Ya nanii"

" yule mjinga mose" Vicky akafuta machozi kwa hasira akimtaja huyo moze yaan yule mlinzi

"Uwii sa utafanyajee??"

"Sielewi hataa "

"Toa"

"Niniii"

"Toa mmb hiyo acha ujingaa"

"Hapana siwezi mwanangu hana kosa "

"Hee !! Mwanao au mwanake ?? Mtoto akizaliwa ndio wako kama hajazaliwa ni wa baba yake achana nae bwanaa ,

hivii we Vicky una maisha shoga angu au una hela mie sijui auuu hiyo mimba unataka mie tena nikufuge hapa kwetu eeh?? ,

Toa hiyo bado ndogo , ngoja nikakuletee vidonge utoe kwakweli mie siwezi nikulee wewe na mwanao ??" Haiwezekani

Vicky akabaki njia panda ,masha ashatoka nje mudaa sana akachukua gari yake mpaka Pharmacy akaelezea shida yake haswa kutaka dawa za kuharibu mmb

Vicky hajui kinachoendelea alibaki ndani amejiinamnia tu maneno ya masha yanapita kichwani kwakwe

"Sina maisha kweli,nimekuja mjini kusoma lakini hii ilikuwa ajali ndio nimmalize mtoto wangu??, na Nyumbani baba nitamwambia niniii imekuaje nimebeba mimbaa mungu wanguu Embu nipe njiaaa"

machozi tu yalikuwa yanamtoka mbele anaona giza nyuma Giza swala ka kutoa mmb Vicky wala halikujaa kichwani kwakee
Mwisho alipata shaurii akainuka akavaa nguo zake

Anafungua mlango kutoka ndio na masha nae kafika

"Unakwenda wapi"

"Nakwenda kumtafuta moze mpaka nimpatee "

"Vicky bwana embu acha ujinga unaenda kumpatia wapi?? Akikukataa??"

"Baada ya yeye kukataa hii mimba ndio nitajua niende wapi lakini nakwenda huko huko"

"Okay safari njemaa"
Masha akampisha njia Vicky apite ,
Baada ya Vicky kuondoka masha akajitupa kitandani anachekaaa

" hahaha yaan hapo nimecheza kama pereee hahaha daah sijui ingekuwaje kama nisinge mlipa pesa nyingi yule mjinga kumuhamisha mkoa daah Ngoja amtafuteee lakini hiyo mimba lazima iondolewe lazimaaaaa"

"Kwanza siwezi kulala hapa nina raha gani mie aah, anaweza pata chochote "

Masha akainuka kumfatulia Vicky huku moyoni akijisemea hii mmba lazima iondolewe leoleo..

Je itakuwaje??

KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 06


Mimba?? Hapana haiwezekani siwezi kuwa na mimba mimi๐Ÿฅน๐ŸฅนVicky aliyakataa majibu ya mimba aliondoka hadi duka la dawa akanunua kipimo cha mimba akajipime mwenyewe nyumbani..

Masha alikuwa nyuma yake anafuatilia mchezo mzima ..

baada ya Vicky kuondoka duka la dawa , Masha akashuka kwenye gari yake mpaka mule ndani

"Habari dadaa" akamsalimia muuzaji huku anasogea

"Poa karibu"

"Samahani et yule dada alikuja kununua dawa gani hapa"

"We dada wewe hahah na kwanini niongee habari za mtaje"

Masha hakumjibu alitoa Elfu 30 akampa

"Haya nambie basi nanunua hizo taarifa "

" hahaha yaan wewe bwanaaa!!, amenunua...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/billionea-ndani-ya-hoteli-sehem-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi billionea-ndani-ya-hoteli-sehem-ya
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 18
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 18
BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 16
BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 16
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 09
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

500
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

228
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

140
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

84

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest