Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 16
Gonga94 ยท Stories

BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Masha alijichekesha tu mbele ya Mr Alberto lakini moyoni hakumtaka hata kidogo Rahul na hapo alipo kuja kumkatishia ndo kabisa akamuona mkosi kwakee

,"Mr Alberto ni zaidi ya mwanaume asante mungu umenipa huyu mwanaume jamani aaaah, najisikia hamu ya kumuona tenaaaa embu ngoja nimpigie ooh mungu wangu nimesahau hata kumuomba namba yake ya Tanzania hii haipatikani ,lakini si anakuja nyumbani mbona nina presha isiyo kuwa na maana?? Hahaha ooh jamani nahisi preshaaa sijawahi kuona mwanaume kamili kama huuyuuu "

Masha alikuwa anajisemeza mwenyewe ndani ya Gari wakati anaelekea nyumbani kwake...

Kabla ya kufika nyumbani kwanza alipitia sokoni akanunua mahitaji aliyoona yanafaa kwa ajili ya chakula cha Mr Alberto

"Nahakikisha namshika kuanzia kwenye chakula mpaka kitandani hachimoki kabisaaa, Aaah Vicky, Vicky Vicky aaaah "
wazo la mimba ya Vicky likipita kichwani kwake ndio kabisaaa linamuaharibia furaha zakee ........

Alinunua mahemezi yote akarudi nyumbani watu wake wakapika alihakikisha anasimamia chakula kiwe mwaah na ikawa hivyo kwelii ...

Hakuwafukuza tena ila aliwaambia kulala mapema sanaaa hataki jau kwa mgeni wakee..

***

Mpaka sa 6 usiku ndio kikao kilikuwa kinaisha sasaa ,

"Nitakuendesha Kiongozi umechoka sanaaa"

"Aah Rahul unajua mie kuna kitu kinaniumiza sana kichwa??"

"Mhu kipii??"

"Ingia kwenye Gari tutaongea "

Kabla hata Gari haijatoka Mr Alberto aliomba kuongea na Rahul mana yeye ni mwenyeji sana huku kuliko yeyee kidogo anauelewa na hii Nchi

"Unajua yule mschana nilisababishia ajali yulee"

"Mhuuu??"

"Hata sijui imekuwaje Rahul , Yaan nashindwa kabisa kupitisha sec bila kumkumbuka huyu dada, Sura yake sio ngeni akilini mwangu nahisi kabisaaa kuna mahala nilisha wahi kumuonaa lakini sikumbukii , ajabu sasa kinacho niumiza kichwa nina hisia nae et tena hisia kali ,nikwambie tu ukweli Rahul nilipo mshika masha sijahisi chochote tofauti na yule dadaa ,Halafu ni mjamzito sielewi hata"

"Usharogwa ujue"

"Aah sio kweli"

"Nimekutana na hizo story nyingi sana huku yaan huku wanawake wanaroga ili wapendwe mzee tena nasikia wakikuona una chochote kitu aah umeisha hivyo, afu wanatamaa sanaa ndo kinawaponza "

"Sio bana. , yule dada hana tamaa yaan hana kabisa tamaa na pesa za watu ningemuona tu "

Mr Alberto akamuelezea Kuhusu Abigael jinsi alivyokuwa anamkataa na yeye analazimisha kuwa nae karibu akamwambia kama angekuwa ameniroga I'm sure angeniganda sanaa lakini ananikatia sanaa"

Rahul akamuuliza
"Anaitwa nani??"

Abigael "

Vicky hakutaja jina lake halisi kwa Alberto aliongopa anaitwa Abigael hakupenda tu kutaja jina lake halisi
"Yaan Tangu nimeishi hapa Tanzania mpaka leo hii Kuna mdada mmoja tu ndio niliwahi kumuona hana tamaa kabisa na ninafikiri Tanzania hii yupo yeye peke yakee, Ajabu unaniambia kuna mwinginee, yule dada alikuwa anaitwa Vicky ni ndugu yake na masha nilishawahi kukupa story yake
Yule dada hata sijui alipotelea wapi
Nilishawahi kumuuliza Masha akasema hakuwa ndugu yake walikuwa wanamsaidia tu kwahyo hata hajui alipo enda dah yule alikuwa mwanamke bwana hana kabisa presha na vitu visivyo muhusu'"

Bila kujua Vicky ndie Abigael ,Mr Alberto akasema

"Sasa huyuu ndo nakwambia hanaaa tamaaa hata chembee ,Kesho asubuhi nampelekea Lain za simu utamuona"

"Usinambie tu ushaanza kuhudumia mimba?"

"Hahah hamna halafu natamani kweli kumsadia nina uhakika jamaa wa mimba hayupo"

,"daah hizo kesi nazo huku zipo nyingiii wanaume wanakimbia sana mimba. Hapo ndo nakuja kuunganisha matukio ndo mana wanarogwa sana"

" basi makosa ni ya wanaume sio wanawake zao, twende tukapumzike "

Walipiga story haoo usiku ukazidi kuwa mkubwa

Ndio wakakumbuka kuondokaaa...

****

Masha alisubiri mpaka usingizi ukampitia juu ya meza hapo hapo ..
Sa tisa kasoro usiku ndio Rahul alimfikisha nyumbani Kwa masha Mr Alberto

",sijisikii kabisa kuwa hapa Rahul"

"Ndo kwako bro ,Au unataka kuharibiwa sifa, mwanamke mwenyewe mtata sana huyo"
daah"
Mr Alberto alishuka kishingo upande tu lakini roho yake haikuwa tayari kwenda humo ndani ..

Mr Alberto alimkuta Masha amelala Juu ya meza alijisikia vibaya sanaa

"OMG!!! Alikimbia akamchukua kwa kumbeba ili akamlaze ndani..

Masha alishtuka yupo kwenye mikono ya Mr Alberto tena amebebwa akajikausha kimyaaa
Huku anasikilizia harufu nzuri ya kupoaa

Itaendelea..
KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 16



Masha alijichekesha tu mbele ya Mr Alberto lakini moyoni hakumtaka hata kidogo Rahul na hapo alipo kuja kumkatishia ndo kabisa akamuona mkosi kwakee

,"Mr Alberto ni zaidi ya mwanaume asante mungu umenipa huyu mwanaume jamani aaaah, najisikia hamu ya kumuona tenaaaa embu ngoja nimpigie ooh mungu wangu nimesahau hata kumuomba namba yake ya Tanzania hii haipatikani ,lakini si anakuja nyumbani mbona nina presha isiyo kuwa na maana?? Hahaha ooh jamani nahisi preshaaa sijawahi kuona mwanaume kamili kama huuyuuu "

Masha alikuwa anajisemeza mwenyewe ndani ya Gari wakati anaelekea nyumbani kwake......

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/billionea-ndani-ya-hoteli-sehem-ya-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi billionea-ndani-ya-hoteli-sehem-ya
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 18
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 18
BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 06
BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 06
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 09
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

500
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

228
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

140
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

84

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest