BOSS ANAMPENDA MKE WANGU 01 ❤ Umri………………...18+ ANZAAA NAYOO.......... Ilikuwa ni siku niliyohudhuria karamu ya krismasi kwenye kampuni ninayofanyia kazi
20th Dec, 2025 Views 5
mimi pamoja na Mke wangu aitwae Mary. Kampuni ilikuwa imepanuka haraka sana katika kipindi cha mda mfupi tu, ilikuwa ni furaha kwangu pamoja na wafanyakazi wenzangu na karibu kila mtu alikuja na mpenzi wake siku hiyo.
Mimi( Derrick) nilimuoa Mary toka miaka 10 iliyopita, miaka yangu ni 37 na mke wangu Mary anamiaka 35, umbo la mke wangu lilikuwa linavutia kiasi cha kuwafanya wanaume udenda uwatoke kila walipokuwa wakimuona kutokana na uzuri wake.
Nilimshika mkono Mary na kuelekea naye kwenye kiti kwa ajili ya kuketi na niligundua kuwa mke wangu alikuwa akiangaliwa kila mara na boss wangu aliyekuwa akiitwa Robert.
Bosi wangu Robert alikuwa na umri wa miaka 55, pesa alizokuwa nazo zilimfanya aonekane kijana kama wa miaka 30 na mara nyingi alikuwa mtu wa mazoezi sana. kwa bahati mbaya, alipoteza mke wake miaka 5 iliyopita na hakuwahi kuoa mwanamke mwingine tena toka mke wake afariki.
Karibu kila mtu alipendeza kwenye sherehe hiyo na wanaume wengi walikuwa wamevaa suti zilizovutia, wanawake wa aina mbalimbali walikuwepo pia kwenye sherehe na katika kuangalia kwangu nilimuona binti mmoja aliyekuwa katibu wa kampuni yetu akiwa pamoja na wanawake wengine wakipiga story za hapa na pale aliyekuwa akiitwa Doreen. Robert ambae ni mkuu wetu alisimama na kuongea maneno machache ya kuwakaribisha watu kwa ajili ya chakula.
Meza tuliyokuwa tumekaa baadhi ya wafanyakazi wenzangu waliongezeka na kuanza kumpa pongezi mke wangu Mary kwa jinsi alivyokuwa amependeza, Mimi nilinyenyuka na kufata vinywaji nikimuacha mke wangu akiongea na wafanyakazi wenzangu lakini ile narudi sikumkuta Mary kwenye kiti chake.
Nilijaribu kuangaza na ndipo nilipomuona upande wa chini akicheza na Robert ambaye ni boss wangu mimi, Kwanza nilibaki kwenye mshangao kwa jinsi walivyokuwa wameshikana yaani kama mke na mme!, Wimbo waliokuwa wakicheza uliisha na ndipo Robert alipomrudisha Mary alipokuwa amekaa mwanzo na kunikuta nikiwatazama.
"Natumai hutachukia Derrick, nilitaka kuona uzuri wa mke wako kwenye kucheza".
"Haina shida boss ni sawa tu!"
Robert alimtazama Mary baada ya mimi kumjibu na kuongea.
"Asante sana Mary, nitarudi baadaye"
Alichukua kipande cha keki kilichokuwa mezani na kumlisha Mary wakati huo mimi nikiwatazama tu!.
Kwa jinsi nilivyokuwa nikimjua mke wangu niligundua kuwa amesisimka baada tu ya kulishwa keki na boss wangu.
Robert aliondoka na kutuacha wenyewe na ndipo Mary alipoongea.
"Ni mtu mzuri sana boss wako!"
"Kwahiyo ulifurahi ulipokuwa ukicheza naye!?"
"Sana tena sana tu!"
"Kaa kwenye kiti na sio mda tutaondoka!"
"Mbona bado mapema ivi!"
"Mimi ndiyo nimesema sasa!"
Mary alikaa kwenye kiti na kuchukua kinywaji kilichokuwa mezani.
Hazikupita hata dakika 10 tangu Mary akae kwenye kiti, Robert alifika tena na kunisogelea.
"Nahitaji kuondoka na mke wako Derrick!"
"Unaenda naye wapi boss!?"
"Usiwe na wasiwasi ni hapo nje tu au huniamini boss wako!?"
Robert aliongea huku akinitazama, nilikuwa na uhakika aliamua kutumia cheo chake kufanya anachojisikia mbele ya mke wangu.
"Sawa ondoka naye!"
Mary alinitazama na pasipo kuongea aliondoka akiwa na Robert.
Sherehe ilikuwa chungu baada ya Robert kuondoka na mke wangu, kwanza sikujua walipoelekea na kingine ni ghafla tu alimzoea mke wangu.
Nilinyenyuka na kwenda kukaa mahali alipokuwa amekaa katibu wangu Doreen na baadhi ya wanawake na kuanza kuongea naye.
Tuliongea mengi mimi na Doreen na baadhi ya maneno aliyonigusia ni kuhusu mahusiano yake, aliniambia kuwa alikuwa na mtu ila waliachana na kila mtu kuishi kivyake, licha ya kuongea na Doreen mawazo yangu yote yalikuwa kwa mke wangu Mary, mda wote macho yalikuwa kwenye mlango wa kuingilia na baada ya mda Mary alitokea na aliniona nikiwa nimekaa na Doreen karibu, alitusogelea na baada ya kutufikia niliongea.
"Huyu anaitwa Doreen ni katibu kwenye kampuni yetu"
"Nashukuru kumfahamu!"
"Nakuja!"
Niliwaaga na kuelekea uwani nikiwaacha wao wawili tu.
Nilifika uwani na kuwasikia baadhi ya wafanyakazi wenzangu wakimuongelea Robert ila sikuwazingatia sana, nilifanya kilichonipeleka na baada ya kumaliza niliondoka na kurudi nilipomuacha Mary pamoja na Doreen.
Nilihisi kuchanganyikiwa kidogo baada ya kumkuta Robert akimbusu Mary kwenye shavu, na baada ya kuniona mimi alimbusu na Doreen pia, nilitembea taratibu mpaka walipokuwa wamekaa na kukaa pembeni yao na Robert alinyenyuka na kutuaga tena akinishika mkono na kuongea.
"Bira shaka ni siku nzuri kwako wewe pamoja na mke wako Derrick!"
"Ndio boss!"
"Hakika Robert, Derrick hajakosea leo nimefurahi kukufahamu!"
Macho yalinitoka baada ya Mary kuzungumza yale maneno tena akiingilia maongezi yetu.
"Tutazidi kuonana zaidi!"
Robert aliongea na kuondoka na mimi nilimuaga Doreen na kumshika mkono Mary nakuondoka naye.
Tulifika barabarani na kusimamisha teksi na kupanda na kumuuliza Mary tukiwa ndani ya gari.
"Mbona ulikuwa na furaha sana ulipokuwa ukiongea na Robert!?"
"Tutazungumza tukifika nyumbani Derrick na sio ndani ya teksi"
Nilijikuta nikiishiwa raha lakini Mary alinikumbatia na kuanza kuni...busu kwa ma...ha..ba, niliupeleka mkono wangu chini na ndipo nilipogundua kuna utofauti mkubwa mno kwa mke wangu.
Hakuwa amevaa nguo ya ndani na wakati alivaa kipindi tunajiandaa kwenda kwenye sherehe, nilizidi kuishiwa raha na sura ya boss wangu Robert ilikuja kwenye kichwa changu, niliutoa mkono wangu na kutulia ndani ya teksi na uzuri haikuchukua mda teksi ilifika nyumbani.
Moja kwa moja tuliingia ndani na Mary alinishika mkono na kuniketisha kwenye kochi sebleni.
"Kabra sijaendelea kuongea nataka ujue jinsi ninavyokupenda Derrick, nataka uniambie yule binti uliyekuwa naye huna mahusiano naye kweli!?"
"Nani Doreen au!?"
"Eeeh huyo huyo!"
"Siwezi kuwa na mahusiano na yule maana ni msa..gaji!"
Niliamua tu kumuongopea Mary ili asiendelee kuniuliza maswali kuhusu Doreen, bado akili yangu ilitamani kujua kipi kilichotokea baada ya yeye kuondoka na Robert.
Nilimuuliza kwanini hana nguo ya ndani na ni wapi alipopelekwa na Robert na Mary aliongea.
"Kuna kitu nimeamua kufanya kwa ajili yako mme wangu!"
"Kwa ajili yangu!?, kitu gani!?"
"Kuhusu kazi"
"Kazi!?"
"Ndio, Robert aliniambia kuwa anaweza kukufanya ukawa mkurugenzi wa mauzo kwenye kampuni yenu nafasi iliyowazi sasa ivi"
"Ndio kilikufanya mpaka ukaamua kuvua nguo ya ndani kwa ajili yake ili tu anipe hicho kitengo!?"
Mary alikaa kimya huku akishikashika vidole vya mikono yake.
"Nakuuliza!?"
"Naomba unisamehe tu Derrick, Robert alitumia nguvu na kuniingiza kwenye mtego wake tena alinihakikishia lazima atakupa hiyo nafasi wewe!"
Nilimbana Mary mpaka alianza kuzungumza mwenyewe kile alichofanya na boss wangu, walishiriki tendo la ndoa kwenye ofisi ya Robert mwenyewe na ndiyo sababu iliyomfanya mpaka Mary asahau nguo yake ya ndani, nilikasirika na kumpiga kibao cha nguvu Mary kwa usaliti alionifanyia......ITAENDELEA..
Tangazo - EARN MONEY TO DAY
EARN MONEY TO DAY
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
BOSS ANAMPENDA MKE WANGU 01 ❤ Umri………………...18+ ANZAAA NAYOO.......... Ilikuwa ni siku niliyohudhuria karamu ya krismasi kwenye kampuni ninayofanyia kazi mimi pamoja na Mke wangu aitwae Mary. Kampuni ilikuwa imepanuka haraka sana katika kipindi cha mda mfupi tu, ilikuwa ni furaha kwangu pamoja na wafanyakazi wenzangu na karibu kila mtu alikuja na mpenzi wake siku hiyo.
Mimi( Derrick) nilimuoa Mary toka miaka 10 iliyopita, miaka yangu ni 37 na mke wangu Mary anamiaka 35, umbo la mke wangu lilikuwa linavutia kiasi cha kuwafanya wanaume udenda uwatoke kila walipokuwa wakimuona kutokana na uzuri wake.
Nilimshika mkono Mary na kuelekea naye kwenye kiti kwa ajili ya kuketi na niligundua kuwa mke wangu alikuwa akiangaliwa kila mara na boss wangu aliyekuwa akiitwa Robert.
Bosi wangu Robert alikuwa na umri wa miaka 55, pesa alizokuwa nazo zilimfanya aonekane kijana kama wa miaka 30 na mara nyingi alikuwa mtu wa mazoezi sana. kwa bahati mbaya, alipoteza mke wake miaka 5 iliyopita na hakuwahi kuoa mwanamke mwingine tena toka mke wake afariki.
Karibu kila mtu alipendeza kwenye sherehe hiyo na wanaume wengi walikuwa wamevaa suti zilizovutia, wanawake wa aina mbalimbali walikuwepo pia kwenye sherehe na katika kuangalia kwangu nilimuona binti mmoja aliyekuwa katibu wa kampuni yetu akiwa pamoja na wanawake wengine wakipiga story za hapa na pale aliyekuwa akiitwa Doreen. Robert ambae ni mkuu wetu alisimama na kuongea maneno machache ya kuwakaribisha watu kwa ajili ya chakula.
Meza tuliyokuwa tumekaa baadhi ya wafanyakazi wenzangu waliongezeka na kuanza kumpa pongezi mke wangu Mary kwa jinsi alivyokuwa amependeza, Mimi nilinyenyuka na kufata vinywaji nikimuacha mke wangu akiongea na wafanyakazi wenzangu lakini ile narudi sikumkuta Mary kwenye kiti chake.
Nilijaribu kuangaza na ndipo nilipomuona upande wa chini akicheza na Robert ambaye ni boss wangu mimi, Kwanza nilibaki kwenye mshangao kwa jinsi walivyokuwa wameshikana yaani kama mke na mme!, Wimbo waliokuwa wakicheza uliisha na ndipo Robert alipomrudisha Mary alipokuwa amekaa mwanzo na kunikuta nikiwatazama.
"Natumai hutachukia Derrick, nilitaka kuona uzuri wa mke wako kwenye kucheza".
"Haina shida boss ni sawa tu!"
Robert alimtazama Mary baada ya mimi kumjibu na kuongea.
"Asante sana Mary, nitarudi baadaye"
Alichukua kipande cha keki kilichokuwa mezani na kumlisha Mary wakati huo mimi nikiwatazama tu!.
Kwa jinsi nilivyokuwa nikimjua mke wangu niligundua kuwa amesisimka baada tu ya kulishwa keki na boss wangu.
Robert aliondoka na kutuacha wenyewe na ndipo Mary alipoongea.
"Ni mtu mzuri sana boss wako!"
"Kwahiyo ulifurahi ulipokuwa ukicheza naye!?"
"Sana tena sana tu!"
"Kaa kwenye kiti na sio mda tutaondoka!"
"Mbona bado mapema ivi!"
"Mimi ndiyo nimesema sasa!"
Mary alikaa kwenye kiti na kuchukua kinywaji kilichokuwa mezani.
Hazikupita hata dakika 10 tangu Mary akae kwenye kiti, Robert alifika tena na kunisogelea.
"Nahitaji kuondoka na mke wako Derrick!"
"Unaenda naye wapi boss!?"
"Usiwe na wasiwasi ni hapo nje tu au huniamini boss wako!?"
Robert aliongea huku akinitazama, nilikuwa na uhakika aliamua kutumia cheo chake kufanya anachojisikia mbele ya mke wangu.
"Sawa ondoka naye!"
Mary alinitazama na pasipo kuongea aliondoka akiwa na Robert.
Sherehe ilikuwa chungu baada ya Robert kuondoka na mke wangu, kwanza sikujua walipoelekea na kingine ni ghafla tu alimzoea mke wangu.
Nilinyenyuka na kwenda kukaa mahali alipokuwa amekaa katibu wangu Doreen na baadhi ya wanawake na kuanza kuongea naye.
Tuliongea mengi mimi na Doreen na baadhi ya maneno aliyonigusia ni kuhusu mahusiano yake, aliniambia kuwa alikuwa na mtu ila waliachana na kila mtu kuishi kivyake, licha ya kuongea na Doreen mawazo yangu yote yalikuwa kwa mke wangu Mary, mda wote macho yalikuwa kwenye mlango wa kuingilia na baada ya mda Mary alitokea na aliniona nikiwa nimekaa na Doreen karibu, alitusogelea na baada ya kutufikia niliongea.
"Huyu anaitwa Doreen ni katibu kwenye kampuni yetu"
"Nashukuru kumfahamu!"
"Nakuja!"
Niliwaaga na kuelekea uwani nikiwaacha wao wawili tu.
Nilifika uwani na kuwasikia baadhi ya wafanyakazi wenzangu wakimuongelea Robert ila sikuwazingatia sana, nilifanya kilichonipeleka na baada ya kumaliza niliondoka na kurudi nilipomuacha Mary pamoja na Doreen.
Nilihisi kuchanganyikiwa kidogo baada ya kumkuta Robert akimbusu Mary kwenye shavu, na baada ya kuniona mimi alimbusu na Doreen pia, nilitembea taratibu mpaka walipokuwa wamekaa na kukaa pembeni yao na Robert alinyenyuka na kutuaga tena akinishika mkono na kuongea.
"Bira shaka ni siku nzuri kwako wewe pamoja na mke wako Derrick!"
"Ndio boss!"
"Hakika Robert, Derrick hajakosea leo nimefurahi kukufahamu!"
Macho yalinitoka baada ya Mary kuzungumza yale maneno tena akiingilia maongezi yetu.
"Tutazidi kuonana zaidi!"
Robert aliongea na kuondoka na mimi nilimuaga Doreen na kumshika mkono Mary nakuondoka naye.
Tulifika barabarani na kusimamisha teksi na kupanda na kumuuliza Mary tukiwa ndani ya gari.
"Mbona ulikuwa na furaha sana ulipokuwa ukiongea na Robert!?"
"Tutazungumza tukifika nyumbani Derrick na sio ndani ya teksi"
Nilijikuta nikiishiwa raha lakini Mary alinikumbatia na kuanza kuni...busu kwa ma...ha..ba, niliupeleka mkono wangu chini na ndipo nilipogundua kuna utofauti mkubwa mno kwa mke wangu.
Hakuwa amevaa nguo ya ndani na wakati alivaa kipindi tunajiandaa kwenda kwenye sherehe, nilizidi kuishiwa raha na sura ya boss wangu Robert ilikuja kwenye kichwa changu, niliutoa mkono wangu na kutulia ndani ya teksi na uzuri haikuchukua mda teksi ilifika nyumbani.
Moja kwa moja tuliingia ndani na Mary alinishika mkono na kuniketisha kwenye kochi sebleni.
"Kabra sijaendelea kuongea nataka ujue jinsi ninavyokupenda Derrick, nataka uniambie yule binti uliyekuwa naye huna mahusiano naye kweli!?"
"Nani Doreen au!?"
"Eeeh huyo huyo!"
"Siwezi kuwa na mahusiano na yule maana ni msa..gaji!"
Niliamua tu kumuongopea Mary ili asiendelee kuniuliza maswali kuhusu Doreen, bado akili yangu ilitamani kujua kipi kilichotokea baada ya yeye kuondoka na Robert.
Nilimuuliza kwanini hana nguo ya ndani na ni wapi alipopelekwa na Robert na Mary aliongea.
"Kuna kitu nimeamua kufanya kwa ajili yako mme wangu!"
"Kwa ajili yangu!?, kitu gani!?"
"Kuhusu kazi"
"Kazi!?"
"Ndio, Robert aliniambia kuwa anaweza kukufanya ukawa mkurugenzi wa mauzo kwenye kampuni yenu nafasi iliyowazi sasa ivi"
"Ndio kilikufanya mpaka ukaamua kuvua nguo ya ndani kwa ajili yake ili tu anipe hicho kitengo!?"
Mary alikaa kimya huku akishikashika vidole vya mikono yake.
"Nakuuliza!?"
"Naomba unisamehe tu Derrick, Robert alitumia nguvu na kuniingiza kwenye mtego wake tena alinihakikishia lazima atakupa hiyo nafasi wewe!"
Nilimbana Mary mpaka alianza kuzungumza mwenyewe kile alichofanya na boss wangu, walishiriki tendo la ndoa kwenye ofisi ya Robert mwenyewe na ndiyo sababu iliyomfanya mpaka Mary asahau nguo yake ya ndani, nilikasirika na kumpiga kibao cha nguvu Mary kwa usaliti alionifanyia......ITAENDELEA.  >>> https://www.gonga94.com/semajambo/boss-anampenda-mke-wangu-01-umri-18-anzaaa-nayoo-ilikuwa-ni-siku-niliyohudhuria-karamu-ya-krismasi-k
Maoni