Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BOSS ANAMPENDA MKE WANGU 02 ❤  Umri………………...18+  ENDELEA...... Makosa yalikuwa yangu mwenyewe maana kama nisingeenda na Mary kwenye sherehe
Gonga94 · Stories

BOSS ANAMPENDA MKE WANGU 02 ❤ Umri………………...18+ ENDELEA...... Makosa yalikuwa yangu mwenyewe maana kama nisingeenda na Mary kwenye sherehe

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
basi asingekutana na Robert, nilikubali kumsamehe mke wangu na maisha yaliendelea.

Siku mbili zilipita na siku hiyo ikiwa ni siku ya jumatatu niliamkia kazini na kukutana na Robert.
"Habari za asubuhi Derrick!?"
"Salama kabisa!"
"Mke wako anaendeleaje!?"
Kwanza nilimtazama pasipo kumjibu, nilitamani nimzabe kofi ila kwakuwa ni boss nilimjibu kuwa anaendelea vizuri na mwisho aliamua kubadilisha mada mwenyewe, tulianza kuzungumza kuhusu kazi na sio Mary tena.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata ilikuwa ni Jumanne jioni, mimi na Mary tulikuwa kitandani tukifanya mambo ya kiutu uzima, bahati mbaya kwangu toka nimuoe sikuwahi kumfikisha mke wangu kile...leni, mara nyingi nilikuwa nawahi kufika mimi kabra yake, na nikijitahidi sana basi ni round mbili tu tena ya pili itapatikana kwa shida.
Huo ndiyo ulikuwa udhaifu wangu ndani ya ndoa yangu na mara zote Mary alikuwa akinipa moyo kuwa nitakuwa sawa na nitampa ujauzito.
Siku hiyo kwa mara nyingine tena niliwahi kufika na kujikuta nikiishiwa raha kabisa mbele ya mke wangu.
"Usijali mme wangu utakuwa sawa tu, nimevumilia miaka kadhaa toka unioe hivyo siwezi kukuacha kwa sababu hii"
Baada ya Mary kunitia moyo, mawazo yangu yalinipeleka mbali, nilitamani kujua kama Robert naye anawahi kufika kama mimi, pasipo kumwangalia usoni nilimuuliza Mary.
"Siku uliyofanya na boss wangu ulijisikiaje!?"
"Derrick swali gani hilo!?, sitamani kuongelea hilo maana nitazidi kukuumiza, ile siku ilitokea bahati mbaya tu ila ukweli ni kuwa nakupenda na siwezi kukuacha kamwe!"
"Nataka kujua tu ilikuwaje!"
"Mmmh, nitakwambia ila naomba usinifikirie vibaya!"
"Wewe sema tu!"
"Kiukweli boss wako yupo vizuri kitandn, yake ni kubwa kuliko ya kwako na ilikuwa inanibana vizuri na kingine kwa mara ya kwanza alini.....fikisha siku ile ndiyo maana nilikuwa na furaha sana kila nilipokuwa nikimwangalia!"
Kehelehele changu cha kutamani kujua kiliniponza, joto lilipanda kwenye mwili wangu na raha ndiyo nilizidi kuishiwa kabisa lakini Mary alinishika na kuongea.
"Usiwaze Derrick, mimi ni wako tu na siwezi kukusaliti tena hata iweje!"
Alizidi kunitia moyo huku akinikumbatia.

Siku zilisogea na siku ya jumapili ilipofika, nilikuwa nyumbani ila nilishangaa kumuona Mary akiwa hana raha yaani alikuwa akifanyakazi ilimradi, ilibidi nimuulize ni kitu gani anachowaza na ndipo Mary alipoongea.
"Humu duniani kuna watu wanapesa ila hawana furaha na maisha yao!"
"Kwanini!?"
"Kama boss wako Robert, anapesa ila hana mke na aliniambia mwenyewe kabisa nyumba yake huwa anaiona chungu!"
Mapigo ya moyo yalienda kasi baada ya Mary kumuongelea Robert, sura yangu niliikunja kwa hasira baada ya wivu wa ma....penzi kuniingia na kumtazama.
"Kumbe mda wote ulikuwa unamuwaza Robert sio!?"
"Sio kwa ubaya Derrick, kwanza twende chumbani nikakuoneshe kitu!"
Mary alinishika mkono na kunipeleka chumbani.

Baada ya kufika alifungua mkanda wa suruali yangu na kuni...vuli...sha, sikuwa na hisi...a zozote zile mbele ya mke wangu ila mwenzangu alihitaji haki yake hivyo ulikuwa ni wajibu wangu kumtimizia.

Bahati mbaya kwangu sikumfi....kisha tena na baada tu ya kumaliza Mary aliongea.
"Sijafika bado!"
"Samahani, nitajitahidi kwa wakati mwingine nikufikishe!"
Alikubali kishingo upande na tulitoka chumbani wote wawili na kuendelea na ratiba zingine.

Mida ya jioni nilishangaa kumuona Robert nyumbani kwangu tena alikuja bira kunipa taarifa zozote zile, kwenye mkono wake alikuwa kashika box la zawadi na Mary ndiye aliyempokea.
"Ndani ya hilo box kuna zawadi zenu, hapa ni kama kwangu Mr Derrick hivyo usishangae kuniona!"
Nilimkata jicho yaani katembea na mke wangu na bado tena nyumbani kwangu anasema ni kama kwake si dharau hizo!?.

Mary alijua moja kwa moja nimeshachukia kwa ujio wa Robert nyumbani kwangu ila aliweka tabasamu na kumkaribisha.
"Karibu ukae Robert!"
"Fungua box la zawadi utazame!"
Mary alifungua na kukutana na cheni pamoja na pete za almasi zinavyofanana, pamoja na koti jeusi.
"Cheni na pete ni vya kwako na hilo koti ni la mmeo!"
"Waooo ashante sana Robert!"
Palepale Mary alimkumbatia mbele yangu, niliwatazama na baadaye Mary alijishitukia mwenyewe na kuitoa mikono yake kwenye mwili wa Robert.
"Nina habari njema Derrick za kukwambia!"
"Habari zipi hizo boss!?"
"Kuanzia sasa ivi utakuwa afisa masoko kwenye kampuni yetu, napenda utendaji wako wa kazi na barua utaipata kesho ofisini!"
Moja kwa moja nilijua ni ru...shwa ya ngono aliyoitoa Mary siku ile ya Krismas ndiyo imenifanya mpaka anipatie cheo ambacho karibu kila mtu kwenye kampuni yetu alikuwa akikitamani, nilimshukuru Robert kishingo upande lakini Mary ndiyo alizidi kumchangamkia zaidi baada tu ya Robert kuongea vile.

Baadae nilitoka nje kwa ajili ya kwenda kuongea na simu baada ya kupigiwa na mdogo wangu, nilitumia mda mrefu kidogo nikiwa huko na baada ya mda kumaliza kuongea na simu nilitembea kurudi ndani.

Nilisukuma mlango na kukuta hawapo sebleni, moyo ulianza kwenda mbio na haraka nilikimbilia chumbani kuwatazama lakini napo hawakuwepo.
"Hawa wameenda wapi!?"
Kwa mbali nilisikia maongezi yao upande wa nje na moja kwa moja nilijua lazima walipitia mlango wa nyuma kwenda kufanya maongezi na sio mlango wa mbele niliopitia mimi.

Nilitembea taratibu kuwafata na baada tu ya kufunguwa Robert alikuwa kamshika mkono Mary aliyeshituka baada ya kuniona lakini Robert hakuogopa kabisa kuniona, zaidi aliendelea kumshika mkono mke wangu mbele yangu..........ITAENDELEA.
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BOSS ANAMPENDA MKE WANGU 02 ❤ Umri………………...18+ ENDELEA...... Makosa yalikuwa yangu mwenyewe maana kama nisingeenda na Mary kwenye sherehe

basi asingekutana na Robert, nilikubali kumsamehe mke wangu na maisha yaliendelea.

Siku mbili zilipita na siku hiyo ikiwa ni siku ya jumatatu niliamkia kazini na kukutana na Robert.
"Habari za asubuhi Derrick!?"
"Salama kabisa!"
"Mke wako anaendeleaje!?"
Kwanza nilimtazama pasipo kumjibu, nilitamani nimzabe kofi ila kwakuwa ni boss nilimjibu kuwa anaendelea vizuri na mwisho aliamua kubadilisha mada mwenyewe, tulianza kuzungumza kuhusu kazi na sio Mary tena.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata ilikuwa ni Jumanne jioni, mimi na Mary tulikuwa kitandani tukifanya mambo ya kiutu uzima, bahati mbaya kwangu toka nimuoe sikuwahi kumfikisha mke wangu kile...leni, mara nyingi nilikuwa nawahi kufika mimi kabra yake, na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/boss-anampenda-mke-wangu-02-umri-18-endelea-makosa-yalikuwa-yangu-mwenyewe-maana-kama-nisingeenda-na

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi boss-anampenda-mke-wangu
BOSS ANAMPENDA MKE WANGU 01 ❤  Umri………………...18+  ANZAAA NAYOO.......... Ilikuwa ni siku niliyohudhuria karamu ya krismasi kwenye kampuni ninayofanyia kazi
BOSS ANAMPENDA MKE WANGU 01 ❤ Umri………………...18+ ANZAAA NAYOO.......... Ilikuwa ni siku niliyohudhuria karamu ya krismasi kwenye kampuni ninayofanyia kazi
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

646
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

500
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

354
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

316
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

237
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

63

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest