Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
25 views
VYOTE NDANI GONGA94
DADA WA KAZI EPISODE 7
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
basi baraka alipofika na kuona yale mafukunyuku ya Aziza alijikuta kaganda kama sanamu macho yake moja kwa moja kwenye mlango wa raha uliokuwa na kiasi kidogo cha nyasi ikionyesha kuwa zimetolewa kama mwezi uliopita na mbaya zaidi Aziza alikuwa anajigeuza sana.na kufanya mlango wa Raha uwe mkubwa sometimes uwe mdogo mara utanuke mara usinyae yaaani ni full raha ni full starehe ni mwendo wa kuenjoy tu . Kama wasemavyo wahenga kuwa fahari ya macho kuona na sasa kwanini Baraka asione yale mafukunyuku kwa mwanga angavu......
Mara ghafla mkewe alishtuka chumbani na kukuta Baraka hayupo alipiga miayo na kujisemea" mmmmmh mwanaume usiku huu kaenda wapi na kama kukojoa nk angekuwa kasharudi asijuwe baraka baada ya kuona mlango wa raha mawazo yke ni kupita ule mlango kwa kutumia funguo iliyofichwa kwenye zipu ya suruali yake tayari kwa safari ya kwenda katika ulimwengu ambao tayari anatamani akajue kuna uzuri gani ?
Basi mkewe yaani Neema aliamka baada yA kuwaza huenda mume wake kaenda chumbani kwa mfanyakazi wake kuichapaaaaaaaaa mali maaana mpaka leo alikuwa na wasiwasi kwamba anavyomjua baraka lazima alishawahi ingia kwenye mlango wa raha wa Aziza .kutokana na kuwa anIjua funguo ya mumewe ilivyojaaa tamaaa na hamu ya kufungua milango mingi hususani ile ambayo inakuwa iko tayari kwa kufunguliwa ....
Muda huo Baraka kashua buuu chini anaishika fungua yake taratibu huku macho yake yanauwaza ule mlango atapitaje . Alisafiri lakini akagundua safari kama ile hawezi kwenda pekee yake awaite kwanza wa zungu alianza basi zoezi la kujipa matibabu mahususi kabla ya kwenda kuianza safari yeye mwenyewe . Alikuwa akiwaita kwa nguvu huku akipiga kelele za utaaaaaaaaa...... Ilifika hatua wazungu hawaoni ikabidi asimamie vidole na kuendelea kuwaita ....
Aliwaita na cha kuvutia zaidi hata Aziza hakujua kuwa mlango wake unatumika kuwaita wazungu huko nje . Alizidi kujigeuza na kufanya zoezi liwe pambe. Baraka yuko mbali sana na mkewe ndo anafungua mlango wa chumbani taratibu baraka yupo dunia nyingine na Aziza ndo kwanza anakoroma . Neema baada ya kufungua mlango hakuamini alichokiona
Alikodoa macho 🥺🥺🥺🥺 JE KAONA NINI
USIKOSE MWENDELEZO JUMAPILI
Follow the HADITHI ZA KELVIN MLOWE ❤️✋🔥 channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Vaw5SzK7YSd3RKAO8G46
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sik...
basi baraka alipofika na kuona yale mafukunyuku ya Aziza alijikuta kaganda kama sanamu macho yake moja kwa moja kwenye mlango wa raha uliokuwa na kiasi kidogo cha nyasi ikionyesha kuwa zimetolewa kama mwezi uliopita na mbaya zaidi Aziza alikuwa anajigeuza sana.na kufanya mlango wa Raha uwe mkubwa sometimes uwe mdogo mara utanuke mara usinyae yaaani ni full raha ni full starehe ni mwendo wa kuenjoy tu . Kama wasemavyo wahenga kuwa fahari ya macho kuona na sasa kwanini Baraka asione yale mafukunyuku kwa mwanga angavu......
Mara ghafla mkewe alishtuka chumbani na kukuta Baraka hayupo...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dada-wa-kazi-episode-7
Maoni