Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DADA WA KAZI   EPISODE 8
Gonga94 · Stories

DADA WA KAZI EPISODE 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Haya Tunaendelea pale pale tulipoishia ambapo Neema alikodowa macho baada ya kuona mlango wa house girl uko wazi. Na japo kwa mara ya kwanza taa ilikuwa inawaka lakini sasa imezima . Alisena leo ni siku ya fumanizi aliondoka mbio mbio kuelekea chumbani huko na kuwasha taaa akijuwa lazima mumewe awe ndani humo.

Lakini cha ajabu baada ya kuingia na kuwasha taa alimuona tu Aziza kalala hana jipya zaidi ya krooooooooo!!! Kama chura magamba ... Alijisemea moyoni mume wake atakuwa yuko wapi? Akaendelea kupepesa macho kufungua mapazia lakini hakumuona mtu . Aliinama na kutazama chini ya uvungu hakuona mtu..

Sasa huyu mwanaume kaenda wapi? Lakini kama kawaida alitazama ukuta wake dada w kazi kapigilia msumari kisha katundika kufuri lake la pinki?
" Hiii tabia ya kulala bila kufuri lazima niikemee siwezi kukubali huu ujinga yule mwanaume namjuwa vizuri sana huyu binti atakuja kuwa chakulaaaaaaaaaaa"

Hapo hapo akasikia maji bafuni akajua lazima mumewe ndo yupo bafuni anaoga alitoka mbio lakini baada ya kutoka muda huo huo dada wa kazi kumbe hakulala aliamka na kusema " huyu mwanaume mzembe sana atakuja kukamatwa sababu ya hiki kitu alikuwa akikitazama na kukigusa .... Kisha akacheka na kuendelea kuuchapa usingizi......

Baraka alirudi chumbani na kumkuta mkewe amemkazia macho akajichekesha chekesha sana.ili kuzugalakini mkewe kanyoosha kwenye point
" We mwanaume ulikuwa wapi?
" Nilikuwa kuoga "
" Tangu lini unaoga usiku?
" Kuanzia leo huoni joto kali?
" Mmmh sio unamvizia mfanyakazi?
" Mmmh wife tangu lini nikafanya hivyo?
"Weee! Umesahau Lissa? Umesahau Irene ?umemsahau vicky,,?wote hao niliwafukuza kwa tabia zako .......
" Mke wangu sahizi nimetulia "

Akamsogelea na kumlaza kwenye kifua chake mkewe naye alikubali na kumkumbatia vizuri mwanaume akawa anamkiss kwenye paji la uso lakini kichwani mwake alijisema" wewe ndio sababu ya yote haya . Kisha wakapitiwa na usingizi...

.......KWA UPANDE WA AZIZA ............

Aziza hakupata usingizi usiku huo. Akili yake haikupumzika. Kila alipojigeuza kitandani, picha ya Baraka ikimwangalia kwa jicho la upole na kutamani ilimjaa kichwani kama sinema za mapenzi Titanic ,Romeo &Juliet . Aliweza kusikia bado sauti ya Baraka alivyosema, "Neti ya mbu imepinda hapa," wakati jicho lake likiwa haliko kwenye neti, bali kwenye mapa.....yake.

Aziza alikuwa msichana wa kawaida kijijini, lakini baada ya kuishi mjini kwa siku kadhaa tu, alikuwa tayari amejifunza mbinu za kutumia akili kuliko nguvu. Na sasa, alikuwa na mpango mpya siku inayofuata ....

Siku Ya Mpango: Jumamosi

Kulipokucha Neema alishtuka baada ya simu yake kuita kuja kutazama ni bibi yake alitoka kifuani kwa mumewe kipenzi na kupokea simu
" Shikamooo bibi"
" Marhaba hujambo?
" Sijambo bibi kwema ?
" Hapana sio.kwema "
Alishtuka na kukaa vizuri" kuna nini?
" Shangazi yako anaumwa nipo hospitali"
" Mmmmh anaumwa nini? Na homa imeanza saa ngapi?
" Njoo utajua vyote huku huku"
" Haya nakuja " Aliinuka haraka na kwenda kuoga maana shangazi yake ndio ka mlea baada ya mama yake kufa siku anazaliwa yeye na sasa anamuona shangazi kama mama yake ....
Alielekea bafuni na kuoga kisha kuvaa haraka haraka na sasa kavurugwa chezea mama wewe.......

Aliwaaga lakini alimwita House girl na kumwambia kuwa " sitaki kukuona umelala bila kufuri wavamizi ni wengi kisha akaondoka " Haihitaji D2 kuelewa inahitaji tu akili za kawaida kuelewa kuwa Baraka ni simba mla nyama kila windo lililopo mbele yake kwake ni chakula muhmu
Aziza alicheka na kusema " mwenyewe nataka hivo hivo nataka mwindaji kama Mume wako maana mawindo yake yananikosha sana ...

Aliondoka asubuhi na kuacha nyumba kwa Aziza na Baraka. Baraka aliamka na kwenda zake dukani, kama kawaida.Aziza alisema leo najuwa Dada atachelewa kurudi leo lazima Baraka aonje tunda lililomshinda adam. Akacheka na kuruka ruka ....

Muda huo baraka anaenda kazini lakini akili zipo kwa Aziza kwa kile alichokiona jana usiku kimeanza kumvuruga alijisemea kimoyomoyo" saa tano lazima nirudi nyumbani angalau hata nimuone tu"

Huko alipiga mishe zake zote ikiwa ni pamoja na kuhudumia wateja mbalimbali wengine walikuwa wakitaka pembejeo wengine wakitaka vitu mbalimbali aliwahudumia na ilipofika saa tano
alirudi nyumbani kupumzika kidogo. Na hapo ndipo mtego ulipokuwa tayari kuchezwa na binti Aziza .......

Aziza alimpokea Baraka akiwa amevalia gauni la kijivu lililomkaa kama ngozi ya ndizi mbivu. Lilikuwa limefungwa kwa mkanda wa dhahabu kiunoni na kufanya sura yake ya kiuno na makalio kuonekana kwa ustadi mkubwa. Lakini kilichovutia zaidi ni mdomo wake: rangi nyekundu ya lipstick, iliyopakwa kwa ustadi, na kutabasamu kwa heshima, lakini ndani yake kukiwa na jambo zito......

Baraka alisalimia tu kwa mkato, akapita na kwenda sebuleni. Aziza alikuwa kashapika haraka tambi za mayai na juisi ya parachichi, kisha akamletea. Baraka alipokuwa anakula, Aziza alikaa pembeni na kuanza mazungumzo ya kuvuta akili:

"Shemeji, unajua... kuna mambo huwa ninawaza sana... lakini sikuwahi kuyasema."

Baraka alimtazama kwa jicho la mashaka, ila alinyamaza.

"Unajua nimekuwa nikijisomea vitabu vya saikolojia. Kuna kitu wanaita emotional exposure... unapomwambia mtu unavyohisi, bila hofu, unaweza kumfanya naye ajisikie yuko huru kukuambia yake."

Baraka alikuna kichwa. "Hivi kweli unasoma vitabu hivyo na umeanza lini ? Ikiwa elimu yako ni ya kidato cha tatu tu?"

"Ndio. Najifundisha mwenyewe. Kwa mfano, mimi najua kuna mwanaume nikimweleza ukweli, atanishangaa. Lakini wewe si mtu wa kawaida. Wewe ni mwanaume wa busara... na nikikukosea, utasamehe."

Baraka aliinamisha kichwa. Moyoni alianza kuhisi ukaribu wa kisaikolojia. Hakujua kama tayari Aziza alikuwa ameshaanza kutumia mbinu ya kuvuta roho kabla ya kuvuta mwili.

Baada ya chakula, Aziza alimletea kijikaratasi. "Hii ni barua niliyoandika kwa mtu ambaye siwezi kumwambia machoni. Niliamua kuiandika, kama mazoezi ya hisia. Lakini kwa sababu wewe ni mtu pekee ninayemwamini hapa nyumbani, naomba usome. Lakini ukimaliza, unifute kabisa kwenye akili yako kama haijakugusa."

Baraka alichukua barua. Aziza aliondoka sebuleni. Barua ilisomeka hivi:

"Mpendwa wangu usiyejua unapendwa, Kila ninapokuona najisikia amani na furaha ya moyo sijuwi umenipa nini? Sijuwi umenifanyia nini? Toka siku ile umekula asali yangu napata mawazo sana najuwa sina elimu ila nina moyo uliyojaa upendo naomba kama utanikataa usimwambie dada fanya kama sijakwambia naomba usinikasirikie mimi ni binadamu nina moyo na nina penda sikuwaza kuwa na wewe lakini asali ushaitia kidole naomba uendelee kuilamba am sorry kama nimekukosea ,moyo wangu unalia kwa utulivu. Sitaki chochote kwako... zaidi ya kukufanya ufurahie maisha yako.

Lakini najua, hata ukiniona mimi, huwezi kuona zaidi ya mfanyakazi wa ndani. Sikupendi kwa sababu una pesa au nyumba. Nakupenda kwa sababu ulisimama na kunipa kitu ambacho sijawahi kupewa .

Kama kuna siku utanihitaji, hata kwa saa moja, nitakuja. Na nikija, sitakutaka uniahidi kitu. Nitakuja kama vile jua linavyokuja bila kuitwa.

ukimaliza kusoma ichane pleaseeee.....
****************"*************************
Baraka alimaliza kusoma barua hiyo na moyo wake ulipasuliwa kwa silaha ya maandishi. Hakuwahi kutamkiwa maneno ya namna hii. .

Alipoinua macho, alimkuta Aziza kasimama mbele yake, kimya, macho yakiwa yanamtazama.

"Samahani kama nimekuudhi... Nimeamua niseme sasa, kabla moyo wangu haujaumia zaidi. Nenda, ukitaka kusahau yote haya. Mimi nitaendelea kuheshimu ndoa yako."

Aligeuka kuondoka, lakini Baraka alimshika mkono.

Follow the HADITHI ZA KELVIN MLOWE ❤️✋🔥 channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Vaw5SzK7YSd3RKAO8G46

NB
SIJIBU MESEJI MESSENGER
WHATSAP TU
0699286085

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DADA WA KAZI EPISODE 8


Haya Tunaendelea pale pale tulipoishia ambapo Neema alikodowa macho baada ya kuona mlango wa house girl uko wazi. Na japo kwa mara ya kwanza taa ilikuwa inawaka lakini sasa imezima . Alisena leo ni siku ya fumanizi aliondoka mbio mbio kuelekea chumbani huko na kuwasha taaa akijuwa lazima mumewe awe ndani humo.

Lakini cha ajabu baada ya kuingia na kuwasha taa alimuona tu Aziza kalala hana jipya zaidi ya krooooooooo!!! Kama chura magamba ... Alijisemea moyoni mume wake atakuwa yuko wapi? Akaendelea kupepesa macho kufungua mapazia lakini hakumuona mtu . Aliinama na kutazama chini ya uvungu hakuona mtu..

Sasa huyu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dada-wa-kazi-episode-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dada-wa-kazi-episode
DADA WA KAZI  EPISODE ONE
DADA WA KAZI EPISODE ONE
DADA WA KAZI  EPISODE 2
DADA WA KAZI EPISODE 2
DADA WA KAZI – 🧨 “EPISODE 6
DADA WA KAZI – 🧨 “EPISODE 6
DADA WA KAZI ‎EPISODE 5
DADA WA KAZI ‎EPISODE 5
DADA WA KAZI EPISODE  4
DADA WA KAZI EPISODE 4
DADA WA KAZI  EPISODE 7
DADA WA KAZI EPISODE 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

966
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

817
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

635
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

368
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

182
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

157
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

91
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.52K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest