Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
01 Sep 2025
103 views
VYOTE NDANI GONGA94
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA EP 13.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nilijikuta naumia jinsi alivyo nikaanza kumuomba T tumpeleke hosptal, akasema nipambane nikapiga magoti kumuomba anisaidie make hali yangu sio nzuri pia na huyu yuko hoi, tumsaidie, T alinionea huruma tukamrudisha hosptal nikaanza kumuuguza, alivyokuja kupata fahamu akaniona alifurahi mno, akataka kuinuka lakini hakuwa na nguvu,alibaki kutoa tu machozi uku anauliza kwa sauti ya chini sana nilikuwa wapi? Kwanini nimemkimbia, sikuwa atanajibu zaidi ya kuria tu, uku nimemshika mkono, alifurahi mno, nililala pale pale hosptal, alikuwa na madoctor wake specil wawili tu, hakuna aliejua kama CEO yuko hosptal anaumwa make tulimuuguzia ofcn kwake, kwenye kale ka chumba kake...
Nilimuuguza baada ya wiki mbili akakaa sawa, tuliondoka wakati tunatoka watu wakawa wanashangaa, CEO kaja saa ngap, hawakupata majibu, nilienda nae adi kwake, aliomba niende kwake kwanza, nilitaka kukataa T alinitizama kwa jicho la jichanganye tu kama sijakuretea maiti yake kwako, nikaona niende tu, mtu mwenyewe akiri hana huru, tulifika kwake bonge la mjengo kuna mlinzi tu na mfanya usafi wa kiume...
Prisca alidanganywa na T kaka ake kapelekwa india kwenye matibabu akaamini,upande wangu nilikuwa kwenye wakati mgumu mno, make sikuwa nimesamee, na P alikuwa anaamini nimemsamee, ananishika shika tu ovyo, nikaanza kuigiza tu usingizi,akanipeleka kulala, cha ajabu chumbani kwake, na kulikuwa na picha yangu ukutani ya shule ya msingi na hii ya ukubwani, nilishtuka nikamtizama akaniambia naomba kwa leo tusiongee chochote cha nyuma nipe muda nitajieleza ila tu naomba usinichukie, usiniache bora unipe azabu nyingine, niko tayari kupokea lakini maumivu ya kuniacha ni makari sana siwezi kuyavumilia kabisa siwezi mamy
Full 1000
Whatsp 0784468229
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
SHAMIRA sehemu ya 13&14
Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipe...
Kipande cha 10 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jio...
Nilijikuta naumia jinsi alivyo nikaanza kumuomba T tumpeleke hosptal, akasema nipambane nikapiga magoti kumuomba anisaidie make hali yangu sio nzuri pia na huyu yuko hoi, tumsaidie, T alinionea huruma tukamrudisha hosptal nikaanza kumuuguza, alivyokuja kupata fahamu akaniona alifurahi mno, akataka kuinuka lakini hakuwa na nguvu,alibaki kutoa tu machozi uku anauliza kwa sauti ya chini sana nilikuwa wapi? Kwanini nimemkimbia, sikuwa atanajibu zaidi ya kuria tu, uku nimemshika mkono, alifurahi mno, nililala pale pale hosptal, alikuwa na madoctor wake specil wawili tu, hakuna aliejua kama CEO yuko hosptal anaumwa make tulimuuguzia ofcn kwake, kwenye kale ka chumba kake...
Nilimuuguza baada ya wiki...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/doctor-boss-anataka-tena-ep-13
Maoni