Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
25 Aug 2025
90 views
VYOTE NDANI GONGA94
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA ๐ฅฐ EP 5.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nimekuja kuamshwa saa moja kasoro, nikainuka nikamshukuru, nikaanza kuondoka alibaki kaganda, kumbe hakuwa amenitizama vizuli chini nina kiuno nyigu afu likafungasha wowowo la kushtua mioyo ya wapenda mitikiso, na kupata wowowo kama langu uku ni nadra sana, yani in short ni kitu adimu, sio kubwa sana nilile la kuvutia haswaa,na leo nimevaa suruali sikuvaa gauni ndio maana limeonekana sana, gauni nilishona fupi lakini pana ni ngumu kuliona linaonekana kwa mbari...
Alijikuta ananishaangaa mpaka naishilia, ndo akajipiga kichwa, aliwaza mno kuniambia ananipenda anaogopa, ila kwa hali ilivyo akaona kabisa bora tu aseme, alitoka kunikimbilia hakunipata, akaamua kuwasha gari mpaka kwangu, alivyofika mimi sikuwa bado nimefika, akapanic akatoa simu anipigie,akaona tax inafika akaghaili, nimeshuka kwenye tax nashangaa uyu nae vipi๐, nilisogea nikafungua nakumkalibisha japo ni chumba kimoja,aliingia akatizama mazingira akanisifia, mimi msafi na najua kupangiria nyumba, ata sikujibu chochote make nilikuwa najiuliza kafata nini hapa, niliona acha tu nipashe ata chai waafrica na ukarimu tena watanzania nikama tulizaliwa nao tu, siwezi acha mgeni akaondoka bila kupata chochote kitu, nilipika chai jamani ilikuwa chai kweli sikuchemsha nilipika, chai inanukiaaa balaaa, nilijua kutesa pua za wazungu na hii chai yangu, hakuna anaejua kuipika uku zaidi ya mimi na mama angu, ata mdogo wangu tu chauvivu hajui...
Niliandaa na tambi za nyama ya kusaga, nikaunga mtoto wa kike nikaenda kutenga na kumkaribisha Boss wangu, ata hakubisha, wala kuvunga, chai huwa napika nyingi kwa sababu mchana sipendi kupika nashindia chai tu, sasa mwamba si akanywa chai yangu yote, nikaambulia kikombe kimoja amekuja kushtuka anaongeza imeisha, akanitizama kwa aibu nikamwambia, usijali CEO, nitakuandalia nyingine inaonekana umeipenda, akasema " apana D usijichoshe, hii chai yako ata ukinipikia ndoo nzima nitamaliza yani nimeipenda sana, unaweza kunifundisha na mimi?, nikajibu ndio sio kazi naweza kukuelekeza, ata kwa mdomo tu na ukaenda kuandaa, aliomba nimtajie naweka nini, nilimtajia akaandika vyote, na maelekezo...
Alivyomaliza nilitoa vyombo, akaja ety aoshe hee nimekuria uzunguni lakini damu ya africa iko mwilini mwangu, nilimzuia akakatalia kuosha nikaona sasa hapa kazi ipo, nikamuacha mimi naosha yeye anasuuza nikamaliza nikavuta maji vyombo vyangu na yeye akawa anafanya vile vile,tumemaliza tukakaa kutizama tv apo tupo kwenye sofa moja, la watu wawili nikashangaa , CEO ananisogelea zaidi, nikageuka kumtizama kwa hamaki๐,hakujali akasogea kisha akaleta mkononwake kiunoni kwangu, kwa hisia sana macho yake yalionesha hisia...
Kupata mwendelezo ...
Itaendelea...๐ฅ
Full 1000
Whatsp
0784468229
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
SHAMIRA sehemu ya 13&14
Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipe...
Kipande cha 10 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jio...
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA ๐ฅฐ EP 5.
Nimekuja kuamshwa saa moja kasoro, nikainuka nikamshukuru, nikaanza kuondoka alibaki kaganda, kumbe hakuwa amenitizama vizuli chini nina kiuno nyigu afu likafungasha wowowo la kushtua mioyo ya wapenda mitikiso, na kupata wowowo kama langu uku ni nadra sana, yani in short ni kitu adimu, sio kubwa sana nilile la kuvutia haswaa,na leo nimevaa suruali sikuvaa gauni ndio maana limeonekana sana, gauni nilishona fupi lakini pana ni ngumu kuliona linaonekana kwa mbari...
Alijikuta ananishaangaa mpaka naishilia, ndo akajipiga kichwa, aliwaza mno kuniambia ananipenda anaogopa, ila kwa hali ilivyo akaona kabisa bora tu aseme, alitoka kunikimbilia hakunipata, akaamua kuwasha gari mpaka kwangu, alivyofika mimi...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/doctor-boss-anataka-tena-ep-5
Maoni