Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  never give up harmonize

DOCTOR BOSS ANATAKA TENA 🥰 EP 5.

25th Aug, 2025 Views 32


Nimekuja kuamshwa saa moja kasoro, nikainuka nikamshukuru, nikaanza kuondoka alibaki kaganda, kumbe hakuwa amenitizama vizuli chini nina kiuno nyigu afu likafungasha wowowo la kushtua mioyo ya wapenda mitikiso, na kupata wowowo kama langu uku ni nadra sana, yani in short ni kitu adimu, sio kubwa sana nilile la kuvutia haswaa,na leo nimevaa suruali sikuvaa gauni ndio maana limeonekana sana, gauni nilishona fupi lakini pana ni ngumu kuliona linaonekana kwa mbari...

Alijikuta ananishaangaa mpaka naishilia, ndo akajipiga kichwa, aliwaza mno kuniambia ananipenda anaogopa, ila kwa hali ilivyo akaona kabisa bora tu aseme, alitoka kunikimbilia hakunipata, akaamua kuwasha gari mpaka kwangu, alivyofika mimi sikuwa bado nimefika, akapanic akatoa simu anipigie,akaona tax inafika akaghaili, nimeshuka kwenye tax nashangaa uyu nae vipi🙄, nilisogea nikafungua nakumkalibisha japo ni chumba kimoja,aliingia akatizama mazingira akanisifia, mimi msafi na najua kupangiria nyumba, ata sikujibu chochote make nilikuwa najiuliza kafata nini hapa, niliona acha tu nipashe ata chai waafrica na ukarimu tena watanzania nikama tulizaliwa nao tu, siwezi acha mgeni akaondoka bila kupata chochote kitu, nilipika chai jamani ilikuwa chai kweli sikuchemsha nilipika, chai inanukiaaa balaaa, nilijua kutesa pua za wazungu na hii chai yangu, hakuna anaejua kuipika uku zaidi ya mimi na mama angu, ata mdogo wangu tu chauvivu hajui...

Niliandaa na tambi za nyama ya kusaga, nikaunga mtoto wa kike nikaenda kutenga na kumkaribisha Boss wangu, ata hakubisha, wala kuvunga, chai huwa napika nyingi kwa sababu mchana sipendi kupika nashindia chai tu, sasa mwamba si akanywa chai yangu yote, nikaambulia kikombe kimoja amekuja kushtuka anaongeza imeisha, akanitizama kwa aibu nikamwambia, usijali CEO, nitakuandalia nyingine inaonekana umeipenda, akasema " apana D usijichoshe, hii chai yako ata ukinipikia ndoo nzima nitamaliza yani nimeipenda sana, unaweza kunifundisha na mimi?, nikajibu ndio sio kazi naweza kukuelekeza, ata kwa mdomo tu na ukaenda kuandaa, aliomba nimtajie naweka nini, nilimtajia akaandika vyote, na maelekezo...

Alivyomaliza nilitoa vyombo, akaja ety aoshe hee nimekuria uzunguni lakini damu ya africa iko mwilini mwangu, nilimzuia akakatalia kuosha nikaona sasa hapa kazi ipo, nikamuacha mimi naosha yeye anasuuza nikamaliza nikavuta maji vyombo vyangu na yeye akawa anafanya vile vile,tumemaliza tukakaa kutizama tv apo tupo kwenye sofa moja, la watu wawili nikashangaa , CEO ananisogelea zaidi, nikageuka kumtizama kwa hamaki🙄,hakujali akasogea kisha akaleta mkononwake kiunoni kwangu, kwa hisia sana macho yake yalionesha hisia...
Kupata mwendelezo ...

Itaendelea...💥

Full 1000
Whatsp
0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOCTOR BOSS ANATAKA TENA 🥰 EP 5.  >>> https://gonga94.com/semajambo/doctor-boss-anataka-tena-ep-5

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
never give up harmonize
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
VERY HANDSOME ?Lover boy??
VERY HANDSOME ?Lover boy??

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest