DOCTOR BOSS ANATAKA TENA❤ EP 14.--15
Nilikaa tu kimya,alisogea akanikumbatia akaniomba nipumzike nitakuwa nimechoka sana, alibusu tumboni, akaomba nilale nikaomba nioge kwanza, nilivyosema tu ivyo tamaa za mgonjwa zikaanza kuiva, nilianza kumshakia, akaamua kuondoka tu chumbani, make kunibaka kwake ni jambo dogo sana, niliingia bafuni nikaoga, nikatafuta nguo ya kuvaa, nikaona kujichosha, nikabuta shat yaje nikavaa, na kipens chake, nimemaliza kuvaa akaingia alivyoniona tu kwanza akatabasamu...
Nakunisifia nimependeza niwe tu navaa shart zake, nilijikuta th nacheka, kumbe mtoto wa watu nazidi kumtia majaribuni, mate yakawa yanakwama ayafiki kunakotakiwa vizuri, akaamua kunikumbatia kwa nguvu, uku anavibrate anasema nakupenda sana mama k wangu, naomba usiniache nakuhitaji sana, tukiwa bado tumekumbatiana simu yangu ikaanza kuita alikuwa ni mama angu, anaulizia hali yangu,ongea yake ilinitisha nikauliza mama kuna tatizo gani?...
Akasema hamna tatizo tuko sawa, ila tulikuwa tunaomba uje utusaidie kusain lile eneo la hapa pembeni yetu, ili tumalizie ada yako, na tupate pesa ya kujikimu, niliumia kimya kimya nikakubali ila hofu ilikuwa kubwa vipi wakijua mimi ni mjamzito, kumbe mdogo wangu alikuwa anaumwa na hawana pesa, na mama amenificha,uzuri nilikuwa na zile pesa alizonipa P, kipindi kile, P alikuwa pembeni, na alisikia make simu yangu haina siri, aliona hofu yangu, na jinsi ninavyohangaika kama nataka kutuma, alininyakuwa simu, akachukua simu yake, akaomba nitumie simu yake kufanya ninachotaka kukifanya...
P hujui tu,naomba simu yangu basi, " D ambacho hukijui tu, mmeo nina king' ang'anizi, na sitaki mwanamke wangu ajihudumie, ama aumizwe na jambo lolote na mimi nipo, yani sitaki ufanye chochote kwa pesa yako, naumia ukifanya hivyo nataka kila kitu nigharamie mwenyewe, nilimtizama tu akaona namzingua akashika akapiga simu ya mama, nilishtuka akaniambia nitulie, mama alipokea wakasalimiana akajitambulisha ni rafki yangu...
" Mama wakatu unapiga simu nilikuwa jirani nae, kwa sasa sio vyema akaja nyumbani na mitihani imekaribia, naomba mama nilipie afa na nikutumie pesa ya kujikimu huko, tafadhali mama angu usikatae baraka ya kijana wako kea mala ya kwanza nitajisikia vibaya sana, mama aliletwa kudengua kijana akakaza mpaka mama akamtumia acount no, skatumiwa pesa nyingi mpaka zikamshtua mama akahisi,mimi sikuambiwa kumbe katuma dola elf 380200, ni sawa na ml 100 za kibongo...
Mama alimpigia, akamuuliza kama kakosea, mbona pesa nyingi katuma,alisema hapana, mama akahisi huyu sio rafki tu juu juu, akambana P, unaweza kunieleza kwa undani uhusiano wenu? , aah mama ukweli mimi nataka kumuoa D, nilishtuka, mpaka nikasimama na nilikuwa nimekaa...
EP 15.
Akaambiwa na mama, hakikisha mnafanya haraka, kitamaduni yetu sisi, mchumba anakuja nyumbani moja kwa moja sio kufanya siri,na hatupendi kucherewesha mambo, kama kweli mmeamua naomba ufike nyumbani tukukabidhi sisi wazazi, P alikubari nakuomba samahani atafika nyumbani, mimi nilikuwa nimeganda kama sanamu tu,nashangaa, mama alimshukuru P nakumkaribisha nyumbani...
P alifurahi, furaha ikapitiliza akawa ananichum tu uku anasema nakuoenda D, siku nitajayokabidhiwa wewe kwangu kwa saini kabisa na mashaidi itakuwa siku ya kipekee sana maishani mwangu, nitakuwa mtu mwenye furaha mno kuwa na wewe, i wish iwe ata leo, aliluka luka kwa furaha, mala mama akanitwangia, ngoma ikaanza kwa kiswahili mama ashahisi tuko wote, nikajua kabisa hapa napewa vyangu, " ehee unaweza ukaniambia umeanza lini wanaume,unajua utaratibu wa kiafrica vizuri sana au unaogopa kumreta kwenu pabaya, ushakuwa mwanachuo sasa ya kwenu ni aibu, jamani nilijieleza mpaka tunafika mwisho nimekipata cha moto, nikaambiwa kabisa kwanza akaota mimba isijekuwa nina mimba nilishtuka, mpaka nikamshika P kwa uoga...
P akawa haelewi, nilikata pale pale simu na kuizima, nikaanza kuongea kwa uoga mama anahisi nina mimba nitajibu nini P naogopa,kwetu ni marufuku, kuzalia nyumbani, kama mwanaume anakutaka anatakiwa kwenda nyumbani moja kwa moja, upande wa mama kengere ya hatari ikapiga, hakuremba akamtwangia P, nilivyoona tu nikawa nammbembeleza P asipokee, P akanituliza akanambia dawa ya tatizo sio kulikimbia, atarekebisha kila kitu, nitulie...
Simu ilikata ikapigwa tena ya kiafrica yameamka, nikawa nazunguka tu kama kichaa, P akakata afu akapiga yeye, mama akapokea fasta, akasema nipewe simu sipatikani, P kwa unyonge akanipa mama akataka majibu, nilianza tu kujikanyaga kanyaga, mama akapiga ukunga, analia P akachukua simu akamwambia mama, naomba unipe tu maelekezo ata sasa hivi niko tayari kufata taratibu zote ni vile tu sikujua aliomba msamaa, akapewa utaratibu na mama, akasema ataenda kesho na mimi aliambiwa twende wote, na fain asisahau....
Alinitizama akaomba nirelax atamaluza kila kitu bila shida, anianza kunimbembeleza adi nikalala, akaingia mtandaoni akaanza kutafuta nchi yetu na utaratibu kwa undani zaidi, akapata madarari wa Tanzania akamlia pesa amufafanulie utaratibu ulivyo, akapewa maelekezo akaambia pia ata kama wazazi wako nje itabidi sheree ije ifanyikiwe Tanzania,alipewa mpaka utaratibu wa mahari na kama umempa mimba kuna fain afu kuna mahari, na usipowahi mke anaozeshwa na familia kwa yeyote ili kuondoa aibu, wee P kusikua ivo akaona kumbe anatakiwa kuwahi..
Itaendelea...💥
Full 1000
Whatsp 0784468229
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi



Maoni