Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 DOCTOR BOSS ANATAKA TENA❤ EP 14.--15
Gonga94 · Stories

DOCTOR BOSS ANATAKA TENA❤ EP 14.--15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nilikaa tu kimya,alisogea akanikumbatia akaniomba nipumzike nitakuwa nimechoka sana, alibusu tumboni, akaomba nilale nikaomba nioge kwanza, nilivyosema tu ivyo tamaa za mgonjwa zikaanza kuiva, nilianza kumshakia, akaamua kuondoka tu chumbani, make kunibaka kwake ni jambo dogo sana, niliingia bafuni nikaoga, nikatafuta nguo ya kuvaa, nikaona kujichosha, nikabuta shat yaje nikavaa, na kipens chake, nimemaliza kuvaa akaingia alivyoniona tu kwanza akatabasamu...

Nakunisifia nimependeza niwe tu navaa shart zake, nilijikuta th nacheka, kumbe mtoto wa watu nazidi kumtia majaribuni, mate yakawa yanakwama ayafiki kunakotakiwa vizuri, akaamua kunikumbatia kwa nguvu, uku anavibrate anasema nakupenda sana mama k wangu, naomba usiniache nakuhitaji sana, tukiwa bado tumekumbatiana simu yangu ikaanza kuita alikuwa ni mama angu, anaulizia hali yangu,ongea yake ilinitisha nikauliza mama kuna tatizo gani?...

Akasema hamna tatizo tuko sawa, ila tulikuwa tunaomba uje utusaidie kusain lile eneo la hapa pembeni yetu, ili tumalizie ada yako, na tupate pesa ya kujikimu, niliumia kimya kimya nikakubali ila hofu ilikuwa kubwa vipi wakijua mimi ni mjamzito, kumbe mdogo wangu alikuwa anaumwa na hawana pesa, na mama amenificha,uzuri nilikuwa na zile pesa alizonipa P, kipindi kile, P alikuwa pembeni, na alisikia make simu yangu haina siri, aliona hofu yangu, na jinsi ninavyohangaika kama nataka kutuma, alininyakuwa simu, akachukua simu yake, akaomba nitumie simu yake kufanya ninachotaka kukifanya...

P hujui tu,naomba simu yangu basi, " D ambacho hukijui tu, mmeo nina king' ang'anizi, na sitaki mwanamke wangu ajihudumie, ama aumizwe na jambo lolote na mimi nipo, yani sitaki ufanye chochote kwa pesa yako, naumia ukifanya hivyo nataka kila kitu nigharamie mwenyewe, nilimtizama tu akaona namzingua akashika akapiga simu ya mama, nilishtuka akaniambia nitulie, mama alipokea wakasalimiana akajitambulisha ni rafki yangu...

" Mama wakatu unapiga simu nilikuwa jirani nae, kwa sasa sio vyema akaja nyumbani na mitihani imekaribia, naomba mama nilipie afa na nikutumie pesa ya kujikimu huko, tafadhali mama angu usikatae baraka ya kijana wako kea mala ya kwanza nitajisikia vibaya sana, mama aliletwa kudengua kijana akakaza mpaka mama akamtumia acount no, skatumiwa pesa nyingi mpaka zikamshtua mama akahisi,mimi sikuambiwa kumbe katuma dola elf 380200, ni sawa na ml 100 za kibongo...

Mama alimpigia, akamuuliza kama kakosea, mbona pesa nyingi katuma,alisema hapana, mama akahisi huyu sio rafki tu juu juu, akambana P, unaweza kunieleza kwa undani uhusiano wenu? , aah mama ukweli mimi nataka kumuoa D, nilishtuka, mpaka nikasimama na nilikuwa nimekaa...

EP 15.
Akaambiwa na mama, hakikisha mnafanya haraka, kitamaduni yetu sisi, mchumba anakuja nyumbani moja kwa moja sio kufanya siri,na hatupendi kucherewesha mambo, kama kweli mmeamua naomba ufike nyumbani tukukabidhi sisi wazazi, P alikubari nakuomba samahani atafika nyumbani, mimi nilikuwa nimeganda kama sanamu tu,nashangaa, mama alimshukuru P nakumkaribisha nyumbani...

P alifurahi, furaha ikapitiliza akawa ananichum tu uku anasema nakuoenda D, siku nitajayokabidhiwa wewe kwangu kwa saini kabisa na mashaidi itakuwa siku ya kipekee sana maishani mwangu, nitakuwa mtu mwenye furaha mno kuwa na wewe, i wish iwe ata leo, aliluka luka kwa furaha, mala mama akanitwangia, ngoma ikaanza kwa kiswahili mama ashahisi tuko wote, nikajua kabisa hapa napewa vyangu, " ehee unaweza ukaniambia umeanza lini wanaume,unajua utaratibu wa kiafrica vizuri sana au unaogopa kumreta kwenu pabaya, ushakuwa mwanachuo sasa ya kwenu ni aibu, jamani nilijieleza mpaka tunafika mwisho nimekipata cha moto, nikaambiwa kabisa kwanza akaota mimba isijekuwa nina mimba nilishtuka, mpaka nikamshika P kwa uoga...

P akawa haelewi, nilikata pale pale simu na kuizima, nikaanza kuongea kwa uoga mama anahisi nina mimba nitajibu nini P naogopa,kwetu ni marufuku, kuzalia nyumbani, kama mwanaume anakutaka anatakiwa kwenda nyumbani moja kwa moja, upande wa mama kengere ya hatari ikapiga, hakuremba akamtwangia P, nilivyoona tu nikawa nammbembeleza P asipokee, P akanituliza akanambia dawa ya tatizo sio kulikimbia, atarekebisha kila kitu, nitulie...

Simu ilikata ikapigwa tena ya kiafrica yameamka, nikawa nazunguka tu kama kichaa, P akakata afu akapiga yeye, mama akapokea fasta, akasema nipewe simu sipatikani, P kwa unyonge akanipa mama akataka majibu, nilianza tu kujikanyaga kanyaga, mama akapiga ukunga, analia P akachukua simu akamwambia mama, naomba unipe tu maelekezo ata sasa hivi niko tayari kufata taratibu zote ni vile tu sikujua aliomba msamaa, akapewa utaratibu na mama, akasema ataenda kesho na mimi aliambiwa twende wote, na fain asisahau....

Alinitizama akaomba nirelax atamaluza kila kitu bila shida, anianza kunimbembeleza adi nikalala, akaingia mtandaoni akaanza kutafuta nchi yetu na utaratibu kwa undani zaidi, akapata madarari wa Tanzania akamlia pesa amufafanulie utaratibu ulivyo, akapewa maelekezo akaambia pia ata kama wazazi wako nje itabidi sheree ije ifanyikiwe Tanzania,alipewa mpaka utaratibu wa mahari na kama umempa mimba kuna fain afu kuna mahari, na usipowahi mke anaozeshwa na familia kwa yeyote ili kuondoa aibu, wee P kusikua ivo akaona kumbe anatakiwa kuwahi..

Itaendelea...💥

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOCTOR BOSS ANATAKA TENA❤ EP 14.--15



Nilikaa tu kimya,alisogea akanikumbatia akaniomba nipumzike nitakuwa nimechoka sana, alibusu tumboni, akaomba nilale nikaomba nioge kwanza, nilivyosema tu ivyo tamaa za mgonjwa zikaanza kuiva, nilianza kumshakia, akaamua kuondoka tu chumbani, make kunibaka kwake ni jambo dogo sana, niliingia bafuni nikaoga, nikatafuta nguo ya kuvaa, nikaona kujichosha, nikabuta shat yaje nikavaa, na kipens chake, nimemaliza kuvaa akaingia alivyoniona tu kwanza akatabasamu...

Nakunisifia nimependeza niwe tu navaa shart zake, nilijikuta th nacheka, kumbe mtoto wa watu nazidi kumtia majaribuni, mate yakawa yanakwama ayafiki kunakotakiwa vizuri, akaamua kunikumbatia kwa nguvu, uku anavibrate anasema nakupenda sana mama k wangu, naomba usiniache nakuhitaji sana, tukiwa bado...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/doctor-boss-anataka-tena-ep-14-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi doctor-boss-anataka-tena-ep
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA❤ EP 7...8
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA❤ EP 7...8
 DOCTOR BOSS ANATAKA TENA ❤ EP 12.
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA ❤ EP 12.
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA EP 13.
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA EP 13.
 DOCTOR BOSS ANATAKA TENA 🥰 EP 5.
DOCTOR BOSS ANATAKA TENA 🥰 EP 5.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest