Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11
Gonga94 · Stories

Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Nilipata woga, nikakaa pale. Tulianza kula kuku, chips, kaa wa baharini, na vitu vingine ambavyo sikuvijua. Beatus alikuwa busy nami, akiniwekea nyama kwenye sahani. Scott alikuwa anavuta sigara, akiangalia tu. Tulimaliza, tukarudi majini. Nilipenda kuogelea, kwani tukiwa wadogo tuliogelea mtoni. Jioni ikafika, baridi ikazidi, tukaenda kuoga, tukavaa, tukarudi kukaa. Scott alikuwa amenuna, huku Beatus akinijali kila kitu. Tulikula chakula cha usiku, kisha saa sita tukaondoka. Beatus alichukua namba yangu, akasema atanipigia, amependa kampuni yangu. Sikusita, kwani Scott alionekana hana muda nami.
Tuliondoka na Scott kwa gari lake, wnikaogopa. magari yao. Scott alikuwa kimya hadi nyumbani, nikaogopa. Tulifika, Masai akafungua geti. Scott akauliza kama kuna jipya, Masai akasema hakuna. Akaipaki gari, akasema, “Shuka.” Nikashuka, nikaingia ndani, akasema, “Funga mlango.” Nikasema, “Sawa.” Akapanda juu, mimi nikafunga milango. Nikiwa naandisha, nikichat na Neema—hana usingizi, anapenda umbea—simu ikaita. Nikapokea, “Hellow?” Alikuwa Beatus, akasema, “Save namba yangu.” Nikasema, “Ahaa, kumbe Beatus.” Akasema, “Mmefika salama?” Nikasema, “Ndiyo.” Nikiingia chumbani, akasema, “Lini nakuona, mtoto mzuri?” Nikasema, “Sijui.” Akasema, “Kesho ni Jumapili, inakuwaje?” Kabla sijajibu, mlango ukafunguliwa, Scott akiwa amekasirika sana, akachukua simu, akaikata.
Niliogopa, akasema, “Una matatizo gani? Una nyege, si ndiyo?” Nikasema, “Asubuhi ulikuwa unaniambia nini? Au sio wewe?” Nikaona haya, nikaangalia chini. Akasema, “Si nakuuliza, Zawadi? Ulitaka nini kwangu? Na sasa unafanya nini na rafiki yangu?” Nikamuangalia—kumbe Beatus ni rafiki yake? Simu ikaita tena, Scott akapokea, akasema, “Beatus, jiheshimu!” Sijui Beatus alimjibu nini, akakata. Akanisogelea, akawa karibu sana, akashika kidevu changu, akanyanyua uso wangu—yeye ni mrefu. Alinipiga busu la mdomo, rahabu ikanipanda, nikafumba macho, nikamuachia mdomo. Alininyonya vizuri, akanisogeza kitandani, akanilaza, akaja juu yangu.
Akaacha kuninyonya, akasema, “Ulimaanisha ulichosema asubuhi?” Nikasema, “Ndiyo.” Akasema, “Na Beatus je?” Nikasema, “Nilimpa namba tu kwa sababu ni rafiki yako.” Akasema, “Sitaki uwe karibu na mwanaume yeyote tena, sawa?” Nikasema, “Sawa.” Akaendelea kunivua nguo, nikabaki mtupu, naye akatoa zake. Sikuona jambo geni—nilishaona mchunga ng’ombe akimudu Neema—lakini uume wa Scott ulikuwa tofauti, umefunikwa na nyama. Nikakumbuka maneno ya Neema ya unyago, nikajiapiza kufanya yote. Scott alifanya taratibu, nikashindwa kufanya mbwembwe kama nilivyopanga. Alimaliza, akasema, “Sitaki mwanaume mwingine akuguse. Kuanzia leo, wewe ni mke wa Scott, sawa?” Nikasema, “Sawa.”
Tulilala hadi asubuhi, hakunigusa tena. Asubuhi ya Jumapili, niliamka mapema kama kawaida, nilitaka kutoka kitandani, akazuia, akasema, “Lala, unawahi wapi?” Nikasema, “Nataka kufanya usafi.” Akasema, “Tulia, bado nakutaka kitandani.” Nikaona aibu, nikawaza, “Nimefanya nini?” Akasema, “Nambie, unajisikiaje?” Nikasema, “Safi.” Akasema, “Huna maumivu huku?” Akanigusa sehemu za siri, nikaona aibu. Alirudia kumudu, nikafurahia. Tulishinda ndani, usiku tukala nje, kwani alitaka kuangalia mpira.
Wiki ilipita, watoto wake wakafunga shule, akawachukua, wakarudi nyumbani. Walikuwa wakorofi sana, kila niwafanyie wanaona kama nawakera. Nilipata wakati mgumu. Tabia hii ilianza waliporudi, ikijengwa na mama yao aliyekuwa na roho mbaya nami. Walinituma kama mtumwa, ingawa baba yao aliwakataza akiwa nyumbani. Mapenzi yangu na Scott yalikuwa ya siri, hataki watoto wajue. Usiku, nilienda chumbani kwake, tukafanya yetu, nikarudi kwangu. Watoto walilia, wakiwataka mama yao. Lulu alikuwa darasa la nne, Zawadi Mdogo darasa la pili. Nikawaambia kitu, hawakutaka, walilia tu, wakiwataka mama yao. Baba yao akirudi, walilia, wakiwataka mama yao. Nilikuwa kama kero.
Usiku mmoja, nikiwa na Scott, nikasema, “Inakuwaje kuhusu watoto? Wanamtaka mama yao.” Akasema, “Walie, watanyamaza, simtaki hapa.” Nikasema, “Wapeleke kwa mama yao wakae kidogo.” Akasema, “Hapana, najua mazingira yake, sitaki waende, watapata roho mbaya kama yeye.” Nikasema, “Utafanyaje?” Akasema, “Nitajua, waache walie.” Nikasema, “Sawa.” Siku tano zikapita, watoto wanagoma hata kula, wanalia tu. Nikamwambia Neema, akasema, “Huyo mwanamke anawafundisha ili arudi. Usimuachie nyumba!” Nikasema, “Lakini watoto wanache, yeye mwezi mzima hapa.” Akasema, “Wachimbe mkwara. Waache, yeye ataamua.”
Siku iliyofuata, niliomba pesa, nikaenda kununua nguo. Scott alinitumikia sana, hakuna nilichoomba akakataa. Nilianza kusuka nywele, kujiremba, nikapendeza. Nilienda duka la nguo za mtumba kama Neema alivyoniagiza. Nikamkuta mkaka anayeitwa Keanu, nikamwambia nataka nguo nzuri. Akasema, “Usijali, umepata.” Akanitolea nguo, nikapima, nikazichukua kwa msaada wake. Alisema, “Zote zinakupendeza kwa sababu una damu ya nguo, na umeumbika. Hata uvae gunia, unapendeza!” Nikacheka, nikasema, “Unanisifia ili ninunue!” Akasema, “Sio hivyo.” Nikachukua nguo nyingi, nikalipia.
Akanisalimia, akasema, “Jina lako nani?” Nikasema, “Zawadi.” Akasema, “Unaweza nipa namba yako nikutumie nguo nzuri zikija?” Nikasema, “Sina simu ya hivyo.” Akasema, “Msichana mrembo kama wewe akose simu?” Nikasema, “Sina mahitaji nayo.” Akacheka, akasema, “Ningekuwa na mwanamke kama wewe, ningekupa kila kitu.” Nikacheka, nikasema, “Nachelewa, chukua namba.” Akachukua, nikasave yake, nikaondoka. Alinipa jeans na top kama zawadi. Nilifurahi, nikarudi nyumbani. Masai hakuwapo getini, nikaingia moja kwa moja.
Nikaingia sebuleni, nikaiita, “Lulu! Lulu!” Nilitaka kuwasalimia. Lulu hakujibu, lakini nikaskia, “Unashida gani na mwanangu?” Alikuwa mama yao, ametoka jikoni na Lulu, amevaa kanga na jezi, kama amefika kitambo na kupika… Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11




Nilipata woga, nikakaa pale. Tulianza kula kuku, chips, kaa wa baharini, na vitu vingine ambavyo sikuvijua. Beatus alikuwa busy nami, akiniwekea nyama kwenye sahani. Scott alikuwa anavuta sigara, akiangalia tu. Tulimaliza, tukarudi majini. Nilipenda kuogelea, kwani tukiwa wadogo tuliogelea mtoni. Jioni ikafika, baridi ikazidi, tukaenda kuoga, tukavaa, tukarudi kukaa. Scott alikuwa amenuna, huku Beatus akinijali kila kitu. Tulikula chakula cha usiku, kisha saa sita tukaondoka. Beatus alichukua namba yangu, akasema atanipigia, amependa kampuni yangu. Sikusita, kwani Scott alionekana hana muda nami.
Tuliondoka na Scott kwa gari lake, wnikaogopa. magari yao. Scott alikuwa kimya hadi nyumbani, nikaogopa. Tulifika, Masai akafungua geti. Scott...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/hadithi-hii-ina-maudhui-ya-watu-wazima-inafaa-kwa-walio-na-umri-wa-miaka-18-na-kuendelea-tafadhali-s

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi hadithi-hii-ina-maudhui-ya-watu-wazima-inafaa-kwa-walio-na-umri-wa-miaka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

1.26K
*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

716
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

488
*AFANDE MILLAN😎* *57&58

*AFANDE MILLAN😎* *57&58

422
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

345
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.

257
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

218
SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.

210
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

188
SHAMIRA 52 to 53

SHAMIRA 52 to 53

179

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.72K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.92K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN😎* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mrembo😋,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu 🔥) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

SHAMIRA Sehemu ya 51 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 51
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi na aisha hakuchelewa sna akaleta vifaa vyangu na kadi langi la clinic pale.mimi sielewi nikawa nasema jamani nipelekeni nikazae naumwa sana. Manurse...

SHAMIRA 49 to 50 Post Mpya
SHAMIRA 49 to 50
@majario LIVE

Sehemu ya 49 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto Uyu mtotot akizaliwa .mimi...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.
@majario LIVE

48 MWISHOOO 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Kesho yake mapema sana . Posa ya baraka ililetwa kwetu. Baba akaipokea nimksema mahari. Apo sasa ilibidi nimpigie adrian kua mimi naolewa.akanmbia aha sawa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.
@majario LIVE

46 MPAKA 47 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Yani nilibaki kimya namuangalia tu ata la kusema sina na wazazi wanatuangalia. Akanmbia shakira. Tusijitese mama angu. Tuanglie mioyo yetu.mimi naelewa shakira unanipenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Na baada ya mda sasa ndo baraka akaingia. Kapoa kweli kweli na tangia zamani ana sura ya upole ndo akazidi nakwambia. Nna hasira nae...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest