Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
Gonga94 Β· Stories

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mwandishi:lissa mwalla
Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama mbele yangu na Si binadam tena, nilianza kundoka mana niliona kabisa hasira nilizokua nazo naweza fanya tukio la ajabu sana dunia ikanishanga, nilivokua naondoka reyhan alianza kunifata huku anasrma nakufananisha au n wewe? Etii simama basi wewe sio tayla was morogoro? Nilizidi umia sikugeuka akinikimbilia akanikuta akanishika mkono niligeuka na kibao cha nguvu kilimshukia kwenye uso wake, halafu nikasema usinishike shetani wewe, rey alijishika akasema sasa nimefanya nn unanipiga? Nikamsonya tu, nikaendelea kuondoka alinifata yn alikua kama ametumwa, akasema tayla mm nimekukosea nn? Nikasema umesahau? Umesahau nakuuliza? Unajifanya ulinisahau mm siwezi kukisahau wewe shetani mnyama ww, ulinitendea Yale ukaharibu utu wangu nikiwa bado mtoto mdogo miaka 13 na nakwambia hivi uliyonitenda mm yatakurudia tena na Ww utalia na kuhuzunika pale yatakapokukuta, sitaki kuongea na Ww wala sitaki kuona uo uso wako tena maishani mwanangu, nakuchukia kiasi kwamba niko tyr kwenda jehanam kwa kosa la kukuchukia ww .rey akasema tayla niko chini ya miguu yako najua nilikosea na nilikuja kwenye moro angalau nikuone lkn nilikuta mmehama, tayla nilikua mdogo pia mjinga sana sikufkiria kilr nilichofanya nakuomba sana unisamehe sana najutia sana sana silali usiku vizur sababu ya kile nilichokufanyia. Nikimtizama nikasema kamwe siwezi kukusamehe kamwe siwezi kuruhusu uongee ujinga wako mbele yangu niachr. Akasema au unataka nipige magoti hadharani? Alipiga magot akasema nakuomba sana nisamehe nilikukosea sana nisamehe, nikasema unaweza nirudishia heshima yangu na utu wangu niliopoteza siku ile? Kama unaweza rudisha siku nyuma ukafuta ulichonifanya sawa niko tyr kukusamehe lkn kama sivyo siwezi kukusamehe. Alinishika akiwa amepiga magot watu wanamshangaa mara akaja mdada mmoja amevaa hijab mweupe kama yy akasema rey nn unafanya hapo? Mme wangu mbn unajidhalilidha hivo? Rey alinyanyuka, nikajua ooh kumbr ameoa? mke wake akasema ni nani huyu msichana? Et ww ni nani? Nikasema muulize huyo shetani unaemuita mme wako mana yy ndio kanifata sio mm. Nilianza kuondoka zangu, mke wake akanishika akasema unaenda wapi? Njoo tuzungumze, nikasema sina cha kuzungumza na ww mm zungumza na huyo mmeo. Nikamsonya nikaendelea kwensa. Sijui nn kikitokea huko mm nikaona safari yangu ishaingia dosar bora nijirudie nyumbn. Nilirudi nikiwa na hasira snaa. Nilimkuta DA frida nikamsimulia akasema Mshenzi kabisa umemkomesha. Nikikaa siku nne kwa Da frida, keanu akarudi akaja nichukua kwa DA frida na kunipeleka kwake.tuliongea swala la yeye kwenda nyumbn akasema hataki kuchelewa anataka anioe haraka iwezekanavo, nilifurahi nankumshkuru sana Mungu.sikuwa na ile kwamna nampenda sana ile mpaka moyo unarukaruka dababu yake wala nilijua nitaendelea kumpenda ninavokua nae, Nililala siku moja kwake kisha nikarudi kwa DA frida nikaaga na kurudi Moro na barua yangu ya kishika uchumba. Nilimkabidhi shoga ake mama nar akaenda mpa mama ,mama akamjuaa baba wakaniita na kuniuliza, nikasema namfahamu ndio na niko tyr kuwa nae, baba akasema anafanya kazi gani na ana elimu gani? Nikasema n mwanajeshi na n daktar, baba akasema sawa tutalichakata tutamuita, nikasema wanataka kuja haraka sana, mama akasema mme wangu waje keshokutwa. Baba akasema hee mbona jirani sana ?mama akasema sasa tuchelewe nn mme wangu? Akihairidha je? Na mm nikasema kweli mama akihairidha itakuaje? Baba akasema haya sawa ila mshirikishen kaka ake, mwambieni kabisa. Mama akasema haina shida. Hapo hapo alipiga simu kaka akapokea akaambiwa, kaka akauliza mwanaume ni was wapi? Akaambiwa akasema kesho nitakuja basi ili iwe hiohio kesho kutwa. Mama akasema asante mwanangu, kaka akasema niambieni mnahitaji sh ngapi kwa ajili ya hio shughuli. Mama alisema sawa ngoja nipige hesabu. Akanituma nikamueite shoga ake,akampigia na mke wa bamkubwa fulan anaetoka na baba kijiji kimoja, akapigia pigia nduguze na marafiki na kukubaliana waje nyumbn muda huo. Baba akasema haya na mm naenda kwa rafiki zangu nikayajenge yangu. Aliondoka zake. Walikuja rafiki za mama walipanga bajet wakamtumia kaka msg kaka akasema atatoa pesa yote sababu yy ndio anataka kuniozesha. Mashamsham yakaanza na amandalizi wakati mm nishampa jibu Keanu. Siku waliopangiwa walikuja wakatoa mahari yote kisha wakaomba ndoa wakakubaliwa hatimae nikawa mchumba rasmi wa keanu. Waliondoka kurudi dar huku mm nikiwa nimrambiwa niende siku ya tatu yake kwa ajili ya kuandikisha ndoa. Siku ilifika nikaenda dar tukaenda kanisani sasa kuandikisha. Tulimkuta mchungaji was kina keanu, keanu akajieleza mchungaji akasema haiwesekani, hamuwezi kufunga ndoa hapa. Nilistuka keanu akasema kwa nn sasa? Mchungaji akasema sababu wewe ni...........

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13


Mwandishi:lissa mwalla
Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama mbele yangu na Si binadam tena, nilianza kundoka mana niliona kabisa hasira nilizokua nazo naweza fanya tukio la ajabu sana dunia ikanishanga, nilivokua naondoka reyhan alianza kunifata huku anasrma nakufananisha au n wewe? Etii simama basi wewe sio tayla was morogoro? Nilizidi umia sikugeuka akinikimbilia akanikuta akanishika mkono niligeuka na kibao cha nguvu kilimshukia kwenye uso wake, halafu nikasema usinishike shetani wewe, rey alijishika akasema sasa nimefanya nn unanipiga?...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jogoo-wa-kienyeji-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending πŸ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jogoo-wa-kienyeji-sehemu-ya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

451
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

116
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

79
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

57
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

46
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii

10
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

4

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

12.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.72K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.91K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.86K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18 Post Mpya
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏑. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani β€œniondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’ Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest