MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 15* Na 17 Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
Muda huo Hemed alikuwa ameinamisha kichwa chake chini kaziba uso wake kwa mikono yake🥹🥹wala sikujua kama analia mpaka pale baba yake alipomuinua juu na kuanza kumfariji kiumee..
Inamaana hukua unajua historia ya mchumba wako?... baba alimhoji Hemed akamwambia sikuwa najua baba🥹🥹nilishawahi kumhoji mara mbili kuhusu wazazi aliishia kulia tu bila kuniambia chochote..
Sikuona kama kuna umuhimu wa kuendelea kumuuliza kuhusu kitu kinachomuumiza🥹🥹
Hemed alifuta machozi kisha akaondoka pale mzee alimfuata wakaniacha mimi na mama...
Mr's Martin aliniambia maisha aliyopitia mama yako nami nimeyapitia sweetheart ngoja nikuelezee kidogo..
Wakati nipo chuoni nilibeba mimba ya Mr Martin na wakati huo mimi nilikuwa mwislam na mwenzangu ni msabato..
Nilirudi kujifungulia nyumbani wazazi wakakataa mtoto asipewe jina la kikristo wala hawakutaka Mr Martin kukanyaga nyumbani kwetu..
Mwanangu ambaye ni Hemed alipewa hilo jina la kiislam na wazazi wangu... kwa vile mimi nilishazama kwenye penzi na Mr Martin nilikuwa najiiba naenda kumuona nampelekea na mtoto wake anamuona..
Nilikuwa nafanya hivo kila muda mwisho nilichoka mapenzi ya siri nikaamua kubakia hukohuko nyumbani kwa Mr Martin..
Nilibadili na dini kabisa ili tuweze kufunga ndoa... wazazi na ndugu zangu walinitenga💔💔💔 sikujali maana mimi naamini Mungu ni mmoja tunayemwabudu kitakachompeleka mtu mbinguni ni matendo na siyo dini...
Usihuzunike kuhusu mamako kutengwa na ndugu wala usijisikie vibaya wewe na mdogo wako kutengwa na ndugu wa mamako...
Yupo mmoja ambaye yeye hawezi kuwatenga kamwe naye ni Mungu....Mungu hajawatenga na hawezi kuwatenga ndo maana mpaka leo hii mko hai❤️
Maneno ya mama mkwe yalinipa faraja sana❤️❤️ nilijiona kama mtu niliyezaliwa upya❤️❤️nilimshukuru mama kwa kunijenga upya kisaikolojia akaniambia karibu anytime ukinihitaji kwa ushauri I'm here for you...basi bwana kikao kiliishia hivo kule upande wa pili baba alikuwa anampa Hemed madini namimi huku mama alikuwa ananijenga🥰🥰
Baada ya kumaliza yote tulikutana Sitting room kuna movie fulani hivi ya kifamilia tukaangalia jina limenitoka kidogo..
Sikuwa na majonzi tena at least nilianza kujihisi kama binadamu wa kawaida🥹🥹 zamani nilikuaga najiona kama mtu mwenye mikosi mitupu🥹
Nilikuwa najiona kama mtu niliyetengwa na Dunia nzima🥹🥹🥹hata wanaume nilikuwa nawakataaga💔💔Namshukuru Mungu aloniletea Hemed kwenye maisha yangu🙏🙏
Baada ya movie kilichofuatia ni kwenda kupumzika🥰🥰🥰Hemed alinishika mkono akaniambia twenzetu tukapumzike😯😯
Wapi😳😳😳ukapumzike na nani🙄🙄🙄akasema na wewe😋😋 nyooo mi silali na wewe🥺 akasema kwa nini???
Naogopa😰😰 unaogopa nini??? Nikamwambia naogopa kukuona ukiwa uchi🙄🙄 basi sitovua nguo😍😍 bado naogopa🙄 akauliza nini kingine?..
Nikamwambia naogopa kulala pamoja na wewe😰 sitokufanya kitu babe trust me💋❤️ hahahaa hutonifanyaaa naijua hiyooo....
maongezi hayo yalikuwa ya chini sana🤣🤣muda huo Hemed alikuwa amenishikilia mkono tunaenda zetu kulala..
Alikuwa ananitania tu wala hatukulala pamoja🙈😂 ye alilala chumbani kwake mi nikalala chumbani kwa mdogo wake wa kike missa..
Tulilala huo usiku Hemed akawa ananitumia msg za kunifariji dah😰❤️❤️ kama ni mwanaume kweli Mungu kanipatia🥹🙏
Imagine tulikuwa vyumba tofauti lakini ile kubembeleza alikuwa ananibembeleza kwenye msg mpaka nilipata usingizi❤️❤️..
Siku iliyofuata niliamka mapema nikaenda kusaidia usafi nionekane mkamwana mwenye adabu hahahaaaa..
Tuliosha vyombo mimi na missa then dada wa kazi akadeki mom alikuwa jikoni anaandaa kifungua kinywa..
Hemed alikuwa nje anafyeka na kufagia then baba yeye alikuwa anaosha magari yake nje🥰🥰🥰..
Itaendeleaaaaaaa
JANA TULILUKA KIPANDE CHA KUMI NA TANO
HIHYO LEO TUNAWEKA KIPANDE CHA KUMI NA TANO NA KUMI NA SABA 15,17
SEHEMU YA 17*
Mimi mwenzenu nilikaza kama ni maisha magumu nimeyazoea tangu nilipoondokewa na wazazi wangu😰😰
Kama Hemed ni wangu basi atarudi tu mikononi mwangu kama siyo wa kwangu basi ataendelea kuninyamazia vivo hivo..
Sikumwambia yeyote kinachoendelea ilibakia siri yangu moyoni...niliumia na niliteseka sana kihisia lakini nilivumilia..
Nilikuwa nishazoea kuamshwa na ile sauti nzito na makiss kwenye simu nilikuwa nishazoea kubembelezwa kudekezwa..
Nilikuwa nishazoea kupelekwa kila sehemu na gari nanunuliwa kile kitu ninachopenda natritiwa kama malkia alf et leo hii vitu vyote hivo vimekata ghafla..lazima uumwe😁
Na kwa jinsi nilivokuwa mjinga baada tu ya kunogewa na pesa za Hemed niliacha kazi ya mgahawani😝😝😝 baada ya kunyamaziwa ndo nikaanza kuhaha😂🙄..
Nirudi mgawahani nikaendelee kupika na kuungua mikono yangu??? Nirudi kufubazwa na moshi jikoni???. Hapana siwezi kurudi nilikotoka😝😝
Niliona aibu kurudia ile kazi ya mgahawani nikaomba kazi kwenye hotel moja hivi hapa jijini Dsm😞😞nishazoea raha sirudi tena jikoni nitafubaa kama zamani🙁🙁..
Kwanza sitakiwi kurudi kule alikonikuta Hemed ataona kama bila yeye siwezi kitu😒😒natakiwa nifanye kazi itakayomuumiza na kumtia wivu😝😝😝...
Bora nifanye kazi ya hotel hapa nitakuwa napendeza muda wote na nitaomba wanipe shift za usiku ili niendelee kwenda chuoni mchana🤗🤗...
niliandika barua ya maombi ya kazi nikapeleka katika hiyo hotel ni hotel kubwa sana hapa jijini Dsm😍very expensive 🙌🙌..
Baada ya kutuma barua nilisubilia kuitwa kwenye interview 🥰🥰🥰zilipita kama siku tatu hivi nikapokea simu kutoka kwa maneger wa ile hotel
Niliombwa kufika kwenye interview siku hiyo hiyo saa kumi jioni.. nilifanya hivo nilijiandaa nikavaa smart then nikaelekea kwenye interview..
Namshukuru Mungu kazi nilipata na kwa vile niliomba kupangwa usiku pekee niliambiwa sintokuwa na mapumziko yani siku zote saba za week nitakuwa naingia kazini..
Muda ni kuanzia saa moja jioni mpaka saa saba usiku.. oh asanteee Mungu nilimshukuru sana Mungu..
Mshahara siyo mkuubwa but ulinifaa🥰🥰maneger aliniweka reception hahahaaa akaniambia kisura changu na kishepu ni special kwa ajili ya kuwavutia wageni wanaoingia hotelin hapo..
Sikuwa na kipingamizi nilipewa one week ya kujiandaa ikiwemo kushona sare na kuweka mambo yangu tyr🥰🥰😍..
Week iliyofuata nilianza kazi😝😝😝niliingia pale kazini nimependeza hatari🤗🤗🤗siku ya kwanza tu nimeanza kazi nikapendwa na likaka limoja hivi..
Huyo kaka ndo alikuwa ameingia ni mgeni siyo mtanzania😝😝😝 nilimpokea nikaenda kumuonesha chumba chake siku hiyo hiyo akaniomba namba hahahaa
Kusema kweli nilikuwa kwenye ile hali ya kuteseka na mapenzi kiasi kwamba ilifikia hatua nikasema nikipata mkaka mwingine wa juu zaidi ya Hemed namchukua ili nimuumize Hemed maana anajiona sana cake🥺🥺
Nilikuwa nateseka sana navopiga simu mpaka mara 20 hapokei natuma msg kuanzia asubuhi mpaka usiku hazijibiwi inauma hiyo..
Ili nisiendelee kuteseka nimpe mtu mwingine nafasi alizibe lile pengo la Hemed🤨🤨
Nilimpa yule mkaka namba😃😃nayeye akanipa ya kwake aliniambia anaitwa Romy nami nikamwambia naitwa Bella😘😘..
Hatukuweza kuongea sana maana ilikuwa muda wa kazi🥰🥰🥰 nilimwambia tutaongea zaidi nikitoka kazini akasema sawa..
kabla sijaondoka Romy aliniomba nimuwekee oda ya chakula fulani then akaomba chakula kikiwa tayari tule wote hahahaaa nyieee😃
Nilienda jikoni kwa chef👨🍳 nikamuwekea Romy oda ya chakula alichoniambia yeye muda huo alikuwa room kwake anakoga..
Baada ya muda Romy alishuka chini reception akaomba kinywaji fulani vile vikali😝😝nikaenda kumchukulia..
Alikaa tu pembeni pale mapokezi akaanza kunywa..chakula kilipoiva akaomba tuletewe pale nile nayee😝😝😝na vile ashaanza kulewa wacha nisifiwe hahahaa alinisifia mpaka kero😃
Tumemaliza kula nikapewa pesa nikalipie Bill nyieee siyo pesa za kitanzani ni dollar💵 nimelipa nimemaliza nikamletea chenji akaniambia keep change 😳😳
Chenji nayoambiwa ni keep inalingana na mshahara ninaolipwa pale hotelin halloooh🙁🙌
Itaendeleaaaaaaa
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi





Maoni