Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 15*   Na 17  Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
Gonga94 · Stories

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 15* Na 17 Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Muda huo Hemed alikuwa ameinamisha kichwa chake chini kaziba uso wake kwa mikono yake🥹🥹wala sikujua kama analia mpaka pale baba yake alipomuinua juu na kuanza kumfariji kiumee..

Inamaana hukua unajua historia ya mchumba wako?... baba alimhoji Hemed akamwambia sikuwa najua baba🥹🥹nilishawahi kumhoji mara mbili kuhusu wazazi aliishia kulia tu bila kuniambia chochote..

Sikuona kama kuna umuhimu wa kuendelea kumuuliza kuhusu kitu kinachomuumiza🥹🥹

Hemed alifuta machozi kisha akaondoka pale mzee alimfuata wakaniacha mimi na mama...

Mr's Martin aliniambia maisha aliyopitia mama yako nami nimeyapitia sweetheart ngoja nikuelezee kidogo..

Wakati nipo chuoni nilibeba mimba ya Mr Martin na wakati huo mimi nilikuwa mwislam na mwenzangu ni msabato..

Nilirudi kujifungulia nyumbani wazazi wakakataa mtoto asipewe jina la kikristo wala hawakutaka Mr Martin kukanyaga nyumbani kwetu..

Mwanangu ambaye ni Hemed alipewa hilo jina la kiislam na wazazi wangu... kwa vile mimi nilishazama kwenye penzi na Mr Martin nilikuwa najiiba naenda kumuona nampelekea na mtoto wake anamuona..

Nilikuwa nafanya hivo kila muda mwisho nilichoka mapenzi ya siri nikaamua kubakia hukohuko nyumbani kwa Mr Martin..

Nilibadili na dini kabisa ili tuweze kufunga ndoa... wazazi na ndugu zangu walinitenga💔💔💔 sikujali maana mimi naamini Mungu ni mmoja tunayemwabudu kitakachompeleka mtu mbinguni ni matendo na siyo dini...

Usihuzunike kuhusu mamako kutengwa na ndugu wala usijisikie vibaya wewe na mdogo wako kutengwa na ndugu wa mamako...

Yupo mmoja ambaye yeye hawezi kuwatenga kamwe naye ni Mungu....Mungu hajawatenga na hawezi kuwatenga ndo maana mpaka leo hii mko hai❤️

Maneno ya mama mkwe yalinipa faraja sana❤️❤️ nilijiona kama mtu niliyezaliwa upya❤️❤️nilimshukuru mama kwa kunijenga upya kisaikolojia akaniambia karibu anytime ukinihitaji kwa ushauri I'm here for you...basi bwana kikao kiliishia hivo kule upande wa pili baba alikuwa anampa Hemed madini namimi huku mama alikuwa ananijenga🥰🥰

Baada ya kumaliza yote tulikutana Sitting room kuna movie fulani hivi ya kifamilia tukaangalia jina limenitoka kidogo..

Sikuwa na majonzi tena at least nilianza kujihisi kama binadamu wa kawaida🥹🥹 zamani nilikuaga najiona kama mtu mwenye mikosi mitupu🥹

Nilikuwa najiona kama mtu niliyetengwa na Dunia nzima🥹🥹🥹hata wanaume nilikuwa nawakataaga💔💔Namshukuru Mungu aloniletea Hemed kwenye maisha yangu🙏🙏

Baada ya movie kilichofuatia ni kwenda kupumzika🥰🥰🥰Hemed alinishika mkono akaniambia twenzetu tukapumzike😯😯

Wapi😳😳😳ukapumzike na nani🙄🙄🙄akasema na wewe😋😋 nyooo mi silali na wewe🥺 akasema kwa nini???

Naogopa😰😰 unaogopa nini??? Nikamwambia naogopa kukuona ukiwa uchi🙄🙄 basi sitovua nguo😍😍 bado naogopa🙄 akauliza nini kingine?..

Nikamwambia naogopa kulala pamoja na wewe😰 sitokufanya kitu babe trust me💋❤️ hahahaa hutonifanyaaa naijua hiyooo....

maongezi hayo yalikuwa ya chini sana🤣🤣muda huo Hemed alikuwa amenishikilia mkono tunaenda zetu kulala..

Alikuwa ananitania tu wala hatukulala pamoja🙈😂 ye alilala chumbani kwake mi nikalala chumbani kwa mdogo wake wa kike missa..

Tulilala huo usiku Hemed akawa ananitumia msg za kunifariji dah😰❤️❤️ kama ni mwanaume kweli Mungu kanipatia🥹🙏

Imagine tulikuwa vyumba tofauti lakini ile kubembeleza alikuwa ananibembeleza kwenye msg mpaka nilipata usingizi❤️❤️..

Siku iliyofuata niliamka mapema nikaenda kusaidia usafi nionekane mkamwana mwenye adabu hahahaaaa..

Tuliosha vyombo mimi na missa then dada wa kazi akadeki mom alikuwa jikoni anaandaa kifungua kinywa..

Hemed alikuwa nje anafyeka na kufagia then baba yeye alikuwa anaosha magari yake nje🥰🥰🥰..

Itaendeleaaaaaaa

JANA TULILUKA KIPANDE CHA KUMI NA TANO
HIHYO LEO TUNAWEKA KIPANDE CHA KUMI NA TANO NA KUMI NA SABA 15,17

SEHEMU YA 17*

Mimi mwenzenu nilikaza kama ni maisha magumu nimeyazoea tangu nilipoondokewa na wazazi wangu😰😰

Kama Hemed ni wangu basi atarudi tu mikononi mwangu kama siyo wa kwangu basi ataendelea kuninyamazia vivo hivo..

Sikumwambia yeyote kinachoendelea ilibakia siri yangu moyoni...niliumia na niliteseka sana kihisia lakini nilivumilia..

Nilikuwa nishazoea kuamshwa na ile sauti nzito na makiss kwenye simu nilikuwa nishazoea kubembelezwa kudekezwa..

Nilikuwa nishazoea kupelekwa kila sehemu na gari nanunuliwa kile kitu ninachopenda natritiwa kama malkia alf et leo hii vitu vyote hivo vimekata ghafla..lazima uumwe😁
Na kwa jinsi nilivokuwa mjinga baada tu ya kunogewa na pesa za Hemed niliacha kazi ya mgahawani😝😝😝 baada ya kunyamaziwa ndo nikaanza kuhaha😂🙄..

Nirudi mgawahani nikaendelee kupika na kuungua mikono yangu??? Nirudi kufubazwa na moshi jikoni???. Hapana siwezi kurudi nilikotoka😝😝

Niliona aibu kurudia ile kazi ya mgahawani nikaomba kazi kwenye hotel moja hivi hapa jijini Dsm😞😞nishazoea raha sirudi tena jikoni nitafubaa kama zamani🙁🙁..

Kwanza sitakiwi kurudi kule alikonikuta Hemed ataona kama bila yeye siwezi kitu😒😒natakiwa nifanye kazi itakayomuumiza na kumtia wivu😝😝😝...

Bora nifanye kazi ya hotel hapa nitakuwa napendeza muda wote na nitaomba wanipe shift za usiku ili niendelee kwenda chuoni mchana🤗🤗...

niliandika barua ya maombi ya kazi nikapeleka katika hiyo hotel ni hotel kubwa sana hapa jijini Dsm😍very expensive 🙌🙌..

Baada ya kutuma barua nilisubilia kuitwa kwenye interview 🥰🥰🥰zilipita kama siku tatu hivi nikapokea simu kutoka kwa maneger wa ile hotel

Niliombwa kufika kwenye interview siku hiyo hiyo saa kumi jioni.. nilifanya hivo nilijiandaa nikavaa smart then nikaelekea kwenye interview..

Namshukuru Mungu kazi nilipata na kwa vile niliomba kupangwa usiku pekee niliambiwa sintokuwa na mapumziko yani siku zote saba za week nitakuwa naingia kazini..

Muda ni kuanzia saa moja jioni mpaka saa saba usiku.. oh asanteee Mungu nilimshukuru sana Mungu..

Mshahara siyo mkuubwa but ulinifaa🥰🥰maneger aliniweka reception hahahaaa akaniambia kisura changu na kishepu ni special kwa ajili ya kuwavutia wageni wanaoingia hotelin hapo..

Sikuwa na kipingamizi nilipewa one week ya kujiandaa ikiwemo kushona sare na kuweka mambo yangu tyr🥰🥰😍..

Week iliyofuata nilianza kazi😝😝😝niliingia pale kazini nimependeza hatari🤗🤗🤗siku ya kwanza tu nimeanza kazi nikapendwa na likaka limoja hivi..

Huyo kaka ndo alikuwa ameingia ni mgeni siyo mtanzania😝😝😝 nilimpokea nikaenda kumuonesha chumba chake siku hiyo hiyo akaniomba namba hahahaa

Kusema kweli nilikuwa kwenye ile hali ya kuteseka na mapenzi kiasi kwamba ilifikia hatua nikasema nikipata mkaka mwingine wa juu zaidi ya Hemed namchukua ili nimuumize Hemed maana anajiona sana cake🥺🥺

Nilikuwa nateseka sana navopiga simu mpaka mara 20 hapokei natuma msg kuanzia asubuhi mpaka usiku hazijibiwi inauma hiyo..

Ili nisiendelee kuteseka nimpe mtu mwingine nafasi alizibe lile pengo la Hemed🤨🤨

Nilimpa yule mkaka namba😃😃nayeye akanipa ya kwake aliniambia anaitwa Romy nami nikamwambia naitwa Bella😘😘..

Hatukuweza kuongea sana maana ilikuwa muda wa kazi🥰🥰🥰 nilimwambia tutaongea zaidi nikitoka kazini akasema sawa..

kabla sijaondoka Romy aliniomba nimuwekee oda ya chakula fulani then akaomba chakula kikiwa tayari tule wote hahahaaa nyieee😃

Nilienda jikoni kwa chef👨‍🍳 nikamuwekea Romy oda ya chakula alichoniambia yeye muda huo alikuwa room kwake anakoga..

Baada ya muda Romy alishuka chini reception akaomba kinywaji fulani vile vikali😝😝nikaenda kumchukulia..

Alikaa tu pembeni pale mapokezi akaanza kunywa..chakula kilipoiva akaomba tuletewe pale nile nayee😝😝😝na vile ashaanza kulewa wacha nisifiwe hahahaa alinisifia mpaka kero😃

Tumemaliza kula nikapewa pesa nikalipie Bill nyieee siyo pesa za kitanzani ni dollar💵 nimelipa nimemaliza nikamletea chenji akaniambia keep change 😳😳

Chenji nayoambiwa ni keep inalingana na mshahara ninaolipwa pale hotelin halloooh🙁🙌

Itaendeleaaaaaaa
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 15* Na 17 Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..



Muda huo Hemed alikuwa ameinamisha kichwa chake chini kaziba uso wake kwa mikono yake🥹🥹wala sikujua kama analia mpaka pale baba yake alipomuinua juu na kuanza kumfariji kiumee..

Inamaana hukua unajua historia ya mchumba wako?... baba alimhoji Hemed akamwambia sikuwa najua baba🥹🥹nilishawahi kumhoji mara mbili kuhusu wazazi aliishia kulia tu bila kuniambia chochote..

Sikuona kama kuna umuhimu wa kuendelea kumuuliza kuhusu kitu kinachomuumiza🥹🥹

Hemed alifuta machozi kisha akaondoka pale mzee alimfuata wakaniacha mimi na mama...

Mr's Martin aliniambia maisha aliyopitia mama yako nami nimeyapitia sweetheart ngoja nikuelezee kidogo..

Wakati nipo chuoni nilibeba mimba ya Mr Martin na wakati huo mimi nilikuwa mwislam na mwenzangu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya-15-na-17-mrs-martin-aliniambia-i-know-how-you-feel-sweethea

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38*  Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38* Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  *SEHEMU YA 35*  Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 35* Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39*  Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39* Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 24*  Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 24* Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40*  Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...
MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40* Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23*  That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23* That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 01
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 01
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 20*   Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 20* Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 25*  Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 25* Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 08,09,10
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 08,09,10
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 19*  Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 19* Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  *SEHEMU YA 32*  Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 32* Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
Mrembo yatima na kijana tajiri  SEHEMU YA 22*  Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Mrembo yatima na kijana tajiri SEHEMU YA 22* Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

880
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

678
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

608
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

392
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

227
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

171
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

158
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

102
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

41
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.62K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest