Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 01
Gonga94 · Stories

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Asubuhi na mapema mimi na mdogo wangu Poppy tulikuwa tunapalangana jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya wateja..

Tunamiliki kimgahawa kidogo tulichozungushia mabati mabovu hicho ndo kinatumatia kula na ada..

Wazazi weshafariki waliniacha nikiwa chuo mwaka wa kwanza na mdogo wangu poppy alikuwa ndo yuko form two..

Kwetu tumezaliwa wawili tu mimi Bella pamoja na poppy mdogo wangu..

Wazazi baada ya kufariki kitu pekee walichotuachia ni kijumba kidogo tulichokuwa tunaishi..

Hatukuwa na uwezo mkubwa kimaisha tulikuwa tunaishi kawaida na wazazi wetu walikuwa wafanya vibarua vya hapa na pale hivo ndo vilikuwa vinatulisha na kutusomesha..

Mimi na poppy tulishauriana kila likizo tuwe tunajishugulisha kuuza chakula ili tuweze kupata pesa ya ada..

Siku moja asubuhi wakati tunaendelea na shughuli zetu mgahawani hapo tulipata ugeni wa wateja wengi kidogo..

Walikuja vijana 12 ni mafundi ujenzi waliagiza chakula kisha wakatuambia Boss anakuja kulipa muda si mrefu❤️❤️..

Hatukuwa na kipingamizi maana sehemu walikokuwa wanajenga ni karibu na pale kazini kwetu..

Walikunywa chai hiyo asubuhi na mchana wakala cha mchana ilipofika jioni mimi na poppy tulikwenda kuchukua pesa..

Tulifika pale tukawakuta mafundi ndo wanabadili nguo kwa ajili ya kuondoka..

Walituambia Boss yuko njiani tumsubilie kidogo..tuliketi pale pembeni baada ya muda ikaja gari fulani hivi kali sana🤗🤗🤗...

Wale mafundi walisogea kumpokea aliyekuwemo kwenye gari alikuwa mkaka mdogo dogo tu umri kama miaka 30 mpaka 33..

Waliongea naye pale akawagawia pesa baada ya hapo akasogea tulipo tukasalimiana baada ya hapo akatuuliza tunadai sh ngapi..

Nilimtajia kiasi cha pesa tunazodai akachomoa waleti akatoa pesa nyingi zaidi ya ile tunayoidai baada ya kuzihesabu zile pesa nilishangaa😳😳

Nilitoa tunayoidai ingine nikamrudishia...yule kaka aliniambia it's okay itawasaidia hiyo..

Mdogo wangu aliipokonya ile pesa akasema asante kaka...mimi niliichukua nikamrudishia kisha nikamwamuru dogo tuondoke😒😒

Baada ya kuondoka pale mdogo wangu alianza kunigombeza...

Alidai shule zinafunguliwa na hatujapata ada ya kutosha sijui hata ni kwanini umeikataa ile pesa Dada..???🥹

Hebu kaa kimya poppy hivi unafikili kuna cha bure??.. koma kupalamia pesa za watu zitakuja kukutokea puani mdogo wangu.....😒

Sasa Dada ada tunalipa na nini??? Usijali poppy mi nitajua cha kufanya...

Lakini dada kwanini umeiacha ile pesa??? Huenda yule kaka ametupatia kwa sababu sisi ni yatima😞

Poppy tafadhali acha ujinga😳😳😳hivi mtu anakusaidia bila kukujua??.hebu acha tamaa ada tutaipata tu..

Wakati tunaendelea kubishana na poppy ghafla tukasikia mtu anatuita kwa mbali kugeuka tukamuona moja ya wale mafundi akiwa anatukimbilia..

Tulisimama kumsubilia... alitufuata akatuambia Boss amesema kama itawezekana tumsaidie namba yetu ili siku watakazokuwa wanakuja kujenga awe anatuambia tupeleke chakula🙄🙄

Niliona hiyo ni fursa siku watakazokuwa wanajenga mafundi tutakuwa tunaamka saa 10 za usiku..

Tunawaandalia kiamsha kinywa asubuhi kabla sijaenda chuoni nitakuwa nawapelekeaa nipate na pesa ya nauli za kwendea chuoni🥰🥰🥰...

Nilimpatia namba akaondoka....mimi na poppy tulirudi pale mgawahani kwetu tukaosha osha vyombo tukapaweka sawa then tuliondoka kwenda nyumbani..

Siku tunazokuwa mgahawani huwa tunaondoka huko tumekula cha usiku tukifika nyumbani ni kuoga na kukisomea tu..

Siku hiyo baada ya kufika home nilioga nikamaliza nikaanza kujisomea... simu yangu ilianza kuita huo usiku namba ngeni nikapokea..

Sauti kama naijua🤔🤔ni kama ya yule Boss aloomba namba ili awe anaoda chakula hahahaaa..

Itaendeleaaa
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 01


Asubuhi na mapema mimi na mdogo wangu Poppy tulikuwa tunapalangana jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya wateja..

Tunamiliki kimgahawa kidogo tulichozungushia mabati mabovu hicho ndo kinatumatia kula na ada..

Wazazi weshafariki waliniacha nikiwa chuo mwaka wa kwanza na mdogo wangu poppy alikuwa ndo yuko form two..

Kwetu tumezaliwa wawili tu mimi Bella pamoja na poppy mdogo wangu..

Wazazi baada ya kufariki kitu pekee walichotuachia ni kijumba kidogo tulichokuwa tunaishi..

Hatukuwa na uwezo mkubwa kimaisha tulikuwa tunaishi kawaida na wazazi wetu walikuwa wafanya vibarua vya hapa na pale hivo ndo vilikuwa vinatulisha na kutusomesha..

Mimi na poppy tulishauriana kila likizo tuwe tunajishugulisha kuuza chakula...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38*  Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38* Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  *SEHEMU YA 35*  Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 35* Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 15*   Na 17  Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 15* Na 17 Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39*  Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39* Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 24*  Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 24* Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40*  Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...
MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40* Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23*  That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23* That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 20*   Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 20* Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 25*  Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 25* Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 08,09,10
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 08,09,10
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 19*  Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 19* Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  *SEHEMU YA 32*  Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 32* Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
Mrembo yatima na kijana tajiri  SEHEMU YA 22*  Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Mrembo yatima na kijana tajiri SEHEMU YA 22* Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

880
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

678
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

607
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

390
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

227
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

171
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

158
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

102
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

41
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.62K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest