MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 20* Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
Niliwaza sana hapa nachomokaje siwezi kuliwa kizembe hivo🤨🤨🤨niliwaza cha kumdanganya kikakosa🤨🤨
Meneja alinishika mkono akaanza kunilazimisha twende chumbani kwake🤨 nilimdanganya niko period akaniuliza kwani tundu ni hilo tu bwana wewe..
Kama uko period utanipa nyuma...wat😳😳😳nikupe nini baba???
Aah sa unashituka nini Bella kwani kuna kigeni nilichokiongea hapo??
Nilijitoa mkono wangu kwa nguvu nikaanza kuondoka meneja alinichefua sana na hiyo kauli ya kumpa nyuma dah💔😰😰..
Alipoona naondoka akachukia akaniambia kesho kabla sijaondoka na huyo mzungu nije ofisini nichukue barua yangu ya kufukuzwa kazi..
Wala sikumjibu kitu nilisepa..nililala usiku huo kesho yake niliamshwa na Romy aliniambia nijiandae haraka niende na beg pale hotel coz tukishamaliza kunywa chai safari itaanza kuelekea Arusha..
Nilijiandaa haraka haraka nikapiga na simu shuleni kwa kina poppy nikaomba kuongea nae akapewa simu..
Nilimwambia nasafiri kwenda Arusha nitarudi baada ya week moja..
Wow mnaenda na Hemed eeh nikaguna tu kisha nikamwambia ndiyoo hahahaa hakajui kuwa nilinyamaziwa na huyo Hemed na mpaka muda huo nilikuwa sijui kama Nimeachwa au laa🤣
Basi lengo langu ilikuwa kumuaga mdogo wangu ili hata lolote likitokea ajue pa kuanzia🥰🥰baada ya kumaliza kuongea na poppy niliondoka mpaka hotelini
Romy alikuwa chumbani kwake aliniambia nikifika niende moja kwa moja chumbani kwake basi nilifanya hivo nilikuta nayeye kaishajiandaa yupo bize kwenye laptop..
Nilimsalimia akaniambia wow you look Good nikamwambia Ty🥰🥰 Ty inamaanisha thank you washamba nyie😝🤣
Alifunika laptop tukatoka kwenda kunywa break fast muda huo dereva wa kutupeleka Arusha alikuwa tayari ameshafika..
Wakati tunaondoka kwenda kupanda gari yule mdada mwenzangu wa reception aliniita akaniomba tuongee kidogo nikamuomba Romy atangulie kwenye gari nimsikilize yule mwenzangu ana shuda gani...
Kwanza aliniuliza ulimfanyaje Meneja,?? Nikashituka kuna nini??? Akaniambia kuna barua amenipa nikupatie na sio barua nzuri...
Iko wapi??? Akaenda kunichukulia akaniletea ilikuwa barua ya kufutwa kazi🤨🤨🤨nilimwambia tu sawa asanteee kisha niliondoka..
Nilielekea kwenye gari na ile barua mkononi Romy alipoiona aliniuliza hii ni ya nini???
Nikamwambia kila kitu alishangaa sana lakini akaniambia usijali ukishapata passport nitakutafutia kazi UK uje kufanya...
Wow nilifurahi sana🥰🥰🥰 tulianza kupiga story kwenye gari mimi na Romy huku dereva akiwa bize kuendesha gari...
Tulifika Arusha usiku sana ni katika hotel moja hivi ambapo ndipo ulipotakiwa kufanyika huo mkutano aliokuja kuhudhuria Romy..
Arusha kuna baridi sana Romy alinipatia koti lake nivae mie sikubeba koti coz sikujua kama Arusha kuna baridi..
Hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Arusha... tulipokelewa tukaonyeshwa vyumba Romy aliomba tutengenezewe kitu cha moto tujipooze na baridi..
Yeye aliomba atengenezewe kahawa mimi nikaomba chai😝😝 tuliandaliwa fasta tukaletewa muda huo tulikuwa juu pamoja tunapiga story..
Tuliandaliwa pia menyu ya usiku😋😋😋baada ya kumaliza kula tuliagana kila mmoja akaenda kulala chumbani kwake..
Usiku mida ya saa sita simu yangu iliingia msg mbili kwa mkupuo🙄🙄 nilipofungua nikakuta msg kutoka kwa Romy ingine kutoka kwa Hemed😳
Romy aliuliza umesha lala???
Msg ya pili ilitoka kwa Hemed... aliuliza uko wapi Bella we need to talk???
We need to talk 😒 leo ndo anakumbuka kama kuna kutalk mxiiiwww😏😏 ata sikumjibu nilijibu msg ya Romy nikamwambia niko kitandani ila bado sijalala nipo nachezea simu ..
Romy aliniambia hata mimi sina usingizi Bella kama hautojali naomba nije chumbani kwako tuangalie movie huenda nikapata usingizi baada ya movie..
Mmhh chumbani tena😜😜 lakini haonekani kama kijana mhuni wacha tu nimwambie aje😌😌
Nilimruhusu Romy akaja chumbani kwangu alikuwa na laptop yake kuna movie nzuri sana aliweka tukawa tunaangalia😉😉
Hemed naye baada ya kuona simjibu msg aliamua kupiga simu sikupokea nilimute nikaipotezea nikaendelea kuangalia movie...
Wakati mimi na Romy tunaendelea kuangalia ile movie nikashangaa ile movie kadri inavyozidi kusonga mbele inazidi kubadilika😳😳
Ikafikia hatua watu wakaanza kufanya sex kule ndani ya movie😳😳 nilishtuka nikainuka juu nikamwambia Romy hii ni nini??? Siwezi kuangalia movie ya aina hii..
Romy aliinuka akavua ile taulo aliyokuwa ameivaa akabakia uchi wa mnyamaaa uume wake ulikuwa umesimama wima😳
Niliogopa sana unafanya nini Romy??? Nilimuuliza..Lakini hakunijibu..
alianza tu kunisogelea nami nikawa narudi nyuma huku napiga kelele😰😰Romy alipoona napiga kelele alinikamata kwa nguvu akaniziba mdomo...
Nini kitaendeleaaaaaa
Mwisho wa sezon ya kwanza
Anayehitaji sezon ya pili
Aje whatsapp
1000 tuh
No 0657171961
KWETU Morogoro
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi





Maoni