Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 08,09,10
Gonga94 · Stories

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 08,09,10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nilimuomba Hemed anipe muda nimfahamu yeye ni mwanaume wa aina gani na nikishamfahamu nitampa majibu sahihi..

Alikubali lakini akaniomba nisirudie tena kutoka usiku kama nilivofanya jana.. hahahaa anaamini kweli nilitoka lakini wala tulimdanganya tu..

Hemed aliniambia nikiwa na shida yoyote nimwambie yeye atanisaidia.. nilimwambia sawa asanteee..

Kama mnavoyajua mambo ya kutongozana huwa siyo ya haraka haraka🤣🤣🤣mchana ulitukuta pale pale kwenye ile hotel nzuri Hemed aliweka oda tuandaliwe lunch🥰

Tuliandaliwa lunch fulani hivi very demure 😋🍷tulikula mimi na Hemed hahahaa nilikuwa namuonea aibu sijui kwanini🙈🙈

Tulipomaliza kula Hemed alinirudisha nyumbani nilimbebea mdogo wangu chakula chake ili akitoka shule ale..

Baada ya kufika nyumbani Hemed alinipa pesa akaniambia hiyo utatumia kwenye mahitaji yako dah🥹🥹nilishindwa kuzuia machozi😰😰

Nilimwambia asante sana Hemed asanteee😭😭😭 ye mwenyewe alishangaa alinikumbatia akanifuta machozi akaniambia I am here for you kama kuna kitu chochote usinifiche niambiee..

Nilimwambia sawa nitafanya hivo... tuliagana mi nikaingia ndani nilipohesabu ile pesa ilikuwa laki tano nilimshukuru sana mwenyezi Mungu..

Baada ya kupata pesa niliona bora nikamalizie ada ya poppy maana nikikaa na ile pesa naeza nikaitumia kwa mambo mengine..

Nilichukua boda muda huohuo nikarudi shuleni kwao poppy nilifika nikakuta wanafunzi ndo wamemaliza kutawanyika hata poppy sikumuona

huenda tulipisha huko njiani niliingia ofisini kwa mkuu wa shule nikamwambia nimekuja kumalizia madeni ya poppy.

Mkuu wa shule alishangaa akaniambia poppy hadaiwi... nikamuuliza how??..

Kwani umenisahau nimetoka hapa asubuhi na nilibakiza madeni nikakwambia nitarudi kuyalipa??

Mkuu wa shule aliniambia ndiyo nakukumbuka baada ya wewe kutoka kuna mwanaume alikuja akamalizia kulipa kila kitu cha poppy kwa sasa hadaiwi chochote mpaka anamaliza form four😳

Mwanaume gani??? Mkuu akaniambia hakujitambulisha kwa jina....

Mmhhh nilijaribu kuumiza akili au ni yule jamaa alonibeba kwenye v8??? Lakini kama ni yule mimi mbona simjui😳😳..

Ilibidi nirudi zangu nyumbani nikamkuta mdogo wangu ameshafika yupo anakula...

Poppy aliponiona aliniuliza Dada vipi mbona unaonekana kuchanganyikiwa??...

Nilimwelezea kilichotokea poppy akaniambia huyo lazima ni Hemed tu...

We umejuaje??? Akasema mi nahisi tu na ninahisi hata huyo mtu alokuja kukupa tissue ye ndo amemtuma🤗🤗..

Mbona kama kweli vile🤔🤔 sijui nimuulize Hemed🙁🙁 poppy akasema ndiyo muulize dada..

Ilibidi nimpigie Hemed nikamwambia samahani kuna kitu nataka kukuuliza..

Akaniambia it's okay Bella talk to me?? Kuna kitu chochote umefanya kwa ajili yangu leo???

Hemed akakaa kimya kidogo then akaniuliza kitu gani Bella??

Ni wewe ndo umelipa madeni ya poppy shuleni???

Hemed alikubali akaniambia yes ni mimi samahani kwa kuwa nilifanya bila ruksa yako.

Kwa hiyo hata yule Mr Martin wewe ndo umemtuma anibebe kwenye gari???

Akasema ndiyo Bella ni mimi😔😔...kwanini unafanya hivo Hemed??.

Kwa sababu nakupenda sana Bella🥹🥹 I love you....

Lol ilibidi nikate simu maana poppy anasikiliza Hemed anavonililia kwenye simu😔😔..

Baada ya kukata simu sauti ya Hemed ilibaki inajirudia rudia kichwani kwangu😰 poppy naye akaniuliza unampenda eeh?.

Ops😔😴 hata sijielewi nilielekea chumbani kwangu nikajilaza kitandani nikawa nawaza tu kuhusu Hemed mbona kama vile nimeanza kumpenda🥺

Itaendeleaaaaaaa

*SEHEMU YA 09*

Kila mwanamke ndoto yake ni kupata mwanaume kamili mwenye kujali na kusapoti🥹🥹

Nafikili mimi Hemed ndo wa kwangu❤️❤️kama ameweza kunifanyia hivo bila kumuomba basi bila shaka huyu ni mwanaume sahihi atakae nufaa❤️

Lakini nop wait🤔🤔kwa hiyo inamaana ndo nimeamua hivo kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano,??.
Nafsi zilianza kubishana ingine inasema no utaumiaa ingine inasema ndiyo mkubalieeee..

Kipi nifanye sasa??? Na moyo ndo kama hivo muda wote unamfikilia tu Hemed..

Nilikaa huko chumbani nawaza mpaka usiku ukaanza kuingia🤗🤗niliamka niende kuandaa chakula cha usiku mara simu ikawa inaita..

Alinipigia Hemed akaniambia leo usipike chakula nitakuja kuwachukua tukale Dinner... what???🙈 mshikaji alizidi kunivutia

he's the kind of man I want 🤗❤️ nilimwambia sawa nimekuelewaaa🥰🥰ule ugumu wa kumuongelesha kibabe haukuwepo tena🙈

Mida ya saa mbili usiku Hemed alitufuata😴😴akatuchukua mimi na poppy mpaka kwenye hotel moja hivi ya hapa Dsm

Tulieka oda kila mtu anachojisikia kula wakati chakula kinaandali tukaletewa cocktail🍸 za kutuburudisha🤗🥰❤️ it was a nice day ❤️❤️..

Tulikunywa cocktail 🍸😋 haikupita muda tukaletewa chakula🤗🤗kila mmoja kama alivoagiza🥰

Tulikula pale tukamaliza Hemed akatuambia tuongeze vinywaji lol tungepasuka😂🙌tulimwambia sie tushatosheka..

Muda ulikuwa ushaenda ilibidi turudi nyumbani..

Hemed alitupeleka mpaka nyumbani 😴😴majirani sijui wanaongea nini kutuhusu maana mmmh si kawaida😂🙈

Poppy alishuka kwenye gari wa kwanza mie wakati nashuka Hemed akaniambia Bella wait a minute 🙈🙈

Mmhh nilimkonyeza Poppy asiende mbali nisijebakwa kule ndani ya gari hahaha😂 mdogo wangu alisimama kuningoja..

Hemed aliniomba nimpe ratiba yangu ya chuo ili awe anakuja kunipeleka alidai pia siku ambazo atakuwa tait atakuwa anamtuma dereva wake aje kunichukua..

Nyieeeee🥰🥰🥰hizi raha hata sikuzitarajia mjue😴🤗 mbona kama naangalia movie vile hahahaaa🙈huku ndo kuokota Dodo kwenye mnazi😂

Nilimuitikia nikamwambia thanks nitafanya hivoo🙈 akati nataka kushuka akanishika tena mkono akaona mdogo wangu anachungulia😂😂

Akamwambia poppy nenda ndani shem Dada simfanyi kitu atakuja😁😁..

Poppy alienda ndani nikabakia pale na Hemed... aliniuliza lini utanipa ratiba nikamwambia nitakutumia msg coz kesho nataka nianze kwenda chuoni..

Nilikuwa naonge huku naogopa unajua eeh😂🥲 basi Hemed aliniambia ni sawa kesho unaend muda gani?? Nikamwambia saa 4 asubhi..

Nitakuja kukuchukua mwenyewe... nikasema thank youu🙈🙈..

Nakupendaaaa💋💋aliongea kwa sauti fulani hivi dah💋💋🙈nilijisikia tofauti ukizingatia alivokuwa amenishika mkono wangu mmh🙈

Itaendeleaaa

10

Nilipata shida kupumuaa🙈 Hemed alirudia tena kuniambia nakupenda Bella akawa ananipapasa ule mkono uuww nikawa nasikia hali siielewi..

Nilivuta mkono wangu aniachie hataki ananiangalia tu anatamani hata aninyonye vilips vyangu vya pink vizuri kweli..

Nilikuwa nikimwangalia machoni anataka hadi kulia .. aliniomba nimwambie chochote tu kutoka moyoni kama nampenda au laah chochote tu..

Tatizo ukimkubali mtu haraka napo anaanza kujiona sukari🤔🤔bora niendelee kumkazia akipata shida kunipata atajifunza namna ya kuniheshimu..

Nilimwambia vile vile nilivyomwambia mchana we need time to know each other😔😔 alinielewa maskini akaniambia can I kiss you😟😟..

Nikamwambia siyo sasa we need time hahahaa nyiee akinipa pesa simwambii we need time ila yeye kila anachoniambia namwambia we need more time.😂

Hata hivo mtoto wa kike lazima uusimamie mwili wako siyo unatumika tu kama choo😂😂

Usiku huo tuliagana hivo kibishi bishi 🙈🙈nikaingia ndani Hemed naye akaondoka zake..

Siyo kama simpendi nahisi kabisa nampenda lakini sihitaji kujirahisi kisa msaada anaonipa😴😴

Usiku huo baada ya kuingia ndani nilikuwa na furaha sana mpaka poppy akasema eeh Mungu wangu mlindie dada yangu mchumba wake wenye tamaa wasimchukue😂

We dogo uachage wenge😂😂 wenge gani dada sema tu hujioni ulivobadilika..

Yani tangu Hemed aje kwenye maisha yako siku hizi hulii lii kama zamani😔😔naomba umkubalie tu usimtese🥺🥺

Yani poppy anataka kunipangia mimi cha kufanya😂😂😂mxieeewww peleka komwe huko ukajisomee🙄

Hahahaa nampenda sana mdogo wangu❤️❤️❤️ alienda zake kujisomea mie nikaingia jikoni kukanda unga ili kesho kabla sijaenda chuoni niwapikie mafundi chai na mandazi..
Usiku wakati nakanda unga Hemed alipiga mi nikashindwa kupokea maana mikono yote inatumika jamaa alipiga simu huyoo...

Nikajisemea tu nimalize kwanza kukanda unga ndo nimpigie 😁😁..

Wakati nataka kumpigia nikakuta ametuma msg it's okay huenda mimi siyo type yako endelea na hao unaowapenda...kha🙄🙄

Mbona wivu jamani angejua mwenzie hata sijawahi hivo vitu😂😂😂basi nilivosoma ile msg nikasema acha nimpigie asilale na mihasira..

Nimepiga simu kazima mmhhh jamani karoho kaliniumaa🙈🙈 nililalaa zangu kesho yake asubuhi nikamtumia msg Good morning akanijibu ndo umetoka kwa hao..

Khaaa🙄🙄🙄wakina nani??? Akanijibu unaowapenda🥹🥹nikaguna mmhhh akajibu ni sawa tu Bella ila tambua unachonifanyia siyo sawa..

Hahahaa sometimes kuonewa wivu raha😂😂 tena raha inazidi pale unapolalamikiwa kwa kitu hujakifanya😂

Basi muda huo mi nilikuwa nakaanga mandazi nilivoona hatuelewani nikaweka simu kando nikaendelea kupika..

Nilipomaliza nikaishika simu nikakuta ina missed call tatu kutoka kwa Hemed🫣🫣mbona sikusikia wakati inaitaa😯

Shetani mbona yuko serious kiasi hiko chaka hata sijalilalia ye anataka kulifyeka😂😂😂

Basi my wenu nikajisemea nipige simu nijitetee jamaa hakupokea🥺🥺🥺nikatuma msg

Sorry nilikuwa jikoni napika mandazi ya mafundi kimyaaaa sikujibiwa🫣🫣nilichanganyikiwa 😂😂

Jamani nisamehe sitorudiaaaaa😭😭😭 nilimtumia tena hiyo hahahaaa akaniambia jiandae muda wa chuo unakaribia..

Hahahaaa at least anajali💃🏼💃🏼 basi nilimalizia kuchuja chai kwenye chupa nikaweka mandazi kwenye deli then nikawakimbizia mafundi haraka..

Kufika pale mafundi wananiita maza house🙄nani amewaambia nao hawa umbea tu😝😝

Niliondoka zangu nikaja kujiandaa nilichagua kinguo kitamu sana nikakivaaa😋😋

kichwani nilivaa wig fulani hivi amazing chini viatu virefu na kimkoba changu cha elf 15 ila ukikiona kama cha elf 50

hahahaa maskini tunajua kuchagua vitu vya bei chee ila vimeenda shule😂😂

Baada ya kumaliza kujiandaa nilitoka🙈🙈 Hemed alikuwa nje kwenye gari ananisubili..

Itaendeleaaaaaaaaa
Full yote 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 08,09,10



Nilimuomba Hemed anipe muda nimfahamu yeye ni mwanaume wa aina gani na nikishamfahamu nitampa majibu sahihi..

Alikubali lakini akaniomba nisirudie tena kutoka usiku kama nilivofanya jana.. hahahaa anaamini kweli nilitoka lakini wala tulimdanganya tu..

Hemed aliniambia nikiwa na shida yoyote nimwambie yeye atanisaidia.. nilimwambia sawa asanteee..

Kama mnavoyajua mambo ya kutongozana huwa siyo ya haraka haraka🤣🤣🤣mchana ulitukuta pale pale kwenye ile hotel nzuri Hemed aliweka oda tuandaliwe lunch🥰

Tuliandaliwa lunch fulani hivi very demure 😋🍷tulikula mimi na Hemed hahahaa nilikuwa namuonea aibu sijui kwanini🙈🙈

Tulipomaliza kula Hemed alinirudisha nyumbani nilimbebea mdogo wangu chakula chake ili akitoka shule ale..

Baada ya kufika nyumbani Hemed alinipa pesa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya-08-09-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38*  Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38* Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  *SEHEMU YA 35*  Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 35* Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 15*   Na 17  Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 15* Na 17 Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39*  Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39* Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 24*  Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 24* Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40*  Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...
MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40* Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23*  That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23* That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 01
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 01
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 20*   Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 20* Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 25*  Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 25* Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 19*  Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 19* Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  *SEHEMU YA 32*  Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 32* Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
Mrembo yatima na kijana tajiri  SEHEMU YA 22*  Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Mrembo yatima na kijana tajiri SEHEMU YA 22* Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

880
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

678
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

607
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

391
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

227
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

171
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

158
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

102
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

41
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.62K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest