Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40*  Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...
Gonga94 · Stories

MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40* Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nilituliza akili zangu nikarudi chuoni kipindi hiko ndo nilikuwa mwaka wa tatu chuoni katika stage ya Degree..

Nilikuwa naendelea na masomo yangu huku naendelea na Driving course...kwenye kudrive hata sikuchelewa kujua😂

Ndani ya week mbili niliweza kuondosha gari😂😂😂viuoga kutetemeka kwenye usukani ndo vitu mwalimu alibaki kushughulikia🤗🤗

Na kunifundisha kuhusu alama za barabarani...that time maisha yalikuwa mazuri kiasi coz Romy alikuwa anasimamia kila kitu..

Na alikuwa ananilipa Girl friend allowance🥰🥰🥰..basi bwana maisha yalizidi kusonga mwezi ukapita and guess wat sikuingia period..

Nilichanganyikiwa 🙌🙌 kabla ya kwenda kupima nikamshirikisha Romy nikamwambia mi huku sizioni siku zangu..

Aliniambia nipime then nimpe majibu😴😴😴nilikwenda hospital nikafanya kipimo cha mimba majibu yakatoka nina mimba🤨🤨..

Nilimpigia simu Romy nikampa majibu😞😞akayapokea kwa mikono yote miwili😴😴aliniambia nisiwe na mashaka ye yuko tayari kuwa baba na atatutake care mimi na mtoto..

Duh wala sikuwahi kutarajia kama nitazaa bila ndoa lakini ndo ishatokea hakuna namna🙏🙏na jambo zuri zaidi mhusika alilipokea swala hili vizuri sikuwa na hofu saana..
Niliendelea na masomo huku tumboni nikiwa na ujauzito 🥰🥰🙈 Romy aliendelea kutujali alikuwa anafanya mawasiliano namimi mara kwa mara na alihakikisha sipati shida yoyote..

Mwezi uliofuatia nilitaarifiwa gari tuliloagiza tayari limeshawasili tuliambiwa siku arobaini ila lilichukua siku karibia 90..

Nilimtaarifu Romy akaniwekea pesa nikamalizie malipo nichukue gari🥹❤️... nilifanya hivo baada ya kulipia nililetewa gari mpaka nyumbani..

Lilifanyiwa service zote kuhakikisha liko sawa🥰🥰nilifurahi sana❤️❤️nilimshukuru sana Romy🥹 aliniahidi siku siyo nyingi atakuja kuniona..

Kweli baada ya miezi kadhaa Romy alirudi Tanzania alikuta ujauzito umeshakuwa mkubwa miezi saba na kipindi hicho nilikuwa likizo tulikuwa tumefunga chuoni..

Romy aliniambia inabidi tuondoke wote kwenda UK alidai anataka mtoto wake akazaliwe huko na siyo Africa 🙂🙂🙂alisema mtoto akizaliwa huku itakuwa ngumu kupata uraia wa kwao..

Ilibidi tuanze kuhangaikia visa🙌🙌🙌haikuwa rahisi but mwisho wa siku nilifanikiwa kupata visa ya UK...wakati huo mdogo wangu alikuwa ameshamaliza mitihani yake ya form four anasubilia matokeo..

Haikuwa rahisi kwangu kuondoka Tanzania na kumuacha mdogo wangu peke yake😭😭😭...nililia niliumia mno lakini ndo hivo ilikuwa ni lazima kumpeleka mtoto aende akazaliwe nchini kwa baba yake...

Nilianza maisha mapya UK nikiwa na tumbo la miezi minane... nilikuwa mpweke sana nilikuwa nikimfikilia mdogo wangu ndo kabisaaa nakuwa mtu wa kulia kila siku..

Romy aliniahidi atamleta poppy UK tuishi pamoja... niliteseka mwishowe nikazoea🙏🙏.. tulilea ujauzito mpaka ukafika miezi tisa..

Nilifanikiwa kujifungua mtoto wa kiume❤️❤️🥰 baada ya kujifungua nilikaa miezi sita tukafunga ndoa na Romy ❤️❤️..now he is my husband and I am his wife ❤️❤️..tunapendana sana..

Baada ya ndoa tulirudi Tanzania kushugulikia mpango wa kumhamisha poppy Tanzania...

Wakati niko Tanzania siku moja nilienda katika ofisi moja hivi kugongewa mhuri kwenye barua za kupeleka huko uhamiaji😂😂😂

Nimefika huko nikakutana na Hemed bwana alishtuka Bella ni wewe🥺🥺 nikamwambia ndiyo ni mimi..za siku nyingi nikamwambia ni njema kabisa..

Umepotea sana napiga sana namba yako hupatikani hahahaa namba yenyewe nilibadili kitambo..Hemed alianza kuleta pigo zake za mara ooh nahitaji tuongee Bella unajua bado wazazi wangu wananitaka nikuoe wewe..

Namimi najua wewe ndo mwanamke wangu nisamehe kwa kila kitu cha nyuma tuanze upya🥺 hahahagaaaaaa

Nilicheka sana😂😂😂nikamuuliza kwani bado hamjafunga ndoa na yule mwanamke wako,.?? Akaniambia wameshaachana wanalea tu mtoto😂😂

Nilimpa pole nikamuonyesha Pete😝😝nikamwambia mimi nishachukuliwa Boy😝😝Hemed alichanganyikiwa akaanza kuniambia nimuache mwanaume wangu anioe yeye nyoo hiyo ni ndoto baba😂

Nilimwambia amka unaotaaaaaa wewe saivi siyo type yangu 💔💔 you are not my type😝😝..nilimuacha hapo nikaendelea na kilichonipeleka pale..

Mdogo wangu poppy alifanikiwa kupata visa ya masomo nchini UK 🙏🫂 tulifurahi sana🥰🥰

Angalau nilijisikia amani kwenda kuishi na ndugu yangu pamoja UK.. hata yeye alifurahi sana❤️❤️ ...

Tuliuza baadhi ya vitu tulivokuwa navyo Tanzania ikiwemo gari aloninunuliaga Romy niliuza nikaja kununua ingine hapa ulaya..

Tuliuza na ile nyumba tuliyoachiwa na wazazi wetu tukanunua kiwanja sehemu ingine ambapo tumepanga kujenga nyumba kubwa nzuri ambayo tutakuwa tunafikia tukija Tanzania...

Hiyo ndo historia ya maisha yangu... kwa sasa ninaishi hapa UK na mme wangu Romy...bado tuna mtoto mmoja nasubilia afike miaka mitatu nirudi shuleni..

Nimepanga kusoma course fupi hapa UK ili iwe rahisi kupata ajira hapa...mdogo wangu poppy yeye kwa sasa anasoma katika chuo kimoja hapa UK..

Asanteni sana kwa wote mlioifuatilia hii story nina imani kuna chochote mtajifunza❤️❤️❤️...

*mwisho*

Maoni

You're not logged in


profile
mjukuu 13 Oct 2025 03:50
mwisho Asante kwanzia 1 hadi kipande hiki cha 40 unasoma ukiwa Mkoa gani mimi Morogoro wewe je?
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40* Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...



Nilituliza akili zangu nikarudi chuoni kipindi hiko ndo nilikuwa mwaka wa tatu chuoni katika stage ya Degree..

Nilikuwa naendelea na masomo yangu huku naendelea na Driving course...kwenye kudrive hata sikuchelewa kujua😂

Ndani ya week mbili niliweza kuondosha gari😂😂😂viuoga kutetemeka kwenye usukani ndo vitu mwalimu alibaki kushughulikia🤗🤗

Na kunifundisha kuhusu alama za barabarani...that time maisha yalikuwa mazuri kiasi coz Romy alikuwa anasimamia kila kitu..

Na alikuwa ananilipa Girl friend allowance🥰🥰🥰..basi bwana maisha yalizidi kusonga mwezi ukapita and guess wat sikuingia period..

Nilichanganyikiwa 🙌🙌 kabla ya kwenda kupima nikamshirikisha Romy nikamwambia mi huku sizioni siku zangu..

Aliniambia nipime then nimpe majibu😴😴😴nilikwenda hospital nikafanya kipimo cha mimba majibu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya-40-nilirudi-tanzania-nikiwa-na-huzuni-nyingi-lakini-ndo-hiv

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38*  Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38* Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  *SEHEMU YA 35*  Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 35* Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 15*   Na 17  Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 15* Na 17 Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39*  Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39* Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 24*  Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 24* Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23*  That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23* That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 01
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 01
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 20*   Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 20* Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 25*  Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 25* Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 08,09,10
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 08,09,10
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️  SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  SEHEMU YA 19*  Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 19* Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI  *SEHEMU YA 32*  Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 32* Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
Mrembo yatima na kijana tajiri  SEHEMU YA 22*  Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Mrembo yatima na kijana tajiri SEHEMU YA 22* Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

880
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

676
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

607
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

389
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

226
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

171
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

157
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

102
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

41
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.62K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest