Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI ( 11-15 ) MWISHO
Gonga94 · Stories

NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI ( 11-15 ) MWISHO

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Chombezo: NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI????????????11.

Usiku ule tulimpeleka kaka Sam tulimpeleka kaka Sam hospitali iliyopo Karibu, tulipokewa na wauguzi na manesi wenye zamu ya usiku????. "ana tatizo gani huyu?" daktari mmoja mfupi mwenye mustachi mkubwa kama wazee wa kihindi alimuuliza baba. "Doctor hata sielewi nashangaa tu hali ya mwanangu imebadilika ghafla akawa hivyo????" baba aliongea kwa kufichaficha. "mzee Masumbuko hapa unatakiwa uwe mkweli siku zote ukweli humuweka mtu huru, kwa maelezo yako unaposema unashangaa tu hali hii imemtokea kijana wako ghafla basi inaonyesha kijana wako amelogwa, kingine kumbuka hii ni Tanga usipofunzwa na wazazi wako ulimwengu utakufunza, huenda Kuna jambo kijana wako amelifanya huko mtaani walimwengu wakaamua kumkomesha ipo hivyo mbane vizuri kijana wako ataeleza ukweli" Doctor alimwambia baba.

Lakini hata hivyo licha ya kwamba baba aliujua ukweli hakutaka kuweka wazi????, ukizingatia hospitali ile ni ya mazingira tunayoishi lakini pia doctor yule tulifahamiana naye. "Kwahiyo doctor Nasir unamsaidiaje kijana wangu, baba alimuuliza Doctor. "Unajua mzee masumbuko sio kila ugonjwa ni wa kupelekwa hospitali huyu kijana wako kama kalogwa mpeleke kwa mganga au kwa mashehe akasomewe dua au hata kanisani lakini hospitalini huwezi kupata ufumbuzi wa tatizo lake mimi nakushauri hivyo tu"Doctor alimshauri baba. Basi usiku ule wa hekaheka hatukutaka kupoteza muda, tulimtoa kaka Sam pale hospitalini na kumpeleka nyumbani kwa shehe majini. Tulipofika tulimgongea mlango akaamka. "Salad waleykum shehe" baba alimsalim, "waleykum mslam vipi kuna heri" Shehe Majidi aliuliza.

"Ah si swalama sheikh wangu, kijana wangu Sam amepatwa na uzuru, tumbo lake limevimba ghafla na kuwa katika hali hiyo naomba msaada wako shehe" skinhead baba. "Ooh basi karibuni ndani niwasaidie kumsomea visomo kijana wenu Allah atamuaufu na kumrejeshea hali yake ya kawaida" alisema sheikh Majidi. Basi tukaingia ndani kwa shehe na kuketi chini kwenye zulia kubwa sana, shehe aliwaza moto na kuweka mkaa wenye Moro kwenye chetenzo kisha akachukua ubani na msahafu na kuketi palepale kwenye zulia kaka Sam akiwa mbele yake. Shehe alianza kusoma dua kwa muda mrefu sana huku akichofa ubani, mara ghafla???? tumbo la kaka Sam lilizidi kuongezeka mara dufu kiasi kwamba shehe akagiza avuliwe shati, tumbo lilikuwa kubwa na lilichora michirizi mithili ya puto Linalotaka kubasti.

"Mzee masumbuko huyu kijana wenu anaonekana ana kiumbe ndani ya tumbo lake"alisema Shehe Majid. "Kiumbe??? ????" baba aliuliza kwa mshangao. "ndio huyu kijana kafanyiwa shiriki inavyoonekana na hapa mimi nimemaliza kumfanyia kisomo kinachotakiwa apelekwe hospitali akafanyiwe oparation lakini nikisema tuendelee kumfanyia dua, tumbo linaweza Kupasuka na kupelekea kupoteza uhai wake mpelekeni hospitalini" aliagiza shehe majid ilibidi tumpeleke kaka Sam hospitali nyingine usiku ule huku tukiambatana na shehe Majidi. Tulipofika shehe majidi aliwaelezea madaktari na manesi kwamba kaka Sam amefanyiwa ushirikina lakini amemsomea dua hivyo kuna kiumbe ndani ya tumbo lake wamfanyie operation wakitoe, aisee ilikuwa ni ngumu kwa madaktari kukubali, kwanza walionekana kuwa na woga sana mpaka baba alipoamua kuwahonga pesa kubwa wafanye hivyo. Basi jopo la wauguzi waliingia Keene chumba cha upasuaji alipoingizwa kaka Sam na manesi. Walijifungia ndani ya chumba hicho kwa masaa kadhaa wakati huo mimi, Mama na baba tukiwa Tumekaa kwenye benchi nje ya chumba kile cha upasuaji. Tukiwa kila mmoja amezama kimawazo huku kila mmoja wetu akiwaza ni kiumbe gani hicho kitatolewa tumboni kwa Sam, Mara ghafla???? tukashanga madakatari na manes wakitoka kwenye Chumba cha upasuaji wakisukumana na kupiga keleke.....

"Hee kulikoni? Wameona nini? " Nilijiuliza huku moyo wangu ukinienda mbio balaa????

ITAENDELEA


Chombezo: NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI????????????12&13

Tulishangaa???? madaktari wakitoka kwenye mlango wa chumba cha upasuji huku wakisukumana mlangoni mithili ya wanafunzi walioona nyoka darasi, walisukumana pale mlangoni wengine wakidondoka chini na wengine wakipita juu ya migongo ya waliodondoka chini. "Mh baba kulikoni mbona madaktari wanatoka kwa kukimbia kwenye chumba cha upasuaji? Wameona nini tumboni kwa kaka Sam" nilimuuliza baba huku moyo wangu ukinidunda balaa. "Hata sijui hebu tumuwahi huyo daktari anayepita hapo tumuulize" alisema baba. Tukamkimbilia yule daktari na kumsimamisha, alikuwa anahema kama bata jike aliyenusurika kukimbizwa ili achinjwe aliwe na wali. "Dokta kuna nini?" baba alimuuliza. "Ah subiri ninywe maji kwanza nitulize pre presha " aliongea daktari kwa sauti iliyosindikiwa na mhemo wa hali ya juu. Baba akaingiza mkono mfukoni kwake na kutoa noti ya elfu moja akasema nikimbie nikamletee daktari maji. Nilikimbia kama mtoto wa shule alichelewa vipindi darasani, haraka nikamletea daktari maji akanywa, baada ya hapo alitikisa kichwa chake kuashiria kwamba anasikitika sana.

"Enhee daktari nini kinaendelea". Baba alimuuliza huku akiwa ametoa macho ya woga????. "Mzee haya ni maajabu, tokea nimeanza kazi ya udaktari sijawahi kukutana na maajabu kama haya, mara ya kwanza tulimpima kijana wako tumboni tukaona kwamba ana uvimbe mkubwa tumboni hivyo tukaamua kumfanyia upasuaji, ajabu tulipompasua tumbo Lake tukashangaa kukuta katoto, hali iliyopelekea madaktari wote tukimbie maana sio hali ya kawaida kwa mtoto wa kiume kuwa na mimba" aliongea daktari huku akihema balaa. "Mh katoto????ni kasampuli gani?" baba aliuliza kwa mshangao. "mzee mimi hata sielewi akili yangu ishavurugika, yule ni kijana wako unaweza lends kwenye chumba cha upasuaji ukajionee mwenyewe maana kila mchuma janga hula na wakwao nahisi kijana wako sio binadamu wa kawaida na kama ni binadamu wa kawaida basi amelogwa maana Tanga inaongoza kwa matukio hayo ya kichawi, kuna mwanaume aliwahi kuoteshwa manyonyo makubwa baada ya kutembea na mke wa mtu lakini hili la kijana wako kupewa mimba hadi kujifungua katoto hii ni too much" aliongea daktari, wote tukawa tunaangaliana machoni huku tukiwa tumetoa macho bila kupepesa maana sio kwa taharuki ile.

"Baba Sam twende tu kwenye hicho chumba cha upasuaji nikamwangalie mwanangu???? jaman Mimi hadi tumbo la uzazi linaniuma eee Mungu wangu ninusuru" Mama alimwambia baba, baba akawa anasitasita tayari alishaanza kupata woga. "Jaman nendeni mkamuone kijana wenu muone namna ya kufanya maana hili suala likifika kwa waandishi wa habari ni aibu kubwa sana kwa familia yenu" Daktari alishauri kwa kusisitiza. Baba akapiga moyo konde, Na kusema "potelea mbali hebu twendeni".basi tukaongozana Mimi, baba na mama, sikutaka kutangulia nilikaa nyuma nyuma kama mkia, maana nilikuwa na woga balaa , nilitembea kwa kujihami kwamba endapo litatokea la kutokea ndani ya chumba cha upasuaji nitimue mbio na ndio maana nilikaa nyuma. Tulifika kwenye mlango wa chumba cha upasuaji????ajabu tukasikia katoto kachanga kanalia kwa ndani, mamaweee ile tunaingia kwenye chumba kile cha upasuaji ghafla tukashagaa......

N. B

Chombezo: NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI????????14

.Tulifika kwenye mlango wa chumba cha upasuaji????ajabu tukasikia katoto kachanga kanalia kwa ndani, mamaweee ile tunaingia kwenye chumba kile cha upasuaji ghafla tukashagaa kuona kitoto kichanga kabisa huku tumbo la kaka Sam likiwa wazi lakini licha ya kwamba mipira ya kuvuta hewa safi ilikuwa imemzunguka kila mahali lakini ilionekana kabisa kwamba hana uhai, kwakweli ilikuwa ni kitendo cha kushangaza sana mwanaume kujifungua. Tuliwaita madokta tukapewa katoto na mwili wa kaka Sam ukapelekwa mochwari. "mh jamani haka katoto si binadamu wa kawaida kwasababu mwanaume hawezi kubeba ujauzito bali huu ni uchawi kijana wenu alifanyiwa ningewashauri mukapeleke haka katoto kwenye maombi mtapata msaada lakini mkisema muishi nako badae itawaletea shida sana".Nesi mmoja wa kike mnene kama mbuyu alimshauri baba.

"Nimekuelewa nesi nitafanya hivyo" alisema baby tukaondoka pale hospitali na kurudi moja kwa moja nyumbani. "baba sasa mbona hatukapeleki haka katoto kanisani mimi nakaogopa" Nilimwambia baba. "Zuu tena usiongee wewe unafikiri mchungaji akiuliza Mama wa huyu mtoto yuko wapi tutasemaje?. Yani usiongee kabisa kwasababu wewe na kaka yako ndio mmesababisha haya, mimi naona ili kusiwepo na maswali mengi ya kuulizwa na watu au makanisani au hata misikitini mimi naona tukaue maana hata tukikapeleka hospitali hatujui kutatokea kitu gani cha kutufedhehesha zaidi, huenda kakabadilika na kuwa kiumbe cha ajabu mwisho wazazi wako tukaonekana ni wachawi na kama unavyowajua watu wa hapa Tanga tunaweza kutengwa na jamii" alisema baba, kwa upande mmoja nikamuona kama yupo sahihi???? lakini nilipojaribu kuwaza kwa kina nikaona pia hayupo sahihi. "Sasa baba hata tukikaua huwezi kujua nini kitatokea pengine ndio tutazidisha matatizo" nilimwambia baba.

"Jamani mimi msinichanganye sitaki kuaibika hapa mtaani kwanza nipo kwenye mipango ya kwenda kuutoa mwili wa Sam mochwari tuzike na tunabahati tukio hili limetokea hospitali ambayo hatufahamiki habari zingesambaa sana japo madokta wanasema walikula kiapo cha kutunza siri za wateja ila ingekuwa ni hospitali ya karibu habari zingesambaa kama upepo, mimi naona tuzike kwanza hayo mengine yatafuta"alisema baba. Basi siku mbili baadae mwili wa kaka Sam ulifuatwa mochwari, masikini tulimzika Kaka yang Sam????, nilijilaumu sana kwa kitendo kiovu tulichokifanya maana ndio chanzo cha kifo chake. Katoto tulikanywesha maziwa ya ng'ombe huku tukiwaficha watu mtaani kilichotokea na kuwadanganya kale ni katoto kandugu yetu wa Dar amepata matatizo tumeamua kukachukua na kuishi nako. Basi siku zilisogea ajabu siku moja tuliamka asubuhi katoto kalikuwa kanacheka sana, Mama akasema akafuate chumbani akakaangalie, weeeee alituita wote mimi na baba tuone????. Tulipoingia chumbani na kukaangalia katoto mdomoni kalikuwa na meno yote kama mtu mzima, sijui yaliota usiku au saa ngapi?.. "mh jamani haya ni makubwa sasa tufanyaje jamani hii ni aibu" aliuliza baba. "baba mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo tu ndio kitamuumbua na msema kweli siku zote husaidika kuliko mtu wa kufichaficha mimi naona tukapeleke haka katoto kanisani tutasaidika" Niliwashauri baba na mama. Hatimaye tukaanza Safari ya kwenda kanisa la mbali kidogo na mtaani kwetu. Huko kanisani sasa????....

Acha nirudi?????????????maana nishidaaaaaaaa????????????????????

Chombezo: NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI????????
MWISHO
"baba mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo tu ndio kitamuumbua na msema kweli siku zote husaidika kuliko mtu wa kufichaficha mimi naona tukapeleke haka katoto kanisani tutasaidika" Niliwashauri baba na mama. Hatimaye tukaanza Safari ya kwenda kanisa la mbali kidogo na mtaani kwetu. Lilikuwa ni kanisa kubwa sana mfano wa bwalo. Tuliingia kanisani Mimi, baba na mama tukakaa kwenye viti vya katikati huku mama akiwa amekabeba katoto na kukafunika na bebishoo mpaka usoni na kuacha sehemu ya macho tu wakati huo kanisani kulikuwa kimya sana huku ibada ya mahubiri ikiendelea. Mchungaji alipomaliza kuhubiri akasema "Kwa muda huu nitaenda kuwaombea watu wenye matatizo mbalimbali na wale wanaotaka kuokoka na kumpokea yesu kristo awe beans na mwokozi wa maisha yao, tafadhali kama unashida yoyote pits mbele madhabahuni kwa bwana ili uweze kupata uponyaji, basi wakati wenye shida na matatizo mbalimbali wakiwa wanapita mbele tutaimba pambio hili " alisema mchungaji na kuanza kuimba huku watu kibao wakipita mbele ya kanisa.

?????Nimeamua kumfuata yesu, sitarudi nyuma sitarudiiii????????baba na mama wakiniachaa sitarudi nyuma sitarudii" mchungaji aliimba wakati huo watu wakiitikia na baadhi wakipita mbele. "Mama na baba tupiteni mbele" niliwaambia Mama na baba baada ya kuwaona wanasitasita. Basi tukanyanyuka kwenye viti na kusogea mbele ambapo tulijipanga vizuri huku mchungaji akiomba sana wakati huo watu wote tukiwa tumefumba macho. Nilipoona maombi yamekolea kiasi kwamba mchungaji akawa anaomba kwa lugha ambazo sikufahamu tafsiri yake, nikasema nifungue nacho kwa kujiiba nikatazame katoto ambako Mama alikabeba kwenye bebi shoo. Weee???? ile kufungua macho na kukatazama katoto, niliachia ukelele mmoja wa nguvu baada ya kuona kichwa cha joka mkubwa mithili ya chatu kikiwa kimejitokeza kwenye bebi shoo. Mama na baba hawakuona kwasababu walikuwa wamefumba macho lakini kelele ile niliyopiga ilimshtua kila mmoja pale kanisani na kuwafanya wote wafungue macho????.

Kitendo kile cha mama kufumbua macho na kuona amelibeba joka, kilimfanya alitupe pembeni kisha miguu yake ikakosa nguvu akaanguka chini na kubamiza kichwa kwenye sakafu, damu nyingi zilimtoka puani na mdomoni, yani kanisani pakawa na hekaheka, mchungaji alipambana kulinyunyizia lile joka mafuta ya upako mpaka likauungua moto na kuteketea. Mama aliwahishwa hospitali lakini kabla hajafikishwa aliaga dunia????. Ilikuwa ni huzuni kwangu niliona kama Laana ya kutembea na kaka yangu inanitafuna taratibu kwasababu tayari ilishamchukua kaka yangu hatimaye ikamchukua mama????. Tulizika lakini baada ya mazishi nilienda kwa mchungaji na kumueleza ukweli wangu wote, aliniombea, nikaokoka, hatimaye ni mwaka wa pili sasa nimepanga kwangu naishi na mtoto wangu ambaye nilijifungua ila nimeokoka na mkasa huu nimeuandika kuwaelemisha kwamba tuwe na nguvu ya kuhimili hisia zetu kwani tunaposhindwa kuzihimili hisia zetu matokeo yake huwa ni mabaya mno, mfano mimi nilitembea na kaka yangu kwa kushindwa kuzuia hisia zangu lakini matokeo yake ni kama haya, hivyo yapo matokeo mbalimbali ambayo mtu anaweza kuyapata kama atashindwa kuzuia hisia Zake, mfano ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa. ????????

MWISHO
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI ( 11-15 ) MWISHO



Chombezo: NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI????????????11.

Usiku ule tulimpeleka kaka Sam tulimpeleka kaka Sam hospitali iliyopo Karibu, tulipokewa na wauguzi na manesi wenye zamu ya usiku????. "ana tatizo gani huyu?" daktari mmoja mfupi mwenye mustachi mkubwa kama wazee wa kihindi alimuuliza baba. "Doctor hata sielewi nashangaa tu hali ya mwanangu imebadilika ghafla akawa hivyo????" baba aliongea kwa kufichaficha. "mzee Masumbuko hapa unatakiwa uwe mkweli siku zote ukweli humuweka mtu huru, kwa maelezo yako unaposema unashangaa tu hali hii imemtokea kijana wako ghafla basi inaonyesha kijana wako amelogwa, kingine kumbuka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilivyoanza-kufanya-mapenzi-na-kaka-yangu-kwa-mara-ya-kwanza-ilikuwa-ni-beach-ndani-ya-maji-11-15-mw

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilivyoanza-kufanya-mapenzi-na-kaka-yangu-kwa-mara-ya-kwanza-ilikuwa-ni-beach-ndani-ya-maji
NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI ( 6-10 )
NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI ( 6-10 )
NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI ( 1-5 )
NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI ( 1-5 )
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

615
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

538
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

500
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

330
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

280
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

98
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

96
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

24

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest