Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa  Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
Gonga94 · Stories

ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

"Samahani boss nilihisi uchovu kidogo tu. alisema kwa sauti ya kigugumizi huku akiinamisha macho yake chini.

Romex alikaa kimya kwa sekunde chache,

aligundua kuna siri kubwa salsa anaficha. "Uchovu? Salsa, huu ni uchovu au kuna kitu

kingine unachonificha? aliuliza huku akiwa na mashaka

Salsa alihisi koo limekauka ghafla. Akageuka upande mwingine na kujifanya kuchukua faili mezani.

"Hakuna kitu boss nipo sawa......

kabla hajamaliza kuongea, ghafla tumbo lake likachafuka akahisi kichefuchefu alichukua kimfuko ambacho akijiandaa na kuanza kutapika ndani.

Romex aliruka kutoka alipokuwa amesimama na kusogea nyuma haraka.

"Salsa! Wewe una tatizo kubwa, hii sio kawaida Salsa alijifuta midomo huku machozi yakimtoka.

"Boss, naomba naomba niseme ukweli sijisikii vizuri siku.

Romex alinyamaza, akamwangalia kwa muda mrefu kisha akavuta pumzi ndefu. "Twende hospitali sasa hivi. Hakuna muda wa kupoteza, afya yako ni muhimu zaidi.

"Hapana boss nitakuwa sawa.

"Au una mimba?

Salsa alishituka na kumtolea macho Romex maana hicho alichojionea alikuwa anahisi na

alikuwa aliogopa kupima. Salsa alitetemeka, moyo wake ulidunda kwa kasi, wakati huo Romex alikuwa akimuangalia

usoni.

"Hospitali?

"Ndio hospitali huko ndiko kila kitu kinaenda kuwa wazi. Nenda kajisafishe utanikuta nje.

Romex alitoka nje Salsa hakuwa na ni namna ya kukwepa hilo, alienda chooni kujisafisha baada ya hapo alishuka chini mpaka parking akamkuta Romex akiwa kasimama na mlinzi wake.

*Acha nimpeleke hospitali. Romex alimwambia mlinzi wake kisha akamfungulia mlango salsa wakaondoka kuelekea hospitali.

Romex alimpeleka kwenye hospitali ya gharama na kutaka afanyiwe check up ya mwili mzima na gharama zote ilikuwa juu yake.

Madaktari walimfanyia uchunguzi kwa muda mrefu na kumfanyia vipimo.

Baada ya muda daktari mmoja mwanamke

akatoka na kumuita Romex. Waliingia kwenye

chumba cha daktari wakati huo Salsa alikuwa anashuka kwenye kitanda na kujiweka sawa. Daktari alimuangalia Romex kwa makini kisha akasema

"Habari njema, Salsa hana ugonjwa wowote ila ni mjamzito wa wiki kadhaa. Romex Aligeuka kumtazama Salsa ambaye

aliangalua chini huku chini machozi yakimdondoka.

"Mjamzito...?" Romex aliuliza

"Ndio, pia ana upungufu wa damu, anatakiwa. kula vyakula vya kuongeza damu.

Salsa hakuwa na neno la kuongea Alihisi pumzi zikimbana.

"Asante sana doctor.

Ronei alimshika mkono wakabyabyuka na

kutoka nje.

Salsa alikuwa anatetemeka machozi hayakukata machoni kwake. Huzuni ilitanda

usoni kwake. Romex alimuangalia kwa huruma huku akiwa

ameshika mikono yake miwili. "Salsa, nataka unijibu ukweli. Huu ujauzito ni wa nani?"

Salsa kusikia hivyo alilia kwa sauti, macho yake yakiwa mekundu. *

Basi basi kulia hakuta saidia

"Boss sijawahi kutegemea maisha yangu yataharibika namna hii. Kila siku nimekuwa nikijilaumu kwa kilichotokea sikuwahi kukubali,

sikuwahi...... Maneno yake yakakata katikati kwa sababu ya kilio.

Romex alihisi kuna kitu hakipo sawa huenda mwanaume mwenye huo ujauzito haeleweki au amekataa. Alimvuta na kumkumbatia huku alimbembeleza.

"Usijali Salsa. Hata kama huyo mwanaume

atakuwa amekutelekeza sitakuacha upambane peke yako. Huu mzigo tutabeba pamoja, siku zote nitakuwa pembeni yako na kila atakacho hitaji basi niambie.

Baada ya hapo Romex hakutaka Salsa arudi kazini akimpeleka nyumbani kwake.

Walipofika Romex hakushuka kwenye gari ila aliona nyumba kwa mbali baada ya Salsa kumuonyesha.

Romex alitoa simu yake na kumpa Salsa aweke

namba yake ya simu. Salsa alipokea akaandika namba ya simu kisha akarudisha simu yake. "Asante sana boss.

"Usijall, tupo pamoja. Salsa alishuka kwenye gari kisha akaelekea kwake na Romex akawasha gari na kuondoka.

Akiwa njiani alikuwa akimfikiria sana Salsa. Sijui kwanini nimemuona huruma kiasi hiki,

anatoa huruma sana. Sisi wanaume ni watu wa haya sana sasa amekata mimba binti wa watu

na ameishiwa kumuacha mwenyewe. Romex aliongea vibaya na kuwalaani wanaume

wanaowatia mimba mabinti wa watu na wanaowatelekeza bila kujua yeye ndio muhusika.

Salsa alipofika ndani kwake alijikaza kitandani na kuanza kufikiria kile kilichotokea ule usiku pake hotelini, alikumbuka Romex alipokuwa alimwambia

"Tulia mama, nipe utamu mama, nitulize Merry wewe ndio unaeniweza mpaka maji naita mma... Salsa alinyanyuka pale kitandani na kukaa.

*Hivi huyu mtu ananiligizia, Inamaana hajui

tofauti kati yangu na Merry wake?

Romex anaujua ukweli anajua vizuri sana kuwa

hii ni mimba yake anajitoa ufahamu, siwezi kuharibu maisha yangu kwa kosa la usiku mmoja tu natakiwa kumwambia ukwell. Nitaenda kumueleza huwa hii ni mimba yake acha liwalo na liwe. Salsa aliongea kwa hasira.

Je kesho salsa atauvaa ujasiri na kumwambia ukweli Romex? Na kama atamwambia je Romex atalipokeaje hilo swala?

Full 1000
Whatsp
0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana

.

"Samahani boss nilihisi uchovu kidogo tu. alisema kwa sauti ya kigugumizi huku akiinamisha macho yake chini.

Romex alikaa kimya kwa sekunde chache,

aligundua kuna siri kubwa salsa anaficha. "Uchovu? Salsa, huu ni uchovu au kuna kitu

kingine unachonificha? aliuliza huku akiwa na mashaka

Salsa alihisi koo limekauka ghafla. Akageuka upande mwingine na kujifanya kuchukua faili mezani.

"Hakuna kitu boss nipo sawa......

kabla hajamaliza kuongea, ghafla tumbo lake likachafuka akahisi kichefuchefu alichukua kimfuko ambacho akijiandaa na kuanza kutapika ndani.

Romex aliruka kutoka alipokuwa amesimama na kusogea nyuma haraka.

"Salsa! Wewe una tatizo kubwa, hii sio kawaida Salsa alijifuta midomo huku machozi yakimtoka.

"Boss, naomba naomba niseme ukweli sijisikii vizuri siku.

Romex...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/one-night-one-mistake-chapter-5-ukali-wa-romex-ulimfanya-achanganyikiwe-salsa-romex-alimshika-mkono-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi one-night-one-mistake-chapter
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni.  Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni. Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13  Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13 Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake.  *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake. *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15  Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15 Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
 ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3   Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3 Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

868
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

730
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

524
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

180
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

129
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

107
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

76
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest