Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

 ONE NIGHT ONE MISTAKE๐ŸŽ Chapter 3   Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua tax mpaka nyumbani kwao. Alipofika
Gonga94 ยท Stories

ONE NIGHT ONE MISTAKE๐ŸŽ Chapter 3 Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua tax mpaka nyumbani kwao. Alipofika

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
alimkuta dada yake amekaa sebleni

akimsubiri. *Kheeee wewe sherehe gani imeisha mapema hivi?

*Sherehe bado haujaisha nimewahi tu kurudi Kwanini umerudi mapema au ndio unataka kuniambia haujatokea mambo hayo mtoto wa ustadh.

*Da Meena sitaki maneno yako.

Maneno gani lazima nikwambie ukweli umeshakuwa wewe sio mtoto, sasa hivi una maamuzi yako unatakiwa kujisimamia

mwenyewe. Salsa aliona anachoshwa na maneno ya Meena alitembea kuelekea ndani. Eeee... Wewe... Meneja alimuita na Salsa

alisimama na kumgeukia.

"Unasemaje?

"Mbona unatembea ukiwa umebana miguu? Salsa alishituka akajua cha kuropoka atakuwa amegundua kitu.

Salsa.... Naongea na wewe. Meena bwana mwenzio tumbo la kuharisha

limenishika nimekosana na vyakula vya kwenye sherehe. Alisema salsa huku alijikaza na kuondoka.

*Ushamba tu ukute umefakamia huko mpaka sherehe umeiona chungu.

Salsa alipoingia chumbani kwake alikaa kitandani huku akiwa kashika tumbo lake kwa chini. Alikuwa anafikiria mambo yote yaliyotokea hotel chumbani kwa Romex. Machozi yalimtoka hasa alipokumbuka maumivu ya kutolewa usichana wake. Hii ni aibu, hapaswi mtu yoyote kujua. Sijui kama ilikuwa ni kosa langu au ni mpango wa

Romex na mlinzi wake.

Baada ya kulia na kukilaumu sana alinyanyuka taratibu pale kitandani na kuvua nguo zake, wakati anavua ndipo akagundua kuwa nguo nyingine haipo mwilini mwake.

*Nimeacha chup* yangu?

Hakuwa na namna alienda bafuni kuoga kisha akameza dawa za maumivu na kulala.

Asubuhi Romex alikaa kitandani bado akili yake haikuwa sawa, bado akimfikiria mwanamke bikra. Alipopiga jicho lake chini karibia na pazia la dirishani aliona kitu kina nga'a. Alinyanyuka taratibu na kusogea mpaka kwenye hicho kitu, aliinama na kuokota alipoangalia vizuri aligundua ni hereni ya dhahabu.

*Lazima itakuwa ni yake yule mwanamke wa

Jana Aliendelea kuiangalia badae akaenda kuihifadhi vizuri kwenye mfuko wake wa suruali.

Siku zilienda Romex bado alikuwa akiiangalia ile hereni alikuwa anakumbuka siku ya tukio.

Na kuanzia siku hiyo Romex alianza kuachana kabisa na maisha ya anasa aliona ule ilikuwa kama njia ya yeye kubadilika, aliamini huenda akiendelea na tabia zake za ajabu anaweza kukutana na jambo lingine kubwa kuliko lilintokea mwanzo.

Baada ya wiki tatu kupita Romex akimpigia simu

Ivan.

Ivan nataka unichagulie wafanyakazi wanne

wachapakazi na wanaojituma nataka wahamie huku makao makuu kwaajili ya kuongeza ufanisi

wa kazi.

Sawa Romex nitafanya hivyo. Hautakiwi kuchelewa maana kuna tatu

wanatakiwa waripoti kazini.

*Sawa kila kitu kinaenda haraka sana.

Katika kuchagua wafanyakazi wa kuhamia jijini jina la Salsa lilikuwa ni moja kati ya hao watu

wanne.

Wafanyakazi walioteuliwa walifurahi sana lakini kwa Salsa ilikuwa tofauti kidogo maana alijua kwenda kufanya kazi makao makuu ni lazima atakuwa akikutana na Romex mara kwa mara. Kuhamia jijini napenda sana na nilikuwa

natamani sana hii Fulsa, sasa huko ndiko aliko. Romex, nitawezaje kuwa chini yake nitamuangalia vipi sura yake na je itakuwaje kama anajua kilichotokea ule usiku? Salsa aliwaza mengi lakini hakuwa na namna Ilibidi ajikaze aende kwaajili ya kazi.

Salsa na wenzie watatu waliwasili makao makuu ya kampuni, ilikuwa ni kampuni kubwa kuliko walikotoka, kulikuwa na wafanyakazi wengi tena walikuwa Bize na kazi, ofisi zilikuwa za kuvutia hasa ofisi ya boss ilikuwa ya kifahari na yenye vitu vyenye hadhi.

Lakini siku ya kwanza walioripoti Romex

hakuwepo kazini hivyo walipokelewa na msaidizi wake na kila mmoja alionyeshwa ofisi yake. Salsa ofisi yake ilikuwa ghorofa ya kwanza. Aliingia ofisini kwake na kuanza kupanua vitu

vyake, kabla hajamaliza alikuja kaka mmoja. Samahani miss Salsa ulipangwa hapa kimakosa ofisi yako Ipo juu ghorofa ya nne karibu na ofisi ya Mr Romex.

Baada ya salsa kusikia hivyo moyo wake ulipasuka paaaa, alisimama na kumuangalia

yule kaka.

"Tafadhali beba viti vyako nifuate.

Nifuate

Salsa alichukua viti vyake na kumfuata mpaka ghorofa ya nne wakaingia kwenye ofisi moja ambayo ilikuwa niya vioo lakini kulikuwa na uwezo wa kuziba mtu asikuone ila mtu wa ndani ana uwezo wa kumuona akiwa nje pia kulikuwa kuna mapazia

Salsa aliangaza macho kuangalia ile ofisi. *Vipi miss umeipendaa? "Ndio ni nzuri sana.

*Basi uwe na kazi njema

"Asante, nawe pia.

Yule kijana aliondoka na kumuacha salsa akiwa

mwenyewe Kweli ofisi ni mzuri, ya kisasa lakini hapa

kwangu ni mtihani kuwa karibu na Romex. Lakini natakiwa kujikaza kama vile hakuna kilichotokea.

Siku ya pili yake Romex alitembelea kila ofisi ya wake waliohamia pale, ofisi ya kwanza ilikuwa ni ofisi ya Salsa.

Salsa alipomuona anaingia ofisini kwake alipata mshituko na kusimama haraka huku mapigo ya moyo akidunda kwa kasi.

kwenye kiti kilichokuwa mbele ya meza ya Salsa. Salama miss Salsa, nimefurahi kukuona tena

*Habari Boss. Alijitahidi kujikaza na kusalimia. Romex aliachia tabasamu kisha akaenda kukaa

katika ofisi yetu kuu. Salsa akimeza fundo la mate kisha akaangalia pembeni.

*Kaa tafadhali. Romex alisema na Salsa alikaa kwenye kiti kama mzigo uliotupiwa.

Salsa sahau kile kilichotokea siku ya kwanza ilikuwa bahati mbaya. Romex aliposema hivyo alizidi kumpa hofu Salsa moja kwa moja alijua kuwa Romex alijua kilichotokea ule usiku na mbaya zaidi aliacha

nguo yake.

*Boss haikuwa dhamira yangu ni yule..... Kabla hajamaliza kuongea simu ya Romex iliita. Romex alitoa na kuangalia hakupokea wala

kuongea chochote alinyanyuka na kuondoka. Salsa alishusha pumzi huku akishika kifua chake.

*Bora nimwambie uk utua huu mzigo mzito unaniandama masna pieingependa chumbani ใ…ˆ yule mlinzi wake

Full 1000
Whatsp 0784468229Chapter 3

Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua tax mpaka nyumbani kwao. Alipofika alimkuta dada yake amekaa sebleni

akimsubiri. *Kheeee wewe sherehe gani imeisha mapema hivi?

*Sherehe bado haujaisha nimewahi tu kurudi Kwanini umerudi mapema au ndio unataka kuniambia haujatokea mambo hayo mtoto wa ustadh.

*Da Meena sitaki maneno yako.

Maneno gani lazima nikwambie ukweli umeshakuwa wewe sio mtoto, sasa hivi una maamuzi yako unatakiwa kujisimamia

mwenyewe. Salsa aliona anachoshwa na maneno ya Meena alitembea kuelekea ndani. Eeee... Wewe... Meneja alimuita na Salsa

alisimama na kumgeukia.

"Unasemaje?

"Mbona unatembea ukiwa umebana miguu? Salsa alishituka akajua cha kuropoka atakuwa amegundua kitu.

Salsa.... Naongea na wewe. Meena bwana mwenzio tumbo la kuharisha

limenishika nimekosana na vyakula vya kwenye sherehe. Alisema salsa huku alijikaza na kuondoka.

*Ushamba tu ukute umefakamia huko mpaka sherehe umeiona chungu.

Salsa alipoingia chumbani kwake alikaa kitandani huku akiwa kashika tumbo lake kwa chini. Alikuwa anafikiria mambo yote yaliyotokea hotel chumbani kwa Romex. Machozi yalimtoka hasa alipokumbuka maumivu ya kutolewa usichana wake. Hii ni aibu, hapaswi mtu yoyote kujua. Sijui kama ilikuwa ni kosa langu au ni mpango wa

Romex na mlinzi wake.

Baada ya kulia na kukilaumu sana alinyanyuka taratibu pale kitandani na kuvua nguo zake, wakati anavua ndipo akagundua kuwa nguo nyingine haipo mwilini mwake.

*Nimeacha chup* yangu?

Hakuwa na namna alienda bafuni kuoga kisha akameza dawa za maumivu na kulala.

Asubuhi Romex alikaa kitandani bado akili yake haikuwa sawa, bado akimfikiria mwanamke bikra. Alipopiga jicho lake chini karibia na pazia la dirishani aliona kitu kina nga'a. Alinyanyuka taratibu na kusogea mpaka kwenye hicho kitu, aliinama na kuokota alipoangalia vizuri aligundua ni hereni ya dhahabu.

*Lazima itakuwa ni yake yule mwanamke wa

Jana Aliendelea kuiangalia badae akaenda kuihifadhi vizuri kwenye mfuko wake wa suruali.

Siku zilienda Romex bado alikuwa akiiangalia ile hereni alikuwa anakumbuka siku ya tukio.

Na kuanzia siku hiyo Romex alianza kuachana kabisa na maisha ya anasa aliona ule ilikuwa kama njia ya yeye kubadilika, aliamini huenda akiendelea na tabia zake za ajabu anaweza kukutana na jambo lingine kubwa kuliko lilintokea mwanzo.

Baada ya wiki tatu kupita Romex akimpigia simu

Ivan.

Ivan nataka unichagulie wafanyakazi wanne

wachapakazi na wanaojituma nataka wahamie huku makao makuu kwaajili ya kuongeza ufanisi

wa kazi.

Sawa Romex nitafanya hivyo. Hautakiwi kuchelewa maana kuna tatu

wanatakiwa waripoti kazini.

*Sawa kila kitu kinaenda haraka sana.

Katika kuchagua wafanyakazi wa kuhamia jijini jina la Salsa lilikuwa ni moja kati ya hao watu

wanne.

Wafanyakazi walioteuliwa walifurahi sana lakini kwa Salsa ilikuwa tofauti kidogo maana alijua kwenda kufanya kazi makao makuu ni lazima atakuwa akikutana na Romex mara kwa mara. Kuhamia jijini napenda sana na nilikuwa

natamani sana hii Fulsa, sasa huko ndiko aliko. Romex, nitawezaje kuwa chini yake nitamuangalia vipi sura yake na je itakuwaje kama anajua kilichotokea ule usiku? Salsa aliwaza mengi lakini hakuwa na namna Ilibidi ajikaze aende kwaajili ya kazi.

Salsa na wenzie watatu waliwasili makao makuu ya kampuni, ilikuwa ni kampuni kubwa kuliko walikotoka, kulikuwa na wafanyakazi wengi tena walikuwa Bize na kazi, ofisi zilikuwa za kuvutia hasa ofisi ya boss ilikuwa ya kifahari na yenye vitu vyenye hadhi.

Lakini siku ya kwanza walioripoti Romex

hakuwepo kazini hivyo walipokelewa na msaidizi wake na kila mmoja alionyeshwa ofisi yake. Salsa ofisi yake ilikuwa ghorofa ya kwanza. Aliingia ofisini kwake na kuanza kupanua vitu

vyake, kabla hajamaliza alikuja kaka mmoja. Samahani miss Salsa ulipangwa hapa kimakosa ofisi yako Ipo juu ghorofa ya nne karibu na ofisi ya Mr Romex.

Baada ya salsa kusikia hivyo moyo wake ulipasuka paaaa, alisimama na kumuangalia

yule kaka.

"Tafadhali beba viti vyako nifuate.

Nifuate

Salsa alichukua viti vyake na kumfuata mpaka ghorofa ya nne wakaingia kwenye ofisi moja ambayo ilikuwa niya vioo lakini kulikuwa na uwezo wa kuziba mtu asikuone ila mtu wa ndani ana uwezo wa kumuona akiwa nje pia kulikuwa kuna mapazia

Salsa aliangaza macho kuangalia ile ofisi. *Vipi miss umeipendaa? "Ndio ni nzuri sana.

*Basi uwe na kazi njema

"Asante, nawe pia.

Yule kijana aliondoka na kumuacha salsa akiwa

mwenyewe Kweli ofisi ni mzuri, ya kisasa lakini hapa

kwangu ni mtihani kuwa karibu na Romex. Lakini natakiwa kujikaza kama vile hakuna kilichotokea.

Siku ya pili yake Romex alitembelea kila ofisi ya wake waliohamia pale, ofisi ya kwanza ilikuwa ni ofisi ya Salsa.

Salsa alipomuona anaingia ofisini kwake alipata mshituko na kusimama haraka huku mapigo ya moyo akidunda kwa kasi.

kwenye kiti kilichokuwa mbele ya meza ya Salsa. Salama miss Salsa, nimefurahi kukuona tena

*Habari Boss. Alijitahidi kujikaza na kusalimia. Romex aliachia tabasamu kisha akaenda kukaa

katika ofisi yetu kuu. Salsa akimeza fundo la mate kisha akaangalia pembeni.

*Kaa tafadhali. Romex alisema na Salsa alikaa kwenye kiti kama mzigo uliotupiwa.

Salsa sahau kile kilichotokea siku ya kwanza ilikuwa bahati mbaya. Romex aliposema hivyo alizidi kumpa hofu Salsa moja kwa moja alijua kuwa Romex alijua kilichotokea ule usiku na mbaya zaidi aliacha

nguo yake.

*Boss haikuwa dhamira yangu ni yule..... Kabla hajamaliza kuongea simu ya Romex iliita. Romex alitoa na kuangalia hakupokea wala

kuongea chochote alinyanyuka na kuondoka. Salsa alishusha pumzi huku akishika kifua chake.

*Bora nimwambie uk utua huu mzigo mzito unaniandama masna pieingependa chumbani ใ…ˆ yule mlinzi wake

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ONE NIGHT ONE MISTAKE๐ŸŽ Chapter 3 Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua tax mpaka nyumbani kwao. Alipofika

alimkuta dada yake amekaa sebleni

akimsubiri. *Kheeee wewe sherehe gani imeisha mapema hivi?

*Sherehe bado haujaisha nimewahi tu kurudi Kwanini umerudi mapema au ndio unataka kuniambia haujatokea mambo hayo mtoto wa ustadh.

*Da Meena sitaki maneno yako.

Maneno gani lazima nikwambie ukweli umeshakuwa wewe sio mtoto, sasa hivi una maamuzi yako unatakiwa kujisimamia

mwenyewe. Salsa aliona anachoshwa na maneno ya Meena alitembea kuelekea ndani. Eeee... Wewe... Meneja alimuita na Salsa

alisimama na kumgeukia.

"Unasemaje?

"Mbona unatembea ukiwa umebana miguu? Salsa alishituka akajua cha kuropoka atakuwa amegundua kitu.

Salsa.... Naongea na wewe. Meena bwana mwenzio tumbo la kuharisha

limenishika nimekosana na vyakula vya kwenye sherehe. Alisema salsa huku alijikaza na...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/one-night-one-mistake-chapter-3-salsa-hakuwa-na-furaha-ya-kukaa-kwenye-sherehe-moja-kwa-moja-alielek

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi one-night-one-mistake-chapter
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni.  Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni. Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13  Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13 Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake.  *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake. *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15  Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15 Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
 ONE NIGHT ONE MISTAKEโค Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa  Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
ONE NIGHT ONE MISTAKEโค Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
 ONE NIGHT ONE MISTAKEโค chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKEโค chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

868
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22

730
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23

524
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

180
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25

130
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

107
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

76
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.77K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.63K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.56K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah ๐Ÿคšnioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. Sheโ€™s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. Sheโ€™s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest