Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
Gonga94 · Stories

ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


mkononi, salsa akashituka.

Salsa sipo hapa kuhukumu najua kilichotokea usiku ule ilikuwa ni makosa yangu na yako pia. Kwanini haukusema chochote, kwanini

hakuongea hata kujitetea?

"Romex sina majibu ya maswali yako hata mimi sielewi kwanini nikishindwa kujitetea ila mimi.

nilienda kwenye chumba chako kwa sababu Domi waliniambia nimpeleke kiti lako bila yeye haya yote yasingetokea.

"Ok, ok kwahiyo hiyo mimba ni mimba yangu? Ndio, sikuwahi luwa na mwanaume, sikuwahi

kuingiliwa na mwanaume mwingine zaidi yako, hii ni mimba yako Romex tena kwa asilimia mia

moja ni yako.

"Oooh sasa kwanini haukusema Nilisema mara nyingi ila uliishia kucheka ukachukulia kama utani.

"Haukuwa serious Salsa.

Salsa alikuwa kajiinamia huku machozi yakiwa yanamtoka, Romex alinyanyuka kwenye kiti na

kwenda kukaa karibu yake, alimfuta machozi Basi salsa haupaswi kulia tena nipo hapa sasa nitasimamia kama baba wa mtoto wetu akae. Sahau yote yaliyopita tuanze upya.

Romex alimkumbatia na kumbusu.

Wakiwa kwenye kumbatio simu ya Romex iliita alitoa na kuangalia aliekuwa anapiga alikuwa ni Lilian

Hakujali simu ya Lilian akiweka pembeni na kuendelea kuongea na Salsa huku wakiwa na tabasamu, tumaini jipya na nuru ya upendo iling'aa mbele yao.

Waliondoka pale hotelini wakiwa na amani Romex alimrudisha salsa nyumbani kwake.

Kuanzia siku hiyo mambo yalianza kubadilika, Romex alianza kufanya mabadiliko makubwa. kwenye maisha ya Salsa, kwanza alimuonyesha

upendo wa hali ya juu, penzi lao kilichoanza mfano wa uwa saa sita.

Romex alianza kumuita majina mazuri mazuri ya kimahaba. Aliamua kumtafutia apartment safi huku akimwambia. Mwanamke wake hawezi

kuishi kwenye nyumba za hadhi ya chini na mtoto wake hataki azaliwe kwenye nyumba za changanyikeni.

Kuna muda ilimbidi salsa amuulize.

"Romex kwanini unafanya yote haya? Nina majibu mengi sana ya hilo swali lako Alijibu Romex huku akiwa kashika tumbo la Salsa

"Nipe machache.

Ok, moja ni jukumu langu kuwalinda na kuwaangalia wewe pamoja na mtoto. Mbili, kila unachofanya ni malipo ya kujifunza kila chozi liliwahi kukutoka.

Salsa aliachia tabasamu.

Umelidhika mama kija wangu. "Bado.

"Mmmh unataka nini ili uridhike?

Nini hatuna yangu mimi na wewe?

Romex alichukua kiganja cha mkono wa salsa na kukubusu

Hatma yangu ni kuanzisha familia bora, kuwa na wewe mpaka kifo kitutenganishwe. Umeridhika?

*Bado swali moja.

"Uliza.

"Vipi kuhusu Lilian?

Romex alishusha pumzi kisha akasema. Sina chochote kwa Lilian hivyo hana nguvu kwangu kama ulivyo wewe. Siwezi kuishi na

Lilian sababu sio chaguo langu ni chaguo la

wazazi.

Vipi kama wazazi wakitaka umuowe? Siwezi kutoa jibu la moja kwa moja ila nitajua jinsi ya kuongea na wazazi wangu na kila kitu

kikawa sawa.

"Sawa baba kuja wangu nimekuelewa.

Kuna jambo lingine nataka tuzungumze. "Jambo gani? Hivi ujauzito una miezi mingapi vile?

Miezi nane sasa.

Mmmmh miezi imeenda sasa naona habari ya

kwenda kazini iishie hapa. Nataka upumzike

uilinde afya yako na mtoto wetu. Kwakuwa boss wangu umesema sina

pingamizi.

Achana na jina la boss bwana hebu niite vizuri. Mume wangu, baba wa mtoto wangu. Hapo sawa.

Siku zilienda Romex alikuwa yupo Bize sana па Saisa na kumsahau kabisa Lilian Lawama zilikuwa hazitoshi kila siku ilikuwa ni mashitaka

mara hupokei simu zangu, mara hujibu messege zangu, siku hizi hunijali. Malalamiko ya Lilian ndio yalizidi kumkimbiza Romex hakutanani hata kuonana nae siku moja Mida ya saa tano Romex

alikuwa ametoka kwa Salsa akamkuta Lilian akiwa nyumbani kwake akiwa anamsubiri. Vipi mbona upo hapa?

"Nina maongezi na wewe.

"Muda huu?

Kwani napangiwa muda wa kuongea na wewe

mpenzi wangu.

Sawa Romex alikaa kwenye kochi akawa anamsikiliza.

"Romex mbona siku hizi umebadilika sana?

"Umeanza mambo yako. Sio kuanza na hapa nimekuja tuweke mambo

sawa na sio ugomvi. Hakuna kitu nisichokipenda kama lawama na

wewe kila mara ni kunilaumu tu Kupambanua penzi langu ni kulaumu?

Hebu kwanza nikuulize. Hivi ilishawahi kunipenda au na wewe umetafutuwa mwanaume kama ilivyo kwangu kutafutiwa ?

wewe Khaaaa inamaana wewe haujanipenda? "Umeona sasa akili zako yani swali juu ya swall.

Sikiliza Lilian wewe nenda nyumbani kwenu mimi nataka kupumzika.

Romex alienda chumbani kwake na kumuacha Lilian akiwa kakaa.

Mfyuuuuuu! Ungekuwa wala sibabaiki na wewe ila nipo hapa kwaajili ya mipango yangu wala usingejifanya shababi mpuuzi mmoja wewe. Alisema Lilian kisha akaondoka.

Baada ya siku mbili kupita Romex alienda nyumbani kwa umwazazi wake.

Baba, mama samahani kwa kuchukua muda wenu ila kuna jambo moja muhimu sana nataka kuongea na nyinyi.

"Jambo gani?

"Wazazi wangu mimi sitakuwa tena Lilian. Wazazi wa Romex walishitushwa na kauli ya

mtoto wao.

Unasemaje Romex? Mama yake aliuliza Nina mwanamke ambae ninaempenda na tayari ni mjamzito.

"Mama weeee... Ni aibu gani hii mume wangu. Baba yake Romex alimuangalia kwa hasira kisha akamuuliza. "Inatufanya sisi wajinga si ndio?

"Hapana baba

Kwanini umemsaliti mtoto wa watu na kwenda kuzurulisha kiuno chako huko kwa wanawake wengine?

Sijawahi kumsaliti na huyo mwanamke ndie

allyetangulia kabla ya Lilian Hata hivyo Lilian sio chaguo langu nimejipazimisha sana kumpenda lakini siwezi kusema ukweli sijawahi kumpenda.

"Nyamelaza wewe mpuuzi. Aliongea baba Ake kwa sauti ya juu huku akiwa kamtolea macho.6:04

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa



mkononi, salsa akashituka.

Salsa sipo hapa kuhukumu najua kilichotokea usiku ule ilikuwa ni makosa yangu na yako pia. Kwanini haukusema chochote, kwanini

hakuongea hata kujitetea?

"Romex sina majibu ya maswali yako hata mimi sielewi kwanini nikishindwa kujitetea ila mimi.

nilienda kwenye chumba chako kwa sababu Domi waliniambia nimpeleke kiti lako bila yeye haya yote yasingetokea.

"Ok, ok kwahiyo hiyo mimba ni mimba yangu? Ndio, sikuwahi luwa na mwanaume, sikuwahi

kuingiliwa na mwanaume mwingine zaidi yako, hii ni mimba yako Romex tena kwa asilimia mia

moja ni yako.

"Oooh sasa kwanini haukusema Nilisema mara nyingi ila uliishia kucheka ukachukulia kama utani.

"Haukuwa serious Salsa.

Salsa alikuwa kajiinamia huku machozi yakiwa yanamtoka,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/one-night-one-mistake-chapter-14-maswali-yote-aliyoulizwa-romex-hakuna-hata-moja-ambalo-salsa-alijib

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi one-night-one-mistake-chapter
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni.  Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni. Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13  Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13 Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake.  *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake. *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15  Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15 Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa  Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
 ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3   Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3 Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

868
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

730
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

524
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

180
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

132
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

107
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

76
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest