Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
Gonga94 · Stories

UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTRAMUU WA MABOSS??????

SEHEMU YA 01

Linda ni bint mwenye miaka 22 alilelewa na mjomba wake baada ya wazazi wake wawili kufariki...

Maisha katika familia ya mjomba yalikuwa ya manyanyaso sana????????hata hivo baada ya Linda kukua na kujitambua alitoroka huko ujmbani akaenda kujitegemea mwenyewe????????

Siku moja aliamka asubuhi akaoga na kujiremba kisha vizuri kisha alijiambia

"Nina enda kutafuta kazi leo na naomba nipate kazi bora zaidi,
Alichukua vitu muhimu vilivyohitajika na kwenda kutafuta kazi.

Upande wa pili kuna kijana mmoja jina lake ni Alex asubuhi hiyo nayy alienda kwenye kampuni yake mapema kwa sababu alikuwa na marundo mengi sana ya kazi za kufanya.
Alex anaperson assistance wake anaeitwa Shirley..

shirley alikuja na kahawa ya Alex ya asubuhi.
"Habari za asubuhi Alex" alisalimia na Alex bado aliendelea kubonyeza laptop yake.

Shirley Alimuita boss wake Alex kwa sababu yeye ni mmoja wa washirika wake wa utm lakin wafanyikazi wengine wanamuita boss au mr

Alex alinyoosha mkono wake mbele ili ampe kahawa lakini kwa bahat mbaya alimmwagia na Alex akashtuka.

."Samahani sana Alex" Alisema na kuanza kumsafisha shati lake lililokuwa na madoa lakini akafungua kifungo chake kimoja, na mwanzo alex aliona ni kosa lakini Shirley alikuwa akimtazama Alex kwa macho ya ????????????

Baada ya alex kuyaona yale macho ndipo alipojua mambo ya kahawa yalikuwa kama mtego tu

Alex aliushika mkono wa Shirley na kuukunja kwa hasira akaanza kulia kwa maumivu.
"Nilikuambia usifanye hivi ofisini. Wewe ni mpnz wangu wa huko nje ya kampuni hapa ofisini wewe ni msaidizi wangu????????????

"Samahani, sitafanya tena" alisema Shirley na Alex akatabasamu.

"Usijal jambo ulilolifanya halitatokea tena maana umefukuzwa kazi" akasema Alex kwa sauti ya ukali.

"Mimi....ni......hivyo...so..samahani. Alex tafadhali" akaanza kulalamika Shirley

"Hey, niwaite walinzi au. Unajua itakuwa aibu sana kwako walinzi wakija kukutoa hapa" alisema Alex na kuchukua simu yake na akatoka nje.

Katika upande wa Linda amezunguka akitafuta kazi kwa karibu masaa 3 sasa lakini hakubahatika hata sehemu Moja

"Labda niendelee kutafuta kazi kwa saa moja zaidi na nikikosa nirudi zangu nyumban , akawa anajisemea Linda.

Baada ya dakika chache Linda alitembea akaona bango kubwa la baa mbele yake aliifuata baa ilipo

Linda aliingia ndani na kumuona mtu akisafisha kaunta. Alifika kwake na akamtazama akitabasamu.

"Aah..... Habari za asubuhi bwana" Linda alisalimia kwa upole.

"Nikusaidie vipi" aliuliza yule aliye mkuta pale kaunta.

"Nataka kuomba nafasi ya kazi hapa Linda alimwambia na akaelekezwa ofisi ya meneja.

Linda alifika pale na kugonga mlango
"Ingia" sauti ya kiume ilisema na Linda akaingia ndani.

"Habari za asubuhi bwana" Linda alimsalimia
"Nikusaidie vipi" aliuliza.
"Nipo hapa kwa ajili ya nafasi kazi" alimwambia akimpa CV yake.
" Jina lako nani " akauliza yule mwanaume
"Linda" akajibu Linda

"Sihitaji CV yako kwani unaweza kuwa mhudumu wa usiku wa leo tu"akasema huyo mwnme

"Oh" Linda alisema huku mdomo ukitengeneza alama O "Hakikisha unakuja mapema kwani sitakuwa nafanya kazi ya kukuangalia kama umekuja mapema au laa" Alisema huyo mwnme

"Ina maana nimepata kazi" Linda alimuuliza yule mwanaum kwa furaha na huyo mwanaum akaitikia kwa tabasamu.

"Hongera sana Linda"
"Asante bwana"
"Hapana, niite tu Bryan" Alisema huyo jamaa

"Sawa Bryan" alisema Linda na kutabasamu

"vipi naweza kupata mawasiliano yako" Alisema Brian
"Sawa" Linda alimwambia na kumpa mawasiliano yake..

Kwenye Kampuni ya Alex.

Baada ya tukio la kumfukuza kazi Ashley Alex , alimpigia simu Michael, rafiki yake wa karibu sana.

"WhatSup" alisema Michael mara baada ya kupokea simu..

"Tafadhali unaweza kunipatia msaidizi wangu binafsi mpya" akasema Alex

"Subiri usiniambie umemfukuza kazi Shirley" Alisema Michael na Alex akamueleza kila kitu.
"Siku zote nilijua Shirley alikuwa ma.... TU, alikuwa anaringa sana na Bora umemfykuza kazi, akasema Michael.

Tuachane na mazungumzo yote na
nipatie msaidizi wangu binafsi mpya" Alisema Alex.

"Leo kutakuwa na party utaweza kuja, Michael akasema.
"Sina uhakika kwa maana Nina kazi nyingi ila nitajitajidi..

Huku kwa Linda baada ya kupata kazi alirudi nyumbani kupumzika alilala kabisa maana kazi aliyopata ilitakiwa aingie usiku....

aliamka baada ya kulala na kuangalia saa na tayari ni saa nane mchana.
Alioga haraka haraka na kuvaa gauni lake fp la zambarau alipendalo.

Alifunga nywele zake vizuri akavalia viatu kisha alibeba mkoba na kuanza safari ya kwenda kazini..

Jioni ilifika Alex akampigia Michael..umeshanitafutia msaidizi wangu binafsi?? Hapana sijampata bado..Fanya haraka ambatanisha picha zangu kwenye matangazo ukifanya hivo atapatikana haraka..

Michael alicheka huyu mshnz kwa vile sura yake nzuri anaitumiaga kama kigezo cha kuwatumia ovy mabnt wa watu..

Michael alimwambia jiandae uje kwenye party leo lazima utampta bnt utakaemtaka..

Linda alifika baa akashangaa kila mahali palionekana ni pazuri na taa ya kilabu zilimulika kila mahali.

Linda alimfuata mtu aliyemuajiri pale
"Habari za jioni " Linda alisalimia

"Wewe umekuja mapema kuliko nilivyotarajia"

"Asante. Nifanye nini" Linda aliuliza

Alielekezwa aanze kuhudumia wateja waliokuwepo pale baa Linda alienda katika meza moja ile amefika tu kuuliza wanatumia nini Boss mmoja akamgusa naniliu..

Boss mwenyewe hakuwa mwingine ni Alex????????

Linda aliwakaa akamuuliza kwanini unshke bila ridhaa yangu??????????????Alex alianza kuleta mashauzi

Linda alimnasa kibao kimoja kilichopenya kwenye masikio ya kila mtu aliekuwepo baan pale????????
kila mtu pale alishtuka????????..wakaulizana huyu dm kapata wapi jeuri ya kuwapg matajiri????????

Itaendelea..

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01

UTRAMUU WA MABOSS??????

SEHEMU YA 01

Linda ni bint mwenye miaka 22 alilelewa na mjomba wake baada ya wazazi wake wawili kufariki...

Maisha katika familia ya mjomba yalikuwa ya manyanyaso sana????????hata hivo baada ya Linda kukua na kujitambua alitoroka huko ujmbani akaenda kujitegemea mwenyewe????????

Siku moja aliamka asubuhi akaoga na kujiremba kisha vizuri kisha alijiambia

"Nina enda kutafuta kazi leo na naomba nipate kazi bora zaidi,
Alichukua vitu muhimu vilivyohitajika na kwenda kutafuta kazi.

Upande wa pili kuna kijana mmoja jina lake ni Alex asubuhi hiyo nayy alienda kwenye kampuni yake mapema kwa sababu alikuwa na marundo mengi sana ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

363
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

333
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

316
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

173
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

64
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

37
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

30
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

29
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

29
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

28

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.69K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan. Post Mpya
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.
@majario LIVE

💥Kamera zilikuwa zikiwanasa mara nyingi wakiishangilia kwa pamoja katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahçe, na wakawa kama moja ya kielelezo cha mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17
@majario LIVE

SEHEMU YA 16 Denis hakujibu kitu alikata simu 📱 hapo hapo nilishikwa na machungu 😔 sana nilifuta namba yake kwa hasira😡nikaanza kulia 😭 kilichokuwa kinaniumiza zaidi ni kuachwa bila kutarajiwa halafu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest