Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
Gonga94 · Stories

UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTRAMUU WA MABOSS??????

SEHEMU YA 01

Linda ni bint mwenye miaka 22 alilelewa na mjomba wake baada ya wazazi wake wawili kufariki...

Maisha katika familia ya mjomba yalikuwa ya manyanyaso sana????????hata hivo baada ya Linda kukua na kujitambua alitoroka huko ujmbani akaenda kujitegemea mwenyewe????????

Siku moja aliamka asubuhi akaoga na kujiremba kisha vizuri kisha alijiambia

"Nina enda kutafuta kazi leo na naomba nipate kazi bora zaidi,
Alichukua vitu muhimu vilivyohitajika na kwenda kutafuta kazi.

Upande wa pili kuna kijana mmoja jina lake ni Alex asubuhi hiyo nayy alienda kwenye kampuni yake mapema kwa sababu alikuwa na marundo mengi sana ya kazi za kufanya.
Alex anaperson assistance wake anaeitwa Shirley..

shirley alikuja na kahawa ya Alex ya asubuhi.
"Habari za asubuhi Alex" alisalimia na Alex bado aliendelea kubonyeza laptop yake.

Shirley Alimuita boss wake Alex kwa sababu yeye ni mmoja wa washirika wake wa utm lakin wafanyikazi wengine wanamuita boss au mr

Alex alinyoosha mkono wake mbele ili ampe kahawa lakini kwa bahat mbaya alimmwagia na Alex akashtuka.

."Samahani sana Alex" Alisema na kuanza kumsafisha shati lake lililokuwa na madoa lakini akafungua kifungo chake kimoja, na mwanzo alex aliona ni kosa lakini Shirley alikuwa akimtazama Alex kwa macho ya ????????????

Baada ya alex kuyaona yale macho ndipo alipojua mambo ya kahawa yalikuwa kama mtego tu

Alex aliushika mkono wa Shirley na kuukunja kwa hasira akaanza kulia kwa maumivu.
"Nilikuambia usifanye hivi ofisini. Wewe ni mpnz wangu wa huko nje ya kampuni hapa ofisini wewe ni msaidizi wangu????????????

"Samahani, sitafanya tena" alisema Shirley na Alex akatabasamu.

"Usijal jambo ulilolifanya halitatokea tena maana umefukuzwa kazi" akasema Alex kwa sauti ya ukali.

"Mimi....ni......hivyo...so..samahani. Alex tafadhali" akaanza kulalamika Shirley

"Hey, niwaite walinzi au. Unajua itakuwa aibu sana kwako walinzi wakija kukutoa hapa" alisema Alex na kuchukua simu yake na akatoka nje.

Katika upande wa Linda amezunguka akitafuta kazi kwa karibu masaa 3 sasa lakini hakubahatika hata sehemu Moja

"Labda niendelee kutafuta kazi kwa saa moja zaidi na nikikosa nirudi zangu nyumban , akawa anajisemea Linda.

Baada ya dakika chache Linda alitembea akaona bango kubwa la baa mbele yake aliifuata baa ilipo

Linda aliingia ndani na kumuona mtu akisafisha kaunta. Alifika kwake na akamtazama akitabasamu.

"Aah..... Habari za asubuhi bwana" Linda alisalimia kwa upole.

"Nikusaidie vipi" aliuliza yule aliye mkuta pale kaunta.

"Nataka kuomba nafasi ya kazi hapa Linda alimwambia na akaelekezwa ofisi ya meneja.

Linda alifika pale na kugonga mlango
"Ingia" sauti ya kiume ilisema na Linda akaingia ndani.

"Habari za asubuhi bwana" Linda alimsalimia
"Nikusaidie vipi" aliuliza.
"Nipo hapa kwa ajili ya nafasi kazi" alimwambia akimpa CV yake.
" Jina lako nani " akauliza yule mwanaume
"Linda" akajibu Linda

"Sihitaji CV yako kwani unaweza kuwa mhudumu wa usiku wa leo tu"akasema huyo mwnme

"Oh" Linda alisema huku mdomo ukitengeneza alama O "Hakikisha unakuja mapema kwani sitakuwa nafanya kazi ya kukuangalia kama umekuja mapema au laa" Alisema huyo mwnme

"Ina maana nimepata kazi" Linda alimuuliza yule mwanaum kwa furaha na huyo mwanaum akaitikia kwa tabasamu.

"Hongera sana Linda"
"Asante bwana"
"Hapana, niite tu Bryan" Alisema huyo jamaa

"Sawa Bryan" alisema Linda na kutabasamu

"vipi naweza kupata mawasiliano yako" Alisema Brian
"Sawa" Linda alimwambia na kumpa mawasiliano yake..

Kwenye Kampuni ya Alex.

Baada ya tukio la kumfukuza kazi Ashley Alex , alimpigia simu Michael, rafiki yake wa karibu sana.

"WhatSup" alisema Michael mara baada ya kupokea simu..

"Tafadhali unaweza kunipatia msaidizi wangu binafsi mpya" akasema Alex

"Subiri usiniambie umemfukuza kazi Shirley" Alisema Michael na Alex akamueleza kila kitu.
"Siku zote nilijua Shirley alikuwa ma.... TU, alikuwa anaringa sana na Bora umemfykuza kazi, akasema Michael.

Tuachane na mazungumzo yote na
nipatie msaidizi wangu binafsi mpya" Alisema Alex.

"Leo kutakuwa na party utaweza kuja, Michael akasema.
"Sina uhakika kwa maana Nina kazi nyingi ila nitajitajidi..

Huku kwa Linda baada ya kupata kazi alirudi nyumbani kupumzika alilala kabisa maana kazi aliyopata ilitakiwa aingie usiku....

aliamka baada ya kulala na kuangalia saa na tayari ni saa nane mchana.
Alioga haraka haraka na kuvaa gauni lake fp la zambarau alipendalo.

Alifunga nywele zake vizuri akavalia viatu kisha alibeba mkoba na kuanza safari ya kwenda kazini..

Jioni ilifika Alex akampigia Michael..umeshanitafutia msaidizi wangu binafsi?? Hapana sijampata bado..Fanya haraka ambatanisha picha zangu kwenye matangazo ukifanya hivo atapatikana haraka..

Michael alicheka huyu mshnz kwa vile sura yake nzuri anaitumiaga kama kigezo cha kuwatumia ovy mabnt wa watu..

Michael alimwambia jiandae uje kwenye party leo lazima utampta bnt utakaemtaka..

Linda alifika baa akashangaa kila mahali palionekana ni pazuri na taa ya kilabu zilimulika kila mahali.

Linda alimfuata mtu aliyemuajiri pale
"Habari za jioni " Linda alisalimia

"Wewe umekuja mapema kuliko nilivyotarajia"

"Asante. Nifanye nini" Linda aliuliza

Alielekezwa aanze kuhudumia wateja waliokuwepo pale baa Linda alienda katika meza moja ile amefika tu kuuliza wanatumia nini Boss mmoja akamgusa naniliu..

Boss mwenyewe hakuwa mwingine ni Alex????????

Linda aliwakaa akamuuliza kwanini unshke bila ridhaa yangu??????????????Alex alianza kuleta mashauzi

Linda alimnasa kibao kimoja kilichopenya kwenye masikio ya kila mtu aliekuwepo baan pale????????
kila mtu pale alishtuka????????..wakaulizana huyu dm kapata wapi jeuri ya kuwapg matajiri????????

Itaendelea..

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01

UTRAMUU WA MABOSS??????

SEHEMU YA 01

Linda ni bint mwenye miaka 22 alilelewa na mjomba wake baada ya wazazi wake wawili kufariki...

Maisha katika familia ya mjomba yalikuwa ya manyanyaso sana????????hata hivo baada ya Linda kukua na kujitambua alitoroka huko ujmbani akaenda kujitegemea mwenyewe????????

Siku moja aliamka asubuhi akaoga na kujiremba kisha vizuri kisha alijiambia

"Nina enda kutafuta kazi leo na naomba nipate kazi bora zaidi,
Alichukua vitu muhimu vilivyohitajika na kwenda kutafuta kazi.

Upande wa pili kuna kijana mmoja jina lake ni Alex asubuhi hiyo nayy alienda kwenye kampuni yake mapema kwa sababu alikuwa na marundo mengi sana ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

880
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

678
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

608
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

392
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

227
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

171
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

158
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

102
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

41
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.62K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest