?WE KULA TU BINAMU
?EPISODE 8
?
?Yale yote yaliyonikumba lengo ni kutaka kula kitumbua cha binamu lakini mambo yananizingua nilichokankuteseka hivo niliamua leo lowalo na liwe lazima nile kitumbua sitakubaliana na haya mateso.
?Ubaya ninkwamba binamu anajua kuwa nakimendea kitumbua chake .... Ila uvivu wa kulima tu
?
?Tuendeleeeee........
?Mimi na Asha tulikuwa tumeketi kwenye kivuli cha mbuyu mkubwa baada ya mimi kumwambia na mazungumzo na yeye leo lazima nimwombe utamu sikubali kuteseka , iUkimya ulitawala, mapigo ya moyo yanaenda mbio yaani sijuwi niombe vipi ila ushamba hapo natetemeka yaani situliii ,
?Nikawaza huwa wanaombaje mpaka wanapewa na sijawahi kufanya .....
?
?Nilimtazama binamu wangu Asha kwa macho ya fulani angalau agundue na shida na kitumbua chake maana domo zito kilo mia hamsini yaani nashindwa kutulia mara niinuke mara nikae kma mweu hivi. Kumbe kuomba ni kazi hivi jamani mbona rafiki yangu saidi kichwa alikuwa anajipigia dada yake na hakuwahi kuomba? mbona mimi nateseka ......
?
?Nilizidi kumtazama midomo yake macho mapaja na hata madodo huku moyo ukidunda dunda kwa hofu ya kukataliwa. Sauti yangu ilikatika kata, lakini nikajikaza.
?“Binamu… kuna kitu kimenitesa kwa muda sasa, na leo nimeamua nikiseme.”
?
?Asha akageuka taratibu, macho yake yakiwa yamejaa mashaka.
?“Kitu gani Rashidi? Mbona sauti yako inatetemeka kama mtu kama umefumaniwa ?”
?
?Nikavuta pumzi ndefu. Na sikutaka kupindisha lugha ...
?“Mimi nakupenda, Asha… napenda kila kitu kuhusu wewe. Na leo nataka kukuomba tufanye mapenzi. Sio kwa tamaa… ila kwa sababu moyo wangu umechoka kupigana na kivuli chako.”
?
?Kulikuwa kimya cha sekunde kadhaa. Akaniangalia kwa macho ya kushangaa, akasema kwa sauti ya chini:
?“Binamu… unajua unachokisema?”
?
?Nikainamisha kichwa.
?“Najua. Najua ni kosa. najuwa wewe ni binamu yangu lakini naomba uniruhusu nile maana siondoki nacho nakula nakiacha . Lakini najua pia moyo hauna koo, unapopenda haubagui.”
?
?Asha alitulia kwa muda. Alishusha pumzi ndefu, akaweka mkono wake juu ya wangu.
?“Rashidi, sijawahi kufikiria hivi. Lakini sina nguvu ya kukataa… sijui kwa nini, lakini moyo wangu umejibu kabla ya akili.”
?"Sawa tukafanyie wapi maana mwenyewe namzuka sio siri"
?Nilishtuka " mmmmh kumbe anataka leo leo??!!
?Nilimwambia kuna sehemu moja hivi yaani kwenye kichaka akakubali na kusema natangulia utanikuta huko
?
?Alitangulia huko mimi nilibaki nyuma huku na dag na kushake shake kama maiko jackson kwa sababu leo leo ndo leo nilichukua push up kumi na mbili nikaruka kichura chura nikafanya mazoezi ya nyonga maana leo ndo siku ya unakula ndo ule au unakula kwanza
?
?.