WE KULA TU BINAMU
EPISODE 9
Tulipofika porini, j vichaka vilivyotuzunguka kwa uzuri . Asha alikuwa mbele yangu, akitembea kwa mikato midogo lakini yenye uzito wa ahadi. Alipochuchumaa chini ya mti mkubwa wa mkwaju, moyo wangu ulianza kudunda kama ngoma ya vitaa nikajipa ujasiri
Ndendeeeeeeeeeee mwamba huyo".
Nikakaribia, taratibu nikapiga magoti mbele yake. Macho yetu yalikutana. Kulikuwa na kitu zaidi ya maneno na nipo hapa kwa mwaliko maalumu wa kula kitumbua chake .
Mikono yangu iliponyoosha kushika kiganja chake, hakukataa. Alinivuta karibu, akihema taratibu. Nilihisi joto la mwili wake kupitia nguo. Ilikuwa kama moto mdogo uliokuwa tayari kuwaka.
Nilimshika kiunoni, nikasogeza uso wangu karibu na wake. Midomo yetu ilipogusana, ilikuwa ni kama mlipuko Tulibusiana taratibu , kisha kwa pupa ya mioyo iliyojaa hamu ya muda mrefu.
Asha alinisemea kwa sauti ya chini sana, ya kuvutia masikioni, “... usiache leo. Nimekupa himaya yote ruksa kutembea .”
Nilimjibu nafurahi kusikia hivyo
Mikono yetu ilizidi kushikana, kugusana, kuvinjari maeneo ambayo yalikuwa na maana zaidi yalikuwa ni safari ya kuguswa kiroho na kimwili kwa pamoja. Kila kugusana kwetu kulihesabika. Hakukuwa na haraka, ila kulikuwa na joto, na hisia ya kuwa hatuko tena ulimwenguni tumehamia mahali pa watu wawili tu, ambapo muda unasimama.
Nilfanya utalii wa mgongoni kwa upole, nikamsogeza karibu zaidi hadi miili yetu ilikutana. Alijilaza juu yangu, akihema kwa sauti ya mapenzi. Macho yake yakiwa yamefumbwa, mdomo wake ukisema jina langu kama wimbo mtamu. Tulizidi kuyeyuka katika kila mguso, kila pumzi, kila mlio wa nyasi chini yetu.
Kila aina si kifo cha mende wala mbuzi kagoma nk nilikuwa najipakulia jamani kibuyu cha binamu duuuh si mchezo nilichochea kuni kwa kishindo aasssssssssss binamu hata sikujali kelele utamu kolea nilifumba macho kujipakulia
GHAF-LAAAAAAA—
“SSSSSSSSSSSSSSS!”
Nikasikia sauti ya ajabu!
Nilidhani ni mihemo ya Asha... kumbe hapana...
NYOKA JAMANI!!! NYOKAAAAA!!!
Nilibeba suruali yangu asha alikimbilia kulia mimi kushoto sharti tufike nyumbani suruali ipo mkononi niko na boxa tu nakimbia
" Mmmmmh jamani huyu nyoka vipi hata sijajipakulia vizuri daaah kweli na mkosi ......