"Huna tofauti na shetani. Kwanza toka chumbani kwangu na ikiwezekana ondoka kabisa nyumbani kwangu. Manka alipataka kuweka mgomo alitishiwa kuchakazwq sura.
Usiku huo kila mmoja alilala chumba chake. Maelewana hayakuwepo tena ndani ya nyumba.
Manka akimpigia simu nama yake ambaye ni shangazi yangu mimi.
"Mama naona mambo yameanza kwenda sivyo"
"Kwanini?"
"Sijui madawa yameisha nguvu au vipi? Lakini mbona ni mapema sana"
"Ebu niambie nini kimetokea"
Manka alimueleza mama yake. Mama yake alimshauri kesho mapema tu aende kwa mganga.
Manka alifanya hivyo kesho yake mapema tu alifika kwa mganga wake. Alipewa dawa nyengine tena. Safari hii alipewa limbwata.
Niliacha kazi kwa maelekezo ya Iron Ceo mwenye kampuni yake na haringi wala nini.
Jion moja nilivunja shauri la mahusiano kati yangu na Sony, nilivua pete ya uchumba aliyonivalisha Sony. Nilifanya hivyo ili nianze maisha mapya kabisa. Nilimuomba rafiki yangu Sophia ampelekee Sony bahasha ambayo ndani yake kulikuwa na ujumbe pamoja na hiyo pete.
Mama na baba walikubali kiroho safi mimi na Iron kwenda nje ya nchi. Mipango ya safari ilienda vizuri hatimaye tulienda Austaria.
Urafiki kati yangu na Iron ulizidi kupamba moto Iron alikuwa mtu wa kujali sana kuhusu mimi. Hatukuchukua muda mrefu tuliingia kwenye hausiano rasmi. Aiseee mwanaume huyu ananipenda vile navyotamani kuoendwa. Baba yake na mdogo wake ni watu wa zuri kwangu.
Sony baada ya madawa kumlolea alitangaza ndoa yake na Manka. Wazazi wake walikataa kata kata Sony asimuoe Manka ila madawa aliyopewa yalimfanya kuwa sikio la kufa yaani kila anachokisema Manka kwale jibu ndio sio hapana.
Mama Manka alikuja dar kwaajili ya ndoa ya mwanae na alifikia Nyumbani kwa Sony .
"Umasikini huo tumeuaga mwanangu"
"Umeona eeeeeh! Mganga kiboko haswaaa!
Mipango ya ndoa iliendeshwa na Manka mwenyewe yeye ndo alipanga kila kitu.
Taarifa za Sony kumuoa Manka zilinifikia. Haikunishtua sana maana nipo kwemye mahusioano yanayoeleweka na naimani nayo.
Jioni moja wazazi wa Sony walienda kwa mtumishi wa MUNGU walimuambia hitaji lao ni mtoto wao. Wanaoma hayupo sawa kabisa na siku za Usoni eti anaoa.
Mtumishi alifanya maombi ya nguvu na baada ya hapo aliomba waongozane wote mpaka nyumbani kwa Sony.
Walifika myumbani kwa Sony walikuta familia zima yaani Sony, Manka na mama Manka wapo kwenye meza ya chakula wanakula.
" Mmmmh!" Manka aliguna baada ya kaxi fungua mlango. Hawakumjali wsliingia ndani wote........ITAENDELEA........
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
PENZI LA OMBA OMBA๐โค๏ธ๐โค๏ธ๐โค๏ธ Sehemu ya 11
โhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu...
Kipande cha 10 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jio...
"Huna tofauti na shetani. Kwanza toka chumbani kwangu na ikiwezekana ondoka kabisa nyumbani kwangu. Manka alipataka kuweka mgomo alitishiwa kuchakazwq sura.
Usiku huo kila mmoja alilala chumba chake. Maelewana hayakuwepo tena ndani ya nyumba.
Manka akimpigia simu nama yake ambaye ni shangazi yangu mimi.
"Mama naona mambo yameanza kwenda sivyo"
"Kwanini?"
"Sijui madawa yameisha nguvu au vipi? Lakini mbona ni mapema sana"
"Ebu niambie nini kimetokea"
Manka alimueleza mama yake. Mama yake alimshauri kesho mapema tu aende kwa mganga.
Manka alifanya hivyo kesho yake mapema tu alifika kwa mganga wake. Alipewa dawa nyengine tena. Safari hii...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wewe-ungeweza-sehemu-13
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wewe-ungeweza-sehemu
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 15
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 11 ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 12 ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona...
Maoni