Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 13
Gonga94 ยท Stories

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ENDELEA.......
Manka alijifanya kupani alishtukia kapigwa kibao.

"Aaaaaah! Unanipiga mimi kisa Nice?"

"Huna tofauti na shetani. Kwanza toka chumbani kwangu na ikiwezekana ondoka kabisa nyumbani kwangu. Manka alipataka kuweka mgomo alitishiwa kuchakazwq sura.

Usiku huo kila mmoja alilala chumba chake. Maelewana hayakuwepo tena ndani ya nyumba.

Manka akimpigia simu nama yake ambaye ni shangazi yangu mimi.

"Mama naona mambo yameanza kwenda sivyo"

"Kwanini?"

"Sijui madawa yameisha nguvu au vipi? Lakini mbona ni mapema sana"

"Ebu niambie nini kimetokea"

Manka alimueleza mama yake. Mama yake alimshauri kesho mapema tu aende kwa mganga.

Manka alifanya hivyo kesho yake mapema tu alifika kwa mganga wake. Alipewa dawa nyengine tena. Safari hii alipewa limbwata.

Niliacha kazi kwa maelekezo ya Iron Ceo mwenye kampuni yake na haringi wala nini.

Jion moja nilivunja shauri la mahusiano kati yangu na Sony, nilivua pete ya uchumba aliyonivalisha Sony. Nilifanya hivyo ili nianze maisha mapya kabisa. Nilimuomba rafiki yangu Sophia ampelekee Sony bahasha ambayo ndani yake kulikuwa na ujumbe pamoja na hiyo pete.

Mama na baba walikubali kiroho safi mimi na Iron kwenda nje ya nchi. Mipango ya safari ilienda vizuri hatimaye tulienda Austaria.

Urafiki kati yangu na Iron ulizidi kupamba moto Iron alikuwa mtu wa kujali sana kuhusu mimi. Hatukuchukua muda mrefu tuliingia kwenye hausiano rasmi. Aiseee mwanaume huyu ananipenda vile navyotamani kuoendwa. Baba yake na mdogo wake ni watu wa zuri kwangu.

Sony baada ya madawa kumlolea alitangaza ndoa yake na Manka. Wazazi wake walikataa kata kata Sony asimuoe Manka ila madawa aliyopewa yalimfanya kuwa sikio la kufa yaani kila anachokisema Manka kwale jibu ndio sio hapana.

Mama Manka alikuja dar kwaajili ya ndoa ya mwanae na alifikia Nyumbani kwa Sony .

"Umasikini huo tumeuaga mwanangu"

"Umeona eeeeeh! Mganga kiboko haswaaa!

Mipango ya ndoa iliendeshwa na Manka mwenyewe yeye ndo alipanga kila kitu.

Taarifa za Sony kumuoa Manka zilinifikia. Haikunishtua sana maana nipo kwemye mahusioano yanayoeleweka na naimani nayo.

Jioni moja wazazi wa Sony walienda kwa mtumishi wa MUNGU walimuambia hitaji lao ni mtoto wao. Wanaoma hayupo sawa kabisa na siku za Usoni eti anaoa.

Mtumishi alifanya maombi ya nguvu na baada ya hapo aliomba waongozane wote mpaka nyumbani kwa Sony.

Walifika myumbani kwa Sony walikuta familia zima yaani Sony, Manka na mama Manka wapo kwenye meza ya chakula wanakula.

" Mmmmh!" Manka aliguna baada ya kaxi fungua mlango. Hawakumjali wsliingia ndani wote........ITAENDELEA........
Tangazo - Watumiaji wapendwa, hongera!? Asante kwa kutuamini! Tunakupa nafasi ya kushinda hadi 2,300,000 TZS
Watumiaji wapendwa, hongera!? Asante kwa kutuamini! Tunakupa nafasi ya kushinda hadi 2,300,000 TZS
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 13



ENDELEA.......
Manka alijifanya kupani alishtukia kapigwa kibao.

"Aaaaaah! Unanipiga mimi kisa Nice?"

"Huna tofauti na shetani. Kwanza toka chumbani kwangu na ikiwezekana ondoka kabisa nyumbani kwangu. Manka alipataka kuweka mgomo alitishiwa kuchakazwq sura.

Usiku huo kila mmoja alilala chumba chake. Maelewana hayakuwepo tena ndani ya nyumba.

Manka akimpigia simu nama yake ambaye ni shangazi yangu mimi.

"Mama naona mambo yameanza kwenda sivyo"

"Kwanini?"

"Sijui madawa yameisha nguvu au vipi? Lakini mbona ni mapema sana"

"Ebu niambie nini kimetokea"

Manka alimueleza mama yake. Mama yake alimshauri kesho mapema tu aende kwa mganga.

Manka alifanya hivyo kesho yake mapema tu alifika kwa mganga wake. Alipewa dawa nyengine tena. Safari hii...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wewe-ungeweza-sehemu-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wewe-ungeweza-sehemu
 BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 15
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 15
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 11  ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 11 ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 12  ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 12 ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 02  ENDELEA...... "Hajambo kabisa"   "Na mipango mengine si inaenda vizuri?"  "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"  "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 04
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

9.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.45K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.28K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.05K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.01K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest