Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
19 Dec 2025
289 views
VYOTE NDANI GONGA94
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 7 'Mungu wangu Solomon mwanangu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, yaan na kusoma kote unakuja kuoa mwanamke kama huyu, ona sasa anachomjibu mdogo wako, mama yake Solomon akaanza kulalamika.. "Sasa ulitaka amjibu vipi, embu wife twende, akasema Solomon kisha akanishika mkono tukawa tunaondoka kuelekea ghrofan maana chumba chake ndio kilikuwa huko..
yaan hamsikilizi mama yako wala baba yako unakaa na hako ka mwanamke ambacho hata hakajui kamebeba mimba ya nani, Solomon kwanini unachagua mwanamke mshenzi kama wewe, akaanza kulalamika mama yake, akionesha ni dhahiri hakuwa anataka niwe na ukaribu hata wa mbali na mwanae...
Solomon akamgeukia mama yake kisha akasema unajua uliniacha na huyu mumeo mlevi bila kujali nakula nini wala nalala wapi, unajua ni nani ambae alinishika mkono ni alice, nilikuwa nalia kila siku nikitaman uje unisaidie au hata unifariji, unajua ni nani alinifariji na kunifuta machozi, ni alice, wakati ambapo mvua ilikuwa inanyesha na sikuwa na mwamvuli, unajua ni nani alienifunika, ni alice, hata nikisema namuoa, najua siwez kulipa hata nusu ya wema na fadhila zake, wakati dunia nzima imenitenga hakuna mtu hata mmoja alikuwa upande wangu zaidi ya alice, alikuwa ni binti mdogo ila aliondoa upweke wangu na kunipa nguvu ya kupambana wakati hakuna cha baba wala mama ambae alijali kuhusu mimi, nikisikia mtu anamuongelea alice wangu vibaya, naapa nitakula nae sahani moja...
Aiseee nilijisikia vizuri sana, picha kichwan kwangu ambayo ilikuja ni kuwa Solomon ananipambania kwa sababu nilimsaidia sana udogoni, bila kujua Solomon ananipenda kweli...
Basi tukafika chumban, nilikuwa nasikia joto vibaya mno, nikaomba nikaoge, nimeenda bafuni nashangaa mwamba anaingia nay eye, niliona aibu ila hata hakujali, akaja akanikumbatia kwa nguvu kisha maji yakawa yanatumwagikia maana tulikuwa tumefungulia bomba la mvua, nikataka kusema neno ila aninizuia kisha akasema kwa sauti ile ya kiume ambayo ilinifanya nipate msisimko wa ajabu kuwa naomba usiseme neno lolote lile mamaa, tulia... Mimi ni nani nikaidi maneno ya mwanaume rijali kama Solomon, kwanza mwanaume anakifua kitamu, hata nguvu ya kusema niondoke sikuwa nayo, nikawa nayasikilizia mapigo yake ya moyo namna yanavyodunda na namna ambavyo alikuwa anapambana sana kurudisha hisia zake nyuma, maana mtambo ulikuwa umesimama barabara ila akawa anajifanya hajali kabisa ety anataka kumbato tu..
Ila joto lake na sauti yake ni kama kitu ambacho nilishawah kukihisi miezi kadhaa nyuma, ila nikajiambia kuwa inawezekana ni kwa kuwa sikuwah kulala na mwanaume mwingine toka kipindi kile ndio maana nadhan atakuwa yeye...
Basi akanikumbatia wee, mwisho akaanza kuniogesha, akaanza kunipaka sabuni na kunisugua sugua sehemu mbali mbali za mwili wangu, ila sasa alivyo mchokozi hivyo anavyonisugua, ni balaaa.....
ITAENDELEA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 7 'Mungu wangu Solomon mwanangu
, yaan na kusoma kote unakuja kuoa mwanamke kama huyu, ona sasa anachomjibu mdogo wako, mama yake Solomon akaanza kulalamika.. "Sasa ulitaka amjibu vipi, embu wife twende, akasema Solomon kisha akanishika mkono tukawa tunaondoka kuelekea ghrofan maana chumba chake ndio kilikuwa huko..
yaan hamsikilizi mama yako wala baba yako unakaa na hako ka mwanamke ambacho hata hakajui kamebeba mimba ya nani, Solomon kwanini unachagua mwanamke mshenzi kama wewe, akaanza kulalamika mama yake, akionesha ni dhahiri hakuwa anataka niwe na ukaribu hata wa mbali na mwanae...
Solomon akamgeukia mama yake kisha akasema unajua uliniacha na huyu mumeo mlevi bila kujali nakula nini wala...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/daktari-wa-jeshi-si-ungeniomba-tuu-chapter-7-mungu-wangu-solomon-mwanangu