Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mh basi nikajitahidi tu pale. Kusoma mpaka saa 5 ndo prepo .inaisha tukauruhusiwa sasa kuludi bwenini. Basi tumefika bwenini. Akaanza zaituni akasema nyiee mmemuona yule mkaka wa kiarabu mzuri yule mmemuona. Au nimemuona mwenyewe. Mie nikacheka nikasema na mm nimemuoa . Prisca akasema ahaaa mnamzungumzia zayd. Mi nna story zake.nna rafiki yangu wa form six. kanisimulia.si mnamzungumzia yule zayd wa form six. Prisca akadakia akasema ndio ndo uyo. Ndo kafanyaje

Zai akasema yule bwana . Ndo kaja jana . Nasikia alipewa suspension. Alikamatwa. Na barua za wanawake za mapenzi . Mh mbona nikaanza kuchoka. Nikasema mh makubwa. Zaituni akasema yule kaka wanamsimulia ni maraya kweli kweli. Ila sasa ni anagombaniwa mnoo. Ao form six mpaka wanapigana na mwenyewe ni ana dharau kwanza asalimini na mtu na hamjibu mtu salamu ukimsalimia pale alipo..na hana mda na mtu..watu wanampigania apoo anawacha anasepa zake. Alafu sasa kwao wana pesa chafu . Wanapesa kweli kweli. Nasikia ni mtu wa dar. .mh mimi nikashangaa mbona nimekutana nae na kanaichangamkia mno. Tena mpka kaniokotea na na vitabu vyangu na msamaha kaniomba kwa kunigonga. Alafu uku nasikia story nyengine. Basi prisca akasema mh ila yule mkaka ni mzuri jamani. Uwiiii mungu kamuumba na ana nywele mpamka ana bana na shule wanamuachia

Zai akasema wee nae waarabu si wana asiri ya nywele nasikia yule ata akinyolewa leo baada ya siku 5. Nywele teali. Ndo mana anaambiwa azibane tu. Mh kwa uhandsime ata mm nilikubali. Yni hii siku tulimjadili sana zayd yani aswaaa. Kila kitu tulimchambua. Basi tukalala.saa 8 kwa kumzungumzia zayd tu. Na asubuh na mapema tukaendelea na ratiba za masomo. Nilikuwa namuona sana zayd mstarini. .mana mstarini ndo form five tunachanganyika na form six. Ila sasa darasani ni story za zayd tu. Ni anavutia sana uyu kaka .lazima umeongeleeee tu. Yani sio sisi tu tukiokuwa tunamsifia zayd kuwa ni mzuri .ila ni wadada wengi

Basi siku iyo bwana nilikuwa nipo na shoga zangu cafe. Apo kuna sehemu wanauza chipsi kabisa.na sie hatukutamani kula ugali siku iyo. Na mie pesa baby si ananipa sina ata shaka.so tukaamua tukanunue chipsi. Basi tukafika tukaagiza na kila kutu pale. Tukawa tu tunasubilia pale. Mh tukiwa pale.akaingia zayd na mkaka mmoja kaongozana nae .kwa jinsi walikuwa wanaongea na kucheka. Ni kwamba alikuwa ni mshikaji wake yule. Basi walivyofika pale yule zayd akaningaalia ssna kisha akatabasamu. Nyie ana tabasamu zuri like woow. Akanmbia ahaa nakukimbuka unaitwaga faridah si. Ndio. Nikasema ndio akanmbia ahaa powa . Ngoja nikulipie chipsi apa.akachomoa pochi yake kisha akatoa elfu 30 akanipa. Et shika utalolipoa chipsi hiii. Mh nilisita kupokea kabisa ile pesa mm. Yani kma nilizubaa hivo. Zaituni ndo akanistua akanmbia we faridah si unapewa pesa ww. Basi mie nikaipokea ile pesa kisha nikasema asante. Akanmbia usikonde. Kisha uyo na rafiki yake wakaondoka. Mh wanafunzi wa kike walokuwa pale waliniangalia jamani. Mnajua waliniangalia mpka nikawa naona aibu sasa

Basi mi nikachukua ile pesa yote nikampa zai nikamwambia lipia tu chipsi ili tule wote. Na kweli shoga akalipia tukaongezaa na vipaja vya kuku na sooda ila pesa ilibaki. Tukala kimya kimya kisha tukaludi doom. Tulivyoludi tu prisca akaniuliza we kumbe unajuna na yule zayd. Nikasema hapana awala hatujuani ila ni siku moja tu ndo tulionana . Tiligongana akaniangushia madaftari yangu. Akaniokotea na akaniuliza na jina. Mh prksca akanambia we ukute anakutaka uyu kaka. Mana sio kwa kujichekesha kule leo alipokuona na pesa yake kakupa.bila ya kumumba. Mh nikasema kunitaka tena.mi sitaki mahusiano shuleni. Zai akanmbia we tulia bwana kwani kakutongoza. Si kakupa kwa upemdo tu ile pesa. Kwaiyo wla usimind bwana. Basi mie nikanyamaza kimya.

Basi jioni nikiwa najiandaa kwenda prepo. Mala akaingia mdada mmoja ata simjuh ila nahisi ni mdada wa form six. Nyieeee alikuja kishari uyu dada mmpaka niliogiopa. Aksema nataka kujua umu katika room anaitwa faridaha ndo nani kwanza .uyo anayejiona yeye ni mrembo . Ana tako sana nataka kumjua. Mie nikasem.a ndo mm kwani vp. Basi yule dada akanisogelea akanmbia naitwa shamira nasoma kidato kimoja na zayd .mie ndo mrs zayd orggg. Shule nzima wananijua kuanzia walimu. Matrani
Patroni .wapishi na kila mtu .binti kaa. Mbali na mwanaume wangu. We ni mgeni sana ata miez 3 hujamaliza shuleni apa. Nitakufanya kitu kibaya kweli kweli. Unaelewa we maraya mtoto. .zai akaingilia akasema ada uyu umaraya wake uko
Wapi?? Wewe ndo ukaongee na zayd .mana zaud ndo alimfata uyu akampa elfu 30 akanunue chipsi sasa ulitaka ukatae. Au waambea wako hawajakipa taarifa vizuri. Mana uyo zayd ndo kamshobokea faridah

Yule dada aksema unajifanya unajua kuongea sana binti. Wewe ni mdogo sana . Sisi ndo. Wakongwe wa hii shule my dear ntakufanya kitu kibaya. Mh zai akkakaa kimya. Prisca akasema sikia dada we nenda uyu tutaongea nae na atakaaa mbali na mwanaume wako mambo yasiwe mengi apa. Akasema naondoka ila ww farida h nikisikia tena umeonwa onaongea na mwanaume wangu . Itakuea kesi kubwa. Mie nikanyamaza kimya . Yule dada akaondoka. Zai akasema si niliwaambia mm. Uyo zayd ni marya apo shoga utatishwa na wadada wa form six wote kwa ajili ya uyo zayd. Wakati kakupa pesa mwenyee wala hujamuomba. Mie nikabaki kuguna tu. Kisha nikajiandaa nikaingia prepo. Aseee kwani manazani masihara .nikafatwa na wadada wawili tena . Wakaja kunichamba ey nikae mbali na mwanaume wao rooh .niliona uyo zayd ni maraya mh. Yani siku moja nimefatwa na wadada wattu . Wananitishia khaaaaa apa kazi ipo . Alafu wote ni wakubwa kwangu form six wenzie .nikaona uyu kaka mie nikae. Nae mbali kabissaa

Basi zikpita week mbili apo naongea na mlige kila week end basi ananisisitiza sana kusoma na kujitunza . Pesa ye ananitumia wla hakuna shida. Ila tu nipambane kusoma. Basi nikawa pia nikipata mda na simu .nawasalimu na wazazi. na. maisha ya shule yanaenda. Na tulikuwaa na walimu wazuri sana. Yani walimu wazuri mnoo mpaka rahaaa. Basi bwana ikakata miezi 3 mimi nipo zangu shule na apa rkkizo ndogo au fupi haturudi tunaludi kubwa ya mwez wa 6 na 12. Kwaiyo nikawa napamabana na shhule tu .

Hamuwezi amini. Ata mama mkwe alikuwa ananipigia kabisa siku za week end . Et ananisalimia. Mpaka rahaa yani . Basi .bwana siku iyo sasa ilikuwa ni j pili shiue ilitulia sana mana hii shile ina wakristi wengi kwaoyo. Wengi walikuwa kanisani.mie nikaona ebu ngoja nikajisomeee. Basi nikajiandaa kisha nikabeba vitu vuangu nikawa naelekea darasani. Nikasome kidogo. Mh ila naangaliaa mbele namuona na zayd nae anakuja uku nnapotoka mm. Basi mie nikajifanya kama.simuoni. nikataka kumpita kimya kimya ila zayd alinisemesha. Akasema ahaa mambo mrembo farida. Ila sikumjibu kabisa. Nilishajua kuwa karibu na uyu kaks ni kujitafutia matatizo na kutoikukaa na amani apa shuleni kwaiyo mm binafsi sikutaka kabisaa. Yani nikampita. Na moja kwa moja nikaingia clss. Nikaweka vitabu vyangu mezani na nikatoa sasa ili nianze kujisomea
Mh naona zayd nae akaingi darasani. Khaa kumbe alikuwa ananifatalia kwa nyuma et.. ila uyu kaka.

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57


Mh basi nikajitahidi tu pale. Kusoma mpaka saa 5 ndo prepo .inaisha tukauruhusiwa sasa kuludi bwenini. Basi tumefika bwenini. Akaanza zaituni akasema nyiee mmemuona yule mkaka wa kiarabu mzuri yule mmemuona. Au nimemuona mwenyewe. Mie nikacheka nikasema na mm nimemuoa . Prisca akasema ahaaa mnamzungumzia zayd. Mi nna story zake.nna rafiki yangu wa form six. kanisimulia.si mnamzungumzia yule zayd wa form six. Prisca akadakia akasema ndio ndo uyo. Ndo kafanyaje

Zai akasema yule bwana . Ndo kaja jana . Nasikia alipewa suspension. Alikamatwa. Na barua za wanawake za mapenzi . Mh mbona nikaanza kuchoka. Nikasema mh makubwa. Zaituni akasema yule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-56-na-57

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

720
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

506
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

400
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

252
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

93
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

71

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest