Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mh basi nikajitahidi tu pale. Kusoma mpaka saa 5 ndo prepo .inaisha tukauruhusiwa sasa kuludi bwenini. Basi tumefika bwenini. Akaanza zaituni akasema nyiee mmemuona yule mkaka wa kiarabu mzuri yule mmemuona. Au nimemuona mwenyewe. Mie nikacheka nikasema na mm nimemuoa . Prisca akasema ahaaa mnamzungumzia zayd. Mi nna story zake.nna rafiki yangu wa form six. kanisimulia.si mnamzungumzia yule zayd wa form six. Prisca akadakia akasema ndio ndo uyo. Ndo kafanyaje

Zai akasema yule bwana . Ndo kaja jana . Nasikia alipewa suspension. Alikamatwa. Na barua za wanawake za mapenzi . Mh mbona nikaanza kuchoka. Nikasema mh makubwa. Zaituni akasema yule kaka wanamsimulia ni maraya kweli kweli. Ila sasa ni anagombaniwa mnoo. Ao form six mpaka wanapigana na mwenyewe ni ana dharau kwanza asalimini na mtu na hamjibu mtu salamu ukimsalimia pale alipo..na hana mda na mtu..watu wanampigania apoo anawacha anasepa zake. Alafu sasa kwao wana pesa chafu . Wanapesa kweli kweli. Nasikia ni mtu wa dar. .mh mimi nikashangaa mbona nimekutana nae na kanaichangamkia mno. Tena mpka kaniokotea na na vitabu vyangu na msamaha kaniomba kwa kunigonga. Alafu uku nasikia story nyengine. Basi prisca akasema mh ila yule mkaka ni mzuri jamani. Uwiiii mungu kamuumba na ana nywele mpamka ana bana na shule wanamuachia

Zai akasema wee nae waarabu si wana asiri ya nywele nasikia yule ata akinyolewa leo baada ya siku 5. Nywele teali. Ndo mana anaambiwa azibane tu. Mh kwa uhandsime ata mm nilikubali. Yni hii siku tulimjadili sana zayd yani aswaaa. Kila kitu tulimchambua. Basi tukalala.saa 8 kwa kumzungumzia zayd tu. Na asubuh na mapema tukaendelea na ratiba za masomo. Nilikuwa namuona sana zayd mstarini. .mana mstarini ndo form five tunachanganyika na form six. Ila sasa darasani ni story za zayd tu. Ni anavutia sana uyu kaka .lazima umeongeleeee tu. Yani sio sisi tu tukiokuwa tunamsifia zayd kuwa ni mzuri .ila ni wadada wengi

Basi siku iyo bwana nilikuwa nipo na shoga zangu cafe. Apo kuna sehemu wanauza chipsi kabisa.na sie hatukutamani kula ugali siku iyo. Na mie pesa baby si ananipa sina ata shaka.so tukaamua tukanunue chipsi. Basi tukafika tukaagiza na kila kutu pale. Tukawa tu tunasubilia pale. Mh tukiwa pale.akaingia zayd na mkaka mmoja kaongozana nae .kwa jinsi walikuwa wanaongea na kucheka. Ni kwamba alikuwa ni mshikaji wake yule. Basi walivyofika pale yule zayd akaningaalia ssna kisha akatabasamu. Nyie ana tabasamu zuri like woow. Akanmbia ahaa nakukimbuka unaitwaga faridah si. Ndio. Nikasema ndio akanmbia ahaa powa . Ngoja nikulipie chipsi apa.akachomoa pochi yake kisha akatoa elfu 30 akanipa. Et shika utalolipoa chipsi hiii. Mh nilisita kupokea kabisa ile pesa mm. Yani kma nilizubaa hivo. Zaituni ndo akanistua akanmbia we faridah si unapewa pesa ww. Basi mie nikaipokea ile pesa kisha nikasema asante. Akanmbia usikonde. Kisha uyo na rafiki yake wakaondoka. Mh wanafunzi wa kike walokuwa pale waliniangalia jamani. Mnajua waliniangalia mpka nikawa naona aibu sasa

Basi mi nikachukua ile pesa yote nikampa zai nikamwambia lipia tu chipsi ili tule wote. Na kweli shoga akalipia tukaongezaa na vipaja vya kuku na sooda ila pesa ilibaki. Tukala kimya kimya kisha tukaludi doom. Tulivyoludi tu prisca akaniuliza we kumbe unajuna na yule zayd. Nikasema hapana awala hatujuani ila ni siku moja tu ndo tulionana . Tiligongana akaniangushia madaftari yangu. Akaniokotea na akaniuliza na jina. Mh prksca akanambia we ukute anakutaka uyu kaka. Mana sio kwa kujichekesha kule leo alipokuona na pesa yake kakupa.bila ya kumumba. Mh nikasema kunitaka tena.mi sitaki mahusiano shuleni. Zai akanmbia we tulia bwana kwani kakutongoza. Si kakupa kwa upemdo tu ile pesa. Kwaiyo wla usimind bwana. Basi mie nikanyamaza kimya.

Basi jioni nikiwa najiandaa kwenda prepo. Mala akaingia mdada mmoja ata simjuh ila nahisi ni mdada wa form six. Nyieeee alikuja kishari uyu dada mmpaka niliogiopa. Aksema nataka kujua umu katika room anaitwa faridaha ndo nani kwanza .uyo anayejiona yeye ni mrembo . Ana tako sana nataka kumjua. Mie nikasem.a ndo mm kwani vp. Basi yule dada akanisogelea akanmbia naitwa shamira nasoma kidato kimoja na zayd .mie ndo mrs zayd orggg. Shule nzima wananijua kuanzia walimu. Matrani
Patroni .wapishi na kila mtu .binti kaa. Mbali na mwanaume wangu. We ni mgeni sana ata miez 3 hujamaliza shuleni apa. Nitakufanya kitu kibaya kweli kweli. Unaelewa we maraya mtoto. .zai akaingilia akasema ada uyu umaraya wake uko
Wapi?? Wewe ndo ukaongee na zayd .mana zaud ndo alimfata uyu akampa elfu 30 akanunue chipsi sasa ulitaka ukatae. Au waambea wako hawajakipa taarifa vizuri. Mana uyo zayd ndo kamshobokea faridah

Yule dada aksema unajifanya unajua kuongea sana binti. Wewe ni mdogo sana . Sisi ndo. Wakongwe wa hii shule my dear ntakufanya kitu kibaya. Mh zai akkakaa kimya. Prisca akasema sikia dada we nenda uyu tutaongea nae na atakaaa mbali na mwanaume wako mambo yasiwe mengi apa. Akasema naondoka ila ww farida h nikisikia tena umeonwa onaongea na mwanaume wangu . Itakuea kesi kubwa. Mie nikanyamaza kimya . Yule dada akaondoka. Zai akasema si niliwaambia mm. Uyo zayd ni marya apo shoga utatishwa na wadada wa form six wote kwa ajili ya uyo zayd. Wakati kakupa pesa mwenyee wala hujamuomba. Mie nikabaki kuguna tu. Kisha nikajiandaa nikaingia prepo. Aseee kwani manazani masihara .nikafatwa na wadada wawili tena . Wakaja kunichamba ey nikae mbali na mwanaume wao rooh .niliona uyo zayd ni maraya mh. Yani siku moja nimefatwa na wadada wattu . Wananitishia khaaaaa apa kazi ipo . Alafu wote ni wakubwa kwangu form six wenzie .nikaona uyu kaka mie nikae. Nae mbali kabissaa

Basi zikpita week mbili apo naongea na mlige kila week end basi ananisisitiza sana kusoma na kujitunza . Pesa ye ananitumia wla hakuna shida. Ila tu nipambane kusoma. Basi nikawa pia nikipata mda na simu .nawasalimu na wazazi. na. maisha ya shule yanaenda. Na tulikuwaa na walimu wazuri sana. Yani walimu wazuri mnoo mpaka rahaaa. Basi bwana ikakata miezi 3 mimi nipo zangu shule na apa rkkizo ndogo au fupi haturudi tunaludi kubwa ya mwez wa 6 na 12. Kwaiyo nikawa napamabana na shhule tu .

Hamuwezi amini. Ata mama mkwe alikuwa ananipigia kabisa siku za week end . Et ananisalimia. Mpaka rahaa yani . Basi .bwana siku iyo sasa ilikuwa ni j pili shiue ilitulia sana mana hii shile ina wakristi wengi kwaoyo. Wengi walikuwa kanisani.mie nikaona ebu ngoja nikajisomeee. Basi nikajiandaa kisha nikabeba vitu vuangu nikawa naelekea darasani. Nikasome kidogo. Mh ila naangaliaa mbele namuona na zayd nae anakuja uku nnapotoka mm. Basi mie nikajifanya kama.simuoni. nikataka kumpita kimya kimya ila zayd alinisemesha. Akasema ahaa mambo mrembo farida. Ila sikumjibu kabisa. Nilishajua kuwa karibu na uyu kaks ni kujitafutia matatizo na kutoikukaa na amani apa shuleni kwaiyo mm binafsi sikutaka kabisaa. Yani nikampita. Na moja kwa moja nikaingia clss. Nikaweka vitabu vyangu mezani na nikatoa sasa ili nianze kujisomea
Mh naona zayd nae akaingi darasani. Khaa kumbe alikuwa ananifatalia kwa nyuma et.. ila uyu kaka.

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57


Mh basi nikajitahidi tu pale. Kusoma mpaka saa 5 ndo prepo .inaisha tukauruhusiwa sasa kuludi bwenini. Basi tumefika bwenini. Akaanza zaituni akasema nyiee mmemuona yule mkaka wa kiarabu mzuri yule mmemuona. Au nimemuona mwenyewe. Mie nikacheka nikasema na mm nimemuoa . Prisca akasema ahaaa mnamzungumzia zayd. Mi nna story zake.nna rafiki yangu wa form six. kanisimulia.si mnamzungumzia yule zayd wa form six. Prisca akadakia akasema ndio ndo uyo. Ndo kafanyaje

Zai akasema yule bwana . Ndo kaja jana . Nasikia alipewa suspension. Alikamatwa. Na barua za wanawake za mapenzi . Mh mbona nikaanza kuchoka. Nikasema mh makubwa. Zaituni akasema yule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-56-na-57

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

52
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

41
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest