ð¿ðð£ððð¡ðððŠ.....: ðððð ðððð ðð ðððððð ðð ððððð ðððð (ðððð£ðð ðððªð£ð€ð£ð) ð©ðððð ðð ðºððððððð SEHEMU YA 15
JUMAPILI KAMA JUMAPILI
Asubuhi saa kumi na mbili kasoro alishtuka usingizini mtoto, Nasma, safari ya kwenda Singida ilikuwa imeshaahirishwa kabisa kutokana na kwamba binti hakutaka kuondoka wakati bado Ray yupo, alijitia moyo
âRay akiondoka hivi, na mimi ninaondokaâ aliwaza binti.
Alishuka kitandani, yaani cha kwanza kushuka ni lile limfuko la zawadi, aliliotoa na kuzimimina zote kitandani, kisha akaangalia zile shanga akatabasamu, âSasa mimi hizi naweza kuvaa jamani, kwanini aninunulie hizi, mmmhâ alisema kwa furaha huku akizitazama, halafu akaziweka kitandani na kuweza kuchukua gauni.
Alijifungua khanga yake halafu akavaa gauni lile, halafu akakuta ni fupi âMh mbona hili fupi sasaâ alifikiria na kujiangalia halafu akavua ile nguo huku akitabasamu, kisha akachukua kisuruali.
Alivaa kile kisuruali, kiukweli kilimkaa kama vile alikuwa amechukuliwa vipimo na mtaalam, halafu sasa alipovaa ile blauzi na viatu hakika alikuwa kama video vixen fulani hivi yule NanaâŠmmh âjamaniâ alisema huku akibasamu akavua nguo zote na kurudisha mule. Kwenye fuko, kisha akaandika message kwa Ray
âKaka umeamkajeâ alitum
Chumbani, Ray aliamshwa na mlio wa simu ilikuwa inaita, alikuwa ni Rose alikuwa akimpigia, alipokea simu
âMamboâ alipokea Ray
âSafi mzima wewe?â Rose aliuliza
âMzima, nambieâ
âNimekumiss Ray, ina maana Dar unakuja lini?â aliuliza mtoto wa kike
âNitakuja wiki ijayo, maana kuna vitu vyangu mimi sijaweka poa huko lazima niwahiâ
âSamahani, mbona jana nimekuwishi birthday hata hujajibu?â aliuliza
âNilikuwa bize sanaâ
âHaya bana, unaonekana umeshanichukia sana, unamtuma Karimu aje kuchukua ufunguo sasa ndo nini wakati nyumba uliniachia mimi?â aliuliza Rose
âSamahani, kama unahisi hivyo basi sawa, ila nataka umpe ufunguo Karimu maana wewe umeshahamia mbaliâ
âSimpi Ray, utakuja kuuchukua mwenyewe ukijaâ
âSawa, tutaonaâ alijibu Ray na kukata simu kwa hasira halafu akaanza kutukana
Yaani mjinga huyu ananikatia usingizi wangu, naota niko mbinguni halafu Malaya ananikatia aliongea kwa sauti kubwa kidogo lakini nje haikusikika.
Alishuka kitandani na kumpigia Karimu simu maana alikuwa ameshapata wazo fulani.
âBoy vipi?â aliuliza Karimu baada tu ya kupokea simu
âSafi aisee, una laki moja hapo?â alimuuliza kwa haraka haraka
âYanini tena boss?â aliuliza Karimu
âYule manzi mimi simtaki, sikiliza mimi ninampiga baba mwenye nyumba sasa hivi halafu nimuambie kwamba ile kofuli pale ni ya kubadilisha mzee maana naona kama vile tunachoshana tu, na Rose, sasa wewe kanunue kitasa kipya mim namalizana na father house sasa hiviâ alisema kijana Rayâ
âPoa mfalme mwa majaribuâ
Walicheka wote halafu Ray alikata simu na kuisoma message ya Naa, akaipuuzia na kumpigia simu baba mwenye nyumba
âHallo kijanaaâ alikuwa mzee sana, baba yule
âshikamoo mzee Kimaro, umenijua?â
âMarahaba nimekujuaâ alisema mzee huyo
âNiko Upareni kidogo mzee wanguâŠ.sasa nimepoteza ufunguo wa pale ndani nina hofu sanaâ
âOho, koh koh kohâ mzee alikohoa kidogo ândioâŠ.sasa unataka kuineleza nini wakati mimi nilijua unaniongezea kitu kidogo bwanaâ alisema mzee kwa utani
âHahahaaâŠ.subiri bwana mambo sio mazuri si unajua koronaâŠ.halafu pia nimesikia unakohoa hapo mmmmh nina wasiwasi kesho kutwa utaletwa moshi weweâ alisema Ray
âkwenda sakoâŠ..â
âachana na hayo mzee wangu mimi ninamtuma kijana pale aje kubadili kitasa, sawa?â alisema
âsawaâŠ..uuuh koh koh kohâ alikohoa tena na kuweka simu mfukoni yaani hana time kabisa.
Ray alikata simu na kucheka kidogo halafu akamuandikia message Karimu âNimeshamaliza wewe nenda tuâ
Alipomaliza kutuma message hiyo aliinuka kitandani na kutembea mpaka mlangoni kisha akafungua mlango na kuchungulia nje
Alimuona mama anapita huku akiimba imba nyimbo za kwaya, akaamua kurudi ndani na kuchukua mswaki kisha akatoka na taulo, huyooo bafuni kama kawaida yake. Aliswaki na kuoga halafu akarudi ndani na kuvaa nguo, kisha akatoka na nguo zake kama kumi hivi za kufua akazitupa chini pale nje na kumsalimia Naa ambaye alikuwa anafagia halafu Ray aliingia ndani na kwenda kukaa sebuleni
âMzee shikamooâ alisema baada ya kumkuta mzee anakula habari kwenye TV
âMarahabaâŠ.umeamkajeâ
âsalamaâ alisema kijana huku akiangalia ile habari
âRaymondâ aliita baba
âNaamâ
âKanisani vipi?â alisema huku akitamzama sana usoni
âaaah, siendi mimiâ
âMkishika pesa kidogo mnamsahau MunguâŠ..twende kanisani bwanaâ
âMzee wangu mimi sina pesa eti, halafu msidhani mtu akishaajiriwa basi ana pesaâŠ.hapana ni pesa kidogo tu nakuambiaâ alisema Ray
âSawa, bwanaâŠ.. Wee Nasmaaaâ mzee aliita kwa nguvu
âAbeeâ sauti ilisikika nje
âChai hiyo vipi, bwana tutachelewa ibadani ujueâ alisema mzee
âNaleta babuâ alisema binti
****
Saa tatu kamili asubuhi Baba na Mama walikuwa wamejiandaa vyema walikuwa wanaenda kanisani kwa ajili ya ibada ya jumapili. Ray na Nasma walikuwa wanabaki nyumbani peke yao.
Mama alikuwa na wasiwasi, alimfuata Ray âMwanangu kwanini usiende kanisani lakiniâ alimshawishi lakini Ray akawa anacheka tu kuonyesha kwamba hana mpango huo kabisa
Mama alipoona amegonga mwamba akainuka na kwenda kwa binti kule jikoni, akamkuta anaosha vyombo âNasmaâ alimuita na Nasma aliinua uso akamtazama usoni mwanamama huyo âKikitendeka kitu chochote kati yako na Raymond nikajua lazima uondoke hapaâ alisema kwa hasira binti akainuka na kumtazama
âKitu gani mama?â aliuliza binti
âutajua mwenyewe, mimi ninaenda ibadaniâ alisema mama kwa hasira na kuingia ndani akatokea mlango wa mbele.
Walipoondoka kwenda kanisani, Ray alikaa pale kwenye sofa, akasikia ujumbe umeingia kwenye simu yake, akaichukua na kutazama akakuta ni namba ya Elinami âPlease twende kanisani wewe mwanaume japo umenisusaâ alisema Elinami
âSawa nakujaâ alijibu Ray kwa kudanganya halafu akainuka na kutoka nje akafue nguo zake, alipofika tu nje hivi alimkuta binti akiwa anamsaidia kufua nguo
âNasma umeamua kunisaidia?â alimuuliza
âNdio kaka, baba na mama wameshaondoka?â aliuliza
âNdioâ alisema jamaa
Naa aliinuka na kuchukua nguo zote akatia kwenye povu ndani ya beseni halafu akaziloweka na kuingia ndani akazama kabisa chumbani mwake.
Ray alirudi ndani na kuketi katika sofa akawa anacheza na simu yake.
Japo Nasma alikuwa ameshapewa onyo, lakiini kamwe hakuweza kuvumilia, alijikuta ameenda bafuni akaoga vizuri halafu akatoka na khanga moja na kuketi sofani pembeni mwa Ray.
âKakaâŠ..nashukuru sana kwa zawadi ya birthdayâ alisema mtoto wa kikeâŠâŠâŠ..ITAENDELEA
ð¿ðð£ððð¡ðððŠ.....: ðððð ðððð ðð ðððððð ðð ððððð ðððð
(ðððð£ðð ðððªð£ð€ð£ð)
ð©ðððð ðð ðºððððððð
SEHEMU YA 16
âMmmmh kidogo tu ile mbona jamani?â aliongea chalii wa watu
âsio kidogo, maana nimeshangaa, kaka hivi zile ulizoniletea ni shanga enhâ aliuliza
âNdio, kwani ulikuwa hujawah kuziona?â aliuliza
âHapana, sijawahi kuziona ila, nasikiaga tu, jamani, ila kaka?â aliuliza binti
âEheeâ
âMi sijui kuzivaaaâ
âMmmh, haya unavaa kama mkufu then unazishusha mpaka kiunoni, zikizidi unapunguza shanga sawa?â aliuliza
âOkkâŠ.sawaâŠasanteâŠngoja nikajaribuâ alisema binti kimitego mitego na kuinuka akawa anatembea kwa kujitikisa tikisa huku akitamani jamaa amuite lakini hakuitwa. Akaona atapoteza bahati, wakati anampenda na ile ndo chance pekee aliyopata kwa bahati. Alirudi na kuketi kwenye sofa âKakaâ alimuita
âMmhâ jamaa aliitika
âkwanini unanifanyia yote haya lakini, unajua mimi sijawahi kuona mtu ananijali kama, wewe? Ukiondoka mimi nitajisikia vibaya jamani kaka yangu eenhâ alisema binti huku akitaka kutokwa machozi
âNasmaâ alimuita kwa mshtuko âUsilieâ alisema jamaa na kuinuka kidogo
âSilii kwa sababu naumia, ila kaka, mimi kiukweli mimi aaahâ alishindwa kuongea
âNini sasa Nasma..â jamaa aliuliza
Sio kwamba Ray hakuwa na hisia na binti, zilikuwa zimeshaanza kuota na zilikuwa kali sana, lakini aliogopa, yeye kama yeye kutoka na housegirl hapana, aliogopa na kuwaza sana. Aliinuka na kutaka kuondoka. Lakini binti alimshika mkono âUnaenda wapi?â alimuuliza kwa hisia na kuinuka naye, saa ngapi binti asimkumbatie kwa nguvu sawa, huku mwili ukitoa kaubarid maana alitoka bafuni muda sio mrefu âKaka, nilipanga leo nitoroke niende kwetu lakini kaka uliponiletea zile zawadi za birthday nimeshindwa kuondoka maana natamani nikuone kila mudaâ
âPole sana Nasma, najua unapitia mengi sana magumu lakini Nasma, nenda basi kaendelee kufua, ukishafua tu nitakupati shilingi elfu kumi sawa?â alimuuliza
âSitaki pesa kaka mimi nitakusaidia bureâ alisema huku akimuachia maana si walikuwa wamekumbatana.
Ray alimtazama mtoto wa kike machoni, macho yalikuwa yanarembuka kimahaba hasa, na mtoto alikuwa anataka kabisa mjeledi âNasma wewe ni mzuri ndo maana nimekuletea mavazi yale ili ukivaa tu uone jinsi ulivyo mzuriâ alisema Ray
âAsante kakaâ alisema binti na kuutupa mkono kifuani mwa Ray akatulia kimya âKaka unakumbuka siku ya kwanza umenifuata jikoni unataka nije nilie chakula huku?â
âEeh nakumbukaâ
âUliniponishika najua ilikuwa bahati mbaya lakini nilisisimka kaka yaani sijawahi shikwa na mwanume hivyo tena katika maisha yanguâ alisema binti huku akipapasa fua la mtaalamu
âMmmhâ msela aliguna
âHalafu kakaâŠ.unajua siku ile nimeingia bafuni ukawa unaoga, niliondoka kwa mawazo, sijawahi kumuona mwanaume akiwa uchi kabisa jamaniâ alisema Nasma kila sentensi inazidi kumshawishi Ray kuzini katika siku ya sabato
âMmmhâŠ.daaahâ alisema Ray na kumvuta binti kwa nguvu akaanguka kifuani mwake, huku akimtazama usoni na hisia zishakuwa kalia mno. âNasmaâ alimuita kimahaba, na kumpelekea mdomo saa ngapi wasianze kuny...ony....ana mate na mtoto wa kike
Halafu ilivyokuwa mbay ni kwamba Ray alimny...ony....a u..li...mi huku akimpapasa maungo mpaka khanga ikafunguka na kudongoka chini, binti akabaki uchi ya mnyama halafu hata hamzuiii kwa maana nyingine alikuwa naye anataka dozi
âASSSsshâ alisema biti huku akiungâangâania u..li...mi wakany...ony....ana mate mpaka wakachoka, huku mikono ya Ray mara kwa mara ikitangulia kwenye kaa...li...ooo la binti na kupapasa pia maziwa madogo ya mviringo
Ray alimuachia Nasma, na kurudi nyuma kidogo, ile amerudi hivi, Nasma alidongoka mzima mzima, na kuketi sakafuni bila kutarajia
âWewe!!!â Ray aliongea kwa mshtuko maana hakuwah kuona mwanamke analegea vile, hata hivyo, alimrukia na kumnyanyua lakini Nasma hakutaka kunyanyuka bure,. Alimkumbatia Ray na kunyanyuka wakiwa wanany...ony....ana ndi...mii
Ray zilimpanda, mwanamke akilegea huwa analeta hisia kali, hali hii ilimfanya Ray amlaze kwenye sofa na kuanza kumpelekea mkono kule kunako akaanza kumpapasa taratibu akitaka kuingiza kidole hivi binti akamzuia
âHapana, kaka, usifanye hivyo utaniumizaâ alisema binti huku akiutoa mkono wa Ray
âSikuumizi bana nakupa rahaâ alisema Ray
âNoâŠmimi sijawahi kufanyaâ aliinuka Ray na kumtazama kisha akachukua khanga na kumrushia mtoto wa kike, ajifunike.
Binti alijifunga nayo halafu akasogea pembeni kidogo âNasma ina maana wewe hujawahi kufanya?â alimuuliza
âNdio sijawahiâ binti alijibu huku akiinuka kwenye sofa.
âOk kalete zile shanga nikuonyeshe namna ya kuzivaaâ alisema Ray.
Binti aliondoka pale sebuleni kwa ajili ya kwenda kuzileta zile shanga alizokuwa amepewa kama zawadi ya birthday halafu Ray naye alikuwa ameshapandwa na mzuka wa kutosha. Tena alipokumbuka kwamba hawahi kukutana na bikira kabla, alijikuta anaenda chumbani kwake, akavua suruali na fulana halafu akabaki na boxer kisha akasimama mlangoni akimsubiri binti apite. Maana lazima angepita pale kuelekea sebuleni.
Kweli binti alitoka chumbani amebeba shanga na chupi na sidiria mkononi halafu anapita. Ghafla mlango wa Ray ulifunguliwa, na Ray alimvuta ndani., halafu akafunga mlango na kumkumbatia mtoto wa kike huku akiifungua ile khanga na kumdondosha kitandani akiwa uchi shanga zikadondoka kule pembeni na chupi na sidiria
Alizidi kumny...ony....a mate mtoto wa kike akawa amelegea anamkumbatia Ray tu, kichwani hakuamini kwamba yeye ndo anafanyiwa yale yote.
Ray, alimpanua mapajana na kumtazama, halafu mkono mmoja aliushikia boxer na kuichomoa nanilii yake ikiwa imetuna vibaya sana.
Alimzama binti mapajani na kuanza kupapasa kwa hisia, huku akipaka uume mate âsssh, kaka please mimi nitaumiaâ alisema mtoto wa kike
âAhâŠah hautaumia ntafanya taratibu sawa?â alimuuliza mtoto wa kike
âmmh kakaâ alisema binti huku akijiachia kidogo na kumtazama kobra wa jamaa, aliyekuwa wa wastani. Ray aliweka kichwa na kujaribu kukisukumia lakini binti alipiga kelele
âKakaâŠ..hapana ninaumia aaâ alisema akiwa anamsukuma lakini Ray alimlalia akawa anampapasa taratiiibu huku akitikisa kiuno chake na kukichezesha, maana yake alikuwa anamtekenya binti lakini binti bila kuingiza hivyo binti hakuumia sana
âAssssshâŠ.oh babyâ alisema kwa hisia jamaa maana alifurahia lile gemu japo hakuingiza.
âKakaâŠ.hapo hapo usiingize zaidi bhasiâ kanasma kalisema kakiwa kanamkumbatia bila kujua kitakachofuata
Wakiwa wanazidi kupeana viutram utram walisikia michakacho, wote wakashtuka kidogo halafu sauti ikasikika nje âNASMAââŠâŠ.wote waliachiana na Nasma alishuka kitandani akiogopa tayariâŠâŠâŠ
Kwa sh 1000 unapata muendelezo kupitia WhatsApp no 0743433005
WAHI FASTA
USISAHAU KUMALIZIA
1. NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA
2. JAMANI KAKA AAAAASH
3. JAMANI BOSS NAONA AIBU
kila moja inapatikana kwa sh 1000
ðµðððð ðð ðððððð ðœðð ðððð ðŽ ðððð 0743433005 ðððð ðšð®ð¶ðºð»ð°ðµð¶
ðŒðððððð ððððððð ðŸðððððšðð ððððððð ððððð +255743433005 ððððððð ðððð
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni