𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙤𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 17
Tulipoishia
“Asssssh….oh baby” alisema kwa hisia jamaa maana alifurahia lile gemu japo hakuingiza.
“Kaka….hapo hapo usiingize zaidi bhasi” kanasma kalisema kakiwa kanamkumbatia bila kujua kitakachofuata
Wakiwa wanazidi kupeana viutamu utramu walisikia michakacho, wote wakashtuka kidogo halafu sauti ikasikika nje “NASMA”…….wote waliachiana na Nasma alishuka kitandani akiogopa tayari
Endelea
“Nasma shika kanga yako” alisema mtaalam kwa uoga maana alijua akikutwa ndani mule na mama itakuwa kasheshe. Alimrushia ile khanga Naa akapokea na kujifungia akatoka huku akinyata na kuitika kwa uoga
“Abee” alisema binti
“Khaa…. Unafanya nini mbona nakuita huitiki?” alikuwa ni mama Elinami amekuja pale nyumbani akiwa ameshikilia biblia halafu akamkabidhi Nasma
“Samahani nilikuwa usingizini” alidanganya
“Ok, sikia hiyo ni biblia na vitabu vingine nimepewa na mama wa nyumba hii, atachelewa kurudi kaenda kwenye vikoba”
Mule ndani Ray alivuta pumzi kwa sababu hakuamini kama ni kweli. Alisimama na kuvaa nguo yake vizuri halafu akaketi kitandani huku akiwaza imekuwaje, tena ‘hiii halafu ni kabikira kweli’ alisema huku akitabasamu kidogo.
“Sawa mama” alisema Nasma
“Ok mimi ninaondoka” mama Elinami alitamka maneno yale kisha akaondoka, ilibidi Ray achungulie kwa dirishani, kuona kama ni kweli,
Baada ya mama yule kuondoka binti alipeleka vile vitabu mpaka sebuleni halafu alirudi chumbani kwake na kumuandikia Ray SMS “Vipi kaka?” alimuuliza lakini jamaa alikuwa ameacha simu sebuleni, hivyo alisikia mlio sebuleni akatoka na kwenda kusoma
“Sorry njoo uchukue shanga zako ukavae, huwa zinapendeza sana, halafu hizo nguo usivae mpaka nitakapokuambia sawa?” aliuliza Ray
“Sawa, niletee, mimi siji huko tena nishaogopa” alisema binti
“Poa”
Ray aliingia chumbani akachukua vitu vya binti vyote akatoka navyo halafu akamgongea mlango na kuweza kumkabidhi mtoto wa kike vitu vyake baada ya kufungua mlango. Ray aliondoka mpaka nje akaendelea kufua nguo zake kiuvivu halafu akaanika na baadaye alirudi ndani kukaa ili eti atafute mudi.
Naa yeye aliweza kuingia jikoni na kuwasha moto, halafu akabandika makande, na kuendelea kumalizia kufua nguo za kijana huyo huku akikumbukia lile tendoa na kutabasamu
“Nampenda Ray mimi…mimi ninampenda” alisema mtoto wa kike kwa furaha sauti ilikuwa chini, alichukua simu yake na kutuma message “NAKUPENDA” alimtumia jamaa makusudi Ray akafurahi sana kuiona ile message lakini alikausha kama vile hajaiona ila moyoni alitamani angalau amjibu akajisikia vibaya kidogo.
Akiwa anawaza mawazo fulani fulani pale ndani , alisikia simu imeita, akaitazama hivi ni Karimu anapiga alipoipokea
“Vipi kijana Karimu…. Kwa kifupi nikuite K” alisema Ray
“Hahaaa….acha use….” Alimtukana kidogo kama ilivyo kawaida ya vijana wa kiume wakiwa marafiki, tusi sio tusi ni kama kusifiana kawaida tu
“Nambie” alisema Ray
“Man, nimemaliza, nitumie mkwanja wangu,….unakopaje kipindi cha korona hiki?” aliuliza Karimu
“Na wewe unamdaije mtu kipindi cha kampuni imefungwa hiki?” aliuliza
“Mshahara umeingia, acha mambo yako nitolee hapo hiyo kilo”
“Mshahara umeingia???” aliuliza
“Yap”
“Oh basi kesho ntakutumia mzee baba sawa?” alisema
“Poa”
“poa” waliagana
*****
Baadaye ikiwa ni mida ya saa kumi na bili jioni. Wazazi walikuwa wamesharudi muda, sana, Ray alikuwa ndani kwake ameketi huku akiwa ameweka taulo mabegani kwani alikuwa amejiandaa kwenda kuoga bafuni muda huo.
Alikuwa akiwaza sana mambo yalivyokuwa yanamuendea. Alikuwa akikumbukia jinsi alivyotumiwa ujumbe na mtoto wa kike kwamba anampenda, akawa anachanganyikiwa maana alikuwa ameshampenda bila kutarajia.
Akiwa katika Lindi la mawazo alishtuliwa na message kwenye simu yake, ndipo alipofungua na kuisoma, akakuta ni ya Elinami
“UKANIDANGANYA” alituma Elinami
“NA NINI?” aliuliza
“KWAMBA UNAKUJA KANISANI”
“Hahahaaaa sorry” alicheka Ray halafu akatulia kusubiri majibu
Badala binti ajibu message alimpigia kabisa, na jamaa alipokea akawa anaongea
“Raymond” binti aliita kwa hisia kali sana na kwa mideko
“Nambie Eli”
“Umenisusa jamani, mbona hata haunitafuti?” aliuliza mtoto wa kike
“Hamna, mambo yamekuwa mengi kidogo”
“Ok powa njoo tukutane hapa barabarani kwenye ukuta mrefu hapa” alisema binti
“Ngoja nioge kwanza halafu nakuja”
“Poa” binti alijibu na kukata simu yake.
Ray baada ya kuona hivyo, alichukua mswaki akatia dawa halafu akatoka akiwa anaswaki akaingia bafuni na kuanza kuoga mdogo mdogo mpaka dakika 20 zilipopita alikuwa ameshamaliza kabisa.
Alitoka bafuni akaenda mpaka chumbani akajipaka mafuta, akavaa nguo safi halafu akachana nywele na kujipulizia marashi. Alipomaliza hivi alimtumia SMS Eli kwamba amemaliza kuoga, hivyo aonane naye
“Sawa utanikuta hapa” alijibu binti
Ray alichukua muda wake vizuri akaenda sebuleni alipomkuta mama amekaa “Mama, natoka kidogo” alisema
“Sawa, uwahi kurudi” alijibu mwanamama huyo
“Sawa” alisema Ray akiwa anakunja kitambaa na kukitia mfukoni mwake halafu akatoka nje ya nyumba, nje ya geti na kuwaacha wanafamilia wakiwa ndani.
Sauti ya Nasma ilisikika “bibi” alimuita mama Ray
“Nini?” mama alifoka
“Nyanya na chumvi hakuna” alimuambia
“nenda chumbani kwa babu, juu ya meza kuna elfu tano, kachukue ukanunue, nyanya za 1000 na chumvi kubwa” alisema mama
“Sawa”
Nasma alienda mpaka ndani ya chumba cha mzee, akachukua pesa mezani, halafu akatoka mule chumbani, ndipo alipochukua mfuko na kutoka nje ya nyumba ile akienda moja kwa moja dukani.
Alipokuwa anaenda alimuona Ray akiwa amesimama mahali, lakini kulikuwa hamna mtu mwingine, binti hata hakuongea naye akijua labda jamaa atamfuata nyuma, lakini baada ya kufika gengeni akanunua vitu hivyo, alirudi akamkosa Ray pale alipomuacha.
Zaidi ni kwamba alisikia minong’ono kwenye giza, akasikia moyo umempiga paah…..ikiwa ni wivu unmuandama, aliona bora aondoke lakini alijisikia vibaya akaamua kurudi kuweza kwenda kuona kama ni Ray yuko na demu mwingine
Kweli alipofika kwenye kona hivi, gizani alishuhudia, aliona Ray akiwa amesimama na Elinami huku wakiwa wameshikana mkono, wanaongea kwa sauti ndogo, ilibidi binti awasalimie maana wote walikuwa wakubwa kwake.
“Marahaba” Elinami aliitika lakini Ray alimuachia mkono Eli na kumuangalia Nasma
“Kaka, twende nyumbani” alisema Nasma
“Hamna tangulia nakuja” alijibu jamaa
Nasma alimrukia na kumshika mkono akamvuta kwa nguvu “Twende nyumbani bhanaa” alisema kwa wivu, usoni alionekana kama mtu ambaye anaona wivu………….ITAENDELEA
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋
(𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙤𝙣𝙞)
𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊
SEHEMU YA 18
“Mmmmh Nasma vipi?” aliuliza Ray, huku akisogea taratibu
“Twende” aliongea binti
“Kheeeee” Elinami alishangaa akijua hapo kuna siri kubwa inayoendelea kati ya watu hao wawili
“ok,…. Kama hutaki mi naenda” alisema binti akamuachia mkono halafu akaondoka akiwa analia kwa kwikwi
“Samahani Elinami, huyu mtoto ataenda kusema kwa mama kwamba niko na wewe yaani mbea sana” aliongea
“Makubwaaaa…..mtu mzima kama wewe ukashtakiwe?” aliuliza Eli
“mmh aah…hamna unajua..”
“Haya kaka wewe nendaaa” alisema Elinami kwa hasira.
“Poa bye” Ray aliongea na kutoka pale kwa mwendo wa haraka hara kidogo kisha akaenda mpaka akamuwahi binti kwa nyumba na kumkumbatia kwa nguvu “Wee Nasma” aliita Ray
“Sitakii mimi” alisema
“Mmmmh,,….sikiliza nikuambie kitu, usichukulie chochote kibaya….”
Nasma aligeuka na kumkumbatia jamaa akamuangalia usoni kimahaba “Kwanini nilipokutumia ujumbe kwamba nakupenda wewe haukujibu?” aliuliza
“Niliogopa” alisema Ray
“Unaogopa, kutuma message kwamba, basi nijibu kwa mdomo sasa” alisema binti huku akimpapasa jamaa mgongoni
“Haya niambie tena” Ray alisema huku akitabasamu na kumtazama usoni maana binti alikuwa ni mfupi mno kwake
“NAKUPENDA” alisema huku akimtazama, meno yalikuwa meupe sana
“mmmh” Ray aliguna na kumshushia mdomo, wakaanza kunyonyana ndimi ndipo binti alipojivuta shingo ndimi zikalia ssstha kwa sababu zilishikana midomo kwa kubadilishana mate
“Sitaki, mimi nataka unijibu kwanza” alisema binti kwa hisia
“NAKUPENDA PIA NASMA” alijibu Ray. Hapo hapo Nasma alilegea.
Alimkumbatia kwa nguvu Ray na kumpa busu la mdomoni, walinyonyana mate, kama dakika mbili nzima halafu Ray akamuachia, “Angalia usidondoke tena,…..wahi nyumbani mama atakuuliza ukichelewa sana ok?” aliuliza
“sawa byee” alisema mtoto wa kike huku akiyumba kama kanywa pombe vile.
Aliondoka akikimbia mpaka akafika nyumbani na kupika chakula vizuri kisha Ray alitokea baada ya robo saa, akiwa ameshikilia soda za take away, nne, akaingia nazo ndani.
Aliziweka mezani kisha akaketi kwenye sofa akawa anachezea simu na kuangalia taarifa ya habari “Nimekuja kuwa fala” alijisemea moyoni…... “nilijua nikija huku nitawala vibaya sana mh ila kinyume” alijisemea
*****
Ikiwa ni jumatatu asubuhi, mtoto Nasma aliweza kuamka akiwa mchangamfu sana, sasa katika nyumba ile kulikuwa na watu wanne, Ray akiwa na mpenzi Naa, na Baba akiwa na mpenzi mama.. yaani ilikuwa ni full shangwe.
Cha kwanza kabisa binti alimtext Ray, “Umeamka mpenzi” alimtumia ile message akaona haitoshi akaongeza nyingine “Nataka nioge nivae zile nguo”alituma
Ray alipoona zile message alishtuka na kufikiria ndipo akamjibu “Usivae kwanza, maana lazima watakuuliza umepata wapi, watatuhisi” alituma
Binti aliitazama ile message akafikiria kwa kina na kupata jibu “Juzi walinipa mshahara, wakaniambia nikanunue nguo, sasa si ntawadanganya kwamba nimeenda kununua nguo” alimtumia SMS Ray
“ngoja kwanza, leo,aga kama vile unaenda sokoni, uziweke hizo nguo kwenye begi ili ukirudi, uje nazo ujifanye ndo umenunua” alimtumia
“Asante sana kwa wazo zuri nakupenda sana mpenzi” alituma binti
“Nakupenda pia mke wangu” Ray alituma SMS ambayo ilipasua mawimbi moyoni mwa mtoto wa kike hakuamini kwamba yeye ndo ameitwa mke. Ilimpa hisia kali mpaka akajikuta amenza kulowa alichanganyikiwa
“Baby, hivi kwanini nikiwa karibu yako huwa naloa huku?” aliuliza
“Mmmh,subiri nitakuelezea baadaye, kapike chai nataka baadaye niende mjini tukakutane huko, nikuonyeshe kitu changu” alisema Ray
“Poa ngoja nipike chai chapu” binti alituma ujumbe na kuweza kuipeleka sebuleni halafu akafuata vitafunwa na kurudi ndani akaketi huku akitafuta gia ya kumuingia mama
“Bibi?” alisema huku akisugua sugua kucha zake kwa uoga
“Eee” alisema
“naomba baadaye niende sokoni nikanunue nguo”
“Nguo??” mama aliuliza
“Ndio mama”
“Umalize kazi zako zote, ndo uende, ufanye usafi, upike ndo uende sawa?” mama aliongea kwa hasira yaani yeye alikuwa ni mfokaji muda wote
“Sawa mama….kwani leo tunapika nini?” aliuliza kwa furaha
“Wali, kwa dagaa”
“Sawa maa” alisema mama huyo.
Binti alichacharika haraka haraka, usafi kama wote, alipika haraka haraka, akaosha vyombo, akadeki kila mahali pafaapo kudeki halafu akaenda kuoga na kuvuta pumzi.
Ray alitoka bafuni akaenda mpaka chumbani akavaa vizuri, na kutoka mpaka sebuleni, huku aking’aa
“khaaa….mwanangu mbona umependeza asubuhi hii?” aliuliza mama
“Samahani mama ninatoka, naenda mpaka Himo kuna rafiki yangu naenda kumsalimia na kurudi” alisema
“Asubuhi yote hii?” aliuliza
“Ndio mimi nasepa amenipigia mapema maana baadaye yeye anasafiri halafu nafanya naye kazi Dar” alidanganya
“Ok, kwa hiyo chai vipi?” aliuliza
“Sinywi, ntakunywa mbele ya safari”
“mmh…haya safari njema”
“Mzee yuko na mbuzi wake bila shaka” aliuliza
“Ndio”
“Ok nitamcheki humo humo haraka haraka” alisema Ray na kutoka nje.
Alipofika nje ya geti alimsalimia mzee aliyekuwa anachunga mbuzi wake, kisha akamuaga na kuondoka moja kwa moja hadi kituo cha bodaboda, safari ikaelekea.
Huku nyumba binti alimtumia SMS “Nivaeje?” aliuliza
“Vaa nguo yako ya kila siku, ila usisahau, ndani kuvaa zile shanga please” alituma Ray
“Mmmmmh….unanifurahisha…kwani unakuja kuziona?” aliuliza
“Of course ntakufunua nikuone”
“utanifunulia wapi?”
“Tutajua mbele ya safari ila ntafunua kidogo tu na kufunika, na kukigusa hicho kidude chako” alisema jamaa binti akafurahi sana
“Hahaahahaaa…..nakuja sa hivi ngoja, nikifika mjini nitakutafuta sawa mume wangu?” aliuliza maana alimiss kuitwa mke
“Sawa sawa”
“Sitaki”
“unatakaje jamani”
“Mi nimekuita nani mbona wewe hujaniita”
“Mmmmh basi nisamehe mke wangu”
“Asanteeeeee” alijibu kwa furaha na kuanza kuvaa nguo…………..ITAENDELEA
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi




Maoni