Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 25
Gonga94 Β· Stories

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 25

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baada ya nusu saa Ray na Nasma walikuwa kwenye basi la ARUSHA TO TANGA, Nasma alikuwa ameketi pembeni mwa jamaa ambapo jamaa alikuwa ameichomeka simu chaji kwenye basi hilo, akiwa ameishikilia huku akipiga hesabu kwenye kikokotoo cha simu

Alimaliza akamtazama binti kisha akatabasamu halafu binti naye akatabasamu β€œHUOGOPI?” binti aliuliza

β€œNiogope nini?” aliuliza

β€œMama yako”

β€œMh mimi mtu mzima, kiukweli nahisi nakupenda sana hadi nimeshuka kwenye gari daaah nikakufuata wewe” alisema mtaalamu

β€œJamani”

β€œUsiseme jamani…..sikiliza hapa napiga hesabu ninatakiwa nikatumie laki tano na wewe leo eti, yaani pale nyumbani si walikuwa wanatuzuia?” alisema jamaa, binti akatikisa kichwa kwa hisia halafu jamaa akapunguza sauti β€œLeo tutalala tanga, nakukwanyua mpaka asubuhi” alisema Ray, hapo ndipo Nasma alipocheka kwa furaha huku akifurahia kauli ile ya kukwanyuliwa.

Saa ngapi Ray asiiname kidogo kwenye siti halafu akanong’oneza β€œinama nikuambie” alisema

Binti aliinamisha kichwa, hata hajafika vizuri hivi, ndimi zishadakana wakanyonyana kama dakika mbili mule mule kwenye gari, yaani hapo ndo mapenzi yalianza kukolea sasaa.

Ray alibaki akijisifu kichwani β€˜Yaani Nasma alivyo mzuri, najua Rose akimuona lazima ata-blow mapigo naenda kumtunza wiki mbili tu atawaka kishenzi’ aliwaza

β€œHivi Nasma wewe unajua kufanya kitu gani huku duniani?” alimuuliza

β€œKama nini?”

β€œyaani kama ushonaji…ususi…..au hata biashara yoyote” aliuliza Ray

β€œMimi sijawahi kufanya biashara yoyote….ila napenda kusuka na sijawahi kujifunza kabisa”

β€œMmmmh tuende Dar au kesho utaenda Singida nikupe nauli?” aliuliza Ray huku akimtazama binti

β€œMh…..sijui” binti alibaki njia panda japo alitamani kupajua Dar β€œLakini kwani Dar nikafanye nini?” aliuliza

β€œtukaishi wote” alisema

β€œWeee…” alishtuka kama vile hataki kumbe anatamani sana β€œKama nani et?” aliuliza

β€œKama mke”

β€œHahhaaa….bana mimi sijui….amua mwenyewe…ila nikiwa mke wako ntateseka maana mama yako hanipendi” alisema

β€œUsijali, atakuelewa tu…..twende ukajifunze mambo ya saluni”

β€œSasa si bor tuende Dar moja kwa moja, tukishuka tanga tuchukue basi lingine ili usitumie pesa nyingi”

β€œNo siwezi Nasma, lazima niingize kabla sijafika Dar, nimemiss japo tumefanya leo usiku, hafu kumbuka wewe ya kwako kadogo kanashika sana hii nani” alisema kwa hisia

Nasma alimpiga kakofi β€œTulia bwana, mambo gani hayo unaongea hapa huoni watu?” alisema kwa hasira kidogo maana hayo mambo mwenyewe mgeni

Safari iliendelea kwenda tanga, na ikiwa saa kumi na mbili, walikuwa tanga mjini β€œUnajua nini?” aliuliza Ray

β€œSijui”

β€œSijawahi fika tanga mjini…..leo nimeamua na mimi nifike, sasa tufanye kitu kimoja cha maana” alisema na kumshika mkono wakaanza kutembea

β€œKitu gani”

β€œWe twende”

Walitembea wakavuka barabara na kwenda katika duka la simu lililokuwa limeandikwa JM MEMORIAL,wakaingia ndani.

β€œOi niaje boss” walimsalimia muuzaji

β€œPoa, kaka karibu” alisema kijana huyo aliyekuwa anauza

β€œNapata simu gani laki na nusu hapa?” aliuliza

β€œSmartphone au?” aliuliza kijana huyo

β€œNope, nataka ya batani” alisema Ray

β€œHahaa” kijana yule alitabasamu β€œSasa broo kuna kitochi cha shilingi laki na nusu kweli?” aliuliza

β€œSasa mbona unauliza ni smartphone? Embu nipatie bwana simu nimnunulie mke wangu” alisema huku akimtazama Naa, halafu wote wakatabasamu, cheo cha kuitwa mke sio mchezo

β€œMh…..ok….kuna hii hapa” alisema kijana hyo akinyoosha mkono kugusa simu iliyokuwa kwenye kabati kubwa la vioo

β€œNataka Infinix au Oppo, au Samsung” alisema

β€œKwa bei hiyo broo hamna hizo simu, hizo zinaanzia laki tatu” alisema kijana huyo

β€œOk nipe Samsung ya bei rahisi”

β€œIpo hii hapa, laki tatu”

β€œNope nakupa laki mbili na nusu kama vipi”

β€œHamna broo hailipi”

β€œmmh, sasa itakuwaje, nafikiri ndo simu nzuri, haya infinix je?” aliuliza

β€œIpo ya laki mbili na nusu”

β€œOk embu”

Kijana alitoa simu na kumkabidhi mtaalam akaitazama halafu akamuonyeshea Nasma β€œHii inakufa??” alimuuliza

β€œyoyote tu mimi”

β€œhamna mimi sijaipenda naomba yenye finger print”

β€œza finger print……laki 3 na 20”

β€œJesus” alishtuka kwanza

β€œnoope nipe ya laki mbili na nusu bwana”

β€œLabda tecno tena zilizopitwa na wakati”

β€œDooooh……hamna kampuni nyingine? Eeh haya nitafute basi nzuri bwana”

β€œKijana yule aliparangana, mpaka akachomoa infinix… yenye finger print β€œbroo, kwa hii simu nakupa kwa laki mbili na themaninii mwisho kabisa haiupungui nakuambia unataka nikose kazi nini?” aliuliza

β€œHahaaa….ok niwekee basi niondoke” alisema Ray na kumshika na mkono huku akimkonyeza halafu akatoa wallet yenye shilingi nyekundu kutosha, akaanza kuhesabu huku akiuliza maswali β€œSamahani hapa kuna lodge gani kali boss?” aliuliza

β€œkuna Kabil Rah Lodge elfu thelathini usiku mmoja” alisema

β€œIko wapi hiyo?” aliuliza

β€œIko hapa nyuma tu hivi, ukizunguka utaonda bango kubwa linawasha taa imeandikwa KABIL RAH LODGE”

β€œOk….shika pesa yako” alisema Ray na kumkabidhi

Kijana hiyo alihesabu akaridhia kisha akaandika risiti akampa na simu yake kwenye box kisha wakatoka nje na kuelekea babarani.

Hawakwenda mbali, walimtembelea wakala wa kusajili laini, kisha wakasajili laini mpya ya binti kwa kutumia kitambulisho cha Ray halafu wakaelekea lodge kwa ajili ya kuweka mizigo na kuoga maana hawakuoga tangu asubuhi.

Walifika ndani ya lodge wakaweka mizigo halafu simu mpya ikawekwa chaji

β€œAsante kwa simu” alisema binti

β€œNikumbatie basi” alisema Ray, na Nasma akafanya hivyo

Walianza kupigana rom…..ance, huku wakipapasana, halafu nguo zinavuliwa zote, kisha Ray akambeba uc...hi uc...hi mpaka bafuni wakaanza kuoga……ITAENDELEAA

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹
(π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž)
𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š
SEHEMU ya 26

Sabuni iliteleza katika mwili mzima wa Nasma, muda wote alikuwa anaogopa kwa sababu ya aibu

β€œSssssh jamani kaka” alisema mtoto wa kike akificha uso wake kwa aibu, muda wote alikuwa anaogopa sana kwani alikuwa mchezo huo hajauzoea kivile

Ray alimwagia maji mwilini binti halafu alianza kumnyonya maziwa, ndo kabisa binti macho yaligeuka kama vile anataka kufa, alianza kujisikia tofauti na alivyozoea, alijihisi kuna kitu anataka ila sasa kinachelewa β€œAaaash baby” alisema kwa hisia mtoto wa kike

Ray aliacha kumnyonya maziwa akaanza kupapasa kiuno na kumtazama usoni binti ambaye alikuwa amefumba macho na mkono akiuegemeza ukutani ili asidondoke

β€œMbona shanga hujajifungia” aliuliza mwamba huku akipeleka mkono Katikati ya mapaja ya mtoto wa kike halafu akaanza kupapapasa

Nasma aliinua uso ili amjibu kwa nini hajavaa shanga, lakini hakuweza kuongea badala yake alipiga kelele za mahaba β€œAaaaasss baby ssssh ooh” alisema kwa hisia maana dole la kati la Ray lilikuwa likipenya taratibu kitumbuani mwa mtoto wa kike, mpaka likaingia lote

β€œmke wangu”alisema Ray na kuuma mdomo

β€œAsssh mu,…me wangu” alisema huku akiunyanyua mkono mmoja na kujaribu kuzuia kidole cha mtaalam kisizidi kumfanyia maajabu ya kumtekenya, hapo ndipo alipozidi kusikia utamu maana Ray alijua sana kutumia dole alimtekenya.

Mwili wote wa binti ulisisimka halafu akaanza kupiga kelele huku akilegea zaidi β€œAaaash aaaash oh……baby…..sssssssh aaah” aliongea kimahaba kisha akatetemeka kama mtu aliyepigwa shoti mwili mzima hapo ndipo kidole cha Ray kililowa chote maana binti alikuwa ameshafika mahali pake

Alikaa kama sekunde 10 binti akiwa anahema halafu aliutoa mkono wa Ray kwa nguvu β€œinatosha jamani” alisema huku akimtazama kwa macho ya kurembu rembua Ray akatabasamu na kuinuka halafu akamkumbatia.

Alifungulia maji yakawa yanatiririka katika miili yao, ambapo walioga mpaka wakaridhika na kutoka nje ya bafu wakaenda chumbani.

Walijifuta na kuketi kitandani. β€œRay” aliita binti Ray akageuza macho na kumtazama β€œnina njaa”

β€œUsijali unakula sasa hivi subiri” aliongea na kuinuka halafu akavaa suruali na fulana yake, na kutoka nje. Alikaa kama dakika tatu, akarudi na kuketi pembeni mwa binti akamshika

β€œUsinishike” alimwambia maana mwili ulikuwa hauna mzuka wa kuguswa alihisi ni usumbufu tu

β€œMmmmh, ina maana hatufanyi?” aliuliza

β€œsubiri kwanza” alisema binti

Kwa sababu Ray alikuwa ni mtu mzima alielewa kwamba binti hamu hana, aliwaza akaona asubiri wale kwanza halafu ndo waendelee na shughuli.

Aliitazama ile simu mpya iliyokuwa chaji na kuitazama ilikuwa ilikuwa imeshajaa, maana alipoinunua ilikuwa na chaji asilimia kama 80 hivi. Aliitoa chaji akatia laini na kuiwasha akaanza kuipangilia na kumpa demu

β€œItabidi unifundishe kwanza maana sijawahi kutumia” alisema binti mara mlango ukagongwa

β€œUtajifunza haina ugumu wowote” alisema Ray na kuinuka akaenda mlangoni na kufungua alikuwa muhudumu kaleta chakula na vinywaji

β€œAsantee” alisema Ray na kupokea akarudi ndani na kufunga mlango

Aliweka chakula kwenye stuli kisha akaivuta na kuweka karibu β€œTule” alimuambia binti, ndipo binti akapata mshawasha fulani hivi β€œNilishe” alisema

β€œmmmmh, ni jukumu langu, but kwa kweli nakulisha na mdomo” alisema

β€œsawa tyu” alisema binti

Ray alikamata kinyango cha nyama na kuweza kukitia mdomoni halafu akamsogezea binti, Nasma alikipokea na kurembua macho halafu akaanza kutafuna taratiiibu

Ray yeye alichota cha kwake akaanza kula mwenyewe hivi, kama vijiko viwili vya pilao halafu akamtazama usoni mtoto wa kike na kumfuta futa mdomoni β€œNasma wewe ni mzuri sana, yaani najisifu sana kuishi na wewe kipenzi” alisema jamaa na kuchota chakula akamtia binti mdomoni.

Wakiendelea kutafuna Ray alufunua soda na kuanza kunywa huku akimkonyeza binti wote wakacheka

β€œHivi?” alimuuliza

β€œM..h” alisema Ray

β€œkumbe ndo hivi mapenzi yanakuwaga matamu?” aliuliza

β€œMkipendana wawili lazima mapenzi yawe matamu, ila kama mmoja akizingua tu, utamu wote huisha”

β€œMmmh, naogopa ila nasikia raha kuwa na mwanaume wangu…..Ray” alimuita kwa sauti nzuri

β€œMnnh” alimuitika kwa mguno

β€œnaomba usiniache, mimi nataka uwe mwanaume wangu wa kwanza na wa mwisho, sawa?” aliuliza

β€œSiwezi nikakusaliti, japo unaninyima naniliu”

β€œNakupa, ngoja nishibe kwanza , ila usiin.....gize yote basi”

β€œMmmmh…. Haya kunywa soda”

β€œSante” alisema binti na kufunua soda akanywa

Baada ya kumaliza kula, Ray alichukua begi akatoa mswaki na dawa, akaanza kuswaki, huku akielekea bafuni, Nasma alijilaza kitandani na simu yake

β€œHivi Nasma umekuja na mswaki?” aliuliza akiwa bafuni

β€œHamna nimesahau”

β€œMh inabidi utumie huu wa kwangu kwani unaogopa?”

β€œHamna shida” alisema binti

Wote waliswaki vizuri na kuruka kitandani na kuanza kumfundisha simu, katika kufundishana simu, mitek....enyo kwenye kwenye kwapa ikaendelea

β€œAhahahahaha…..Bhanaa.aaaa acha” binti alisema kwa hisia, huku akijip.....anua na kubaki uc...hi maana tau...lo lilifu...nguka.

Ray alimpanda kifuani,na kushusha sur.....uali yake, dakika mbili nyingi, chumba chote ni kelele tu

β€œAaaash…..baby santeee ssssh tamu oooooh aaaah” alisema mtoto wa kike kwa hisia, lakini akiwa anasuguliwa vizuri sana kwenye naniliu.

Ilibidi Ray amdake ulimi ili kelele zipungue japo zinaleta raha……alizidi kumsugua huku akimpapasa sehemu tofauti za mwili…………..ITAENDELEA

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹
(π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž)
𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š
SEHEMU YA 27

ASUBUHI TANGA MJINI

Ikiwa ni saa 12 asubuhi, tanga mjini, Ray alikuwa ameshapanda ndani ya basi, walisubiria mwendo tu waweze kuelekea jijini Dar.

Pembeni yake aliketi mtoto mzuri mweupe, aliyefahamika kwa jina la Nasma, alikuwa amejitoa sadaka ya kwenda kuishi naye japo alikuwa hajiamini kivile.

Kwenye gari kila, mmoja alikuwa akichezea simu yake, alimuwekea binti bando la kutosha na muda huo alikuwa YouTube anaangalia America’s Got Talent.

β€œVipi chaji?”

β€œIna asilimia sabini” Naa alijibu

β€œMh iko vizuri aisee” alisema mtoto wa kike na safari iliendelea.

Ikiwa ni saa saba mchana, walifika katika stand kuu ya mikoani jijini Dar, iliyoko Ubungo. Ambapo walishuka na kuanza kutembea huku mvua ikinyesha kali sana, walitembea mpaka kwenye stand ya magari yaliyokuwa yanaelekea katika eneo la Makumbusho alilokuwa akiishi mtaalam. Walipanda kwenye daladala na kuketi

β€œUnaonaje Dar?” aliuliza

β€œPazuri” alisema binti na kutazama watu.

β€œOk twende nyumbani sasa”

**

Baada ya dakika 40 walikuwa wameshafika katika nyumba aliyokuwa amepanga mtaalam. Waliingia ndani ya geti

β€œOhhhh Mungu wangu!!!!” Ray alishtuka

β€œVipi tena?” aliuliza

β€œSina ufunguo halafu mtu mwenyewe Dah sijui atakuwa wapi” alisema huku akitoa simu mfukoni na kumpigia Karim

β€œKaka” alisema Ray

β€œBwege kweli, ndo unanitafuta leo” alisema Karimu

β€œDaaah ukiona hivi, niko na shida mzee”

β€œShida ya hela, mimi sina hela”

β€œHahhaaa…..sio hela vipi uko wapi?”

β€œNiko getini kwako hapa”

β€œUtani”

β€œKweli mzee embu subiri nakucheki” alisema Karimu na kukata simu.

Ray alibaki ameduwaa, mara geti lilifunguliwa, akaingia Karimu akiwa na mtoto mkali, alitaka akamtindue kwenye geto la Ray.

β€œHuh Ray” aliongea kwa mshtuko baada ya kumuona Ray

β€œHahahahaaaaaa……….mzee” Ray alicheka sana maana alijua ashamuharibia mtu tayari

β€œMambo gani tena? Umekuja bila taarifa” alisema Karimu huku akicheka, na kumsogelea Ray akampa tano

β€œMission impossible” alisema Ray

β€œNa kweli maana nakuona upo na mtoto…..” alisema Karimu na kumgeukia Naa β€œMambo” alimsalimia

β€œSafi”

β€œYaapi, mama mwenye nyumba….nimekuja naye”

β€œSerious?”

β€œYeah mzee, embu nipe key nipumzike, hayo ya kwenu mtajua wenyewe”

β€œHahhaa” Karimu alicheka na kutoa ufunguo halafu akageuka na kumtazama mpenzi wake

β€œChupi ya kuazima?” alimuuliza demu wake

β€œHaisitiri makalio”

β€œHaya tuondoke sasa…..kwa heri nina haraka kidogo” Karimu aliongea na kusepa

β€œNtakushtuaaa”

Ray alifungua nyumba na kuingia na mtoto ndani. Kweli walifurahia, maana ndo ulikuwa mwisho wa safari pale.

**
Upande wa nje, kuna jirani alikuwa amemuona Ray akiwa anaingia na demu mwingine, alitoka nje ya geti na kumpigia Rose simu

β€œHallooo shogaa” alisema huyo binti

β€œNambiee Phina” alijibu Rose

β€œNaona tumeletewa mtoto mweupeee” alisema Phina

β€œkivipi?” aliuliza

β€œRay kaja na katoto kazuri, tena kabichiii mh”

β€œUtani shoga angu”

β€œKweli vile tena amemtoa kwao kabisa

β€œHamna shida, mimi mwenyewe nishamsahau kitambo sana, sina time naye nina mwanaume mwingine sa hivi mwenye pesa zake” alisema Rose

β€œPoa mwaya”

β€œOk” Rose alikata simu.

Ray na Nasma walianza kuishi kwa furaha katika chumba hicho huku wakiwa kama mume na mke kabisa japo hawakuwa na ndoa halali walipendana na kila mmoja aliridhia na mwenzake.

Ray alikuwa alimtafutia Nasma sehemu ya kujifunza kusuka nywele ndani ya wiki hiyo hiyo, na binti alianza mafunzo kwa ajili ya maisha yao ya baadaye, waliendelea vyema bila kusumbuliwa

NAAAAAAAAAAAAAAAM
Huu ndio mwisho wa SEASON ONE ya SIMULIZI YETU NZURI iendayo kwa jina la LAST-BORN NA BIKIRA YA HOUSE GIRL (Shanga Kiunoni)
SEASON TWO IPO NA IMEKAMILIKA
KUIPATA NI SH 1000 TU
WAHI WHATSAPP UJE UJISOMEE
NAMBA YA MALIPO NA WHATSAPP NI VODACOM M PESA 0743433005 JINA NI AGUSTINO UKISHALIPA TOA TAARIFA WHATSAPP UTUMIWE

Pale Facebook Follow Page ya Simulizi iitwayo 𝑴𝒓 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 (π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š)
Kisha jiunge na group letu la Facebook Liitwalo 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 25


Baada ya nusu saa Ray na Nasma walikuwa kwenye basi la ARUSHA TO TANGA, Nasma alikuwa ameketi pembeni mwa jamaa ambapo jamaa alikuwa ameichomeka simu chaji kwenye basi hilo, akiwa ameishikilia huku akipiga hesabu kwenye kikokotoo cha simu

Alimaliza akamtazama binti kisha akatabasamu halafu binti naye akatabasamu β€œHUOGOPI?” binti aliuliza

β€œNiogope nini?” aliuliza

β€œMama yako”

β€œMh mimi mtu mzima, kiukweli nahisi nakupenda sana hadi nimeshuka kwenye gari daaah nikakufuata wewe” alisema mtaalamu

β€œJamani”

β€œUsiseme jamani…..sikiliza hapa napiga hesabu ninatakiwa nikatumie laki tano na wewe leo eti, yaani pale nyumbani si walikuwa wanatuzuia?” alisema jamaa, binti akatikisa kichwa kwa hisia halafu jamaa akapunguza sauti β€œLeo tutalala tanga,...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lovestory-last-born-na-bikira-ya-house-girl-shanga-kiunoni-burudan-simulizi-sehemu-ya-25

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lovestory-last-born-na-bikira-ya-house-girl-shanga-kiunoni-burudan-simulizi-sehemu-ya
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 15
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 15
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 20
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 20
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 07
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 07
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š  SEHEMU YA 21
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 21
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 12
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 12
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 17
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 17
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 19
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 19
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.55K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest