VYOTE NDANI GONGA94
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 03
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????
NO: 03
Nilienda bwenini kwetu nilijilaza kidogo baada ya muda alikuja Chris na kuniambia Irene sitochoka kuku fuata ila jua nimekupenda sana
Nikamjibu ondoka nitakupia kelele kuwa umeingia bweni la wanawake
Akajibu kuwa sawa naondoka ila tambua mimi nakupenda sana naomba utambue unanitesa sijawahi kuhisi hivi ninavyo jihisi tagu nawajua wasichana nikweli
Nikamjibu hebu ondoka hapa unajua nini kuhusu kupenda wewe
Huna hata moyo wa huruma umewaumiza watoto wawatu
Unavyodhani mimi sikujui nakujua sana Chris mimi sio hao wasichana mimi nimwengine
Nimekuja kusomatuu sijafuata mengineyo niache basi istoshe laiti ungejua hii nafasi ya kuwa hapa darasani nimepewa kwa mashart na nimeombewa sana
Siko tayari kumuangusha alieniombea hivyo niweke mbali nawewe tafuta wasichana wa aina hiyo unayotaka ila sio mimi
Tafadhari nielewe nitaumia sana nikiipoteza nafasi hii ya kuwa hapa shule kwa ajili ya maisha yangu ya baadae
Chris akajibu hutoikosa nafasi ya kuwa shule hata maramoja kwakuwa nipo hai nakuakikishia
Nikamuambia wewe hujui Chris naomba ondoka bwana
Chris akasema kuwa siondoki hapa mpaka kieleweke ukubali
Mwisho niliongea kwa hasira kuwa nimeililia hii nafasi mpaka nimedhaminiwa na mamaangu nikifanya kosa mishe ilikuwa niolewe sina faida
Nimeambiwa nikikosea naenda kuolewa tuu nitake nisitake sasa wewe ndio unataka nikaharibu maisha yangu sio ninandoto zangu namimi
Chris aliona huluma na kuja kunikumbatia kwa nguvu
Huku akiniambia basi basi ila amini sipo kwaajili ya kuharibu maisha yako nakupenda kwa dhati kabisa Irene nielewe basi mwenzio
Nilichukia nikawa naliatuu yaani Chris hutaki kunielewa wewe nimbinafsi sana
Chris akajibu kuwa siko hivyo basi nifanye nini ujue kuwa sina niambaya naww
Nakupenda kwadhati kipenzi changu sijawahi kuwa hivi nilikuwa nawadharau sana wanawake Irene ndio wakwanza kukupenda
Na wewe hunipendi sijui ndio adhabu gani hii mungu ananipa
Chris alikuwa anatokwa machozi kabisa na kusema niambie chochote nini nikufanyie labda utaniamini
Nitakufanyia chochote sema Irene nakupenda huku akinishika usoni nitizame machoni napitia adhabu gani hii
Kwani kupenda ni dhambi niambie eeh Irene
Nilimjibu haya basi sawa niache nifikilie kisha nitakujibu
Haya nenda sasa watu wasikukute maana sitaki kufukuzwa shule mimi au kuambiwa nimuite mzazi
Aliitikia basi sawa nimekuelewa ila usinisahau nifikilie mpenz
Akaondoka Chris na kuniacha nikiwa namawazo sana sijui huyu Chris nini nia yake je kweli ananipenda mmmh
Endelea kufuatilia..............
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
NAWACHUKIA MASHANGAZI, SHANGAZI YANGU ALISHIRIKI KUNIUMIZA KIHISIA NA KWA KUNIVUA UTU NA THAMANI YANGU
Nilikuwa nakaa kwa SHANGAZI YANGU baada ya mama angu kufariki na baba angu kuondoka kwenda machimboni. Shangazi yangu h...
*NIMEKOMA MIMI 🙌* *19&20* Aisee ngoja niwaambie ukweli.. sijawahi kufurahia mapenzi kama jinsi ninavyo yafutaia ya Bishop Bishop
ananipenda kwell, anantreat vizuri, ananipa kila kitu ninachotaka. Kila akiwa free, ananipeleka out, tunajirusha kama h...
*NIMEKOMA MIMI 🙌* *1-5* *________________________________________* *SEHEMU YA : 01* Mapenzi ni kitu cha kijinga sana. Yaani yanaweza kukufanya ufanye ujinga ambao hata wewe hukuwahi kufikiria
unaweza kufanya. Na mimi ni mfano halisi wa ujinga huo. Ukiniuliza, nitakupa jibu simple kuwa maisha yangu ya mapenzi ...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
. Elton alianza kunifundisha mambo mengi hasa. mapishi. Akanifundisha kupika wali, pilau, ndizi pamoja na mchuzi wa nyam...
FATE TO LOVE YOU 💓 16 MTUNZI UHURU MEDIA Siku hiyo ilikuwa siku ya Jerry na Lina kuelezana juu ya hisia zao.
Walienda kukaa bustani na kuongea mambo mengi sana. Hali ya hewa ilianza kuwa ya kiubaridi lakini hakuna alietamani kwe...
MY HEART BEAT 🥰 1-----5 SEHEMU..1 🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Safari yamaisha inamengi utayo yapitia mazuri au mabaya lakini mapenzi nayo ujumuika kwayale utayoyapitia ili kukamilisha ubinadamu.
Ungana nami kwenye stor yangu utaburudika nakughadhabika najua yote ndio tumeumbiwa wanadamu sisi. Nilikua nikiota ndot...
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Okay, kaendelee na kazi, badae tutaongea vizuri." Mira alimkumbatia Gael kwa mapenzi yote lakini wa nyuma alimzomea
. Jioni Mira hakutaka kutoka na Gael, alisema anamgeni hivyo atawahi kurudi nyumbani. Gael aliamua kwenda dukani kwa mam...
BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7 *SEHEMU YA SITA* "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na mu-handsome
vile. Ilikuwaje akaenda kuanguka kwa Mira? Mbona kazi anayo! Bora hata angempenda mrembo wangu Mia," Furaha alimtania M...
**Simulizi: Stuck With You (Mfungwa wa Mapenzi)** Amina alikuwa msichana mrembo, mwenye ndoto nyingi na moyo wa upendo.
Alikuwa amezoea maisha ya kawaida katika jiji la Dar es Salaam, akifanya kazi kwenye duka la maua la familia yao. Lakin...
Tangazo - Elton John - Sacrifice
share
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 03
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????
NO: 03
Nilienda bwenini kwetu nilijilaza kidogo baada ya muda alikuja Chris na kuniambia Irene sitochoka kuku fuata ila jua nimekupenda sana
Nikamjibu ondoka nitakupia kelele kuwa umeingia bweni la wanawake
Akajibu kuwa sawa naondoka ila tambua mimi nakupenda sana naomba utambue unanitesa sijawahi kuhisi hivi ninavyo jihisi tagu nawajua wasichana nikweli
Nikamjibu hebu ondoka hapa unajua nini kuhusu kupenda wewe
Huna hata moyo wa huruma umewaumiza watoto wawatu
Unavyodhani mimi sikujui nakujua sana Chris mimi sio hao wasichana mimi nimwengine
Nimekuja kusomatuu sijafuata mengineyo niache basi istoshe laiti ungejua hii nafasi ya kuwa hapa darasani nimepewa kwa mashart na...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-no-03
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle
Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn Share on Pinterest
 
Show Text
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam-sana-no
Maoni