MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??
NO: 04
Nilibaki najiiuliza mwenyewe hata sijui nimjibu nini eeeh
Mala akaingia Najma na kuniuliza vipi Irene unaendeleaje
Nilimjibu nibora ningekuwa darasani hata ningepata nafuu kuliko kuja huku ndio kwaanza nimekitibua kichwa
Najma kulikoni kivipi ulipaswa kulala upumzike dawa zifanye kazi
Nikamjibu sihuyo Chris alinifuata tangu naingia mpaka sasa hivi niyeyetuu nilie kuwa napigizana nae kelele nimbishi sana kuelewa
Najma ila kiukweli Chris safari hii naubabe wake woote umemteka hukweli tena
Maana hajuagi kubembeleza akikutaka hata umkatae yeye atawatuma watu wanakuja kukubeba kwa nguvu
Nawalimu kesizake wamezichoka hawamfanyi chochote
Navile ukizingatia ni mtoto wa kiongozi mmmh
Sasa umemjibu nini maana huyo sijui
Nimemwelezea mimi sitaki lakini haelewi mbona hadi kalia na machozi kabisa
Najma weeeh! Usiniambie kalia kabisaa?
Nikamjibu ndio kalia sijui nini kaona kwangu maana haelewi hata niongee luga gani
Najma mpe nafasi kisha utamjua ukiona anakuzingua mbwage
Naogopa kujihusisha na mapenzi najua mapenzi na kusoma nivitu ambavyo havishabiiani kabisa
Najma najua ila nduguyangu unataka kuniambia hutokuja kuwa na mahusiano
Nilimjibu muda hujafika ukifika sawa
Najma unapoteza bahati mtoto wa waziri amekupenda shogaangu wasichana wengi wanatafuta nafasi hiyo wameishia kuchezewa na kuachwa
Wewe unapoteza nafasi mpaka analia mbeleyako
Hakika kunausemi unasema ukiona mwanaume analia mbele ya mwanamke ujue kunajambo
Nilimuuliza sasa Najma unanishauli nini nifanye
Najma mkubalie utaona kama sio mkwelu utaachana nae
Nikamjibu basi sawa ila sitaki kuumia namkubalia tuu simuweki moyoni kwani sipo tayari kumuweka moyoni mtu
Najma akajibu safi hivyo hivyo ndio mpango
Hakika Irene alikuwa nibinti wakawaida kimaisha ila nimzuri sana na anaakili mno
Alikuwa anaipenda sana shule na alikuwa anamalengo na misimamo yake
Siku iliyofuata nikuwa nikobize najiandaa na mitihani hivyo nilikuwa najisomea pekeangu
Alikuja Najma na kuniambia kunamtu anakutafuta
Nikamuuliza nani huyo anae nitafuta muda huu ninasoma kwaajili ya mitihani
Najma akajibu huyu hapa alikuwa nyuma yake ni Chris
Nilimtizama kisha nikamuuliza vipi Chris hapari yako
Akajibu sio nzuri
Nikamuuliza kwanini
Akanijibu inategemea na majibu yako ndio nitakuwa sawa
Najma akaniambia naomba niwapishe ila akaninong'oneza kuwa nakuamini
Nikasmail kidogo
Aliondoka akatuacha wenyewe nikamjibu Chris kuwa nimekukubaalia ombi lako
Chris alifurahi sana akaja kunikumbatia kwa nguvu na kunibusu
Akaniambia Irene
Endelea kufuatilia................FULL 1000.