Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 16

15th Jun, 2025 Views 18

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??

NO: 16

Tulipomaliza walikuwa wameshiba tuliwabeulisha baada ya hapo tuliwabembeleza wakalala

Tuliwalaza kisha mama Chris alikuwa anataka kujua uliwezaje kuja nao toka kwenu

Nilimwambia nilipanda tax kisha alinipeleka hadi stend niliomba msaada wa kupokewa mabegi na dereva wa tax hadi kwenye bas

Kisha nikamfuata nyuma nikiwa nimewabeba mwenyewe

Nilikuwa sitaki mtu anisaidie watoto nilikuwa naogopa kuibiwa nibora waniinie mabegi ila sio watoto

Hadi wenye kiti nawanangu niliposhuka mbezi pia niliwaomba makonda wanishushie nikachukua tax waliniwekea kwenye tax

Hadi naingia hapa kwanza nilianzia mahali tulipokuwa tunakaa sikumkuta na dereva wangu wa tax hakuniacha

Hadi chuoni nilipoambiwa Chris yupo ndio nikamruhusu anishushe

Chris pia alinipokea mabegi tu watoto hakuweza kuwagusa

Nilipofika hapa ndipo nikawaluhusu kwakuwa nilijua hapa ni nyumbani kwao

Mama Chris alifurahi sana na kunisifu kwa kuniambia wewe ndio mama bora unaweza kuwalinda wanao

Nilifurahi kusikia kisha Chris akaniambia twende chuoni kwenu tufuatilie

Nikamwambia sawa tulimuaga mama na kwenda chuo

Alihakikisha naludishwa chuo tena

Nayeye alikuwa fild tulikuwa tunapendana sana

Asubuhi ananipeleka chuo kwanza mimi kisha anaenda zake fild yeye

Na mamaake aliajili wadada wakuwatizama kina carita

Na ilikuwa na amani sana niliwasiliana na mama na kumuambia kuwa watoto wamepokelewa na mimi nimeludi chuo tena

Mamaangu alifurahia sana na nilimwambia wamepewa majiba kulwa anaitwa carena na doto carita

Mamaangu alifurahia sana na kuniambia mtakuwa na maisha bora sasa nashukulu mungu kwa hilo

Nikamwambia pia nimevishwa na pete ya uchumba

Mama aliniambia funga na ndoa ya kanisani ukija huku uje ukiwa umwfunga ndoa ila sio kwa sasa

Nikamuuliza kuwa ulisha mwambia kuwa hawa watoto sio wahuyo mbaba

Mama akanijibu hajui bado na sitaki ajue sasa

Nilifurahi nikamwambia ukinihitaji nipigie hii namba au kama unashida yeyote niambie

Mamaangu alifurahi sana na kuniambia naradhi nawewe mwanangu kuwa na maisha mazuri

Nilifurahi sana niliendelea na chuo na Chris alipomaliza fild

Endelea kufuatilia.....................
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 16 https://gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-no-16 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 37

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 36

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

Obi's Pain Chapter 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 02.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DEAR DOCTOR 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MPANGAJI ... 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

Obi's Pain Chapter 1

mjukuu rewards 100 Comments 1
 

MSHANGAZI EPISODE 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MSHANGAZI EPISODE 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

YAMENIKUTA

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 9

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINSI YA KUTUNZA UKE

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

PART 5 MY HEART

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest