Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 18

15th Jun, 2025 Views 21

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????

NO: 18

Baada ya siku kadhaa Chris alinipigia na kunijulia hali

Tuliongea mengu na kuhusu watoto wetu

Ikawa ndio kawaida kila siku jioni tunaongea na Chris

Nilishangaa siku hiyo Chris hakunipigia sim nilipiga sana hakuwa online

Siku iliisha na siku nyingine tena iliisha

Baada ya siku kama nne anakuja kupatikana maramoja

Nikimuuliza anasema kuwa ninajisomea nakuwa bize sana mpenzi

Nikiongea na mamaake ananiambia kuwa nisihofu yukobize na kilicho mpeleka

Niliendelea kuwa mvumilivu hadi kunamuda nilikuwa nalia pekeangu

Sikumoja nilimpigia Chris video coll alipo pokea niliongea nae kwa kutazamana

Alikuwa kitandani yupo kifua wazi aliniambia yaani ninakuwa bize mno hivyo nakosa hadi muda wakuongea na wewe na watoto wangu

Gafla nilimuona mschana kwa pembeni alikuja bia kutarajia nae alikuwa kavaa kisidilia na kichupitu

Hivyo nilichukia nikakata ile sim na kutoka nyumbani nilienda nje na nyumbani nilienda kupungwa upepo huku nikilia sana kwa uchungu

Nilijifikilia kwa muda nikaona nitoke pale kwao niende nikapange mwenyewe kwanza tayari

Nilikuwa ninamshahara na nilikuwa ninajiweza kulipa kodi

Sikumwambia mamaake na Chris wala bibiake

Nilitafuta nyumba na nikahama bila kumtaarifu mtu niliwadanganya naenda morogoro nitarudi nikaondoka

Niliweka wadada kwaajili ya watoto na usafi walikuwa watatu

Niliwalipa vizurituu na tulikaa kwa amani na upendo nilikuwa na hasira sana na wanaume

Chris kila akipiga nakata na kwao wanamwambia nilienda kwetu kusalimia na watoto

Hivyo ilikatika miezi mitatu kimya sijaridi nyumbani hivyo aliona mama Chris aje ofisini kwetu kuulizia

Akaambiwa yupo kazini kilasiku lakini leo kaenda kriniki mpaka kesho

Kweli kesho yake alikuja kuniulizia akaambiwa nipo ofisini kwangu

Na akaja akanikuta nilipomuona nilisimama nikamkumbatia

Akaniuliza hujambo mwanangu

Nilimjibu sijambo shikamoo Mama

Aliitikia marhabaa vipi watoto wanaendeleaje

Nilimjibh hawajambo kabisa

Akaniuliza sasa mbona umetukimbia umtkimbia na watoto kweli Irene

Nilimjibh hapana mama nilienda kupumzika kidogi

Akaniuliza upumzike kwani pale kwetu kunashuguri nzito

Nilimjibu hapana mamaangu nilikuwa nimeboreka Chris alichonifanyia

Endelea kufuatilia........... .
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 18 https://gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-no-18 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 37

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 36

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

Obi's Pain Chapter 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 02.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DEAR DOCTOR 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MPANGAJI ... 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 01

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

Obi's Pain Chapter 1

mjukuu rewards 100 Comments 1
 

MSHANGAZI EPISODE 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MSHANGAZI EPISODE 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

YAMENIKUTA

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 9

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINSI YA KUTUNZA UKE

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

PART 5 MY HEART

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest