Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA BESTMAN 15
Gonga94 · Stories

MIMBA YA BESTMAN 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MIMBA YA BESTMAN 15

Mulky alimuangalia Yasini usoni akagundua alikuwa anaongea kwa upendo wa hali ya juu na anamaanisha kile anachosema, alinyanyua mikono yake na kuushika uso wa Yasini ,akambusu na kusema
" Basi nakuahidi sitakunyima tena amani , nitakufa ya uwe na furaha kuanzia sasa kila litakalotokea nitakushirikisha mume wangu.
" Hilo ndilo ninalotaka na utakuwa imekamilisha ule msemo wa kuwa sisi ni mwili mmoja shida zangu ni zako na zako ni zangu.
Mulky akimkumbatia na kumwambia
" Nakupenda sana
"Mimi pia nakupenda zaidi.
Baada ya kuongea waliendelea kuogeshana waliomaliza walirudi chumbani .
Siku hiyo hawakukaa mbali walikuwa mithili ya kinda la ndege na mama yake .

Ilifika majira ya saa moja usiku Sameer akiwa kwenye chumba chake cha hotel alikuwa katoka bafuni kuoga mwili wake ulikuwa bado unamajimaji na kiunoni alifunga taulo , alisogea karibu na kitanda akachukua simu yake na kutafuta namba ya Mulky akajaribu kupiga lakini simu ya Mulky ilikuwa haipatikani.
" Pumbavu yani nimekuja hapa kwaajili yake kaamua kunifanyia uhuni kama huu kazima simu hivi hajui nimetumia gharama kiasi gani mpaka kufika hapa, chumba nimelipia hiyo ni pesa imetumika na muda wangu nimepoteza bure haiwezekani Mulky atalipia hili.
Aliongea Sameer kwa hasira huku akijaribu kupiga simu ya tena na tena wakati huo Mulky na mume wake walikuwa wakifurahia penzi .
Mwisho Sameer alianza tamaa akaacha kumtafuta.

Kesho yake kulipokucha Mulky aliamka wa kwanza akawa kakaa kitandani akimsubiri Yasini aamke. Baada ya Yasini kuamka wakijulikana hali
" Umeamkaje mume wangu kipenzi?
" Salama.
"Yasini mume wangu kuna jambo naomba unisikilize.
" Jambo gani malkia wangu?
" Naomba turudi nyumbani kwetu....
" Kama unataka hivyo basi hakuna shida unataka tuondoke lini?
" Leo , tujiandae muda huu tuondoke.
" Sawa.

Yasini hakupinga ombi la mke wake wala hakuhoji kwanini waondoke ghafla vile kabla siku waliopanga haijafika , walianza maandalizi baada ya hapo walichukua usafiri na kuelekea uwanja wa ndege .
Walipanda kwenye ndege na kuanza safari ya kurudi nyumbani kwao.
Walipofika nyumbani Mulky akawasha simu yake alikutana na messege nyingi za kumlaumu kutoka kwa Sameer.
" Mmmfyuuuuu kijiti mingine sijui ikoje yani anajilizaliza kwa mke wa mtu hata uwoga hana huyu nikimchekea atanifanya tambara la deki atanifutia kila anapohitaji kufanya hivyo. Sijui nafanyaje kumsomesha ili na mimi niwe na amani .
Akiwa bado anawaza nini cha kumfanya Sameer alipiga simu Mulky hakupokea ndio kwanza aliweka pembeni na kuendelea na mambo yake.
Kadri siku zilivyokuwa zinaenda Sameer hakukata tamaa aliendelea kumsumbua Mulky na kumpa vitisho kuwa ana ushahidi wa kumpatia Yasini kuwa ana msaliti. Mulky anaogopa akaamua kukutana na Sameer walipanga wakutane nyumbani kwa Sameer.
" Hivi una jielewa wewe unataka nije nyumbani kwako ili iweje, itakuwaje kama mume wangu akifika ghafla huko nyumbani kwako?
" Nina maana yangu kukwambia hivyo nimejioanga na kuhakikisha usalama upo.

Mulky alikubaliana na Sameer alikodi tax mpaka nyumbani kwa Sameer akiwa ndani ya taxi alimpigia simu na kumtaarifu kuwa kashafika.
" Nipo nje ya geti lako.
" Safi sana , fungua geti uingie.
Mulky alifanya malipo kwa dereva taxi kisha akashuka kwenye taxi na kuingia moja kwa moja ndani kwa Sameer . Akiwa anaelekea sebleni alisikia mziki laini wa mahaba. Alisimama mlangoni mara mlango ulifunguliwa na Sameer alisimama mbele yake akiwa mwenye bashasha na uso wa tabasamu. Alimuangalia Mulky juu mpaka chini na kumpa sifa zake.
" Wewe mtoto wa kike utakuja kuniuwa mwenzio....
" Sijafuata mambo hayo nataka tuongee mambo ya maana.
" Karibu ndani.
Mulky aliingia ndani huku Sameer alimfuata nyuma na kwenda kukaa kwenye sofa. Waliangaliana kwa muda bila kuongea neno, Mulky aliamua kuvunja ukimya kwa kusema
" Sameer nini unataka kutoka kwangu?
" Nataka kile tulichokuwa tumekianzisha.
" Nia yako ni kuvunja ndoa yangu?
" Hapana ila niangalie na mimi nipe kile moyo wangu unachotaka ili tuende sawa .
" Twende sawa wakati unafanya kusudi kunipigia simu usiku wa manane, messege kama vile ujanidai mpaka mume wangu akashituka alafu saizi unasema unataka twende sawa usawa upi unaotaka wewe?
" Tupange ratiba angalau mara mbili kwa wiki uwe na mimi.
" Aaaaah siwezi, siwezi kutumikia wanaume wawili kwa wakati mmoja mume wangu ananitosha Sameer.
Sameer hakueleza alichokiongea mulky ndio kwanza alimsogelea na kumshika na kuanza kumbusu kwa lazima huku akipapasa mwili wake .
" Acha ujinga.....
Aliongea mulky huku alijitahidi kunipambania lakini hakuweza Sameer aliweza kumdhibiti hatimae alimnyanyua juu juu na kumpeleka chumbani kwake

Itaendeleaaaaa

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA BESTMAN 15

MIMBA YA BESTMAN 15

Mulky alimuangalia Yasini usoni akagundua alikuwa anaongea kwa upendo wa hali ya juu na anamaanisha kile anachosema, alinyanyua mikono yake na kuushika uso wa Yasini ,akambusu na kusema
" Basi nakuahidi sitakunyima tena amani , nitakufa ya uwe na furaha kuanzia sasa kila litakalotokea nitakushirikisha mume wangu.
" Hilo ndilo ninalotaka na utakuwa imekamilisha ule msemo wa kuwa sisi ni mwili mmoja shida zangu ni zako na zako ni zangu.
Mulky akimkumbatia na kumwambia
" Nakupenda sana
"Mimi pia nakupenda zaidi.
Baada ya kuongea waliendelea kuogeshana waliomaliza walirudi chumbani .
Siku hiyo hawakukaa mbali walikuwa mithili ya kinda la ndege na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-bestman-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-bestman
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 7
MIMBA YA BESTMAN 7
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
MIMBA YA BESTMAN 05
MIMBA YA BESTMAN 05
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN 10
MIMBA YA BESTMAN 10
MIMBA YA BESTMAN 9
MIMBA YA BESTMAN 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

895
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

478
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

432
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

411
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

291
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

192
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

83

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest