Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NILIKUWA NAJIUZA BILA MUME WANGU KUJUA  (Maudhui ya watu wazima. Imeandikwa kwa tahadhari ya uelewa na kutoa funzo.)  Sehemu ya 3
Gonga94 · Stories

NILIKUWA NAJIUZA BILA MUME WANGU KUJUA (Maudhui ya watu wazima. Imeandikwa kwa tahadhari ya uelewa na kutoa funzo.) Sehemu ya 3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nilikuwa nimeduwaa, bado nikishikilia ile bahasha au kifungashio ambacho mume wangu kaleta lakini macho yangu yakiwa kwa mume wangu. Sauti yake ya

“nisamehe mke wangu...” ilinihisi kama sindano kali moyoni.maana mi nilifanya kwa hasira na kama namna ya kumkomoa yeye na kaja kuniomba msamaha

Alinisogelea na kuniambia:

“Najua sikuwa sawa, lakini nilifikiria sana… familia yetu ni muhimu. Nimerudi kwa ajili yenu.”Aliongea kwa uchungu kiasi kwamba ambacho kinaniuma sana ni kumsaliti yeye ningeweza hatakuomba chakula kwa mama Sarah lakini nimeenda mbali sana

Nilitabasamu kwa mbali lakini ndani ya moyo nilikuwa nimevunjika vipande vipande. Nilijisikia mchafu, mdanganyifu, na mwenye hatia isiyoelezeka. Lakini pia nilihisi huzuni kwa sababu alimrudia mwanamke ambaye usiku uliopita alilala na mwanaume mwingine kwa pesa.

Sikuwa na nguvu ya kusema chochote. Nilimkumbatia kwa upole, nikakumbatia uzito wa siri yangu mpya – ya maumivu, ya fedheha, na ya hali iliyonisukuma.Kisha nikajisemea kimoyomoyo " sitafanya tena ile ni ajali lkama ajali nyingine tu ....

Siku zikaanza kusonga...

Nilijitahidi kurudi kwenye maisha ya kawaida. Nilimpikia mume wangu, nilicheka na watoto, lakini usiku nililala macho wazi. Caren aliendelea kunitumia ujumbe:

“Shoga! Mteja wa jana kakutafuta tena. Anauliza utapatikana wikiendi. Maana ulichompa anasema hajawah pata kokote kule kakumis sana anasema uende pesa atakupa ya kutosha ikiwezekana atakujenga mpaka nyumba kama utampa vizuri......

Nilijifanya kimya. Nikamjibu baada ya siku mbili tu:
“Caren, acha kwanza. Kuna mambo najipanga...”
" Shoga yangu acha uzembe wewe ?
" Kwanini?
" Mtu anataka kukujengea nyumba unalinga"
" Nimepata na mume wangu hivyo sitaki tena hayo mambo yenu"
" Hivi una akili wewe ,yaani kupata na mume wako kunakufanya ushindwe kufanya kwa usiku mmoja kweli wewe ni zube!
" Sio hivo "
" Si hivo nini Wewe mwanaume huyu atakapokufukuza hutakuwa na kwa kwenda ".
" Basi tutaongea shoga mume karudi"

Nilikata simu baada ya kumuona mume wangu kwa mbali anakuja nilijifanya natandika sebule naye aliporudi alikuwa analalamika tu kuwa hela hana na mimi kuna pesa nilimuomba kwa ajili ya matumizi yangu binafsi.

Lakini aliposema tu hana nikaona sasa huyu mwanaume hawezi kunitimizia kila kitu kwenye masiha yangu ni lazima nijiongeze. Lakini nahitaji kuvumilia lakini pia nikikumbuka maneno ya yule mkongo
" Wewe ni mwanamke mzuri sana tatizo ni anayekutunza anakuvubaza lakini ukiwa naye lakini pembeni unasaidiwa na sisi utakuwa na thamani yako ile ile unayostahili"

Basi nilipokumbuka nilijihisi ni kweli mume wangu ananivubaza yaani hajuwi mkewe natakiwa niwe mrembo na mzuri sio kunovubaza hata shoga yangu caren alisema hivyo hvyo boda boda wengi wanasema hivyo hivyo na hata watu ambao nitawataja na mtashangaaa maana hata mchungaji wetu naye alinambia hivo hivo mimi mzuri...

Ukiunganisha matukio yote hayo ndio yanayofanya moyo uwake moto na kuhitaji kupata kile ninachokitaka. Mume wangu aliondoka nyumbani. Niliingia chumbani na kutoa kila kitu nikabaki mtupu . Nilipanda kwenye kitanda na kutanua mp nilikitazama kitumbua na kukipiga makofi nikiapa kwamba
" Nataka nikitumie kutumbua kama silaha ya mimi kuwa na maisha mazuri na nitafanya kwa siri bila baba watoto kugundua chochote na kwa sasa mimi sio Rebeka bali mimi ni lisa

Siku moja nikiwa jikoni, mume wangu aliniita kwa jina la upole nisilozoea:

“Mama wa Nyambura, mbona siku hizi umekuwa kimya sana?”

Nilishikwa na mshangao. Nikasema tu:

“Labda ni uchovu wa kulea watoto…”

Alinitazama, akanyamaza, kisha akaniambia:

“Nina imani nawe. Na hata kama kuna jambo gumu, unaweza kuniambia. Ili tutafute njia ya kulitatua kuliko kuhangaika pekee yako wewe ni mke wangu na mimi mume wako lazima tuishi kwa upendo.

" Sawa mume nimekuelewa" niliitikia kumfariji mimi kwa sasa nishapata jambo la kufanya na sitaki utani na mtu na hakuna wabkunirudisha nyuma niliamini maneno anayosema mume wangu hata kwenye kanga yameandikwa na hakuna jipya yote ni yaleyale .

Nilitoka nje baada ya simu kuita na mpiga alikuwa shoga yangi caren nilisogea mbali ili mume wangi hata asinisikie kabisa nilipokea baada ya kuona nilipokaaa hawezi kunisikia mtu yoyote yule
" Hello shoga yangu Caren"
“Shoga, kuna dili ya haraka. Laki tano unapata ndani ya saa mbili. yaani yule mkongo kakuelewa laki tano kwa masaa we ungeweza natamani bahati iniangukie mimi daaa?”

" Nakuja sasa hivi shoga mwambie boda boda aje anichukue na kweli nilijiandaa na boda boda akaja haraka haraka na kunibeba
" Lisa we ni mrembo sanana una mumeo mbona unajiuza " aliuliza boda
" Maisha tu mdogo wangu"
" Si ungevumilia tu na kuridhika na mumeo"
" Kausha dogo nipeleke sehemu husika"
" Sawa nimekuelewa "

Alinishusha na kuondoka zake nilipiga hatua mpaka getini nilizidi kupiga hatua mpaka ndani ambapo nilimkuta kashika kama kidude kidogo kina kama unga fulani ...

Nilishtuka sio mkongo huuuu?????
0699286085
Kelvin story

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIKUWA NAJIUZA BILA MUME WANGU KUJUA (Maudhui ya watu wazima. Imeandikwa kwa tahadhari ya uelewa na kutoa funzo.) Sehemu ya 3



Nilikuwa nimeduwaa, bado nikishikilia ile bahasha au kifungashio ambacho mume wangu kaleta lakini macho yangu yakiwa kwa mume wangu. Sauti yake ya

“nisamehe mke wangu...” ilinihisi kama sindano kali moyoni.maana mi nilifanya kwa hasira na kama namna ya kumkomoa yeye na kaja kuniomba msamaha

Alinisogelea na kuniambia:

“Najua sikuwa sawa, lakini nilifikiria sana… familia yetu ni muhimu. Nimerudi kwa ajili yenu.”Aliongea kwa uchungu kiasi kwamba ambacho kinaniuma sana ni kumsaliti yeye ningeweza hatakuomba chakula kwa mama Sarah lakini nimeenda mbali sana

Nilitabasamu kwa mbali lakini ndani ya moyo nilikuwa nimevunjika vipande vipande. Nilijisikia mchafu, mdanganyifu,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilikuwa-najiuza-bila-mume-wangu-kujua-maudhui-ya-watu-wazima-imeandikwa-kwa-tahadhari-ya-uelewa-na-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilikuwa-najiuza-bila-mume-wangu-kujua-maudhui-ya-watu-wazima-imeandikwa-kwa-tahadhari-ya-uelewa-na-
NILIKUWA NAJIUZA BILA MUME WANGU KUJUA  .(Maudhui ya watu wazima. Imeandikwa kwa  tahadhari ya uelewa na kutoa funzo)   Sehemu ya 2
NILIKUWA NAJIUZA BILA MUME WANGU KUJUA .(Maudhui ya watu wazima. Imeandikwa kwa tahadhari ya uelewa na kutoa funzo) Sehemu ya 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

1.02K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

816
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

532
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

414
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

161
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

107
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

94
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

85
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

82
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

76

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.66K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest