Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
18 Nov 2025
575 views
VYOTE NDANI GONGA94
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na tunaruhusiwa mimi na wew kuoana coz hata huo cousin ni wa hiari tu wa familia ndugu ni wao na sio sisi sawa cousin?" Nilikuwa namtizama kwa hasira sijui kwanini nilijikuta nachukia kiasi hiki nikainuka tu ghafla yaani nikatoka chooni nikaelekeaa bath room sikujuaa shida ni nini ila nilijikuta nina kitu kimenikaa hapa rohoni afu anavyoongea yule mkosa haya na mimi ukiangalia the way nikikumbua zile happy moment za mimi ba boss nachukiaa hajuii tu yaani anavyonikeraa, yaaani ananiboaa hajuii tu huyu mjinga
Niliondoka nyumbani bila kutoaa taarifa officine kwamba nimeondoka au vipi watu walinishangaa mimi mwenyewe nilijishangaa sana,
Hii hali iliendeleaa kuniathiri mana kunamuda anakuja anamkumbatiaa tu huyu mdada nyie hamna haya afu anafanya ujinga mbele yangu nilikiw natamani siku boss amfukuze kazi yaani, hii siku nilirudi nyumbani huku naliaa sana yaani naliaa hasaa mpaka baba akawa ananishangaa kwanini nalia vile mana nilimpita bila hata salamu yaani nilitoka kwa hasira officine ni nisijue ni nini kinaendeleaa katika moyo wangu yaan kama nampenda sijuii mimi kabisa sielewi jamani hata robo baba alinifuata akawa ananimbembelezaa baaada ya hlo tukaanza kuongeaa sasa
"Binti yangu nini kinasumbua akili yako mpaka unashindwa kula kunywa, kulala mmni nakuona ni kama wiki sasa haupo sawa bado ni yule mwanamke anakusumbua?" Aliniuliza baba niliongeza kuliaa yaani baba akaamua kunikumbatiaa "baba naumiaa ila sijuii kwanini naumiaa yaani naumiaa sana ila sijuii kila nikimuona yule mdada na boss wangu roho inanipasuka yaani sielewi baba nisaidie" nilisem nikimwambia baba yangu maana nilikuwa nalia vibaya mnoo "mwanangu umependa?" Nilimtizama baba nikafuta machozi "sijui baba ila nahisi ni hivyoo baba yangu nimependa nahisi ni hivyoo baba sielewi"
Nilimuhadithia baba kila kitu ninachohisi kuhusu boss wangu, akiwa na Suzy ila sikumwambia mambo yaliyotokea Dubai kwakweli ni aibu siwezi kusema mbele ya baba "mwanangu ukisikia kupenda ndio hukoo mapenzi ni kitu kizuri sana kama ukikijua kama ni kizuri ila nikibaya sana kam ukiumizwa saaa mwanangu yasiqe mengi sana kwa jinsi ulivyonielezea huyoo msichana ndio anampenda huyoo boss wako ila boss wako hamapendi amini hiloo binti yangu" niliktizama baba kwa muda nikijaribu kuweka umakini wangu wote kwake baba yangu kipenzi
"Sasa baba mimi nitafanyaje sasa baba" "Usijali ujuee watu wengine hasa wanawake huwa ni wagumu kuleza hisia zao kwa mwanaume ila wanaume ni rahisi hivyoo kamuelezea ukweli wivu ni dalili kubwa kuonyesha kuwa unampenda tafadhari kuwa karibu naee kwenye hili umuelezee ukweli sawa binti yangu?, mimi naamini kupitia wewe siwezi kukufokeaa huu ni muda wako wakufanya mambo wewe ni mtu mzima tayari" nilimkumbatia baba kwa ushauri wake hakika baba yangu ni zungu na nusu yaani ni mtu poa sana sikuamini kama angenipa ushauri bomba kiasi hiki kuna wababa duniani afu kuna huyu wangu jamni, nililala nikiwa nasema kesho iwe mvua iwe jua ukweli utasemwa tu
Itaendelea.......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Ibrahim Konate alikosekana kwenye michezo baadhi ya Liverpool baada ya kifo cha baba yake..
Kwenye ushindi wa magoli 4-1 wa Liverpool dhidi ya New Castle United Ibrahim Konate alirejea kikosini .. Sio kurejea tu...
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
na tunaruhusiwa mimi na wew kuoana coz hata huo cousin ni wa hiari tu wa familia ndugu ni wao na sio sisi sawa cousin?" Nilikuwa namtizama kwa hasira sijui kwanini nilijikuta nachukia kiasi hiki nikainuka tu ghafla yaani nikatoka chooni nikaelekeaa bath room sikujuaa shida ni nini ila nilijikuta nina kitu kimenikaa hapa rohoni afu anavyoongea yule mkosa haya na mimi ukiangalia the way nikikumbua zile happy moment za mimi ba boss nachukiaa hajuii tu yaani anavyonikeraa, yaaani ananiboaa hajuii tu huyu mjinga
Niliondoka nyumbani bila kutoaa taarifa officine kwamba nimeondoka au vipi watu walinishangaa mimi mwenyewe nilijishangaa sana,
Hii hali...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-12-no-cousin-you-know-mwenzioo-mimi-hapa-nakupenda
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18&20 Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10 "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu