Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
16 Nov 2025
283 views
VYOTE NDANI GONGA94
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mimi duuh, maumivu hata siwezi kujilezeaa hapo machozi ni yananitoka sio poa yaani, aliniinuaa tu hakuniuliza swali wala hakuuliza kwanini nalia alinitizama tu akanipeleka bafuni akaniogesha akamaliza akanivisha shati lake likiwa kubwa la light blue, nilivaa lilikuwa linanifika mapajani nilikuwa sijiskii amani hata kumuona ila mud ahuoo alikuwa haongei na mimi wala haniulizii lolote nilikuw namuona katili kwakweli yaani duuh haajui tu anavyoniumiza kwakweli nilikuwa nalia nawaza mengi siwezi kumficha baba yangu kwenye hili ila bado nilikuwa nawaza naanzaje kumuelezea ilinifanya nikumbuke mbali sana kipindi nimevunja ungo na sina wa kumwambia zaidi ya baba nyie mama zenu walio hai au hata mna madada shukuruni Mungu sana nilipitia kipindi kigumu kweli kile kipindi sitakaa nisahau kabisa kwenye maisha yangu hii historia haitakaa ifutike kwakweli yaani mhhh, hakunipeleka pale kitandani kwake na ulikuwa usiku mkubwa alinipeleka kwenye chumba changu na kuniweka kitandani na yeye akalala hakutaka kuniambia chocchote wala kunielezea chochote nilikuwa nawaza alilala huku kwasababh kule kwake kitanda kimechafuka yye poa hakulala na mimi pia sikupata usingizi kabisa japo nilikuwa naoo ila haukuja kabisa nilijikuta nateseka sana napambana na usingizi na maumivuu na yote siyataki yatokee kabisa
Asubuhi ilifika salama na boss hakunambia chochote maan muda huo nilikuw nimepitiwa usingizi nilikuja kuamkaa hivii boss hayupo hapa moyo wangu ulikuwa unaniuma nikajuta hata kuja kwenye hii safari hukuu Dubai niliumiaa sana moyoni nilijilaumu sana yaani, baba alinipigia kwa WhatsApp haikuwa video call ilikuwa ni voice call nilijitahidi kuchangamka ili baba asishtukiee kitu chochote ila kwa jinsi anavyonijuaa kulikoo kitu chochote alielewa tu nitakuwa na tatizo tu aliuliza tu
"Mama unashida gani mbona unalia sana kuna kitu kimekukwaza sana binti yanguvkuwa wazi nieleze najua haupo sawa au kuna tatuzo limetokeaa kuwa muwazi mimi ndio shujaa wako baba alisem nilitamani kumwambia ila nilikisikia aibu sana taani nilikuwa nalia mnoo hii siku sitokaa niisahau jamani baba alijaribu kunibembeleza snaa ili nimwelieze ni kitu gani kinanisumbua baba kwa hili siwezi kukwambiaa nisamehee" nilisema huku naliaa sana ilikuw ni mapema bado ni saaa 1 aubuhi kwa saa za dubai "samahani lakini binti yang ila hakuna kitu unaweza kunificha ingewezekana ningekuja huko huko Dubai samahani" nilibaki naliaa mimi tuu sikuwa na jinsi baba nipo salama ila siwezi kukwambia shida ni nini samahani sana" nilikata simu sikutaka kuendeleea kuongea nae, na vile nilikuw nina maumivu makali kweli nilikubali tuu maumivu yangu sikuwa na jinsi ya kuyataaa kabisa
Niliamua zangu kupumzika kabisa simu ilipigwa ya pale hotelini nikaulizwa labda kuna kitu nahitaji niligoma nikasema hakuna ninahitaji nilirudi zangu kulala kabisa nikajifunika na shuka sikuwa na wasi wasi, niliendelea tu kulala sikuwa nawaza kuhusus kitu chochote kuhusu boss
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Unatoka Golini timu yako ikiwa inaongoza bao 3-2 tena dhidi ya Real Madrid
unaenda Kusaidia mashambulizi kwenye Mpira wa Kutengwa ...Siyo kwamba Mpo nyuma la hasha bali nyie ndiyo mnaongoza πππ ...
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
mimi duuh, maumivu hata siwezi kujilezeaa hapo machozi ni yananitoka sio poa yaani, aliniinuaa tu hakuniuliza swali wala hakuuliza kwanini nalia alinitizama tu akanipeleka bafuni akaniogesha akamaliza akanivisha shati lake likiwa kubwa la light blue, nilivaa lilikuwa linanifika mapajani nilikuwa sijiskii amani hata kumuona ila mud ahuoo alikuwa haongei na mimi wala haniulizii lolote nilikuw namuona katili kwakweli yaani duuh haajui tu anavyoniumiza kwakweli nilikuwa nalia nawaza mengi siwezi kumficha baba yangu kwenye hili ila bado nilikuwa nawaza naanzaje kumuelezea ilinifanya nikumbuke mbali sana kipindi nimevunja ungo na sina wa kumwambia zaidi ya baba nyie mama zenu walio hai...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-7-nilikuwa-nina-maumivu-makali-sana-nilikuwa-naumiaa
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18&20 Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10 "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu