Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
25 Nov 2025
540 views
VYOTE NDANI GONGA94
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ilikuwa haraka na nilijua kutunzwa mimi kwenye hyo send off ila muda wote huoo hatukuuwa tunajuaa kuwa Suzy yupo wapi kabisaa maan hadi kwenye harusi hakuja yeye wala ndugu zake hii siku nililia kweli yaani nililia mnoo maan ndio nilikiwa namuacha baba yangu nililiia mimi duuuh nilihuzunika sana yaani
Nilitoka hapo nikapelekwa kwa mume wangu maan kesho tuna trip ya kwemda honey moon London safari aligharamiaa mama yangu mkwee hii siku sikutaka kukutana na mume wangu kabisa nilikuwaa najuaa nitaumiaa kama mara ya kwanza na hiyo safari haitooondoka baada ya hili tungeenda kazini ila mme wangu alinipa na mimi kampuni ya kusimamia kabisa ili niwe huru na biashara maana miracles company ina matawi mengi sana hapa jijini tu yapo matatu na kila mkoaa lipo na mawakala wa kutosha nilichogundua mume wangu ni mfanya biashara mkubwa sana hapa nchini na ana kaumarufu fulan hivi maan hadi vyombo vya habari vilikuwa vinamjuaa na kuna interview nyingi za live zilikuwa zinamfuata mume wangu mtoto, mtoto
Upande wa huyuu Suzy hadi kazini alikuwa haendii yaani ila hakuna aliejali ila bado ile sauti yake ya kusema kuwa nitajutia ilikuwa inanirudia kichwani kila mara na kila dakika ilikuwa inanifanya nakosa amani kabisa najiona mkosaji sana kwenye haya maisha na hii duniaa kwa ujumla yaani ila mume wangu alikuwa bega kwa bega na mimi kuhakikisha hakuna baaya linatokea na kunipa usalama wangu kabisa
Safari yetu ya kwenda London iliwadia tulipanda ndege mpaka kwenye hotel kubwa sana ya hadhi ya nyota tano hukuu tupanga tukae wiki nzima yaani ndio turudi kule Tanzaniaa sasa, huku kuna baridi kali na kwasababu ni mke na mume tulichukua room moja tu, nilimsalimia baba nae akataka kuongea na mume wangu tuliongeaa tukamaliza muda kidogo alipiga mama mkwe huyu niliongea nae sana alikuwa tayari ashakuwa rafiki yangu mawazo yangu ya kipuuzi sasa nikawa nawaza kabisa eety baba yangu kama inawezekana amuoe mama yake na boss ila mimi sijui ni utoto au kujiendekezaa sielewi hapo mimi duuh, hili bichwa likapimwe tuu
Baada ya hapo tukaanza kutizamana na mume wangu sasa kama vile mapanzi tulivyokuwa tunashangaa sana mhh huyu mkaka na yeye jamani hapana anavyonishangaa mimi naona aibuu "wee nae mbona unanitizama sana huoni aibu mini naogopa bhana kutizamwa na wew ujue" nilimwambiaa mume wangu "sasa mke wangu mimi nakutaka ujee nimekumiss afu unaanza kujishangaa unanibaniaa" alinianbia mume wangu "hee sasa wee unajua kabisa inauma afuu unanibemebeleza nini sitaki bhana inauma mimi naogopa ikifikia hapo mimi najuta hata kuolewa saaa ujuee" nilimwambia kw amadeko huku nipo pembeni yake "basi leo sikuumizi sawa mke wangu?" Mhh nilikua tu ananipanga nilikataa kaata akasema basi tuu ananikiss nilikubali just a kiss akaanza kunikiss sasaa jamani huyu mkaka na zake nyiee acheni
Itaendelea.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Ibrahim Konate alikosekana kwenye michezo baadhi ya Liverpool baada ya kifo cha baba yake..
Kwenye ushindi wa magoli 4-1 wa Liverpool dhidi ya New Castle United Ibrahim Konate alirejea kikosini .. Sio kurejea tu...
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
ilikuwa haraka na nilijua kutunzwa mimi kwenye hyo send off ila muda wote huoo hatukuuwa tunajuaa kuwa Suzy yupo wapi kabisaa maan hadi kwenye harusi hakuja yeye wala ndugu zake hii siku nililia kweli yaani nililia mnoo maan ndio nilikiwa namuacha baba yangu nililiia mimi duuuh nilihuzunika sana yaani
Nilitoka hapo nikapelekwa kwa mume wangu maan kesho tuna trip ya kwemda honey moon London safari aligharamiaa mama yangu mkwee hii siku sikutaka kukutana na mume wangu kabisa nilikuwaa najuaa nitaumiaa kama mara ya kwanza na hiyo safari haitooondoka baada ya hili tungeenda kazini ila mme wangu alinipa na mimi kampuni...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-17-siku-zilipita-na-mipango-ya-ndoaa-ilitimia-niliolewa-maan
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18&20 Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10 "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu