Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
21 Nov 2025
276 views
VYOTE NDANI GONGA94
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
moyoni mwangu nikijua. Leo naenda kusema ukweli na kama kunyesha inyeshe tuu ila leo niliapa naenda kusema ukweli kwa maelezo alionipa babaa ni kweli nampenda sana Boss na sina jinsi, ila baba yangu ni kama wale wababa wa kihindi mjue, nampenda snaa huwa hanifokeii bali anaanmbia ukweli wa mambo yanavyoenda wazazi kama hawa Tanzania ni wachache sana na mmoja ni huyu wa kwangu
Nilienda officine sasa tukiwa tumekaa officine maaan kwa sasa office yangu ipo kwa boss alikuja mmama mmoja officine alitukuta mimi na boss ila kila mtu yupo busy "Habari zenu wanangu" alisema huku akiachia tabasamu la kweli yaani mhhh "salama mama karibu, Angel mama yangu ndio huyu hapa kutana nae" nilimsalimia mama yake boss kama boss alivyonielekeza kuwa ni mama yake mimi sijui ni mama yake au laa ila nimeambiwa ni mama yake ndio ninachojua "mama huyu ni Angel"
"Nafahamu hiloo" alisema mama yake boss mimi nilibaki namkodoleaa mimacho tuu huyu mwanamke ila sikushangaa "ooh kumbe ni mrembo kweli kama ulivyosema ni mzuri sana ila nahitajiaa maongezi naee " alisema mama yake boss mimi nilikuwa nawasikiliza kwa maan walikuwa wanaongea mada nisizofahamu "okay Angel Nakualika nyumbani kwangu leo update dinner to naomba ufike bila kukosa binti yangu" alisema akanisogelea na kunishika shavu "lakini madam mimi...." alidakia boss
"Unataka useme kuhusu baba yako? Muombe ruhusa basi atakuelewa naamini hiloo" nilimtizama huyu mjinga anajifanya ananijua sana eeh ngoja ntamuonesha ukweli halisi mimi ni nani hapaa mjinga huyu, nilitaka kukanusha kauli yake ya ukweli dhidi yangu, ila kabla sijaongeaa aliiingia Suzy bila hata hodi mimi huyu mwanamke simpendii angejuaa asingekuwa anajileta letaa hapa nilimtizmaa alikuja akamkumbatiaa yule mama yake boss
"Ooh aunty ujue nilikumiss sana, afu umekuja hujanambiaa kuhusu kama umekuja yaani umekuja hata hujanambia yaani Aunty Thuu bhana ujuee mimi sipendi mimi halo hasira sishanija mpaka najiona siwezi tena kuvumilia huu ujinga kwa kweli mhhh yaani hili lipuuzi linaniboaa "okay my lovely ana my pretty gal nilikuwa nitoke hapa nije officine kwako kukuutaarifu mualikoo wako leo nakualika nyumbani tu have a dinner kipenzi" alisem yule mama yake kama alivyosema Suzy Mrs Thuu❤ baa da ya pale yule mama aliondoka nikampigia baba akaakubali akasema niende kama ni dinner tu niendeee nilishikuru kwa hilo
"Haya twendee sasa maan ni tunaenda wote" nilimtizama boss "hapana miminapitia dukanai siwezi vaa hivi alinitizama tu "sio dukani tuu nitakupeleka na saloon nataka nikuone leoo na make up upendeze sawa malaika ila ..." ni kama kuna kitu alitaka kunambiaa nilimtizama tu nikakataa alinitizama "sawa kama hutaki mimi naenda. Tutakutana kwa Mama okay baaadae" muda huo huo akaja Suzy "ooh my future baby leo nitaenda kuongea na Aunty kila kitu kwasababu na baba na mama watakuwepo itakuwa greet" alisem yule mpuuzi nilipata hasira mimi "okay"aljibu kiufupi akatoka njee mpaka parking nilimfuata nikaingiaa kwenye garii
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Ibrahim Konate alikosekana kwenye michezo baadhi ya Liverpool baada ya kifo cha baba yake..
Kwenye ushindi wa magoli 4-1 wa Liverpool dhidi ya New Castle United Ibrahim Konate alirejea kikosini .. Sio kurejea tu...
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
moyoni mwangu nikijua. Leo naenda kusema ukweli na kama kunyesha inyeshe tuu ila leo niliapa naenda kusema ukweli kwa maelezo alionipa babaa ni kweli nampenda sana Boss na sina jinsi, ila baba yangu ni kama wale wababa wa kihindi mjue, nampenda snaa huwa hanifokeii bali anaanmbia ukweli wa mambo yanavyoenda wazazi kama hawa Tanzania ni wachache sana na mmoja ni huyu wa kwangu
Nilienda officine sasa tukiwa tumekaa officine maaan kwa sasa office yangu ipo kwa boss alikuja mmama mmoja officine alitukuta mimi na boss ila kila mtu yupo busy "Habari zenu wanangu" alisema huku akiachia tabasamu la kweli yaani...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-13-niliamka-nikamsalimia-baba-yangu-kwa-furaha-tele-maan-nil
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18&20 Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10 "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu