Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 6
Gonga94 · Stories

USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ENDELEA......

Mfalme aliingia akiwa na Mlinzi wake, buti alilovaa sasa halikuwa tofauti na zile gari za kuchora kwenye karatasi.

Mbavu zangu huwa ni nyepesi kama karatasi aisee, nilishindwa kujizuia Mb....wa mie niliachia kicheko
Eeeh ndipo Mfalme alichungulia uvunguni mwa meza.

Kwa aibu nilitoka nisijue najibu nini
"Huo mpira wa mtoto hujaupata " Mtabiri Mkuu aliongea bila shaka alikuwa ananitetea.

"Si...si...sijaupata " Niliongea kisha ni katoa heshima yangu kwa Mfalme.

Eeh huyu Mfalme bhana, alinyoosha mkono wake akaanza kunifuta futa vumbi nililotoka nalo uvunguni.

"Ivan ni mtoto wangu Mimi, jitahidi kuwa msafi masaa 24 anapokuwa mikononi mwake " Mfalme aliongea.

"Nimeelewa mtukufu Mfalme " Niliongea kwa utii macho yakiwa chini"

"Unaweza kuondoka nahitajika kumhudumia Mfalme, bila shaka ana jambo lake hajaja hapa bure " Mtabiri Mkuu aliongea.

Nilimchukua mtoto ni katega mgongo niondoke lakini Mfalme alinisubirisha.

"Nikumbushe jina lak" Mfalme aliongea.

"Naitwa Sadia "

"Sadia?....jina hili ni zuri itapendeza kama farasi wangu mpya atapatiwa hili jina "

"Yaani jina langu Mimi apatiwe farasi? " Nilijikuta ni kiongea bila kufikiria.

Watu wote walinigeukia, nililitambua kosa langu. Nilitaka kuanguka chini kuomba rehema lakini Mfalme alinizuia.

"Endelea na safari yako "

Basi niliondoka haraka bila kugeuka nyuma. Siku ya leo nilimuona mtoto mwepesi kuliko siku zote.

Wakati nakata kona kuelekea chumbani kwake nilikutana na Ada (Mama wa Mfalme)
Kama kawaida niliinamisha kichwa kutoa heshima.

Sijui nini kilimpata alijikuta akinitazama kwa macho makubwa. Ni kama kuna maono alikuwa anayaona hivi.

"Mida ya saa mbili usiku naomba uje malangoni kwangu " Ada aliongea kisha akaendelea na safari yake.

Nilijikuta ni kikosa amani, isije kuwa Mfalme alinishtakia kwa Mama yake kuhusu kutaka kubandika mchoro wa nyeti zake kwenye mbao za matangazo.

Niliona muda kama hauendi hivi, acha mtoto aanze kulia nilimfunga Mgongoni ni kaelekea bustanini.

Nilianza kumbembeleza kwa kumuimbia nyimbo za kila rangi lakini hakubembelezeka.
Ile nageuka nimpeleke kwa Mama yake akanyonye nilikutana na Mfalme.

"Huyu mtoto hana njaa hata kidogo, mtindo wako wa ubanaji nywele ndio una mkwaza " Mfalme aliongea kisha akanyoosha mkono wake.

Alikitoa kibanio kilichokuwa kimebana nywele zangu zikateremka. Si unajua tena watu wa Nchi yangu tumebarikiwa nywele Wahindi wakasome. Mfalme ana sifa huyu, aliwatuma Vijakazi wake wa kike chanuo pamoja na kitana.

Baada ya vitu kuletwa alinibana mtindo mpya.

"Lakini Mfalme, huu mtindo hubanwa na Malkia tu huoni kama italeta shida " Mlinzi aliongea.

"Ivan kanyamaza, maana yake ni kwamba kavutiwa na huu mtindo tunaweza kuendelea na safari yetu " Mfalme aliongea kisha akaondoka.

Vijakazi wake na Walinzi wake walimfuata kwa nyuma pia.

Nilibaki kushikiria moyo wangu, huyu Mwanaume kaanzaje kunitengeneza nywele vipi kama taarifa zitamfikia Malkia.
JE UNAJUA NINI KILIENDELEA???

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 6


ENDELEA......

Mfalme aliingia akiwa na Mlinzi wake, buti alilovaa sasa halikuwa tofauti na zile gari za kuchora kwenye karatasi.

Mbavu zangu huwa ni nyepesi kama karatasi aisee, nilishindwa kujizuia Mb....wa mie niliachia kicheko
Eeeh ndipo Mfalme alichungulia uvunguni mwa meza.

Kwa aibu nilitoka nisijue najibu nini
"Huo mpira wa mtoto hujaupata " Mtabiri Mkuu aliongea bila shaka alikuwa ananitetea.

"Si...si...sijaupata " Niliongea kisha ni katoa heshima yangu kwa Mfalme.

Eeh huyu Mfalme bhana, alinyoosha mkono wake akaanza kunifuta futa vumbi nililotoka nalo uvunguni.

"Ivan ni mtoto wangu Mimi, jitahidi kuwa msafi masaa 24 anapokuwa mikononi mwake " Mfalme aliongea.

"Nimeelewa mtukufu Mfalme " Niliongea kwa utii macho yakiwa chini"

"Unaweza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/usiku-mmoja-tu-alidata-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi usiku-mmoja-tu-alidata-sehemu-ya
USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 14
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 14
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 13
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 13
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 16
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 16
USIKU MMOJA TU ALIDATA    SEHEMU YA 19
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 19
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 15
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 15
USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 18
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 18
USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 17
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 17
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 11
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 11
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 12
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 12
 USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 20
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 20
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 9
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 9
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 10
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 10
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 7
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 7
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 8
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 8
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 11
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

760
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

639
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

516
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

513
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

412
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

332
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

318
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

174
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

172
MY CRAZY BOSS 1 - 5

MY CRAZY BOSS 1 - 5

118

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
@majario LIVE

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri...

REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

“The CBF stands in solidarity with Vinícius Júnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior Post Mpya
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😤❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa 😂 Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼  𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿 Post Mpya
𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest